Sante Sanaa cousin.....Jana nilikuwa busy sikuja on time leo usinisahauBantu Lady Lovelovie Missy Gf Advicer Nuzulati baby zu Kalpana Kigi Makasi muendelezo tayareeeeee hukuuuu!!
Sasa kudindisha Unaona aibu gani jamani..?asa kudindisha kuna ubaya gani?
Kwenye hii tasnia haujawahi kuniangusha kabisa Mzee mwenzanguKulafanalekiiiii....
Pamoja sana man
HatariKwenye hii tasnia haujawahi kuniangusha kabisa Mzee mwenzangu
Elewa neno j.piliKipande cha Sunday Kama kiko Kwa draft kiachie tu.
qEPISODE 21
“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”
ENDELEA……..
Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.
“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”
Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.
“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”
“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”
“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.
“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”
Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.
“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”
“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”
“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”
Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.
“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”
“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”
“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”
“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”
Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”
Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.
Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.
Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.
Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.
**********
Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.
Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.
Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.
Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).
Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.
MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”
MIMI: “Ahsante sana”
MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.
MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”
MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”
MIMI: “Na watoto?”
MUAJEMI: “Watoto wako shule”
Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.
Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.
Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.
Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.
“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”
“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”
“Wewe utapewa discount usijali.”
Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.
Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.
MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”
MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”
MIMI: “Na kuhusu lubricants?”
MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”
Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.
MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”
MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”
MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”
MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”
MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”
MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”
Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.
Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.
Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.
Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.
Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.
MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”
JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”
MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”
JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”
MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”
JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”
Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.
Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.
IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”
MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”
IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”
MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”
IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”
MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”
IRYN: “There is no free meal in this world”
MIMI: “What do you mean?”
IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”
Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.
MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”
IRYN: “I don’t think so.”
Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.
Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.
“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”
“Unakwenda muda gani?”
“Saa 7 mchana.”
Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.
*********
Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.
Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.
Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.
Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.
Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.
Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.
“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.
Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.
Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.
Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.
MIMI: “Mary mambo.”
MARY: “Salama za kunisusa?”
MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”
MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”
MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?
MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”
MIMI: “Why?”
MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”
MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”
MARY: “It’s okay, upo wapi?.”
MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”
MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”
MIMI: “Sawa Bossy wangu”
Na muda huo alikata simu [emoji3513]
Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.
Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.
Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.
“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”
Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.
Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.
IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”
MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”
IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”
MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”
IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”
MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”
IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”
MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”
IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”
MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”
IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”
MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”
IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”
MAMA JANETH: “I understand.”
Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.
Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.
MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”
IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”
MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”
IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”
MIMI: “Aisee kumbe”
IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”
MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”
IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”
MIMI: “Better late than never.”
IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”
MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”
Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.
Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.
Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,
IRYN: “Insider………”
MIMI: “Nambie mummy”
IRYN: “Come in please.”
MIMI: “In your room?”
IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”
MIMI: “Okay am coming.”
TO BE CONTINUED
Sunday: 19:00
Umeenda kumpa joto weweEPISODE 21
“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”
ENDELEA……..
Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.
“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”
Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.
“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”
“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”
“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.
“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”
Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.
“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”
“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”
“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”
Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.
“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”
“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”
“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”
“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”
Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”
Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.
Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.
Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.
Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.
**********
Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.
Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.
Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.
Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).
Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.
MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”
MIMI: “Ahsante sana”
MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.
MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”
MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”
MIMI: “Na watoto?”
MUAJEMI: “Watoto wako shule”
Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.
Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.
Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.
Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.
“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”
“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”
“Wewe utapewa discount usijali.”
Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.
Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.
MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”
MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”
MIMI: “Na kuhusu lubricants?”
MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”
Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.
MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”
MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”
MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”
MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”
MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”
MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”
Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.
Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.
Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.
Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.
Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.
MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”
JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”
MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”
JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”
MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”
JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”
Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.
Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.
IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”
MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”
IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”
MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”
IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”
MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”
IRYN: “There is no free meal in this world”
MIMI: “What do you mean?”
IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”
Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.
MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”
IRYN: “I don’t think so.”
Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.
Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.
“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”
“Unakwenda muda gani?”
“Saa 7 mchana.”
Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.
*********
Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.
Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.
Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.
Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.
Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.
Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.
“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.
Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.
Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.
Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.
MIMI: “Mary mambo.”
MARY: “Salama za kunisusa?”
MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”
MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”
MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?
MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”
MIMI: “Why?”
MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”
MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”
MARY: “It’s okay, upo wapi?.”
MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”
MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”
MIMI: “Sawa Bossy wangu”
Na muda huo alikata simu [emoji3513]
Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.
Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.
Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.
“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”
Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.
Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.
IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”
MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”
IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”
MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”
IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”
MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”
IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”
MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”
IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”
MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”
IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”
MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”
IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”
MAMA JANETH: “I understand.”
Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.
Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.
MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”
IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”
MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”
IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”
MIMI: “Aisee kumbe”
IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”
MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”
IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”
MIMI: “Better late than never.”
IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”
MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”
Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.
Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.
Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,
IRYN: “Insider………”
MIMI: “Nambie mummy”
IRYN: “Come in please.”
MIMI: “In your room?”
IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”
MIMI: “Okay am coming.”
TO BE CONTINUED
Sunday: 19:00
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi huja
Mkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Mbona "mh"
Hivi kweli mkuu unakaa unasubiria story badala ya kuendelea na mambo mengine?Mwenyewe nimeipenda hiyo maana jana kidogo nikeshe.
Sio Dola 450 ila ni dola 4500 mummieINSIDER MAN ulisema Ile app ya kulipia dola 495 inaitwaje???
Kwani umelazimishwa kuifiatilia? Si uachane nayo? Yanini kuonyesha makasiriko Yako humu??Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Mnoo na msimuliaji si haba sisy ....Enjoy the story sis imefika patramuuu balaa!
Watu wengine sijui wanatumia matako kufikiria[emoji53]Kwahiyo wewe ukiwa na pesa, gari yako ikigongwa utakuwa unaenda kunyoosha bila kudai chochote. Yani unamwambia aliyekusababishia ajali awe na amani tu yani fresh