Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Aise umejua kunifanya mtumwa hapa kwenye hii thread yako. halafu unajua namna ya kumlaizia episode yani inakuweka attention kusubiri the next. We jamaa ni genuis.

Kama sio yale majinga yaliyotuvuruga humu tungekuwa tushapata uhondo wote.
 
q
 
Umeenda kumpa joto wewe
 
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
 

Mkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.
 
Kwani umelazimishwa kuifiatilia? Si uachane nayo? Yanini kuonyesha makasiriko Yako humu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…