Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Uko kwa wachina nikonektie ndugu yangu anatafuta kazi
 
Wanawake wapo complicated sana

Binafsi sijaona ulipokosea kwa hao Wanawake wote na huyo iryn umefanya vizuri kitomla mana mngesumbuana huko mbele ya safari na alivokununia ni wivu tu wa Wanawake na kwakuwa ashakupenda au usikute baada ya kuona simu aliyokupa umempa mkeo au akawa na sababu zake binafsi tu ambazo hutakiw zikuhangaishe nawewe

Kwahy akitaka kuvunja we mkubalie tu bila kinyongo kisha endelea na maisha yako huyo asitake kujipa umuhimu kwako kias cha kutaka uishi anavyotaka yeye
 

Mkuu naona kama unakwenda vizuri na movie [emoji1544]
 
Ni ama Iyrn alikutwa na wivu, huu with time huisha tu na pindi alipokumiss naamini alirudisha majeshi...

Au mama Liam na Iryn waliongea mambo ambayo Iryn aliona ajiweke kando kuepusha balaa

Kingine Iryn itakua alijisikia vibaya kwamba amemwambia mambo yake mengi sana Insider wakati yeye anavitu vikubwa na vizito japo vya kawaida kama kuwa na Mke na mtoto hajamwambia. Akaona jamaa sio kama alivyomwamini na kumchukulia.

Kama nakuona ulivyoshikwa hasira jamaa alivyoitwa chumbani kwenda kupanga simu na vitu vingine wakati Mzee ulishajua maandiko yanatimia😄
 
Acha makasiriko,anajionesha wapi sasa na mtu anahadithia stori yakw?? Umasikini mbaya sana,kila mtu anachofanya unahisi anakulingishia[emoji13]
 
Nimepata stress na hiyo message ya Iryn utasema mimi ndio Insider! Haya tunangoja muendelezo Ijumaa Inshallah [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…