Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro c ulisema unamaliza leo au skuelewaEPISODE 23
Iryn alikuwa akionesha picha ambayo nilikuwa nimeipost whatsapp status nikiwa na Junior.
TUNAENDELEA….
Sikutaka mkatalia maana mimi na Junior tumefanana sana ni ngumu kukataa na pia sikutaka kukataa damu yangu. Ni dhambi kubwa sana hii ningefanya kumkana mwanangu.
Baada ya kutambua amefind out sikutaka kuendelea kuhide,
MIMI: “Yeah is my son.”
IRYN: “Why didn’t you tell me before?”.
MIMI: “Remember nilikwambia nitakusaprize, niliplan nikupeleke home sasa umeshajua mapema.”
IRYN: “Insider suala la mtoto la kunificha? Ni mambo mangapi mimi na share na wewe?
MIMI: “Iryn kumbuka nilikuahidi kukwambia siri zangu zote ilikuwa ni suala la muda tu, na nilipanga nikupeleka home kabisa ukapajue.”
IRYN: “Ni muda sana umeahidi Insider, ni mambo mangapi umeniahidi na je umeyatimiza?”
MIMI: “Sorry”
IRYN: “Mtoto yuko wapi?”
MIMI: “Yuko home”
Na muda huu Iryn aliinuka kwenye kiti kwa hasira na kuingia ndani chumbani.
Kwa upande wangu sikujua nifanyaje na pia nilijiona na hatia sana kwa kitendo cha kutomwambia hili jambo mapema, pia nilijilaumu kwa kitendo cha kupost ile picha.
Ilimchukua dakika 5 Iryn kutoka chumbani na alitoka akiwa amevaa surual ya track yenye vifungo pembeni na kishati cha kubana cha njano na mkononi alikuwa kashika card ya bank.
Na mimi nilishangaa sana kuona katoka vile akiwa amebadilika haraka sana.
IRYN: “Insider tunakwenda kwako right now.”
MIMI: “Kwangu? Now?”
IRYN: “Ndio maana yake.”
MIMI: “Sawa haina shida.”
Na mimi sikuweza kumkatalia sababu Mama J alikuwa home, sikuona tatizo kwenda naye home na niliona ni jambo jema tu, Iryn alishakuwa familia tayari kwa upande wangu.
“Insider tunapitia kwanza Mlimani city maramoja.”
Tulitoka pale kwake muda ule na hatukuweza kuzungumza kabisa njiani mpaka tunafika pale Mlimani city.
Nilipark gari na tukaelekea ndani mimi nilikuwa namfuata tu anakokwenda, na tuliingia moja kwa moja mpaka Shoppers.
Iryn alianza kununua vitu pale, alinunua maziwa ya kopo makubwa, alinunua sukari, diapers, na mazaga mengi ya kutosha. Na baada ya kumaliza pale Shoppers tulikwenda moja ya duka la watoto mle ndani na alinunua nguo za Junior za kutosha mpaka viatu.
Baada ya kumaliza shopping tuliondoka maeneo yale ya Mlimani na kuelekea home sasa. Na nilikuwa nimemtumia text Mama J aweke mazingira mazuri ya mtoto pamoja na yeye, maana narudi home na mgeni.
Kwenye mambo kama haya Mama Junior hajawai niangusha kwakweli anakuwaga chap sana kuweka mazingira vizuri.
Tulifika home mapema kabisa tulishuka kwenye gari, nikamkaribisha na nikatoa vitu kwa gari.
Niligonga mlango na dada alitoka kufungua tukaingia ndani. Baada ya dakika 3 Mama J alitoka chumbani na mtoto wakasalimiana na Iryn. Na mimi bila kupoteza muda nikafanya utambulisho, maana Mama J alikuwa kama haamini anachoona machoni mwake.
“Mama Junior huyu anaitwa Iryn ni Bossy wangu na anaishi Kijitonyama.”
Baada ya kumaliza utambulisho wa Iryn nilihamia upande mwingine,
“Iryn huyu ndo Mama Junior mke wangu na huyu ndo Junior mwenyewe uliyeona picha yake na huyu ni dada yake Junior.” Na muda huu nilikuwa nikimchukua Junior kwa mama yake.
MAMA J: “Wow Ahsante kwa kukufahamu Iryn karibu sana na jisikie uko nyumbani. Dada mletee mgeni juice kwenye glass sawa?.”
IRYN: “Ahsante sana Mama Junior kwa kukufahamu, Insider alikuwa ananificha sana, bila kuona status ya Junior leo nisingekuwa hapa kabisa. Naomba nimshike Junior mme wangu mpya kwa sasa.”
“Wow Junior is so Handsome, very charming…… eti Junior tunaondoka leo wote sindio?”
Na muda huu Junior alikuwa anatabasamu tu, Junior hanaga noma kabisa tena anapenda sana wadada. Junior alionekana kumfurahia sana Iryn wakati huu.
Story ziliendelea pale kwa muda mrefu na ndani ya muda mfupi Iryn na Mama J walikuwa kama wamefahamiana muda mrefu sana.
IRYN: “Mama Junior unajishughulisha na nini?”
MAMA J: “Mimi nasoma bado dear.”
IRYN: “Unasomea nini mpenzi?”
MAMA J: “Business Administration”
IRYN: “Wow safi sana komaa mpenzi hata mimi nimesoma hiyo course.”
MAMA J: “Napambana sana kwakweli.”
Na mimi muda huu sikutaka kuendelea kukaa seblen hivyo niliamua kuondoka kwenda chumbani ili niwaachie uwanja, wawe huru kuongea.
Baada ya dakika 10 nilitoka chumbani na Mama J akaniuliza,
MAMA J: “Baba J tunatoka kweli leo? Maana nina hamu sana.”
MIMI: “Ndio tunatoka out ngoja nimpeleke mgeni afu nikirudi tunaondoka.”
IRYN: “Guys tunatoka wote out, I’m not going anywhere.”
MIMI: “Sawa haina shida, Mama J kajiandae tutoke.”
Na muda huo Mama J alikwenda chumbani na akatuacha mimi na Iryn pale seblen.
IRYN: “Insider una mtoto mzuri sana hata mama yake pia, hongera.”
MIMI: “Thank you, ila saprize ya leo sijaipenda kabisa.”
Na muda huu Iryn alicheka kwa kimbea
IRYN: “Insider bhana huoni kama mimi leo nafuraha atlist nimeonana na familia yako. Ona Junior anavyonifurahia hapa.”
MIMI: “Sawa bhana leo umeshinda bhana.”
Na muda huo Mama J alitoka na tukaondoka pale home. Na muda huo ilikuwa saa 3 kasoro za usiku. Mama J na Iryn walikuwa wamekaa seat za nyuma kwenye gari wakiendelea kuongea na hawakuwa na habari na mimi kabisa.
Niliendesha gari mpaka pale Makonde “25 Lounge” ndo nikapark gari pale nje, tuliingia ndani na tukapiga vinywaji mpaka saa 7 usiku ndo tukaondoka pale. Kuhusu Iryn nilifanya kurequest Uber ili impeleke kwake na sisi tukarudi home kulala na Mama J.
**********
Asubuhi kama kawaida niliamka mapema na niliendelea na ratiba zangu zilezile. Nilikwenda kwa Mama wa2 kumchukua maana alikuwa amemaliza likizo yake. Nilifika pale kwake asubuhi na nikampakia, Rachel mwanaye alikuwa bado anaendelea na likizo.
MIMI: “Hivi na wewe ilikuwaje ukaomba likizo March badala ya April?”
MAMA WA2: “Insider unafikiri nilipenda sema walinipangia tu.”
MIMI: “Pole hata hivyo hii likizo imekufanya kunawiri huko ofisn wanakutolea macho sana mafisi.”
MAMA WA2: “Hahahaha Insider huishiwi vituko wewe. Afu Mke wako Pili anarudi weekend hii”
MIMI: “Akirudi nambie nije nimsalimie mke wangu.”
Na muda huo tulikuwa tushafika kwa Maggy na kumpick na tuliendelea na safari ya kwenda Posta. Mama wa2 na Maggy walikuwa washazoena na njiani walikuwa wakipiga sana story.
Niliwapeleka kila mmoja kwenye ofisi yake pale Posta na mimi nikaendelea na kazi yangu ya Uber, japo biashara ilianza kuwa ngumu kiaina sababu ya kupanda kwa nauli za Uber, maana hata wese bei ilikua ishaanza kupanda kwa kasi na ilikua kwenye 2,800 kipindi kile cha April.
Hii siku pia niliongea na Muajemi kupitia telegram na alikuwa na furaha sana ya kukutana na Iryn ile weekend. Muajemi aliniomba niendelee kumshawishi Iryn waende Zanzibar na mimi nilimuhakikishia kwamba watakwenda Zanzibar.
Ukweli ni kwamba, Muajemi alikuwa tayari kashaoza kwa Iryn, maana alikuwa anamkubali sana Iryn kupita maelezo.
Nilipiga kazi mpaka saa2 usiku nikasema acha nirudi zangu home nikalale. Wakati niko njiani nilimpigia simu Prisca ili nikirudi home asisumbue, na Prisca alikuwa kashaoza kwangu maana alikuwa haelewi.
MIMI: “Prisca naomba usajili namba nyingine maana hii wife anaijua na sitaki tugombane tena, tunaelewana?”
PRISCA: “Sawa haina shida nitafanya hivyo baba watoto.”
MIMI: “Naomba Usijaribu hata kunipigia simu usiku labda nikupigie mimi, tutakuwa tunachati kwa whatsapp.”
PRISCA: “Nimekuelewa Insider”
MIMI: “Ukivunja haya makubaliano yetu mimi na wewe tunaachana na niko serious kabisa na naomba umuheshimu Mama Junior wangu.”
PRISCA: “Insider siwezi kuvunja ahadi yangu ila naomba nimjue mama Junior hata kukutana naye, please.”
MIMI: “Suala la kuonana na Mke wangu haliwezekani Prisca tafadhali sana.”
PRISCA: “Please Insider I’ll pray smary and I promise you.”
Prisca alikuwa tayari kaoza kwa Insider maana hakuna ambacho nilimwambia akanipinga, maana alikubali mwenyewe kuwa mchepuko bila kulazimishwa.
Tuliagana na Prisca na muda huu nilikuwa nishafika home tayari, nilipark gari na nikaingia ndani.
Upande mwingine tangu Iryn aje home mimi na Mama Junior tulikuwa hatujakaa chini wala kuongea lolote maana tulirudi usiku sana na tukalala, na mimi asubuhi niliamka mapema sana na niliondoka yeye akiwa bado kalala.
Nilingia ndani na seblen alikuwa dada na mtoto nikamsalimia, nikaelekea moja kwa moja chumbani na nilimkuta wife akisoma muda ule.
MIMI: “Swahiba nakuona upo busy unakula msuli.”
WIFE: “Afu Baba J yule dada mmefahamiana wapi?”
MIMI: “Kupitia kazi hii tulifahamiana.”
WIFE: “Mhhh ulisema ni Bossy wako kivipi?”
MIMI: “Tumeingia mkataba wa kazi namsaidia mambo yake kama kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zake.”
WIFE: “Aya bhana, toka uanze hii kazi sikuelewi kabisa naona mabadiliko yako taratibu. Baba J nakuomba sana ukumbuke una mke na mtoto wana kuhitaji sana, hii kazi ni ngumu sana na huwezi kukwepa mishale yote, kuwa makini shetani yuko kazini.”
MIMI: “Mke wangu naomba uwe na amani na mimi na utoe mawazo yako mabaya kichwani, jana mlikuwa mnaongea nini?”
WIFE: “Haya kuhusu.”
Na mimi nilikwenda kuoga muda huo baada ya hapo nikaenda zangu seblen kucheza na Junior.
******
Hii week niliweza kuonana na Mary pia, maana alisema kuna jambo la kazi anataka tuzungumze jioni. Pia sikuona sababu ya kuwa mbali na Mary maana ni mteja wangu, sikuona kosa lake lolote sababu Prisca bado hajataka kumfungukia dada yake na mimi nilisema sitoweza kumwambia Mary kinachoendelea.
Niliwasiliana na Mary na tukakubaliana tuonane pale Target na hii sehem ipo nyuma kidogo upande wa kushoto kabla hujafika Roundabout ya kwenda Whitesand, kama unatokea kwa Zena.
Wakati natoka kwenye mishe zangu nilipitia pale na yeye alikuwa akinisubiri na ilikuwa ni usiku tayari. Nilifika mpaka alikokaa, tulisalimiana na muda huu mhudumu alikiwa amefika kutusikiliza tayari.
MARY: “Insider unaweza agiza kwanza.”
MIMI: “Dada niletee Pepsi ya baridi sana na portion ya mbuzi choma tu.”
“Mbuzi choma bila kitu?” Dada aliuliza
MIMI: “Ndio dada tena ufanye haraka.”
MARY: “Insider si ungekula kabisa? Ili ukifika home unalala tu.”
MIMI: “Nitakuta home wamepika haitakuwa busara na sijatoa taarifa mapema.”
Sikutaka kula kabisa pale maana ningerudi home nimeshiba ningeenda gombana na Mama J.
MARY: “Sawa haina shida, mambo yako yanakwendaje kwa ujumla?”
MIMI: “Salama nashukuru Mungu, Mary nambie exactly unajambo gani? Maana sitaki kupoteza muda hapa.”
MARY: “Insider mwezi ujao tunakwenda Mikumi National Park mimi na friends wa chuo, nataka utupeleke kule na kuturudisha.”
MIMI: “Mnakwenda lini?”
MARY: “Mwezi ujao, nimeamua kukwambia mapema ili ujipange.”
MIMI: “Sawa haina shida nitalifanyia kazi na tutaendelea kuwasiliana.”
MARY: “Insider please, Don’t let me down.”
MIMI: “Usijali kuna lingine nje na hili? Maana nataka nirudi home mapema nikalale.”
MARY: “Ni hilo tu na pia nili miss kukuona.”
MIMI: “Ahsante mimi mzima wa afya kama unavyoniona hapa. Twende nikudrop pale kwa Zena afu utachukua boda kwenu mimi siendi.”
MARY: “It’s okay, lets go.”
Tuliondoka pale na nilimshusha Mary pale kwa Zena akachukua boda bodaboda kwenda kwao. Kutoka kwa Zena mpaka kwao hata sio mbali ni ni karibu sana.
Baada ya kurudi home wife aliomba nimpeleke Junior clinic yeye angekua chuo na dada bado mgeni hamwamini kumuachia mtoto kwenda naye clinic, hivyo nilimwambia nitampeleka mimi asiwe na wasiwasi.
Ijumaa asubuhi niliwapeleka Maggy na Mama wa2 Posta na baada ya hapo nilirudi home mapema ili nimpeleke Junior clinic. Baada ya kurudi nyumbani tuliondoka na dada kwenda clinic na tulikwenda Rabininsia hospital ya kule Tegeta.
Tuliwasili pale hospital sababu taratibu zote za pale nazifahamu hata sikupata shida, maana haikuwa mara yangu ya kwanza kumpeleka mtoto clinic. Niliambiwa na nurse Junior alikuwa na sindano ya kuchoma na baada ya kumaliza taratibu zote za clinic tulirudi home. Lakini tulipitia pale Tegeta Sokoni na nikanunua baadhi ya mahitaji ya nyumbani.
Hii siku mimi sikutoka kabisa nilishinda home nikicheza na Junior wangu. Nilisema nitulie ili badae nitoke na Iryn maana alisema kuanzia weekend hii tungeanza kazi.
Nilimpigia simu Iryn ili kumwuliza kama ratiba zinaendelea ama laah!, lakini hakupokea simu yangu, nikampigia tena kwa mara ya pili lakini haikupokelewa, bhasi nikasema atakuwa busy na atanirudia.
Ukweli ni kwamba toka ile jumapili tuachane na Iryn pale 25 lounge hatukuwa na mawasiliano yoyote na mimi nilikuwa najua kama kungekuwa na kazi lazima angenicheki tu.
Nilikaa mpaka jioni pale home lakini sikuweza kupata taarifa yoyote kutoka kwa Iryn na mimi sikutaka kumpigia simu tena muda ule, maana niliona dharau simu mbili hajaziona?. Na siku ikaisha kihivyo bila kufanya kazi kabisa.
Jumamosi pia sikutoka kwenda mzigoni maana nilikuwa na mgeni ambaye ni Tyna alikuja kunisalimia na familia yangu na alisema angeshinda siku nzima na sisi nyumbani. Nilimpasha taarifa Mama J kuhusu ugeni na yeye alikuwa na bashasha ya kumjua mgeni atakaye kuja.
Saa 3 asubuhi Tyna aliwasili pale home maana nilimtumia location kwa whatsapp, nilimkaribisha ndani na alikuwa kaja na zawadi za Junior za kutosha.
Pale seblen nilifanya utambulisho na nilimtambulisha Tyna kwa Wife kuwa ni rafiki kipenzi wa dada yangu, na upande mwingine Tyna alifurahi sana kumjua wifi wake, na mimi niliwaacha waendelee na mazungumzo yao.
Mchana Msomali alinipigia simu akanambia tuonane jioni kuanzia saa 11 pale Seacliff Hotel na alisisitiza sana niwe on-time. Na mimi nilimwambia baada ya lisaa nitakuwa na majibu, lengo langu ni comfirm kama kuna kazi kwa Iryn.
Kwenye saa 10 jioni nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea simu yangu, nilipiga tena baada ya dakika 20 lakini hakupokea. Niliamua kumtumia text lakini pia haikujibiwa kabisa, bhasi nikasema something wrong.
Niliwaza pale Iryn hajawai kuwa na tabia ya kutopokea simu zangu na kama akikuta missed call lazima anirudie, toka jana hajanirudia na leo hapokei simu zangu kuna nini?.
“Au hajapenda kujua mimi nina mke na mtoto?”
Upande mwingine niliwaza maybe anaweza kuwa na matatizo hivyo nikaplan nitakwenda kwake kumwona. Na muda huu nilimpigia simu Msomali kwamba nitakwenda kuonana naye na akasema yeye yupo nikifika nimjulishe.
Tulikaa na Tyna mpaka jioni saa 11 ndo akaaga na kabla hajaondoka alifanya maombi pale na akaomba next time sisi twende kwake tukatembee na tulimuhakikishia tutakwenda kumtembelea.
Tuliondoka pale home tukiwa tumeongozana barabarani mpaka mwenge ndo tukaachana, maana mimi niliendelea na Bagamoyo road na yeye alikata kwenda na Sam nujoma Road.
Nilifika Seacliff Hotel saa 12 jioni na nilimpigia simu Msomali baada ya kufika lakini hakupokea na akanitext chap,
“Have you arrived yet?”
“Yes Bossy”
“Wait for me I’m coming soon.”
Niliendelea kumsubiri pale na muda huu nilikuwa nimekaa kwenye kibench mitaa ileile nikipiga story na wamasai. Nilikuwa nimeshazoeana nao sana Wamasai wa eneo lile na ni marafiki zangu mpaka sasa.
Nilisubiri sana pale lakini Msomali hakuwa na dalili za kutoka na muda huo ilikuwa saa2 na nusu tayari. Niliwaza pale nimtext? maana niliona Msomali ananichomesha mahindi tu afu hatokei na kaniweka masaa 2 tayari.
Saa 3 ndo alinipigia simu akaniuliza niko wapi na mimi nikamwambia niko nje kabisa ya parking karibu na bango la Casino, Msomali akanambia niingize gari kwenye parking ndani. Nilisikiliza anachosema na nikaingiza gari parking za ndani, na baada ya dakika 10 alikuwa amefika nilikokuwa nimepark gari, na aliingia akakaa siti za nyuma.
MSOMALI: “Bro kwanza niombe Samahani kwa kukuweka sana hapa.”
MIMI: “Umeniweka masaa 3 hapa bora hata ungenambia nichelewe kuja aseee.”
MSOMALI: “Nilikuwa na kikao na ndugu zangu, ndo hao wanatoka hata wewe umechelewa kuja.”
Muda huu nilliziona gari mbili za Landcruiser VX zikitoka maeneo yale, ambao ndo alikuwa nao.
MIMI: “Sawa haina shida, what kind of deal you wanted to share with me?”
MSOMALI: “Insider unajua wewe Nyota yako ni kali sana.”
Maneno ya Msomali yanifanya nishtuke kidogo maana ndo nilikuwa nasikia kwa mara ya kwanza kutoka kwake.
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
MSOMALI: “Bro una nyota nzuri sana ila sema hujajua namna ya kuitumia tu, pia una kismart cha kupendwa na watu. Nambie hapa kama nadanganya Insider.
Niliamua kunyamaza tu maana maneno aliyokuwa anaongea ni kama yalikuwa na ukweli, maana kwenye kazi hii nilikuwa nakutana na watu wengi sana na walikuwa wanakubali sana mpaka sasa. Nilikuwa napata wateja wengi sana ambao walikuwa wanataka niwe nawafata asubuhi na kuwapeleka kazini, na wapo ambao walikuwa wanataka niwe nawafata kazini na kuwarudisha nyumbani. Lakini kutokana na kuwa na wateja wawili (2) wa asubuhi deals nyingi nilizipiga chini na zingine nilikuwa wanaunganishia watu wengine.
Ukija pale Posta nilikuwa nafanya kazi na wafanyakazi wengi sana hasa wa bank na wengi walikua Ma-loan officer, walikuwa wananipigia simu na wanaweka order mapema, nimezunguka nao sana kule Kariakoo kwenye makampuni mbalimbali na sehemu nyingi sana. Haya ni matukio ambayo sikutaka kuyaandika maana ni mengi sana, na nilizoeana na watu wengi kwa muda mfupi kupitia Uber.
Sikutaka kubishana naye maana najua Wasomali haya mambo ya Nyota wanayajua vizuri. Lakini mimi niliamini sana kwenye kusali na kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
MIMI: “Unavyosema sijui namna ya kuitumia nyota yangu unamaanisha nini?”
MSOMALI: “Insider wewe endelea kumwomba Mwenyezi Mungu akuongoze atakuonesha njia sahihi.”
MIMI: “Ni kweli unachosema Mungu ndo kila kitu. Naona muda unakwenda kuna ishu gani?”
Muda huu Msomali alitoa bahasha kwenye bag lake “Duffel bag” na akanikabidhi muda ule. Ndani ya bahasha kulikuwa na kibox cha mstatili chenye ukubwa wa A4 na upana wa nchi nne hivi tena kilikuwa cheusi.
MIMI: “Bro ni nini hiki?”
MSOMALI: “Bro deal lenyewe ndo hilo sasa, nataka utajirike na wewe, hapa duniani hakuna anayefanikiwa bila kuvunja sheria, hawa matajiri unaowaona hakuna asiyefanya “shady dealings” au “Contrabands”. (Alinitamkia hayo maneno vivyo hivyo, unaweza kugoogle maana zake)
MIMI: “Unataka kusema hili ni bomu?”
MSOMALI: “Exactly nataka upeleke hilo bomu Posta haraka na urudi tuje tuongee mipango mingine.”
Na muda huu Msomali alitoa card kwenye gari ambayo ilikua na taarifa zote (Location Details) za mzigo unakotakiwa kwenda ambapo ni Posta na akatoa noti za dollar 100, baada ya kuzi hesabu zilikuwa ni noti 30 ambazo ni sawa na $3,000.
“Nataka upeleke huu mzigo haraka ukifika hapo wewe gonga mlango kuna mtu atapokea na navyoongea hapa na wewe yuko anasubiri huu mzigo now. ARE YOU IN OR OUT?.”
Muda huu nilikuwa sijui niseme nini maana nilikuwa nahitaji pesa kwa njia yoyote ile na nilikuwa nashida na pesa tena sana. Japo sikujua ndani kuna Bom gani ila nilikuwa bado niko Dilemma nilikubali lile Bom au nilikatae.
Na muda huo huo nikiwa kwenye mawazo ni maamuzi gani niyachukue dhidi ya Msomali nilipokea text kutoka kwa Iryn….
“Insider mambo I was very busy ila naomba kuterminate mkataba na wewe mwisho wa mwezi huu.”
Na muda huu nilihisi kuchanganyikiwa mara 2 hata Msomali aliona mabadiliko yangu pale, nilijikuta niko kwenye wakati mgumu sana.”
TO BE CONTINUED
&
GOOD NIGHT FANS.
Hiii story mambo ya mabomu yanaweza kukuweka matatani mkuu na pia umedai ni story ya kwel , kila la kheriEPISODE 23
Iryn alikuwa akionesha picha ambayo nilikuwa nimeipost whatsapp status nikiwa na Junior.
TUNAENDELEA….
Sikutaka mkatalia maana mimi na Junior tumefanana sana ni ngumu kukataa na pia sikutaka kukataa damu yangu. Ni dhambi kubwa sana hii ningefanya kumkana mwanangu.
Baada ya kutambua amefind out sikutaka kuendelea kuhide,
MIMI: “Yeah is my son.”
IRYN: “Why didn’t you tell me before?”.
MIMI: “Remember nilikwambia nitakusaprize, niliplan nikupeleke home sasa umeshajua mapema.”
IRYN: “Insider suala la mtoto la kunificha? Ni mambo mangapi mimi na share na wewe?
MIMI: “Iryn kumbuka nilikuahidi kukwambia siri zangu zote ilikuwa ni suala la muda tu, na nilipanga nikupeleka home kabisa ukapajue.”
IRYN: “Ni muda sana umeahidi Insider, ni mambo mangapi umeniahidi na je umeyatimiza?”
MIMI: “Sorry”
IRYN: “Mtoto yuko wapi?”
MIMI: “Yuko home”
Na muda huu Iryn aliinuka kwenye kiti kwa hasira na kuingia ndani chumbani.
Kwa upande wangu sikujua nifanyaje na pia nilijiona na hatia sana kwa kitendo cha kutomwambia hili jambo mapema, pia nilijilaumu kwa kitendo cha kupost ile picha.
Ilimchukua dakika 5 Iryn kutoka chumbani na alitoka akiwa amevaa surual ya track yenye vifungo pembeni na kishati cha kubana cha njano na mkononi alikuwa kashika card ya bank.
Na mimi nilishangaa sana kuona katoka vile akiwa amebadilika haraka sana.
IRYN: “Insider tunakwenda kwako right now.”
MIMI: “Kwangu? Now?”
IRYN: “Ndio maana yake.”
MIMI: “Sawa haina shida.”
Na mimi sikuweza kumkatalia sababu Mama J alikuwa home, sikuona tatizo kwenda naye home na niliona ni jambo jema tu, Iryn alishakuwa familia tayari kwa upande wangu.
“Insider tunapitia kwanza Mlimani city maramoja.”
Tulitoka pale kwake muda ule na hatukuweza kuzungumza kabisa njiani mpaka tunafika pale Mlimani city.
Nilipark gari na tukaelekea ndani mimi nilikuwa namfuata tu anakokwenda, na tuliingia moja kwa moja mpaka Shoppers.
Iryn alianza kununua vitu pale, alinunua maziwa ya kopo makubwa, alinunua sukari, diapers, na mazaga mengi ya kutosha. Na baada ya kumaliza pale Shoppers tulikwenda moja ya duka la watoto mle ndani na alinunua nguo za Junior za kutosha mpaka viatu.
Baada ya kumaliza shopping tuliondoka maeneo yale ya Mlimani na kuelekea home sasa. Na nilikuwa nimemtumia text Mama J aweke mazingira mazuri ya mtoto pamoja na yeye, maana narudi home na mgeni.
Kwenye mambo kama haya Mama Junior hajawai niangusha kwakweli anakuwaga chap sana kuweka mazingira vizuri.
Tulifika home mapema kabisa tulishuka kwenye gari, nikamkaribisha na nikatoa vitu kwa gari.
Niligonga mlango na dada alitoka kufungua tukaingia ndani. Baada ya dakika 3 Mama J alitoka chumbani na mtoto wakasalimiana na Iryn. Na mimi bila kupoteza muda nikafanya utambulisho, maana Mama J alikuwa kama haamini anachoona machoni mwake.
“Mama Junior huyu anaitwa Iryn ni Bossy wangu na anaishi Kijitonyama.”
Baada ya kumaliza utambulisho wa Iryn nilihamia upande mwingine,
“Iryn huyu ndo Mama Junior mke wangu na huyu ndo Junior mwenyewe uliyeona picha yake na huyu ni dada yake Junior.” Na muda huu nilikuwa nikimchukua Junior kwa mama yake.
MAMA J: “Wow Ahsante kwa kukufahamu Iryn karibu sana na jisikie uko nyumbani. Dada mletee mgeni juice kwenye glass sawa?.”
IRYN: “Ahsante sana Mama Junior kwa kukufahamu, Insider alikuwa ananificha sana, bila kuona status ya Junior leo nisingekuwa hapa kabisa. Naomba nimshike Junior mme wangu mpya kwa sasa.”
“Wow Junior is so Handsome, very charming…… eti Junior tunaondoka leo wote sindio?”
Na muda huu Junior alikuwa anatabasamu tu, Junior hanaga noma kabisa tena anapenda sana wadada. Junior alionekana kumfurahia sana Iryn wakati huu.
Story ziliendelea pale kwa muda mrefu na ndani ya muda mfupi Iryn na Mama J walikuwa kama wamefahamiana muda mrefu sana.
IRYN: “Mama Junior unajishughulisha na nini?”
MAMA J: “Mimi nasoma bado dear.”
IRYN: “Unasomea nini mpenzi?”
MAMA J: “Business Administration”
IRYN: “Wow safi sana komaa mpenzi hata mimi nimesoma hiyo course.”
MAMA J: “Napambana sana kwakweli.”
Na mimi muda huu sikutaka kuendelea kukaa seblen hivyo niliamua kuondoka kwenda chumbani ili niwaachie uwanja, wawe huru kuongea.
Baada ya dakika 10 nilitoka chumbani na Mama J akaniuliza,
MAMA J: “Baba J tunatoka kweli leo? Maana nina hamu sana.”
MIMI: “Ndio tunatoka out ngoja nimpeleke mgeni afu nikirudi tunaondoka.”
IRYN: “Guys tunatoka wote out, I’m not going anywhere.”
MIMI: “Sawa haina shida, Mama J kajiandae tutoke.”
Na muda huo Mama J alikwenda chumbani na akatuacha mimi na Iryn pale seblen.
IRYN: “Insider una mtoto mzuri sana hata mama yake pia, hongera.”
MIMI: “Thank you, ila saprize ya leo sijaipenda kabisa.”
Na muda huu Iryn alicheka kwa kimbea
IRYN: “Insider bhana huoni kama mimi leo nafuraha atlist nimeonana na familia yako. Ona Junior anavyonifurahia hapa.”
MIMI: “Sawa bhana leo umeshinda bhana.”
Na muda huo Mama J alitoka na tukaondoka pale home. Na muda huo ilikuwa saa 3 kasoro za usiku. Mama J na Iryn walikuwa wamekaa seat za nyuma kwenye gari wakiendelea kuongea na hawakuwa na habari na mimi kabisa.
Niliendesha gari mpaka pale Makonde “25 Lounge” ndo nikapark gari pale nje, tuliingia ndani na tukapiga vinywaji mpaka saa 7 usiku ndo tukaondoka pale. Kuhusu Iryn nilifanya kurequest Uber ili impeleke kwake na sisi tukarudi home kulala na Mama J.
**********
Asubuhi kama kawaida niliamka mapema na niliendelea na ratiba zangu zilezile. Nilikwenda kwa Mama wa2 kumchukua maana alikuwa amemaliza likizo yake. Nilifika pale kwake asubuhi na nikampakia, Rachel mwanaye alikuwa bado anaendelea na likizo.
MIMI: “Hivi na wewe ilikuwaje ukaomba likizo March badala ya April?”
MAMA WA2: “Insider unafikiri nilipenda sema walinipangia tu.”
MIMI: “Pole hata hivyo hii likizo imekufanya kunawiri huko ofisn wanakutolea macho sana mafisi.”
MAMA WA2: “Hahahaha Insider huishiwi vituko wewe. Afu Mke wako Pili anarudi weekend hii”
MIMI: “Akirudi nambie nije nimsalimie mke wangu.”
Na muda huo tulikuwa tushafika kwa Maggy na kumpick na tuliendelea na safari ya kwenda Posta. Mama wa2 na Maggy walikuwa washazoena na njiani walikuwa wakipiga sana story.
Niliwapeleka kila mmoja kwenye ofisi yake pale Posta na mimi nikaendelea na kazi yangu ya Uber, japo biashara ilianza kuwa ngumu kiaina sababu ya kupanda kwa nauli za Uber, maana hata wese bei ilikua ishaanza kupanda kwa kasi na ilikua kwenye 2,800 kipindi kile cha April.
Hii siku pia niliongea na Muajemi kupitia telegram na alikuwa na furaha sana ya kukutana na Iryn ile weekend. Muajemi aliniomba niendelee kumshawishi Iryn waende Zanzibar na mimi nilimuhakikishia kwamba watakwenda Zanzibar.
Ukweli ni kwamba, Muajemi alikuwa tayari kashaoza kwa Iryn, maana alikuwa anamkubali sana Iryn kupita maelezo.
Nilipiga kazi mpaka saa2 usiku nikasema acha nirudi zangu home nikalale. Wakati niko njiani nilimpigia simu Prisca ili nikirudi home asisumbue, na Prisca alikuwa kashaoza kwangu maana alikuwa haelewi.
MIMI: “Prisca naomba usajili namba nyingine maana hii wife anaijua na sitaki tugombane tena, tunaelewana?”
PRISCA: “Sawa haina shida nitafanya hivyo baba watoto.”
MIMI: “Naomba Usijaribu hata kunipigia simu usiku labda nikupigie mimi, tutakuwa tunachati kwa whatsapp.”
PRISCA: “Nimekuelewa Insider”
MIMI: “Ukivunja haya makubaliano yetu mimi na wewe tunaachana na niko serious kabisa na naomba umuheshimu Mama Junior wangu.”
PRISCA: “Insider siwezi kuvunja ahadi yangu ila naomba nimjue mama Junior hata kukutana naye, please.”
MIMI: “Suala la kuonana na Mke wangu haliwezekani Prisca tafadhali sana.”
PRISCA: “Please Insider I’ll pray smary and I promise you.”
Prisca alikuwa tayari kaoza kwa Insider maana hakuna ambacho nilimwambia akanipinga, maana alikubali mwenyewe kuwa mchepuko bila kulazimishwa.
Tuliagana na Prisca na muda huu nilikuwa nishafika home tayari, nilipark gari na nikaingia ndani.
Upande mwingine tangu Iryn aje home mimi na Mama Junior tulikuwa hatujakaa chini wala kuongea lolote maana tulirudi usiku sana na tukalala, na mimi asubuhi niliamka mapema sana na niliondoka yeye akiwa bado kalala.
Nilingia ndani na seblen alikuwa dada na mtoto nikamsalimia, nikaelekea moja kwa moja chumbani na nilimkuta wife akisoma muda ule.
MIMI: “Swahiba nakuona upo busy unakula msuli.”
WIFE: “Afu Baba J yule dada mmefahamiana wapi?”
MIMI: “Kupitia kazi hii tulifahamiana.”
WIFE: “Mhhh ulisema ni Bossy wako kivipi?”
MIMI: “Tumeingia mkataba wa kazi namsaidia mambo yake kama kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zake.”
WIFE: “Aya bhana, toka uanze hii kazi sikuelewi kabisa naona mabadiliko yako taratibu. Baba J nakuomba sana ukumbuke una mke na mtoto wana kuhitaji sana, hii kazi ni ngumu sana na huwezi kukwepa mishale yote, kuwa makini shetani yuko kazini.”
MIMI: “Mke wangu naomba uwe na amani na mimi na utoe mawazo yako mabaya kichwani, jana mlikuwa mnaongea nini?”
WIFE: “Haya kuhusu.”
Na mimi nilikwenda kuoga muda huo baada ya hapo nikaenda zangu seblen kucheza na Junior.
******
Hii week niliweza kuonana na Mary pia, maana alisema kuna jambo la kazi anataka tuzungumze jioni. Pia sikuona sababu ya kuwa mbali na Mary maana ni mteja wangu, sikuona kosa lake lolote sababu Prisca bado hajataka kumfungukia dada yake na mimi nilisema sitoweza kumwambia Mary kinachoendelea.
Niliwasiliana na Mary na tukakubaliana tuonane pale Target na hii sehem ipo nyuma kidogo upande wa kushoto kabla hujafika Roundabout ya kwenda Whitesand, kama unatokea kwa Zena.
Wakati natoka kwenye mishe zangu nilipitia pale na yeye alikuwa akinisubiri na ilikuwa ni usiku tayari. Nilifika mpaka alikokaa, tulisalimiana na muda huu mhudumu alikiwa amefika kutusikiliza tayari.
MARY: “Insider unaweza agiza kwanza.”
MIMI: “Dada niletee Pepsi ya baridi sana na portion ya mbuzi choma tu.”
“Mbuzi choma bila kitu?” Dada aliuliza
MIMI: “Ndio dada tena ufanye haraka.”
MARY: “Insider si ungekula kabisa? Ili ukifika home unalala tu.”
MIMI: “Nitakuta home wamepika haitakuwa busara na sijatoa taarifa mapema.”
Sikutaka kula kabisa pale maana ningerudi home nimeshiba ningeenda gombana na Mama J.
MARY: “Sawa haina shida, mambo yako yanakwendaje kwa ujumla?”
MIMI: “Salama nashukuru Mungu, Mary nambie exactly unajambo gani? Maana sitaki kupoteza muda hapa.”
MARY: “Insider mwezi ujao tunakwenda Mikumi National Park mimi na friends wa chuo, nataka utupeleke kule na kuturudisha.”
MIMI: “Mnakwenda lini?”
MARY: “Mwezi ujao, nimeamua kukwambia mapema ili ujipange.”
MIMI: “Sawa haina shida nitalifanyia kazi na tutaendelea kuwasiliana.”
MARY: “Insider please, Don’t let me down.”
MIMI: “Usijali kuna lingine nje na hili? Maana nataka nirudi home mapema nikalale.”
MARY: “Ni hilo tu na pia nili miss kukuona.”
MIMI: “Ahsante mimi mzima wa afya kama unavyoniona hapa. Twende nikudrop pale kwa Zena afu utachukua boda kwenu mimi siendi.”
MARY: “It’s okay, lets go.”
Tuliondoka pale na nilimshusha Mary pale kwa Zena akachukua boda bodaboda kwenda kwao. Kutoka kwa Zena mpaka kwao hata sio mbali ni ni karibu sana.
Baada ya kurudi home wife aliomba nimpeleke Junior clinic yeye angekua chuo na dada bado mgeni hamwamini kumuachia mtoto kwenda naye clinic, hivyo nilimwambia nitampeleka mimi asiwe na wasiwasi.
Ijumaa asubuhi niliwapeleka Maggy na Mama wa2 Posta na baada ya hapo nilirudi home mapema ili nimpeleke Junior clinic. Baada ya kurudi nyumbani tuliondoka na dada kwenda clinic na tulikwenda Rabininsia hospital ya kule Tegeta.
Tuliwasili pale hospital sababu taratibu zote za pale nazifahamu hata sikupata shida, maana haikuwa mara yangu ya kwanza kumpeleka mtoto clinic. Niliambiwa na nurse Junior alikuwa na sindano ya kuchoma na baada ya kumaliza taratibu zote za clinic tulirudi home. Lakini tulipitia pale Tegeta Sokoni na nikanunua baadhi ya mahitaji ya nyumbani.
Hii siku mimi sikutoka kabisa nilishinda home nikicheza na Junior wangu. Nilisema nitulie ili badae nitoke na Iryn maana alisema kuanzia weekend hii tungeanza kazi.
Nilimpigia simu Iryn ili kumwuliza kama ratiba zinaendelea ama laah!, lakini hakupokea simu yangu, nikampigia tena kwa mara ya pili lakini haikupokelewa, bhasi nikasema atakuwa busy na atanirudia.
Ukweli ni kwamba toka ile jumapili tuachane na Iryn pale 25 lounge hatukuwa na mawasiliano yoyote na mimi nilikuwa najua kama kungekuwa na kazi lazima angenicheki tu.
Nilikaa mpaka jioni pale home lakini sikuweza kupata taarifa yoyote kutoka kwa Iryn na mimi sikutaka kumpigia simu tena muda ule, maana niliona dharau simu mbili hajaziona?. Na siku ikaisha kihivyo bila kufanya kazi kabisa.
Jumamosi pia sikutoka kwenda mzigoni maana nilikuwa na mgeni ambaye ni Tyna alikuja kunisalimia na familia yangu na alisema angeshinda siku nzima na sisi nyumbani. Nilimpasha taarifa Mama J kuhusu ugeni na yeye alikuwa na bashasha ya kumjua mgeni atakaye kuja.
Saa 3 asubuhi Tyna aliwasili pale home maana nilimtumia location kwa whatsapp, nilimkaribisha ndani na alikuwa kaja na zawadi za Junior za kutosha.
Pale seblen nilifanya utambulisho na nilimtambulisha Tyna kwa Wife kuwa ni rafiki kipenzi wa dada yangu, na upande mwingine Tyna alifurahi sana kumjua wifi wake, na mimi niliwaacha waendelee na mazungumzo yao.
Mchana Msomali alinipigia simu akanambia tuonane jioni kuanzia saa 11 pale Seacliff Hotel na alisisitiza sana niwe on-time. Na mimi nilimwambia baada ya lisaa nitakuwa na majibu, lengo langu ni comfirm kama kuna kazi kwa Iryn.
Kwenye saa 10 jioni nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea simu yangu, nilipiga tena baada ya dakika 20 lakini hakupokea. Niliamua kumtumia text lakini pia haikujibiwa kabisa, bhasi nikasema something wrong.
Niliwaza pale Iryn hajawai kuwa na tabia ya kutopokea simu zangu na kama akikuta missed call lazima anirudie, toka jana hajanirudia na leo hapokei simu zangu kuna nini?.
“Au hajapenda kujua mimi nina mke na mtoto?”
Upande mwingine niliwaza maybe anaweza kuwa na matatizo hivyo nikaplan nitakwenda kwake kumwona. Na muda huu nilimpigia simu Msomali kwamba nitakwenda kuonana naye na akasema yeye yupo nikifika nimjulishe.
Tulikaa na Tyna mpaka jioni saa 11 ndo akaaga na kabla hajaondoka alifanya maombi pale na akaomba next time sisi twende kwake tukatembee na tulimuhakikishia tutakwenda kumtembelea.
Tuliondoka pale home tukiwa tumeongozana barabarani mpaka mwenge ndo tukaachana, maana mimi niliendelea na Bagamoyo road na yeye alikata kwenda na Sam nujoma Road.
Nilifika Seacliff Hotel saa 12 jioni na nilimpigia simu Msomali baada ya kufika lakini hakupokea na akanitext chap,
“Have you arrived yet?”
“Yes Bossy”
“Wait for me I’m coming soon.”
Niliendelea kumsubiri pale na muda huu nilikuwa nimekaa kwenye kibench mitaa ileile nikipiga story na wamasai. Nilikuwa nimeshazoeana nao sana Wamasai wa eneo lile na ni marafiki zangu mpaka sasa.
Nilisubiri sana pale lakini Msomali hakuwa na dalili za kutoka na muda huo ilikuwa saa2 na nusu tayari. Niliwaza pale nimtext? maana niliona Msomali ananichomesha mahindi tu afu hatokei na kaniweka masaa 2 tayari.
Saa 3 ndo alinipigia simu akaniuliza niko wapi na mimi nikamwambia niko nje kabisa ya parking karibu na bango la Casino, Msomali akanambia niingize gari kwenye parking ndani. Nilisikiliza anachosema na nikaingiza gari parking za ndani, na baada ya dakika 10 alikuwa amefika nilikokuwa nimepark gari, na aliingia akakaa siti za nyuma.
MSOMALI: “Bro kwanza niombe Samahani kwa kukuweka sana hapa.”
MIMI: “Umeniweka masaa 3 hapa bora hata ungenambia nichelewe kuja aseee.”
MSOMALI: “Nilikuwa na kikao na ndugu zangu, ndo hao wanatoka hata wewe umechelewa kuja.”
Muda huu nilliziona gari mbili za Landcruiser VX zikitoka maeneo yale, ambao ndo alikuwa nao.
MIMI: “Sawa haina shida, what kind of deal you wanted to share with me?”
MSOMALI: “Insider unajua wewe Nyota yako ni kali sana.”
Maneno ya Msomali yanifanya nishtuke kidogo maana ndo nilikuwa nasikia kwa mara ya kwanza kutoka kwake.
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
MSOMALI: “Bro una nyota nzuri sana ila sema hujajua namna ya kuitumia tu, pia una kismart cha kupendwa na watu. Nambie hapa kama nadanganya Insider.
Niliamua kunyamaza tu maana maneno aliyokuwa anaongea ni kama yalikuwa na ukweli, maana kwenye kazi hii nilikuwa nakutana na watu wengi sana na walikuwa wanakubali sana mpaka sasa. Nilikuwa napata wateja wengi sana ambao walikuwa wanataka niwe nawafata asubuhi na kuwapeleka kazini, na wapo ambao walikuwa wanataka niwe nawafata kazini na kuwarudisha nyumbani. Lakini kutokana na kuwa na wateja wawili (2) wa asubuhi deals nyingi nilizipiga chini na zingine nilikuwa wanaunganishia watu wengine.
Ukija pale Posta nilikuwa nafanya kazi na wafanyakazi wengi sana hasa wa bank na wengi walikua Ma-loan officer, walikuwa wananipigia simu na wanaweka order mapema, nimezunguka nao sana kule Kariakoo kwenye makampuni mbalimbali na sehemu nyingi sana. Haya ni matukio ambayo sikutaka kuyaandika maana ni mengi sana, na nilizoeana na watu wengi kwa muda mfupi kupitia Uber.
Sikutaka kubishana naye maana najua Wasomali haya mambo ya Nyota wanayajua vizuri. Lakini mimi niliamini sana kwenye kusali na kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
MIMI: “Unavyosema sijui namna ya kuitumia nyota yangu unamaanisha nini?”
MSOMALI: “Insider wewe endelea kumwomba Mwenyezi Mungu akuongoze atakuonesha njia sahihi.”
MIMI: “Ni kweli unachosema Mungu ndo kila kitu. Naona muda unakwenda kuna ishu gani?”
Muda huu Msomali alitoa bahasha kwenye bag lake “Duffel bag” na akanikabidhi muda ule. Ndani ya bahasha kulikuwa na kibox cha mstatili chenye ukubwa wa A4 na upana wa nchi nne hivi tena kilikuwa cheusi.
MIMI: “Bro ni nini hiki?”
MSOMALI: “Bro deal lenyewe ndo hilo sasa, nataka utajirike na wewe, hapa duniani hakuna anayefanikiwa bila kuvunja sheria, hawa matajiri unaowaona hakuna asiyefanya “shady dealings” au “Contrabands”. (Alinitamkia hayo maneno vivyo hivyo, unaweza kugoogle maana zake)
MIMI: “Unataka kusema hili ni bomu?”
MSOMALI: “Exactly nataka upeleke hilo bomu Posta haraka na urudi tuje tuongee mipango mingine.”
Na muda huu Msomali alitoa card kwenye gari ambayo ilikua na taarifa zote (Location Details) za mzigo unakotakiwa kwenda ambapo ni Posta na akatoa noti za dollar 100, baada ya kuzi hesabu zilikuwa ni noti 30 ambazo ni sawa na $3,000.
“Nataka upeleke huu mzigo haraka ukifika hapo wewe gonga mlango kuna mtu atapokea na navyoongea hapa na wewe yuko anasubiri huu mzigo now. ARE YOU IN OR OUT?.”
Muda huu nilikuwa sijui niseme nini maana nilikuwa nahitaji pesa kwa njia yoyote ile na nilikuwa nashida na pesa tena sana. Japo sikujua ndani kuna Bom gani ila nilikuwa bado niko Dilemma nilikubali lile Bom au nilikatae.
Na muda huo huo nikiwa kwenye mawazo ni maamuzi gani niyachukue dhidi ya Msomali nilipokea text kutoka kwa Iryn….
“Insider mambo I was very busy ila naomba kuterminate mkataba na wewe mwisho wa mwezi huu.”
Na muda huu nilihisi kuchanganyikiwa mara 2 hata Msomali aliona mabadiliko yangu pale, nilijikuta niko kwenye wakati mgumu sana.”
TO BE CONTINUED
&
GOOD NIGHT FANS.
Kuna wakt mwingine una akili ila smtm unakuwa mjinga zumbukuku kbsaHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Mmmh, Iryn usitufanyie hivoo..EPISODE 23
Iryn alikuwa akionesha picha ambayo nilikuwa nimeipost whatsapp status nikiwa na Junior.
TUNAENDELEA….
Sikutaka mkatalia maana mimi na Junior tumefanana sana ni ngumu kukataa na pia sikutaka kukataa damu yangu. Ni dhambi kubwa sana hii ningefanya kumkana mwanangu.
Baada ya kutambua amefind out sikutaka kuendelea kuhide,
MIMI: “Yeah is my son.”
IRYN: “Why didn’t you tell me before?”.
MIMI: “Remember nilikwambia nitakusaprize, niliplan nikupeleke home sasa umeshajua mapema.”
IRYN: “Insider suala la mtoto la kunificha? Ni mambo mangapi mimi na share na wewe?
MIMI: “Iryn kumbuka nilikuahidi kukwambia siri zangu zote ilikuwa ni suala la muda tu, na nilipanga nikupeleka home kabisa ukapajue.”
IRYN: “Ni muda sana umeahidi Insider, ni mambo mangapi umeniahidi na je umeyatimiza?”
MIMI: “Sorry”
IRYN: “Mtoto yuko wapi?”
MIMI: “Yuko home”
Na muda huu Iryn aliinuka kwenye kiti kwa hasira na kuingia ndani chumbani.
Kwa upande wangu sikujua nifanyaje na pia nilijiona na hatia sana kwa kitendo cha kutomwambia hili jambo mapema, pia nilijilaumu kwa kitendo cha kupost ile picha.
Ilimchukua dakika 5 Iryn kutoka chumbani na alitoka akiwa amevaa surual ya track yenye vifungo pembeni na kishati cha kubana cha njano na mkononi alikuwa kashika card ya bank.
Na mimi nilishangaa sana kuona katoka vile akiwa amebadilika haraka sana.
IRYN: “Insider tunakwenda kwako right now.”
MIMI: “Kwangu? Now?”
IRYN: “Ndio maana yake.”
MIMI: “Sawa haina shida.”
Na mimi sikuweza kumkatalia sababu Mama J alikuwa home, sikuona tatizo kwenda naye home na niliona ni jambo jema tu, Iryn alishakuwa familia tayari kwa upande wangu.
“Insider tunapitia kwanza Mlimani city maramoja.”
Tulitoka pale kwake muda ule na hatukuweza kuzungumza kabisa njiani mpaka tunafika pale Mlimani city.
Nilipark gari na tukaelekea ndani mimi nilikuwa namfuata tu anakokwenda, na tuliingia moja kwa moja mpaka Shoppers.
Iryn alianza kununua vitu pale, alinunua maziwa ya kopo makubwa, alinunua sukari, diapers, na mazaga mengi ya kutosha. Na baada ya kumaliza pale Shoppers tulikwenda moja ya duka la watoto mle ndani na alinunua nguo za Junior za kutosha mpaka viatu.
Baada ya kumaliza shopping tuliondoka maeneo yale ya Mlimani na kuelekea home sasa. Na nilikuwa nimemtumia text Mama J aweke mazingira mazuri ya mtoto pamoja na yeye, maana narudi home na mgeni.
Kwenye mambo kama haya Mama Junior hajawai niangusha kwakweli anakuwaga chap sana kuweka mazingira vizuri.
Tulifika home mapema kabisa tulishuka kwenye gari, nikamkaribisha na nikatoa vitu kwa gari.
Niligonga mlango na dada alitoka kufungua tukaingia ndani. Baada ya dakika 3 Mama J alitoka chumbani na mtoto wakasalimiana na Iryn. Na mimi bila kupoteza muda nikafanya utambulisho, maana Mama J alikuwa kama haamini anachoona machoni mwake.
“Mama Junior huyu anaitwa Iryn ni Bossy wangu na anaishi Kijitonyama.”
Baada ya kumaliza utambulisho wa Iryn nilihamia upande mwingine,
“Iryn huyu ndo Mama Junior mke wangu na huyu ndo Junior mwenyewe uliyeona picha yake na huyu ni dada yake Junior.” Na muda huu nilikuwa nikimchukua Junior kwa mama yake.
MAMA J: “Wow Ahsante kwa kukufahamu Iryn karibu sana na jisikie uko nyumbani. Dada mletee mgeni juice kwenye glass sawa?.”
IRYN: “Ahsante sana Mama Junior kwa kukufahamu, Insider alikuwa ananificha sana, bila kuona status ya Junior leo nisingekuwa hapa kabisa. Naomba nimshike Junior mme wangu mpya kwa sasa.”
“Wow Junior is so Handsome, very charming…… eti Junior tunaondoka leo wote sindio?”
Na muda huu Junior alikuwa anatabasamu tu, Junior hanaga noma kabisa tena anapenda sana wadada. Junior alionekana kumfurahia sana Iryn wakati huu.
Story ziliendelea pale kwa muda mrefu na ndani ya muda mfupi Iryn na Mama J walikuwa kama wamefahamiana muda mrefu sana.
IRYN: “Mama Junior unajishughulisha na nini?”
MAMA J: “Mimi nasoma bado dear.”
IRYN: “Unasomea nini mpenzi?”
MAMA J: “Business Administration”
IRYN: “Wow safi sana komaa mpenzi hata mimi nimesoma hiyo course.”
MAMA J: “Napambana sana kwakweli.”
Na mimi muda huu sikutaka kuendelea kukaa seblen hivyo niliamua kuondoka kwenda chumbani ili niwaachie uwanja, wawe huru kuongea.
Baada ya dakika 10 nilitoka chumbani na Mama J akaniuliza,
MAMA J: “Baba J tunatoka kweli leo? Maana nina hamu sana.”
MIMI: “Ndio tunatoka out ngoja nimpeleke mgeni afu nikirudi tunaondoka.”
IRYN: “Guys tunatoka wote out, I’m not going anywhere.”
MIMI: “Sawa haina shida, Mama J kajiandae tutoke.”
Na muda huo Mama J alikwenda chumbani na akatuacha mimi na Iryn pale seblen.
IRYN: “Insider una mtoto mzuri sana hata mama yake pia, hongera.”
MIMI: “Thank you, ila saprize ya leo sijaipenda kabisa.”
Na muda huu Iryn alicheka kwa kimbea
IRYN: “Insider bhana huoni kama mimi leo nafuraha atlist nimeonana na familia yako. Ona Junior anavyonifurahia hapa.”
MIMI: “Sawa bhana leo umeshinda bhana.”
Na muda huo Mama J alitoka na tukaondoka pale home. Na muda huo ilikuwa saa 3 kasoro za usiku. Mama J na Iryn walikuwa wamekaa seat za nyuma kwenye gari wakiendelea kuongea na hawakuwa na habari na mimi kabisa.
Niliendesha gari mpaka pale Makonde “25 Lounge” ndo nikapark gari pale nje, tuliingia ndani na tukapiga vinywaji mpaka saa 7 usiku ndo tukaondoka pale. Kuhusu Iryn nilifanya kurequest Uber ili impeleke kwake na sisi tukarudi home kulala na Mama J.
**********
Asubuhi kama kawaida niliamka mapema na niliendelea na ratiba zangu zilezile. Nilikwenda kwa Mama wa2 kumchukua maana alikuwa amemaliza likizo yake. Nilifika pale kwake asubuhi na nikampakia, Rachel mwanaye alikuwa bado anaendelea na likizo.
MIMI: “Hivi na wewe ilikuwaje ukaomba likizo March badala ya April?”
MAMA WA2: “Insider unafikiri nilipenda sema walinipangia tu.”
MIMI: “Pole hata hivyo hii likizo imekufanya kunawiri huko ofisn wanakutolea macho sana mafisi.”
MAMA WA2: “Hahahaha Insider huishiwi vituko wewe. Afu Mke wako Pili anarudi weekend hii”
MIMI: “Akirudi nambie nije nimsalimie mke wangu.”
Na muda huo tulikuwa tushafika kwa Maggy na kumpick na tuliendelea na safari ya kwenda Posta. Mama wa2 na Maggy walikuwa washazoena na njiani walikuwa wakipiga sana story.
Niliwapeleka kila mmoja kwenye ofisi yake pale Posta na mimi nikaendelea na kazi yangu ya Uber, japo biashara ilianza kuwa ngumu kiaina sababu ya kupanda kwa nauli za Uber, maana hata wese bei ilikua ishaanza kupanda kwa kasi na ilikua kwenye 2,800 kipindi kile cha April.
Hii siku pia niliongea na Muajemi kupitia telegram na alikuwa na furaha sana ya kukutana na Iryn ile weekend. Muajemi aliniomba niendelee kumshawishi Iryn waende Zanzibar na mimi nilimuhakikishia kwamba watakwenda Zanzibar.
Ukweli ni kwamba, Muajemi alikuwa tayari kashaoza kwa Iryn, maana alikuwa anamkubali sana Iryn kupita maelezo.
Nilipiga kazi mpaka saa2 usiku nikasema acha nirudi zangu home nikalale. Wakati niko njiani nilimpigia simu Prisca ili nikirudi home asisumbue, na Prisca alikuwa kashaoza kwangu maana alikuwa haelewi.
MIMI: “Prisca naomba usajili namba nyingine maana hii wife anaijua na sitaki tugombane tena, tunaelewana?”
PRISCA: “Sawa haina shida nitafanya hivyo baba watoto.”
MIMI: “Naomba Usijaribu hata kunipigia simu usiku labda nikupigie mimi, tutakuwa tunachati kwa whatsapp.”
PRISCA: “Nimekuelewa Insider”
MIMI: “Ukivunja haya makubaliano yetu mimi na wewe tunaachana na niko serious kabisa na naomba umuheshimu Mama Junior wangu.”
PRISCA: “Insider siwezi kuvunja ahadi yangu ila naomba nimjue mama Junior hata kukutana naye, please.”
MIMI: “Suala la kuonana na Mke wangu haliwezekani Prisca tafadhali sana.”
PRISCA: “Please Insider I’ll pray smary and I promise you.”
Prisca alikuwa tayari kaoza kwa Insider maana hakuna ambacho nilimwambia akanipinga, maana alikubali mwenyewe kuwa mchepuko bila kulazimishwa.
Tuliagana na Prisca na muda huu nilikuwa nishafika home tayari, nilipark gari na nikaingia ndani.
Upande mwingine tangu Iryn aje home mimi na Mama Junior tulikuwa hatujakaa chini wala kuongea lolote maana tulirudi usiku sana na tukalala, na mimi asubuhi niliamka mapema sana na niliondoka yeye akiwa bado kalala.
Nilingia ndani na seblen alikuwa dada na mtoto nikamsalimia, nikaelekea moja kwa moja chumbani na nilimkuta wife akisoma muda ule.
MIMI: “Swahiba nakuona upo busy unakula msuli.”
WIFE: “Afu Baba J yule dada mmefahamiana wapi?”
MIMI: “Kupitia kazi hii tulifahamiana.”
WIFE: “Mhhh ulisema ni Bossy wako kivipi?”
MIMI: “Tumeingia mkataba wa kazi namsaidia mambo yake kama kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zake.”
WIFE: “Aya bhana, toka uanze hii kazi sikuelewi kabisa naona mabadiliko yako taratibu. Baba J nakuomba sana ukumbuke una mke na mtoto wana kuhitaji sana, hii kazi ni ngumu sana na huwezi kukwepa mishale yote, kuwa makini shetani yuko kazini.”
MIMI: “Mke wangu naomba uwe na amani na mimi na utoe mawazo yako mabaya kichwani, jana mlikuwa mnaongea nini?”
WIFE: “Haya kuhusu.”
Na mimi nilikwenda kuoga muda huo baada ya hapo nikaenda zangu seblen kucheza na Junior.
******
Hii week niliweza kuonana na Mary pia, maana alisema kuna jambo la kazi anataka tuzungumze jioni. Pia sikuona sababu ya kuwa mbali na Mary maana ni mteja wangu, sikuona kosa lake lolote sababu Prisca bado hajataka kumfungukia dada yake na mimi nilisema sitoweza kumwambia Mary kinachoendelea.
Niliwasiliana na Mary na tukakubaliana tuonane pale Target na hii sehem ipo nyuma kidogo upande wa kushoto kabla hujafika Roundabout ya kwenda Whitesand, kama unatokea kwa Zena.
Wakati natoka kwenye mishe zangu nilipitia pale na yeye alikuwa akinisubiri na ilikuwa ni usiku tayari. Nilifika mpaka alikokaa, tulisalimiana na muda huu mhudumu alikiwa amefika kutusikiliza tayari.
MARY: “Insider unaweza agiza kwanza.”
MIMI: “Dada niletee Pepsi ya baridi sana na portion ya mbuzi choma tu.”
“Mbuzi choma bila kitu?” Dada aliuliza
MIMI: “Ndio dada tena ufanye haraka.”
MARY: “Insider si ungekula kabisa? Ili ukifika home unalala tu.”
MIMI: “Nitakuta home wamepika haitakuwa busara na sijatoa taarifa mapema.”
Sikutaka kula kabisa pale maana ningerudi home nimeshiba ningeenda gombana na Mama J.
MARY: “Sawa haina shida, mambo yako yanakwendaje kwa ujumla?”
MIMI: “Salama nashukuru Mungu, Mary nambie exactly unajambo gani? Maana sitaki kupoteza muda hapa.”
MARY: “Insider mwezi ujao tunakwenda Mikumi National Park mimi na friends wa chuo, nataka utupeleke kule na kuturudisha.”
MIMI: “Mnakwenda lini?”
MARY: “Mwezi ujao, nimeamua kukwambia mapema ili ujipange.”
MIMI: “Sawa haina shida nitalifanyia kazi na tutaendelea kuwasiliana.”
MARY: “Insider please, Don’t let me down.”
MIMI: “Usijali kuna lingine nje na hili? Maana nataka nirudi home mapema nikalale.”
MARY: “Ni hilo tu na pia nili miss kukuona.”
MIMI: “Ahsante mimi mzima wa afya kama unavyoniona hapa. Twende nikudrop pale kwa Zena afu utachukua boda kwenu mimi siendi.”
MARY: “It’s okay, lets go.”
Tuliondoka pale na nilimshusha Mary pale kwa Zena akachukua boda bodaboda kwenda kwao. Kutoka kwa Zena mpaka kwao hata sio mbali ni ni karibu sana.
Baada ya kurudi home wife aliomba nimpeleke Junior clinic yeye angekua chuo na dada bado mgeni hamwamini kumuachia mtoto kwenda naye clinic, hivyo nilimwambia nitampeleka mimi asiwe na wasiwasi.
Ijumaa asubuhi niliwapeleka Maggy na Mama wa2 Posta na baada ya hapo nilirudi home mapema ili nimpeleke Junior clinic. Baada ya kurudi nyumbani tuliondoka na dada kwenda clinic na tulikwenda Rabininsia hospital ya kule Tegeta.
Tuliwasili pale hospital sababu taratibu zote za pale nazifahamu hata sikupata shida, maana haikuwa mara yangu ya kwanza kumpeleka mtoto clinic. Niliambiwa na nurse Junior alikuwa na sindano ya kuchoma na baada ya kumaliza taratibu zote za clinic tulirudi home. Lakini tulipitia pale Tegeta Sokoni na nikanunua baadhi ya mahitaji ya nyumbani.
Hii siku mimi sikutoka kabisa nilishinda home nikicheza na Junior wangu. Nilisema nitulie ili badae nitoke na Iryn maana alisema kuanzia weekend hii tungeanza kazi.
Nilimpigia simu Iryn ili kumwuliza kama ratiba zinaendelea ama laah!, lakini hakupokea simu yangu, nikampigia tena kwa mara ya pili lakini haikupokelewa, bhasi nikasema atakuwa busy na atanirudia.
Ukweli ni kwamba toka ile jumapili tuachane na Iryn pale 25 lounge hatukuwa na mawasiliano yoyote na mimi nilikuwa najua kama kungekuwa na kazi lazima angenicheki tu.
Nilikaa mpaka jioni pale home lakini sikuweza kupata taarifa yoyote kutoka kwa Iryn na mimi sikutaka kumpigia simu tena muda ule, maana niliona dharau simu mbili hajaziona?. Na siku ikaisha kihivyo bila kufanya kazi kabisa.
Jumamosi pia sikutoka kwenda mzigoni maana nilikuwa na mgeni ambaye ni Tyna alikuja kunisalimia na familia yangu na alisema angeshinda siku nzima na sisi nyumbani. Nilimpasha taarifa Mama J kuhusu ugeni na yeye alikuwa na bashasha ya kumjua mgeni atakaye kuja.
Saa 3 asubuhi Tyna aliwasili pale home maana nilimtumia location kwa whatsapp, nilimkaribisha ndani na alikuwa kaja na zawadi za Junior za kutosha.
Pale seblen nilifanya utambulisho na nilimtambulisha Tyna kwa Wife kuwa ni rafiki kipenzi wa dada yangu, na upande mwingine Tyna alifurahi sana kumjua wifi wake, na mimi niliwaacha waendelee na mazungumzo yao.
Mchana Msomali alinipigia simu akanambia tuonane jioni kuanzia saa 11 pale Seacliff Hotel na alisisitiza sana niwe on-time. Na mimi nilimwambia baada ya lisaa nitakuwa na majibu, lengo langu ni comfirm kama kuna kazi kwa Iryn.
Kwenye saa 10 jioni nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea simu yangu, nilipiga tena baada ya dakika 20 lakini hakupokea. Niliamua kumtumia text lakini pia haikujibiwa kabisa, bhasi nikasema something wrong.
Niliwaza pale Iryn hajawai kuwa na tabia ya kutopokea simu zangu na kama akikuta missed call lazima anirudie, toka jana hajanirudia na leo hapokei simu zangu kuna nini?.
“Au hajapenda kujua mimi nina mke na mtoto?”
Upande mwingine niliwaza maybe anaweza kuwa na matatizo hivyo nikaplan nitakwenda kwake kumwona. Na muda huu nilimpigia simu Msomali kwamba nitakwenda kuonana naye na akasema yeye yupo nikifika nimjulishe.
Tulikaa na Tyna mpaka jioni saa 11 ndo akaaga na kabla hajaondoka alifanya maombi pale na akaomba next time sisi twende kwake tukatembee na tulimuhakikishia tutakwenda kumtembelea.
Tuliondoka pale home tukiwa tumeongozana barabarani mpaka mwenge ndo tukaachana, maana mimi niliendelea na Bagamoyo road na yeye alikata kwenda na Sam nujoma Road.
Nilifika Seacliff Hotel saa 12 jioni na nilimpigia simu Msomali baada ya kufika lakini hakupokea na akanitext chap,
“Have you arrived yet?”
“Yes Bossy”
“Wait for me I’m coming soon.”
Niliendelea kumsubiri pale na muda huu nilikuwa nimekaa kwenye kibench mitaa ileile nikipiga story na wamasai. Nilikuwa nimeshazoeana nao sana Wamasai wa eneo lile na ni marafiki zangu mpaka sasa.
Nilisubiri sana pale lakini Msomali hakuwa na dalili za kutoka na muda huo ilikuwa saa2 na nusu tayari. Niliwaza pale nimtext? maana niliona Msomali ananichomesha mahindi tu afu hatokei na kaniweka masaa 2 tayari.
Saa 3 ndo alinipigia simu akaniuliza niko wapi na mimi nikamwambia niko nje kabisa ya parking karibu na bango la Casino, Msomali akanambia niingize gari kwenye parking ndani. Nilisikiliza anachosema na nikaingiza gari parking za ndani, na baada ya dakika 10 alikuwa amefika nilikokuwa nimepark gari, na aliingia akakaa siti za nyuma.
MSOMALI: “Bro kwanza niombe Samahani kwa kukuweka sana hapa.”
MIMI: “Umeniweka masaa 3 hapa bora hata ungenambia nichelewe kuja aseee.”
MSOMALI: “Nilikuwa na kikao na ndugu zangu, ndo hao wanatoka hata wewe umechelewa kuja.”
Muda huu nilliziona gari mbili za Landcruiser VX zikitoka maeneo yale, ambao ndo alikuwa nao.
MIMI: “Sawa haina shida, what kind of deal you wanted to share with me?”
MSOMALI: “Insider unajua wewe Nyota yako ni kali sana.”
Maneno ya Msomali yanifanya nishtuke kidogo maana ndo nilikuwa nasikia kwa mara ya kwanza kutoka kwake.
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
MSOMALI: “Bro una nyota nzuri sana ila sema hujajua namna ya kuitumia tu, pia una kismart cha kupendwa na watu. Nambie hapa kama nadanganya Insider.
Niliamua kunyamaza tu maana maneno aliyokuwa anaongea ni kama yalikuwa na ukweli, maana kwenye kazi hii nilikuwa nakutana na watu wengi sana na walikuwa wanakubali sana mpaka sasa. Nilikuwa napata wateja wengi sana ambao walikuwa wanataka niwe nawafata asubuhi na kuwapeleka kazini, na wapo ambao walikuwa wanataka niwe nawafata kazini na kuwarudisha nyumbani. Lakini kutokana na kuwa na wateja wawili (2) wa asubuhi deals nyingi nilizipiga chini na zingine nilikuwa wanaunganishia watu wengine.
Ukija pale Posta nilikuwa nafanya kazi na wafanyakazi wengi sana hasa wa bank na wengi walikua Ma-loan officer, walikuwa wananipigia simu na wanaweka order mapema, nimezunguka nao sana kule Kariakoo kwenye makampuni mbalimbali na sehemu nyingi sana. Haya ni matukio ambayo sikutaka kuyaandika maana ni mengi sana, na nilizoeana na watu wengi kwa muda mfupi kupitia Uber.
Sikutaka kubishana naye maana najua Wasomali haya mambo ya Nyota wanayajua vizuri. Lakini mimi niliamini sana kwenye kusali na kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
MIMI: “Unavyosema sijui namna ya kuitumia nyota yangu unamaanisha nini?”
MSOMALI: “Insider wewe endelea kumwomba Mwenyezi Mungu akuongoze atakuonesha njia sahihi.”
MIMI: “Ni kweli unachosema Mungu ndo kila kitu. Naona muda unakwenda kuna ishu gani?”
Muda huu Msomali alitoa bahasha kwenye bag lake “Duffel bag” na akanikabidhi muda ule. Ndani ya bahasha kulikuwa na kibox cha mstatili chenye ukubwa wa A4 na upana wa nchi nne hivi tena kilikuwa cheusi.
MIMI: “Bro ni nini hiki?”
MSOMALI: “Bro deal lenyewe ndo hilo sasa, nataka utajirike na wewe, hapa duniani hakuna anayefanikiwa bila kuvunja sheria, hawa matajiri unaowaona hakuna asiyefanya “shady dealings” au “Contrabands”. (Alinitamkia hayo maneno vivyo hivyo, unaweza kugoogle maana zake)
MIMI: “Unataka kusema hili ni bomu?”
MSOMALI: “Exactly nataka upeleke hilo bomu Posta haraka na urudi tuje tuongee mipango mingine.”
Na muda huu Msomali alitoa card kwenye gari ambayo ilikua na taarifa zote (Location Details) za mzigo unakotakiwa kwenda ambapo ni Posta na akatoa noti za dollar 100, baada ya kuzi hesabu zilikuwa ni noti 30 ambazo ni sawa na $3,000.
“Nataka upeleke huu mzigo haraka ukifika hapo wewe gonga mlango kuna mtu atapokea na navyoongea hapa na wewe yuko anasubiri huu mzigo now. ARE YOU IN OR OUT?.”
Muda huu nilikuwa sijui niseme nini maana nilikuwa nahitaji pesa kwa njia yoyote ile na nilikuwa nashida na pesa tena sana. Japo sikujua ndani kuna Bom gani ila nilikuwa bado niko Dilemma nilikubali lile Bom au nilikatae.
Na muda huo huo nikiwa kwenye mawazo ni maamuzi gani niyachukue dhidi ya Msomali nilipokea text kutoka kwa Iryn….
“Insider mambo I was very busy ila naomba kuterminate mkataba na wewe mwisho wa mwezi huu.”
Na muda huu nilihisi kuchanganyikiwa mara 2 hata Msomali aliona mabadiliko yangu pale, nilijikuta niko kwenye wakati mgumu sana.”
TO BE CONTINUED
&
GOOD NIGHT FANS.
“Insider mambo I was very busy ila naomba kuterminate mkataba na wewe mwisho wa mwezi huu.”
EPISODE 23
Iryn alikuwa akionesha picha ambayo nilikuwa nimeipost whatsapp status nikiwa na Junior.
TUNAENDELEA….
Sikutaka mkatalia maana mimi na Junior tumefanana sana ni ngumu kukataa na pia sikutaka kukataa damu yangu. Ni dhambi kubwa sana hii ningefanya kumkana mwanangu.
Baada ya kutambua amefind out sikutaka kuendelea kuhide,
MIMI: “Yeah is my son.”
IRYN: “Why didn’t you tell me before?”.
MIMI: “Remember nilikwambia nitakusaprize, niliplan nikupeleke home sasa umeshajua mapema.”
IRYN: “Insider suala la mtoto la kunificha? Ni mambo mangapi mimi na share na wewe?
MIMI: “Iryn kumbuka nilikuahidi kukwambia siri zangu zote ilikuwa ni suala la muda tu, na nilipanga nikupeleka home kabisa ukapajue.”
IRYN: “Ni muda sana umeahidi Insider, ni mambo mangapi umeniahidi na je umeyatimiza?”
MIMI: “Sorry”
IRYN: “Mtoto yuko wapi?”
MIMI: “Yuko home”
Na muda huu Iryn aliinuka kwenye kiti kwa hasira na kuingia ndani chumbani.
Kwa upande wangu sikujua nifanyaje na pia nilijiona na hatia sana kwa kitendo cha kutomwambia hili jambo mapema, pia nilijilaumu kwa kitendo cha kupost ile picha.
Ilimchukua dakika 5 Iryn kutoka chumbani na alitoka akiwa amevaa surual ya track yenye vifungo pembeni na kishati cha kubana cha njano na mkononi alikuwa kashika card ya bank.
Na mimi nilishangaa sana kuona katoka vile akiwa amebadilika haraka sana.
IRYN: “Insider tunakwenda kwako right now.”
MIMI: “Kwangu? Now?”
IRYN: “Ndio maana yake.”
MIMI: “Sawa haina shida.”
Na mimi sikuweza kumkatalia sababu Mama J alikuwa home, sikuona tatizo kwenda naye home na niliona ni jambo jema tu, Iryn alishakuwa familia tayari kwa upande wangu.
“Insider tunapitia kwanza Mlimani city maramoja.”
Tulitoka pale kwake muda ule na hatukuweza kuzungumza kabisa njiani mpaka tunafika pale Mlimani city.
Nilipark gari na tukaelekea ndani mimi nilikuwa namfuata tu anakokwenda, na tuliingia moja kwa moja mpaka Shoppers.
Iryn alianza kununua vitu pale, alinunua maziwa ya kopo makubwa, alinunua sukari, diapers, na mazaga mengi ya kutosha. Na baada ya kumaliza pale Shoppers tulikwenda moja ya duka la watoto mle ndani na alinunua nguo za Junior za kutosha mpaka viatu.
Baada ya kumaliza shopping tuliondoka maeneo yale ya Mlimani na kuelekea home sasa. Na nilikuwa nimemtumia text Mama J aweke mazingira mazuri ya mtoto pamoja na yeye, maana narudi home na mgeni.
Kwenye mambo kama haya Mama Junior hajawai niangusha kwakweli anakuwaga chap sana kuweka mazingira vizuri.
Tulifika home mapema kabisa tulishuka kwenye gari, nikamkaribisha na nikatoa vitu kwa gari.
Niligonga mlango na dada alitoka kufungua tukaingia ndani. Baada ya dakika 3 Mama J alitoka chumbani na mtoto wakasalimiana na Iryn. Na mimi bila kupoteza muda nikafanya utambulisho, maana Mama J alikuwa kama haamini anachoona machoni mwake.
“Mama Junior huyu anaitwa Iryn ni Bossy wangu na anaishi Kijitonyama.”
Baada ya kumaliza utambulisho wa Iryn nilihamia upande mwingine,
“Iryn huyu ndo Mama Junior mke wangu na huyu ndo Junior mwenyewe uliyeona picha yake na huyu ni dada yake Junior.” Na muda huu nilikuwa nikimchukua Junior kwa mama yake.
MAMA J: “Wow Ahsante kwa kukufahamu Iryn karibu sana na jisikie uko nyumbani. Dada mletee mgeni juice kwenye glass sawa?.”
IRYN: “Ahsante sana Mama Junior kwa kukufahamu, Insider alikuwa ananificha sana, bila kuona status ya Junior leo nisingekuwa hapa kabisa. Naomba nimshike Junior mme wangu mpya kwa sasa.”
“Wow Junior is so Handsome, very charming…… eti Junior tunaondoka leo wote sindio?”
Na muda huu Junior alikuwa anatabasamu tu, Junior hanaga noma kabisa tena anapenda sana wadada. Junior alionekana kumfurahia sana Iryn wakati huu.
Story ziliendelea pale kwa muda mrefu na ndani ya muda mfupi Iryn na Mama J walikuwa kama wamefahamiana muda mrefu sana.
IRYN: “Mama Junior unajishughulisha na nini?”
MAMA J: “Mimi nasoma bado dear.”
IRYN: “Unasomea nini mpenzi?”
MAMA J: “Business Administration”
IRYN: “Wow safi sana komaa mpenzi hata mimi nimesoma hiyo course.”
MAMA J: “Napambana sana kwakweli.”
Na mimi muda huu sikutaka kuendelea kukaa seblen hivyo niliamua kuondoka kwenda chumbani ili niwaachie uwanja, wawe huru kuongea.
Baada ya dakika 10 nilitoka chumbani na Mama J akaniuliza,
MAMA J: “Baba J tunatoka kweli leo? Maana nina hamu sana.”
MIMI: “Ndio tunatoka out ngoja nimpeleke mgeni afu nikirudi tunaondoka.”
IRYN: “Guys tunatoka wote out, I’m not going anywhere.”
MIMI: “Sawa haina shida, Mama J kajiandae tutoke.”
Na muda huo Mama J alikwenda chumbani na akatuacha mimi na Iryn pale seblen.
IRYN: “Insider una mtoto mzuri sana hata mama yake pia, hongera.”
MIMI: “Thank you, ila saprize ya leo sijaipenda kabisa.”
Na muda huu Iryn alicheka kwa kimbea
IRYN: “Insider bhana huoni kama mimi leo nafuraha atlist nimeonana na familia yako. Ona Junior anavyonifurahia hapa.”
MIMI: “Sawa bhana leo umeshinda bhana.”
Na muda huo Mama J alitoka na tukaondoka pale home. Na muda huo ilikuwa saa 3 kasoro za usiku. Mama J na Iryn walikuwa wamekaa seat za nyuma kwenye gari wakiendelea kuongea na hawakuwa na habari na mimi kabisa.
Niliendesha gari mpaka pale Makonde “25 Lounge” ndo nikapark gari pale nje, tuliingia ndani na tukapiga vinywaji mpaka saa 7 usiku ndo tukaondoka pale. Kuhusu Iryn nilifanya kurequest Uber ili impeleke kwake na sisi tukarudi home kulala na Mama J.
**********
Asubuhi kama kawaida niliamka mapema na niliendelea na ratiba zangu zilezile. Nilikwenda kwa Mama wa2 kumchukua maana alikuwa amemaliza likizo yake. Nilifika pale kwake asubuhi na nikampakia, Rachel mwanaye alikuwa bado anaendelea na likizo.
MIMI: “Hivi na wewe ilikuwaje ukaomba likizo March badala ya April?”
MAMA WA2: “Insider unafikiri nilipenda sema walinipangia tu.”
MIMI: “Pole hata hivyo hii likizo imekufanya kunawiri huko ofisn wanakutolea macho sana mafisi.”
MAMA WA2: “Hahahaha Insider huishiwi vituko wewe. Afu Mke wako Pili anarudi weekend hii”
MIMI: “Akirudi nambie nije nimsalimie mke wangu.”
Na muda huo tulikuwa tushafika kwa Maggy na kumpick na tuliendelea na safari ya kwenda Posta. Mama wa2 na Maggy walikuwa washazoena na njiani walikuwa wakipiga sana story.
Niliwapeleka kila mmoja kwenye ofisi yake pale Posta na mimi nikaendelea na kazi yangu ya Uber, japo biashara ilianza kuwa ngumu kiaina sababu ya kupanda kwa nauli za Uber, maana hata wese bei ilikua ishaanza kupanda kwa kasi na ilikua kwenye 2,800 kipindi kile cha April.
Hii siku pia niliongea na Muajemi kupitia telegram na alikuwa na furaha sana ya kukutana na Iryn ile weekend. Muajemi aliniomba niendelee kumshawishi Iryn waende Zanzibar na mimi nilimuhakikishia kwamba watakwenda Zanzibar.
Ukweli ni kwamba, Muajemi alikuwa tayari kashaoza kwa Iryn, maana alikuwa anamkubali sana Iryn kupita maelezo.
Nilipiga kazi mpaka saa2 usiku nikasema acha nirudi zangu home nikalale. Wakati niko njiani nilimpigia simu Prisca ili nikirudi home asisumbue, na Prisca alikuwa kashaoza kwangu maana alikuwa haelewi.
MIMI: “Prisca naomba usajili namba nyingine maana hii wife anaijua na sitaki tugombane tena, tunaelewana?”
PRISCA: “Sawa haina shida nitafanya hivyo baba watoto.”
MIMI: “Naomba Usijaribu hata kunipigia simu usiku labda nikupigie mimi, tutakuwa tunachati kwa whatsapp.”
PRISCA: “Nimekuelewa Insider”
MIMI: “Ukivunja haya makubaliano yetu mimi na wewe tunaachana na niko serious kabisa na naomba umuheshimu Mama Junior wangu.”
PRISCA: “Insider siwezi kuvunja ahadi yangu ila naomba nimjue mama Junior hata kukutana naye, please.”
MIMI: “Suala la kuonana na Mke wangu haliwezekani Prisca tafadhali sana.”
PRISCA: “Please Insider I’ll pray smary and I promise you.”
Prisca alikuwa tayari kaoza kwa Insider maana hakuna ambacho nilimwambia akanipinga, maana alikubali mwenyewe kuwa mchepuko bila kulazimishwa.
Tuliagana na Prisca na muda huu nilikuwa nishafika home tayari, nilipark gari na nikaingia ndani.
Upande mwingine tangu Iryn aje home mimi na Mama Junior tulikuwa hatujakaa chini wala kuongea lolote maana tulirudi usiku sana na tukalala, na mimi asubuhi niliamka mapema sana na niliondoka yeye akiwa bado kalala.
Nilingia ndani na seblen alikuwa dada na mtoto nikamsalimia, nikaelekea moja kwa moja chumbani na nilimkuta wife akisoma muda ule.
MIMI: “Swahiba nakuona upo busy unakula msuli.”
WIFE: “Afu Baba J yule dada mmefahamiana wapi?”
MIMI: “Kupitia kazi hii tulifahamiana.”
WIFE: “Mhhh ulisema ni Bossy wako kivipi?”
MIMI: “Tumeingia mkataba wa kazi namsaidia mambo yake kama kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zake.”
WIFE: “Aya bhana, toka uanze hii kazi sikuelewi kabisa naona mabadiliko yako taratibu. Baba J nakuomba sana ukumbuke una mke na mtoto wana kuhitaji sana, hii kazi ni ngumu sana na huwezi kukwepa mishale yote, kuwa makini shetani yuko kazini.”
MIMI: “Mke wangu naomba uwe na amani na mimi na utoe mawazo yako mabaya kichwani, jana mlikuwa mnaongea nini?”
WIFE: “Haya kuhusu.”
Na mimi nilikwenda kuoga muda huo baada ya hapo nikaenda zangu seblen kucheza na Junior.
******
Hii week niliweza kuonana na Mary pia, maana alisema kuna jambo la kazi anataka tuzungumze jioni. Pia sikuona sababu ya kuwa mbali na Mary maana ni mteja wangu, sikuona kosa lake lolote sababu Prisca bado hajataka kumfungukia dada yake na mimi nilisema sitoweza kumwambia Mary kinachoendelea.
Niliwasiliana na Mary na tukakubaliana tuonane pale Target na hii sehem ipo nyuma kidogo upande wa kushoto kabla hujafika Roundabout ya kwenda Whitesand, kama unatokea kwa Zena.
Wakati natoka kwenye mishe zangu nilipitia pale na yeye alikuwa akinisubiri na ilikuwa ni usiku tayari. Nilifika mpaka alikokaa, tulisalimiana na muda huu mhudumu alikiwa amefika kutusikiliza tayari.
MARY: “Insider unaweza agiza kwanza.”
MIMI: “Dada niletee Pepsi ya baridi sana na portion ya mbuzi choma tu.”
“Mbuzi choma bila kitu?” Dada aliuliza
MIMI: “Ndio dada tena ufanye haraka.”
MARY: “Insider si ungekula kabisa? Ili ukifika home unalala tu.”
MIMI: “Nitakuta home wamepika haitakuwa busara na sijatoa taarifa mapema.”
Sikutaka kula kabisa pale maana ningerudi home nimeshiba ningeenda gombana na Mama J.
MARY: “Sawa haina shida, mambo yako yanakwendaje kwa ujumla?”
MIMI: “Salama nashukuru Mungu, Mary nambie exactly unajambo gani? Maana sitaki kupoteza muda hapa.”
MARY: “Insider mwezi ujao tunakwenda Mikumi National Park mimi na friends wa chuo, nataka utupeleke kule na kuturudisha.”
MIMI: “Mnakwenda lini?”
MARY: “Mwezi ujao, nimeamua kukwambia mapema ili ujipange.”
MIMI: “Sawa haina shida nitalifanyia kazi na tutaendelea kuwasiliana.”
MARY: “Insider please, Don’t let me down.”
MIMI: “Usijali kuna lingine nje na hili? Maana nataka nirudi home mapema nikalale.”
MARY: “Ni hilo tu na pia nili miss kukuona.”
MIMI: “Ahsante mimi mzima wa afya kama unavyoniona hapa. Twende nikudrop pale kwa Zena afu utachukua boda kwenu mimi siendi.”
MARY: “It’s okay, lets go.”
Tuliondoka pale na nilimshusha Mary pale kwa Zena akachukua boda bodaboda kwenda kwao. Kutoka kwa Zena mpaka kwao hata sio mbali ni ni karibu sana.
Baada ya kurudi home wife aliomba nimpeleke Junior clinic yeye angekua chuo na dada bado mgeni hamwamini kumuachia mtoto kwenda naye clinic, hivyo nilimwambia nitampeleka mimi asiwe na wasiwasi.
Ijumaa asubuhi niliwapeleka Maggy na Mama wa2 Posta na baada ya hapo nilirudi home mapema ili nimpeleke Junior clinic. Baada ya kurudi nyumbani tuliondoka na dada kwenda clinic na tulikwenda Rabininsia hospital ya kule Tegeta.
Tuliwasili pale hospital sababu taratibu zote za pale nazifahamu hata sikupata shida, maana haikuwa mara yangu ya kwanza kumpeleka mtoto clinic. Niliambiwa na nurse Junior alikuwa na sindano ya kuchoma na baada ya kumaliza taratibu zote za clinic tulirudi home. Lakini tulipitia pale Tegeta Sokoni na nikanunua baadhi ya mahitaji ya nyumbani.
Hii siku mimi sikutoka kabisa nilishinda home nikicheza na Junior wangu. Nilisema nitulie ili badae nitoke na Iryn maana alisema kuanzia weekend hii tungeanza kazi.
Nilimpigia simu Iryn ili kumwuliza kama ratiba zinaendelea ama laah!, lakini hakupokea simu yangu, nikampigia tena kwa mara ya pili lakini haikupokelewa, bhasi nikasema atakuwa busy na atanirudia.
Ukweli ni kwamba toka ile jumapili tuachane na Iryn pale 25 lounge hatukuwa na mawasiliano yoyote na mimi nilikuwa najua kama kungekuwa na kazi lazima angenicheki tu.
Nilikaa mpaka jioni pale home lakini sikuweza kupata taarifa yoyote kutoka kwa Iryn na mimi sikutaka kumpigia simu tena muda ule, maana niliona dharau simu mbili hajaziona?. Na siku ikaisha kihivyo bila kufanya kazi kabisa.
Jumamosi pia sikutoka kwenda mzigoni maana nilikuwa na mgeni ambaye ni Tyna alikuja kunisalimia na familia yangu na alisema angeshinda siku nzima na sisi nyumbani. Nilimpasha taarifa Mama J kuhusu ugeni na yeye alikuwa na bashasha ya kumjua mgeni atakaye kuja.
Saa 3 asubuhi Tyna aliwasili pale home maana nilimtumia location kwa whatsapp, nilimkaribisha ndani na alikuwa kaja na zawadi za Junior za kutosha.
Pale seblen nilifanya utambulisho na nilimtambulisha Tyna kwa Wife kuwa ni rafiki kipenzi wa dada yangu, na upande mwingine Tyna alifurahi sana kumjua wifi wake, na mimi niliwaacha waendelee na mazungumzo yao.
Mchana Msomali alinipigia simu akanambia tuonane jioni kuanzia saa 11 pale Seacliff Hotel na alisisitiza sana niwe on-time. Na mimi nilimwambia baada ya lisaa nitakuwa na majibu, lengo langu ni comfirm kama kuna kazi kwa Iryn.
Kwenye saa 10 jioni nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea simu yangu, nilipiga tena baada ya dakika 20 lakini hakupokea. Niliamua kumtumia text lakini pia haikujibiwa kabisa, bhasi nikasema something wrong.
Niliwaza pale Iryn hajawai kuwa na tabia ya kutopokea simu zangu na kama akikuta missed call lazima anirudie, toka jana hajanirudia na leo hapokei simu zangu kuna nini?.
“Au hajapenda kujua mimi nina mke na mtoto?”
Upande mwingine niliwaza maybe anaweza kuwa na matatizo hivyo nikaplan nitakwenda kwake kumwona. Na muda huu nilimpigia simu Msomali kwamba nitakwenda kuonana naye na akasema yeye yupo nikifika nimjulishe.
Tulikaa na Tyna mpaka jioni saa 11 ndo akaaga na kabla hajaondoka alifanya maombi pale na akaomba next time sisi twende kwake tukatembee na tulimuhakikishia tutakwenda kumtembelea.
Tuliondoka pale home tukiwa tumeongozana barabarani mpaka mwenge ndo tukaachana, maana mimi niliendelea na Bagamoyo road na yeye alikata kwenda na Sam nujoma Road.
Nilifika Seacliff Hotel saa 12 jioni na nilimpigia simu Msomali baada ya kufika lakini hakupokea na akanitext chap,
“Have you arrived yet?”
“Yes Bossy”
“Wait for me I’m coming soon.”
Niliendelea kumsubiri pale na muda huu nilikuwa nimekaa kwenye kibench mitaa ileile nikipiga story na wamasai. Nilikuwa nimeshazoeana nao sana Wamasai wa eneo lile na ni marafiki zangu mpaka sasa.
Nilisubiri sana pale lakini Msomali hakuwa na dalili za kutoka na muda huo ilikuwa saa2 na nusu tayari. Niliwaza pale nimtext? maana niliona Msomali ananichomesha mahindi tu afu hatokei na kaniweka masaa 2 tayari.
Saa 3 ndo alinipigia simu akaniuliza niko wapi na mimi nikamwambia niko nje kabisa ya parking karibu na bango la Casino, Msomali akanambia niingize gari kwenye parking ndani. Nilisikiliza anachosema na nikaingiza gari parking za ndani, na baada ya dakika 10 alikuwa amefika nilikokuwa nimepark gari, na aliingia akakaa siti za nyuma.
MSOMALI: “Bro kwanza niombe Samahani kwa kukuweka sana hapa.”
MIMI: “Umeniweka masaa 3 hapa bora hata ungenambia nichelewe kuja aseee.”
MSOMALI: “Nilikuwa na kikao na ndugu zangu, ndo hao wanatoka hata wewe umechelewa kuja.”
Muda huu nilliziona gari mbili za Landcruiser VX zikitoka maeneo yale, ambao ndo alikuwa nao.
MIMI: “Sawa haina shida, what kind of deal you wanted to share with me?”
MSOMALI: “Insider unajua wewe Nyota yako ni kali sana.”
Maneno ya Msomali yanifanya nishtuke kidogo maana ndo nilikuwa nasikia kwa mara ya kwanza kutoka kwake.
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
MSOMALI: “Bro una nyota nzuri sana ila sema hujajua namna ya kuitumia tu, pia una kismart cha kupendwa na watu. Nambie hapa kama nadanganya Insider.
Niliamua kunyamaza tu maana maneno aliyokuwa anaongea ni kama yalikuwa na ukweli, maana kwenye kazi hii nilikuwa nakutana na watu wengi sana na walikuwa wanakubali sana mpaka sasa. Nilikuwa napata wateja wengi sana ambao walikuwa wanataka niwe nawafata asubuhi na kuwapeleka kazini, na wapo ambao walikuwa wanataka niwe nawafata kazini na kuwarudisha nyumbani. Lakini kutokana na kuwa na wateja wawili (2) wa asubuhi deals nyingi nilizipiga chini na zingine nilikuwa wanaunganishia watu wengine.
Ukija pale Posta nilikuwa nafanya kazi na wafanyakazi wengi sana hasa wa bank na wengi walikua Ma-loan officer, walikuwa wananipigia simu na wanaweka order mapema, nimezunguka nao sana kule Kariakoo kwenye makampuni mbalimbali na sehemu nyingi sana. Haya ni matukio ambayo sikutaka kuyaandika maana ni mengi sana, na nilizoeana na watu wengi kwa muda mfupi kupitia Uber.
Sikutaka kubishana naye maana najua Wasomali haya mambo ya Nyota wanayajua vizuri. Lakini mimi niliamini sana kwenye kusali na kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
MIMI: “Unavyosema sijui namna ya kuitumia nyota yangu unamaanisha nini?”
MSOMALI: “Insider wewe endelea kumwomba Mwenyezi Mungu akuongoze atakuonesha njia sahihi.”
MIMI: “Ni kweli unachosema Mungu ndo kila kitu. Naona muda unakwenda kuna ishu gani?”
Muda huu Msomali alitoa bahasha kwenye bag lake “Duffel bag” na akanikabidhi muda ule. Ndani ya bahasha kulikuwa na kibox cha mstatili chenye ukubwa wa A4 na upana wa nchi nne hivi tena kilikuwa cheusi.
MIMI: “Bro ni nini hiki?”
MSOMALI: “Bro deal lenyewe ndo hilo sasa, nataka utajirike na wewe, hapa duniani hakuna anayefanikiwa bila kuvunja sheria, hawa matajiri unaowaona hakuna asiyefanya “shady dealings” au “Contrabands”. (Alinitamkia hayo maneno vivyo hivyo, unaweza kugoogle maana zake)
MIMI: “Unataka kusema hili ni bomu?”
MSOMALI: “Exactly nataka upeleke hilo bomu Posta haraka na urudi tuje tuongee mipango mingine.”
Na muda huu Msomali alitoa card kwenye gari ambayo ilikua na taarifa zote (Location Details) za mzigo unakotakiwa kwenda ambapo ni Posta na akatoa noti za dollar 100, baada ya kuzi hesabu zilikuwa ni noti 30 ambazo ni sawa na $3,000.
“Nataka upeleke huu mzigo haraka ukifika hapo wewe gonga mlango kuna mtu atapokea na navyoongea hapa na wewe yuko anasubiri huu mzigo now. ARE YOU IN OR OUT?.”
Muda huu nilikuwa sijui niseme nini maana nilikuwa nahitaji pesa kwa njia yoyote ile na nilikuwa nashida na pesa tena sana. Japo sikujua ndani kuna Bom gani ila nilikuwa bado niko Dilemma nilikubali lile Bom au nilikatae.
Na muda huo huo nikiwa kwenye mawazo ni maamuzi gani niyachukue dhidi ya Msomali nilipokea text kutoka kwa Iryn….
“Insider mambo I was very busy ila naomba kuterminate mkataba na wewe mwisho wa mwezi huu.”
Na muda huu nilihisi kuchanganyikiwa mara 2 hata Msomali aliona mabadiliko yangu pale, nilijikuta niko kwenye wakati mgumu sana.”
TO BE CONTINUED
&
GOOD NIGHT FANS.
Bro c ulisema unamaliza leo au skuelewa
Kiherehere chake chakumpeleka Bo's nyumani kwako Mara nyingi Sana boss haruhusiwi kufahamu maish na makazi yakoSalaleeeh!
Mbona sasa kama kitumbua kinaingia mchanga...