Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.

Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
Itupie mzee iwe ya kweli tu sio za mtandaoni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.

Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
Tuma kipande, ficha sura
 
Kwani wewe uliwahi toa story gan hapa? Kaa kushoto.. umelazimishwa kusoma? Fanya yako achana na sis... pita ivi[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]unajifamya Unajua sana wewe mdada
Unajua inaudh sana.. mtu ajaombwa alete story kajitolea tu.. hajalazimisha mtu kusoma... hii story sio chakula ukiona huiwez iache kimya kimya.. usimpangie Insider cha kuandika
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huyo atakuwa mwanaume
 
Back
Top Bottom