Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 26

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Jumatatu ya Pasaka asubuhi nilifanya mawasiliano na yule constructor wa Mzee na nikamwambia baada ya lisaa nitakuwa Mbweni na yeye alisema yuko njiani ndo anaelekea.

Kwa upande mwingine yale materials ya kununua nilimtumia picha Mzee Mollel na alinisaidia kunitajia bei na kunipa connection kwa sehem yanakopatikana, alinitumia namba za baadhi ya masupplier akanambia nikiwapigia simu niwaambie yeye ndo amenikonekti.

Baada ya kufika Mbweni nilikuta kazi zikiendelea na mimi niliwasalimia Mafundi na Jamaa alikuwa amefika tayari.

Sababu alikuwa anajua kinachoendelea pamoja na ujio wangu, hata hakuwa na maswali zaidi alisema nimpe pesa akanunue materials.

“Kwenye kununua materials tutakwenda wote mkuu usiwe na wasiwasi.”

Na muda huu nilifanya kuwasiliana na baadhi ya supplier na tukapata mmoja pale Africana ndo alikuwa na bei nzuri.

Tulikwenda wote na Jamaa mpaka Africana kuna duka kubwa sana pale lipo mataa ya Africana, mkono wa kushoto kama unakwenda Juliana.

Tulifanya manunuzi ya materials mbalimbali na tukarudi Mbweni, vifaa vyote nilisimamimia manunuzi. Jamaa kama alimind hivi kwanza, pia hakuwa akiamini kuona nayajua maduka vile, kumbe nyuma ya Pazia alikuwepo mzee Mollel anayenipa CODE.

Sababu hii siku nilikuwa na miadi na Mama wa2, nilimwaga jamaa na nikaondoka. Nilitoka pale Mbweni kuelekea Mbezi Beach na muda huo ilikuwa saa 6 kasoro za mchana.

Hii siku tulikuwa tunakwenda kumpokea mdogo wake Airport na kuhusu kwenda kuangalia nyumba yake alisema tutakwenda siku nyingine.

Mama wa2 alitumia dakika 30 kutoka ndani na tukaelekea Airport.

“Insider Unaendeleaje.”

“Safi tu, mgeni ataingia sangapi?”

“Saa 8 atakuwa amefika tayari.”

Tuliwasili pale JNIA na tulikwenda moja kwa moja mpaka Terminal 2 ndo tukapark gari. Tuliamua kwenda kukaa kwenye kimgahawa tukimsubiri mgeni.

“Insider leo jioni nataka twende Masaki na wanangu tukatembee.”

“Sawa haina shida mimi nipo free leo.”

“Nilipata taarifa Uber wanasitisha huduma zao vipi kwako utafanyaje?.”

“Kwa wateja wa Card na kampuni bado wanaendelea ila wanaotumia card ni wachache sana, wateja wa cash ndo wengi kwa bongo hapa. Sio mbaya sana lakini maana Bolt bado wapo japo imeniathiri sana.”

“Pole sana ndo changamoto hizo naamini watarudi soon.”

“Ni mambo yanayohusisha serikali acha tuone itakuwaje.”

Suala la Uber kusitisha huduma zao kwa upande wa magari ni kutokana na LATRA kuwataka kupunguza kamisheni zao kutoka 25% mpaka 15%. Madereva wa Tax mtandao wolilamika kwa mamlaka husika kuwa hizi kampuni zinatoza kamisheni kubwa sana. Uber hawakuwa tayari kupunguza kamisheni zao kwani walisema wanatozwa kodi na tozo kibao hivyo wangeendesha biashara kwa hasara.

Tuliendelea kukaa pale na Mama wa2 huku story zikiendelea maana ndege ilichelewa kutoka KIA kwa taarifa ambazo Mama wa2 alizipata.

Saa 9 kasoro ndege iliwasili na na baada ya dakika 15 mamdogo alitoka na wakakumbatiana na dada yake pale. Walionekana kumisiana sana.

Nilimsaidia kubeba bag lake na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na tukaanza safari ya kurudi Mbezi Beach.

MAMA WA2: “Insider huyu ndo mdogo wangu wa mwisho anaitwa Joana.

MIMI: “Nimeona pia mmefanana sana, Joana karibu sana Dar es Salaam.”

“Ahsante.”

MAMA WA2: “Huyu anaitwa Insider ni mtu wangu wa karibu sana.”

MIMI: “Mama mkwe hujawai kunambia kuwa una mdogo mzuri hivi.”

Na wote waliishia kucheka muda huu na walikuwa wamekaa siti za nyuma.

Njiani walikiwa busy sana wakiongea mambo yao na tulitumia kama dk40 kufika nyumbani maana hakukuwa na foleni kabisa.

Tuliingia ndani muda ule na mimi nikatoa bag la mgeni nikaingiza ndani.

Baada ya kuingia ndani mamdogo alisalimiana na kina Rachel na Pili na mimi muda huu nilikuwa nawaza msosi maana njaa ilikuwa inanigonga balaa, toka asubuhi nilikuwa sijaingiza chochote tumboni.

Mama wa2 alitukaribisha dining kwaajili ya lunch na mimi ndo nilikuwa wakwanza kufika pale. Nilikuwa nimeshapazoea kwa Mama wa2 ilikuwa kama niko nyumbani tu.

Na wakati tuko dining Mama wa2 aliwaambia bint zake wajiandae kwaajili ya kutoka out. Mama wa2 alikuwa busy sana na mdogo wake hii siku hata nilipomaliza kula nilimshukuru kwa chakula na mimi nikaenda kukaa seblen.

Joana pia alikwenda kujiandaa na wakati huo bint zake walikuwa wako tayari wamejiandaa.

MAMA WA2: “Insider tunakwenda wapi eti?”

PILI: “Mama twende Slip way.”

MIMI: “Kama watoto wanataka kwenda huko tuwapeleke haina shida.”

MAMA WA2: “Bhasi tutakwenda huko.”

Na muda huu akina Pili na Rachel walionekana kufurahia sana kwenda huko.

Baada ya dakika 20 mamdogo alikuwa naye kajiandaa na ametoka hao tukaanza safari na muda huo ilikuwa saa 11 jioni.

Tulitumia dakika 25 kufika eneo lile na hii siku palionekana kuwa busy sana na tulikwenda upande wa chini wa Restaurant.

Tulitafuta sehemu nzuri ya kutosha watu sita na tukakaa, kwenye hii meza mimi pekee ndo nilikuwa mwanaume pale na hii ilikuwa ikinipa ufahari flani hivi.

Kila mtu aliagiza anachotaka kwa upande wangu sikutaka kuagiza chakula maana nilikuwa nimeshiba, niliagiza heineken 3 tu maana sikutaka kulewa hii siku. Kwa upande mwingine mama wawili aliagiza bucket ya Savanna kwaajili yake na mdogo wake.

Story zilikuwa zimetawala meza yetu tukicheka na mimi nilikuwa nimekaa karibu na Pili nampigisha story sana,

Sasa wakati dada analeta vinywaji Pili alishangaa sana kuona dada kaniwekea heineken pale mezani.

PILI: “Uncle Insider na wewe unakunywa kumbe?”

MIMI: “Nakunywa kwaajili yako hapa.”

PILI: “Toka hapa! mimi situmii pombe”

MIMI: “Wewe ni mchaga soon utaanza kutumia, muulize mama yako alianzaje kutumia. Unataka sikuonjeshe kidogo?”

PILI: “Aku sitaki mimi. Kwanza Baba yangu sio Mchagga”

Pili alikuwa kashanizoea kwa muda mfupi hata Mama wa2 alishangaa sana kuona Pili kanizoea haraka vile.

Mida ya saa moja usiku wakati tukiendelea kunywa na kupiga story, Prisca alinipigia simu, nikaamua kutoka eneo lile ili nikaongee naye mbali na pale.

PRISCA: “Hello baby how you doing?”

MIMI: “Niko poa za toka jana.”

PRISCA: “Safi tu, nimekumiss”

MIMI: “Jana ulinambia mnatoka as family nipe ripoti.”

PRISCA: “Insider ungekuwa unanijali ungekuwa ulinipigia simu na ukajua kinachoendelea.”

MIMI: “Aisee, nijue kinachoendelea kwenye mambo ya familia yenu?, naona kama unanikosea.”

PRISCA: “Sasa unataka ripoti ya nini?”

MIMI: “Ripoti niliyotaka mimi nijue ulirudi sangapi, Jana sikutaka kukutafuta maana nilijua utakuwa busy na Familia.”

PRISCA: “Okay we had funny yesterday, inshort we enjoyed.”

MIMI: “Nice na uko wapi kwa sasa?”

PRISCA: “Niko home nimelala on bed. Nimekumiss nataka nikuone.”

MIMI: “Acha uongo unanimisije na upo period?”

PRISCA: “Insider unataka kumaanisha kwasababu niko period siwezi onana na wewe? You only want sex from me that's all you care about.”

MIMI: “Prisca mimi naona hayo ni mawazo yako, ila naomba utambue kitu kimoja. Usifikiri mimi kama napenda sana kumchepuka Mama Junior na ninampenda sana. Unapaswa kunipa vile navyokosa kwa Mama Junior na sio kulalamika, kumbuka ulichagua mwenyewe na hukulazimishwa na kama unaona nakuumiza unaweza kuniacha na maisha yangu.”

PRISCA: “Leo ndo nimeprove upo na mimi kwasababu ya shida zako na huna hata tone la upendo kwangu, Ahsante nashukuru.” Akakata na simu.

Mimi sikutaka kumpigia tena simu niliamua kumpotezea na nikasema hasira zake zitakuwa sababu ya Period.

Wakati nimerudi pale mezani Mama wa2 aliniangalia afu akatabasamu

“Insider naona ulikuwa kujenga matofali”

Na mimi niliishia kucheka tu muda huu.

Tulikaa mpaka saa4 usiku ndo tukatoka pale na muda huu Mama J alikuwa akisumbua sana kwa kupiga simu.

Baada ya kuwashusha akina Mama wa2 alinipa malipo yangu na mimi nikaelekea nyumbani.

Nilimkuta wife yuko seblen anaangalia movie na mimi niliwasalimia na nikaunganisha bafuni kuoga.

Wakati nimetoka bafuni nilimkuta wife yuko kitandani amejilaza kizembe.

MIMI: “Nambie swahiba toka jana hatujaongea kabisa, hujanambia sikukuu ilikwendaje.”

WIFE: “Ilikuwa poa tu, Mama anakusalimia pia amesema uache tabia mbaya. Kwanini hupendi kujumuika na sisi?”

MIMI: “Usijali mwambie nitakwenda msalimia, na vipi kuhusu Mzee ulifanikiwa kuongea naye?”

WIFE: “Ndio alisema mwisho wa mwezi huu atanipa hizo hela.”

MIMI: “Wow nice umetisha sana swahiba, nafanya haya mambo kwaajili yako na hii bajaji tutatumia jina lako.”

WIFE: “Sawa haina shida, twende ukale maana leo nimekupikia vitamu.”

MIMI: “Sawa tangulia nakuja.”

Muda huu nilikaa kitandani maana nilikuwa nafuraha sana kuona jambo limefanikiwa tayari.

**********

Hii week baada ya Pasaka nilikuwa nashinda tu kule kwa Mzee Pama Mbweni. Asubuhi nikishawapeleka wateja wangu Posta naunganisha moja kwa moja mpaka Mbweni. Sikutakaa kaa mbali kabisa na eneo la tukio nilitaka kusimamia kila hatua kwenye ile nyumba.

Kazi ilikuwa inakimbia balaa na kwa upande mwingine mtu wa bustani alikuwa amekuja tukakubaliana bei na nikamwambia miti na maua tutakwenda nunua wote.

Mpaka kufikia jumapili nyumba ilikuwa imekamilika kila kitu kwa ndani na ilibaki vitu vidogo nje vya kumalizia kama kuweka tank na kumalizia pavings. Jumatatu ndo tulimalizia kila kitu na nikatafuta mtu wa kufanya usafi mle ndani, nje na kutengeneza barabara inayokwenda kwenye ile nyumba maana ilikuwa mbovu sana.

Kufikia jumatatu kila kitu kilikuwa kimekamilika vilibaki vitu vichache sana ambavyo sio vya lazima, lakini nyumba ilikuwa tayari kwaajili ya kuhamia.

Katika zile Pesa ambazo alinikabidhi mzee nilibakiwa na kama 3,200,000/= na hapo ndo nikajua jamaa alimpiga mzee japo pia nilipata discount kwenye mizigo ila kulikuwa na balance kubwa sana.

Niliitamani sana hii pesa lakini niliogopa jamaa anaweza kunisnitch kwa Mzee akampa hesabu za vitu na gharama zote afu nikapoteza trust kwa Mzee. Palepale nikachomoa million moja nikasema hii nitaitolea maelezo kwa Mzee ila hii amount inayobaki nitamrudishia.

***********

Kwa upande mwingine Jumapili ndo siku ambayo Pili alikuwa ana rudi shule hivyo Mama wa2 aliomba kampani yangu.

Nilitoka Mbweni kuelekea Mbezi Beach kwa Mama wa2 na saa 7 mchana nilikuwa pale.

Saa 8 mchana ndo tulitoka kuelekea Bagamoyo shuleni. Tulitumia saa moja na nusu kufika Bagamoyo shuleni na Mama wa2 alikwenda kumkabidhi.

Na hii siku walionekana Wazazi wengi wakiwarudisha watoto wao shule.

Baada ya kumuandikisha kuna sehemu tulikaa tukiwa tunaongea na mimi nilimshauri sana Pili asome kwa bidii na akae mbali na wanaume. Ilibidi nimchane ukweli ajitunze Mafisi “wazee wa kula kimasihara” sio watu wazuri Kabisa awe makini.

Pili alionekana kuwa makini sana akisikiliza ushauri wangu na nilitoa laki moja nikampa itamsaidia kama pocket money.

Niliona aibu kumwacha bila kitu afu mama yake alikuwa kanisaidia mkopo wa Pesa nyingi, niliamua kurudisha shukrani kwa njia hiyo.

Pili alishukuru na alifurahi sana, akasema next time nikamchukue na Mama yake pia alimpa Matron namba yangu incase kama kuna lolote wanaweza kunipigia na mimi. Na mama wa2 alininiandikisha mimi kama Uncle wa Pili.

Tuliondoka pale shuleni na kuanza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa tukiongea mambo mengi sana na Mama wa2.

MAMA WA2: “Insider mwanangu Pili amekuzoea haraka sana, the way ambavyo unaongea naye nilikuwa najiskia faraja sana. Baba yake hajawai hata siku moja kumpa ushauri binti yake nashukuru sana kwa leo.”

MIMI: “Pili ni kama mdogo wangu lazima nihakikishe anafikia malengo yake na kama unajambo lolote usisite kunambia.”

MAMA WA2: “Next time utamfata wakifunga shule.”

Tulitumia lisaa kufika Mbezi Beach nikamwacha kwake na mimi nikarudi zangu home mapema sana.

Usiku mzee alinicheki akanambia kesho nikamchukue Airport ndo anarudi na anatarijia kuingia saa 7 mchana na alinisisitiza sana kuwa ontime, maana tungeenda na kukagua nyumba kule Mbweni.

Asubuhi nilimka mapema na nikafanya usafi wa gari mwenyewe na baada ya kumaliza nilirudi ndani ili nipate kifungua kinywa.

*********

Tarehe 26 ndo siku ambayo mzee alirudi kutoka safari na ilikuwa ni siku ya Muungano. Na mimi mapema sana nilikuwa pale Terminal 3 nikimsubiri.

Nilimcheki dada Tyna akanambia yuko busy atanichek mida kidogo, na muda huu nilikuwa nikipiga story na yule jamaa yangu mlinzi.

Saa 8 kasoro ndo muda ambao mzee Pama aliwasili pale JNIA na nilimpokea na baada ya dakika chache tuliondoka maeneo yale.

Safari yetu ilikuwa ni kwenda moja kwa moja mpaka Mbweni ili afanye ukaguzi wa nyumba. Na tulitumia saa moja na nusu kufika pale

Mzee alifanya ukaguzi wa nyumba na aliridhika kuona jinsi ujenzi ulivyokuwa umekamilika vizuri tena kwa viwango vya hali ya juu. Pia alishangaa kuona nimetengeneza ile Barabara na imekaa vizuri, alishangaa kuona nimetengeneza bustani mpaka nje ya geti na palikuwa pamejengwa vizuri. Mzee pia alinisifu kwa kufanya usafi wa nyumba nje na ndani.

Mzee alimjengea mchepuko wake mjengo mkali sana tena wa kisasa, nyumba ilikuwa kubwa ya vyumba vinne.

MIMI: “Mzee naona unataka kuwa na Familia kubwa vyumba ni vingi sana.”

MZEE: “Nataka anizalie watoto wa3 hata pale tayari ni mjamzito.”

MIMI: “Hongera sana Mzee ni jambo la neema hilo.”

MZEE: “Kabisa, Kijana niseme Ahsante kwa kazi nzuri uliyofanya umenifurahisha sana, materials ni zenyewe hakuna ulichokosea.”

MIMI: “Mzee nilikuwa namsimamia Fundi mwanzo mwisho nilikuwa nakuja asubuhi nashinda na Mafundi jioni narudi nyumbani. Ndomana unaona kila kitu kimeenda vizuri na kwa wakati sahihi.”

MZEE: “Hii nyumba nimejenga kwa siri sana hakuna anayejua kabisa hili suala.”

MIMI: “Sasa suala la watoto vipi hutaki wajuane?”

MZEE: “Hao hakuna shida watajuana tu ila sitaki ifahamike kama mke mdogo anakaa huku italeta shida.”

MIMI: “Sawa mzee hapo nimekuelewa”

Mzee Pama alikuwa ni mzee wa umri wa miaka 60-65 alikuwa anacheza humu ila alikuwa ni dizaini ya wale wazee wajanja au wahuni.

Tulitoka pale Mbweni saa 11 jioni na Mzee alinambia nimpeleke kwake Ununio.

Wakati tumeingia kwenye gari nilifungua drow na nikatoa invoices za manunuzi na nikamkabidhi, na alianza kuzitizama muda ule.

MIMI: “Mzee na hii Pesa ndo ilibakia kwenye manunuzi.”

MZEE: “Kijana kama pesa imebaki ni yako, umefanya kazi kubwa sana. Bila kumsimamia Fundi vizuri angenipiga yule mshenzi.”

Nilimshukuru Mzee na nikawasha gari ili tuondoke eneo lile. Nilimpeleka Mzee kwake ununio na akaniahidi kunitafuta kwani kuna vitu vya kununua vingi anataka nimsaidie kusimamia.

Muda huu nilijikuta nam-miss sana Iryn kwakweli, kwani ndo ilikuwaga mida ya kwenda kwa Iryn kumchukua. Licha ya yote Iryn alikuwa ni moja ya watu wangu wa karibu sana na ilitokea kuelewana sana.

Tulikuwa tunakwenda karibu mwezi bila mawasiliano yoyote na nilikuwa sijui maendeleo yake, kipindi hiki.

Kwasababu mwisho wa mwezi ulikuwa umekaribia nikawaza muda ule niende kwake Kijitonyama. Na lengo langu ilikuwa nijishushe nimwombe msamaha kama kuna sehemu nilimkwaza.

Niliona sometimes ni bora kuwa mjinga ili mambo yako yaende ila kwa upande mwingine niliwaza hivi nikijishusha sana si ataniona mimi bwege? Yaani bila yeye maisha yangu hayaendi? Niliwaza pale ataweza kunisumbua sana huko mbeleni. Pia nilikuwa nawaza ni jambo gani ambalo limemkera mpaka kuchukua maamuzi yale?. Iryn ni mwanamke ambaye ni hatabiriki “UNPREDICTABLE”.

Saa 12 jion nilikuwa pale kwa Iryn Kijitonyama na hata sikumpigia simu niliamua kwenda bila kutoa taarifa, nilitaka iwe saprize.

Nilipark gari nje ya geti na nikafungua geti maana nilikuwa tayari mwenyeji kwenye zile apartments. Niligonga mlango wake na baada ya dakika kadhaa alitoka kufungua.

IRYN: “Ooh Insider karibu na nilikuwa nawaza nikupigie simu toka jana ili uje tumalizane maana namzigo wako.”

MIMI: “Ooh sawa ila mimi sijaja kwaajili ya hilo, nimekuja kukuona na kukujulia hali maana ni muda kidogo toka unitumie ile text ya kuterminate mkataba, pia nilitaka kujua sababu ni nini mpaka ukaamua vile.”

IRYN: “Insider hakuna sababu yoyote na hakuna jambo lolote baya ambalo umefanya, ila nataka kufocus na masuala ya mama kwa sasa.”

MIMI: “Kama hakuna jambo nililokukosea ungenipigia simu na tungekaa chini tukaongea. Iryn mimi ni binadamu sijakamilika kwa asilimia mia, kama kuna sehemu nilikukosea nisamehe. Iryn naomba utambue mimi ni Mwanaume ambaye nakuheshimu sana na bado utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwenye moyo wangu.”

IRYN: “Insider hakuna shida mimi naona wewe ndo una wasiwasi.”

MIMI: “Hapana mimi nimekuja kukuomba msamaha pale ambapo sikuwa sawa na nimekukosea. Sijaja hapa kuomba unirudishe kazini, masuala ya kazi ni yako na ni maamuzi yako wewe.”

Na muda huu Iryn hakuongea kitu bali alifunga laptop yake na kuingia chumbani na mimi nilikaa pembeni ya coach. Na baada ya dakika 3 Iryn alitoka akiwa ameshika bahasha ndogo ya kaki

IRYN: “Insider pesa zako hizi nimeweka na fine ya kuvunja mkataba na wewe.”

Na muda huu alinikabidhi ile bahasha na mimi nikasimama nikaipokea ile bahasha pale na nikaiweka mfuko wa nyuma.

MIMI: “Ahsante but nishaelewa tatizo ni nini.”

IRYN: “What do you mean?”

Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.

MIMI: “I mean hiki ndo ulichokuwa unakitaka, Iryn thank you for everything, I have missed you so much. Mimi naondoka nikutakie maisha mema ila kama utahitaji msaada wangu never hesitate to call me. Byee.!

Nilimwacha pale Iryn katika sintofahamu kwani hakuweza kuongea neno lolote muda ule na alikuwa akiniona nikipotea machoni mwake live.

Na wakati niko kwa gari nilikuwa mtu mwenye furaha sana na kama nilikuwa nimepata Nguvu mpya na nikajisemea pale “When one door closes another opens.”

TO BE CONTINUED
Ila haujamfanyia poa Prisca jamaa yangu majibu makali sana yale kwa mwanamke anayekupenda..
 
EPISODE 26

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Jumatatu ya Pasaka asubuhi nilifanya mawasiliano na yule constructor wa Mzee na nikamwambia baada ya lisaa nitakuwa Mbweni na yeye alisema yuko njiani ndo anaelekea.

Kwa upande mwingine yale materials ya kununua nilimtumia picha Mzee Mollel na alinisaidia kunitajia bei na kunipa connection kwa sehem yanakopatikana, alinitumia namba za baadhi ya masupplier akanambia nikiwapigia simu niwaambie yeye ndo amenikonekti.

Baada ya kufika Mbweni nilikuta kazi zikiendelea na mimi niliwasalimia Mafundi na Jamaa alikuwa amefika tayari.

Sababu alikuwa anajua kinachoendelea pamoja na ujio wangu, hata hakuwa na maswali zaidi alisema nimpe pesa akanunue materials.

“Kwenye kununua materials tutakwenda wote mkuu usiwe na wasiwasi.”

Na muda huu nilifanya kuwasiliana na baadhi ya supplier na tukapata mmoja pale Africana ndo alikuwa na bei nzuri.

Tulikwenda wote na Jamaa mpaka Africana kuna duka kubwa sana pale lipo mataa ya Africana, mkono wa kushoto kama unakwenda Juliana.

Tulifanya manunuzi ya materials mbalimbali na tukarudi Mbweni, vifaa vyote nilisimamimia manunuzi. Jamaa kama alimind hivi kwanza, pia hakuwa akiamini kuona nayajua maduka vile, kumbe nyuma ya Pazia alikuwepo mzee Mollel anayenipa CODE.

Sababu hii siku nilikuwa na miadi na Mama wa2, nilimwaga jamaa na nikaondoka. Nilitoka pale Mbweni kuelekea Mbezi Beach na muda huo ilikuwa saa 6 kasoro za mchana.

Hii siku tulikuwa tunakwenda kumpokea mdogo wake Airport na kuhusu kwenda kuangalia nyumba yake alisema tutakwenda siku nyingine.

Mama wa2 alitumia dakika 30 kutoka ndani na tukaelekea Airport.

“Insider Unaendeleaje.”

“Safi tu, mgeni ataingia sangapi?”

“Saa 8 atakuwa amefika tayari.”

Tuliwasili pale JNIA na tulikwenda moja kwa moja mpaka Terminal 2 ndo tukapark gari. Tuliamua kwenda kukaa kwenye kimgahawa tukimsubiri mgeni.

“Insider leo jioni nataka twende Masaki na wanangu tukatembee.”

“Sawa haina shida mimi nipo free leo.”

“Nilipata taarifa Uber wanasitisha huduma zao vipi kwako utafanyaje?.”

“Kwa wateja wa Card na kampuni bado wanaendelea ila wanaotumia card ni wachache sana, wateja wa cash ndo wengi kwa bongo hapa. Sio mbaya sana lakini maana Bolt bado wapo japo imeniathiri sana.”

“Pole sana ndo changamoto hizo naamini watarudi soon.”

“Ni mambo yanayohusisha serikali acha tuone itakuwaje.”

Suala la Uber kusitisha huduma zao kwa upande wa magari ni kutokana na LATRA kuwataka kupunguza kamisheni zao kutoka 25% mpaka 15%. Madereva wa Tax mtandao wolilamika kwa mamlaka husika kuwa hizi kampuni zinatoza kamisheni kubwa sana. Uber hawakuwa tayari kupunguza kamisheni zao kwani walisema wanatozwa kodi na tozo kibao hivyo wangeendesha biashara kwa hasara.

Tuliendelea kukaa pale na Mama wa2 huku story zikiendelea maana ndege ilichelewa kutoka KIA kwa taarifa ambazo Mama wa2 alizipata.

Saa 9 kasoro ndege iliwasili na na baada ya dakika 15 mamdogo alitoka na wakakumbatiana na dada yake pale. Walionekana kumisiana sana.

Nilimsaidia kubeba bag lake na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na tukaanza safari ya kurudi Mbezi Beach.

MAMA WA2: “Insider huyu ndo mdogo wangu wa mwisho anaitwa Joana.

MIMI: “Nimeona pia mmefanana sana, Joana karibu sana Dar es Salaam.”

“Ahsante.”

MAMA WA2: “Huyu anaitwa Insider ni mtu wangu wa karibu sana.”

MIMI: “Mama mkwe hujawai kunambia kuwa una mdogo mzuri hivi.”

Na wote waliishia kucheka muda huu na walikuwa wamekaa siti za nyuma.

Njiani walikiwa busy sana wakiongea mambo yao na tulitumia kama dk40 kufika nyumbani maana hakukuwa na foleni kabisa.

Tuliingia ndani muda ule na mimi nikatoa bag la mgeni nikaingiza ndani.

Baada ya kuingia ndani mamdogo alisalimiana na kina Rachel na Pili na mimi muda huu nilikuwa nawaza msosi maana njaa ilikuwa inanigonga balaa, toka asubuhi nilikuwa sijaingiza chochote tumboni.

Mama wa2 alitukaribisha dining kwaajili ya lunch na mimi ndo nilikuwa wakwanza kufika pale. Nilikuwa nimeshapazoea kwa Mama wa2 ilikuwa kama niko nyumbani tu.

Na wakati tuko dining Mama wa2 aliwaambia bint zake wajiandae kwaajili ya kutoka out. Mama wa2 alikuwa busy sana na mdogo wake hii siku hata nilipomaliza kula nilimshukuru kwa chakula na mimi nikaenda kukaa seblen.

Joana pia alikwenda kujiandaa na wakati huo bint zake walikuwa wako tayari wamejiandaa.

MAMA WA2: “Insider tunakwenda wapi eti?”

PILI: “Mama twende Slip way.”

MIMI: “Kama watoto wanataka kwenda huko tuwapeleke haina shida.”

MAMA WA2: “Bhasi tutakwenda huko.”

Na muda huu akina Pili na Rachel walionekana kufurahia sana kwenda huko.

Baada ya dakika 20 mamdogo alikuwa naye kajiandaa na ametoka hao tukaanza safari na muda huo ilikuwa saa 11 jioni.

Tulitumia dakika 25 kufika eneo lile na hii siku palionekana kuwa busy sana na tulikwenda upande wa chini wa Restaurant.

Tulitafuta sehemu nzuri ya kutosha watu sita na tukakaa, kwenye hii meza mimi pekee ndo nilikuwa mwanaume pale na hii ilikuwa ikinipa ufahari flani hivi.

Kila mtu aliagiza anachotaka kwa upande wangu sikutaka kuagiza chakula maana nilikuwa nimeshiba, niliagiza heineken 3 tu maana sikutaka kulewa hii siku. Kwa upande mwingine mama wawili aliagiza bucket ya Savanna kwaajili yake na mdogo wake.

Story zilikuwa zimetawala meza yetu tukicheka na mimi nilikuwa nimekaa karibu na Pili nampigisha story sana,

Sasa wakati dada analeta vinywaji Pili alishangaa sana kuona dada kaniwekea heineken pale mezani.

PILI: “Uncle Insider na wewe unakunywa kumbe?”

MIMI: “Nakunywa kwaajili yako hapa.”

PILI: “Toka hapa! mimi situmii pombe”

MIMI: “Wewe ni mchaga soon utaanza kutumia, muulize mama yako alianzaje kutumia. Unataka sikuonjeshe kidogo?”

PILI: “Aku sitaki mimi. Kwanza Baba yangu sio Mchagga”

Pili alikuwa kashanizoea kwa muda mfupi hata Mama wa2 alishangaa sana kuona Pili kanizoea haraka vile.

Mida ya saa moja usiku wakati tukiendelea kunywa na kupiga story, Prisca alinipigia simu, nikaamua kutoka eneo lile ili nikaongee naye mbali na pale.

PRISCA: “Hello baby how you doing?”

MIMI: “Niko poa za toka jana.”

PRISCA: “Safi tu, nimekumiss”

MIMI: “Jana ulinambia mnatoka as family nipe ripoti.”

PRISCA: “Insider ungekuwa unanijali ungekuwa ulinipigia simu na ukajua kinachoendelea.”

MIMI: “Aisee, nijue kinachoendelea kwenye mambo ya familia yenu?, naona kama unanikosea.”

PRISCA: “Sasa unataka ripoti ya nini?”

MIMI: “Ripoti niliyotaka mimi nijue ulirudi sangapi, Jana sikutaka kukutafuta maana nilijua utakuwa busy na Familia.”

PRISCA: “Okay we had funny yesterday, inshort we enjoyed.”

MIMI: “Nice na uko wapi kwa sasa?”

PRISCA: “Niko home nimelala on bed. Nimekumiss nataka nikuone.”

MIMI: “Acha uongo unanimisije na upo period?”

PRISCA: “Insider unataka kumaanisha kwasababu niko period siwezi onana na wewe? You only want sex from me that's all you care about.”

MIMI: “Prisca mimi naona hayo ni mawazo yako, ila naomba utambue kitu kimoja. Usifikiri mimi kama napenda sana kumchepuka Mama Junior na ninampenda sana. Unapaswa kunipa vile navyokosa kwa Mama Junior na sio kulalamika, kumbuka ulichagua mwenyewe na hukulazimishwa na kama unaona nakuumiza unaweza kuniacha na maisha yangu.”

PRISCA: “Leo ndo nimeprove upo na mimi kwasababu ya shida zako na huna hata tone la upendo kwangu, Ahsante nashukuru.” Akakata na simu.

Mimi sikutaka kumpigia tena simu niliamua kumpotezea na nikasema hasira zake zitakuwa sababu ya Period.

Wakati nimerudi pale mezani Mama wa2 aliniangalia afu akatabasamu

“Insider naona ulikuwa kujenga matofali”

Na mimi niliishia kucheka tu muda huu.

Tulikaa mpaka saa4 usiku ndo tukatoka pale na muda huu Mama J alikuwa akisumbua sana kwa kupiga simu.

Baada ya kuwashusha akina Mama wa2 alinipa malipo yangu na mimi nikaelekea nyumbani.

Nilimkuta wife yuko seblen anaangalia movie na mimi niliwasalimia na nikaunganisha bafuni kuoga.

Wakati nimetoka bafuni nilimkuta wife yuko kitandani amejilaza kizembe.

MIMI: “Nambie swahiba toka jana hatujaongea kabisa, hujanambia sikukuu ilikwendaje.”

WIFE: “Ilikuwa poa tu, Mama anakusalimia pia amesema uache tabia mbaya. Kwanini hupendi kujumuika na sisi?”

MIMI: “Usijali mwambie nitakwenda msalimia, na vipi kuhusu Mzee ulifanikiwa kuongea naye?”

WIFE: “Ndio alisema mwisho wa mwezi huu atanipa hizo hela.”

MIMI: “Wow nice umetisha sana swahiba, nafanya haya mambo kwaajili yako na hii bajaji tutatumia jina lako.”

WIFE: “Sawa haina shida, twende ukale maana leo nimekupikia vitamu.”

MIMI: “Sawa tangulia nakuja.”

Muda huu nilikaa kitandani maana nilikuwa nafuraha sana kuona jambo limefanikiwa tayari.

**********

Hii week baada ya Pasaka nilikuwa nashinda tu kule kwa Mzee Pama Mbweni. Asubuhi nikishawapeleka wateja wangu Posta naunganisha moja kwa moja mpaka Mbweni. Sikutakaa kaa mbali kabisa na eneo la tukio nilitaka kusimamia kila hatua kwenye ile nyumba.

Kazi ilikuwa inakimbia balaa na kwa upande mwingine mtu wa bustani alikuwa amekuja tukakubaliana bei na nikamwambia miti na maua tutakwenda nunua wote.

Mpaka kufikia jumapili nyumba ilikuwa imekamilika kila kitu kwa ndani na ilibaki vitu vidogo nje vya kumalizia kama kuweka tank na kumalizia pavings. Jumatatu ndo tulimalizia kila kitu na nikatafuta mtu wa kufanya usafi mle ndani, nje na kutengeneza barabara inayokwenda kwenye ile nyumba maana ilikuwa mbovu sana.

Kufikia jumatatu kila kitu kilikuwa kimekamilika vilibaki vitu vichache sana ambavyo sio vya lazima, lakini nyumba ilikuwa tayari kwaajili ya kuhamia.

Katika zile Pesa ambazo alinikabidhi mzee nilibakiwa na kama 3,200,000/= na hapo ndo nikajua jamaa alimpiga mzee japo pia nilipata discount kwenye mizigo ila kulikuwa na balance kubwa sana.

Niliitamani sana hii pesa lakini niliogopa jamaa anaweza kunisnitch kwa Mzee akampa hesabu za vitu na gharama zote afu nikapoteza trust kwa Mzee. Palepale nikachomoa million moja nikasema hii nitaitolea maelezo kwa Mzee ila hii amount inayobaki nitamrudishia.

***********

Kwa upande mwingine Jumapili ndo siku ambayo Pili alikuwa ana rudi shule hivyo Mama wa2 aliomba kampani yangu.

Nilitoka Mbweni kuelekea Mbezi Beach kwa Mama wa2 na saa 7 mchana nilikuwa pale.

Saa 8 mchana ndo tulitoka kuelekea Bagamoyo shuleni. Tulitumia saa moja na nusu kufika Bagamoyo shuleni na Mama wa2 alikwenda kumkabidhi.

Na hii siku walionekana Wazazi wengi wakiwarudisha watoto wao shule.

Baada ya kumuandikisha kuna sehemu tulikaa tukiwa tunaongea na mimi nilimshauri sana Pili asome kwa bidii na akae mbali na wanaume. Ilibidi nimchane ukweli ajitunze Mafisi “wazee wa kula kimasihara” sio watu wazuri Kabisa awe makini.

Pili alionekana kuwa makini sana akisikiliza ushauri wangu na nilitoa laki moja nikampa itamsaidia kama pocket money.

Niliona aibu kumwacha bila kitu afu mama yake alikuwa kanisaidia mkopo wa Pesa nyingi, niliamua kurudisha shukrani kwa njia hiyo.

Pili alishukuru na alifurahi sana, akasema next time nikamchukue na Mama yake pia alimpa Matron namba yangu incase kama kuna lolote wanaweza kunipigia na mimi. Na mama wa2 alininiandikisha mimi kama Uncle wa Pili.

Tuliondoka pale shuleni na kuanza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa tukiongea mambo mengi sana na Mama wa2.

MAMA WA2: “Insider mwanangu Pili amekuzoea haraka sana, the way ambavyo unaongea naye nilikuwa najiskia faraja sana. Baba yake hajawai hata siku moja kumpa ushauri binti yake nashukuru sana kwa leo.”

MIMI: “Pili ni kama mdogo wangu lazima nihakikishe anafikia malengo yake na kama unajambo lolote usisite kunambia.”

MAMA WA2: “Next time utamfata wakifunga shule.”

Tulitumia lisaa kufika Mbezi Beach nikamwacha kwake na mimi nikarudi zangu home mapema sana.

Usiku mzee alinicheki akanambia kesho nikamchukue Airport ndo anarudi na anatarijia kuingia saa 7 mchana na alinisisitiza sana kuwa ontime, maana tungeenda na kukagua nyumba kule Mbweni.

Asubuhi nilimka mapema na nikafanya usafi wa gari mwenyewe na baada ya kumaliza nilirudi ndani ili nipate kifungua kinywa.

*********

Tarehe 26 ndo siku ambayo mzee alirudi kutoka safari na ilikuwa ni siku ya Muungano. Na mimi mapema sana nilikuwa pale Terminal 3 nikimsubiri.

Nilimcheki dada Tyna akanambia yuko busy atanichek mida kidogo, na muda huu nilikuwa nikipiga story na yule jamaa yangu mlinzi.

Saa 8 kasoro ndo muda ambao mzee Pama aliwasili pale JNIA na nilimpokea na baada ya dakika chache tuliondoka maeneo yale.

Safari yetu ilikuwa ni kwenda moja kwa moja mpaka Mbweni ili afanye ukaguzi wa nyumba. Na tulitumia saa moja na nusu kufika pale

Mzee alifanya ukaguzi wa nyumba na aliridhika kuona jinsi ujenzi ulivyokuwa umekamilika vizuri tena kwa viwango vya hali ya juu. Pia alishangaa kuona nimetengeneza ile Barabara na imekaa vizuri, alishangaa kuona nimetengeneza bustani mpaka nje ya geti na palikuwa pamejengwa vizuri. Mzee pia alinisifu kwa kufanya usafi wa nyumba nje na ndani.

Mzee alimjengea mchepuko wake mjengo mkali sana tena wa kisasa, nyumba ilikuwa kubwa ya vyumba vinne.

MIMI: “Mzee naona unataka kuwa na Familia kubwa vyumba ni vingi sana.”

MZEE: “Nataka anizalie watoto wa3 hata pale tayari ni mjamzito.”

MIMI: “Hongera sana Mzee ni jambo la neema hilo.”

MZEE: “Kabisa, Kijana niseme Ahsante kwa kazi nzuri uliyofanya umenifurahisha sana, materials ni zenyewe hakuna ulichokosea.”

MIMI: “Mzee nilikuwa namsimamia Fundi mwanzo mwisho nilikuwa nakuja asubuhi nashinda na Mafundi jioni narudi nyumbani. Ndomana unaona kila kitu kimeenda vizuri na kwa wakati sahihi.”

MZEE: “Hii nyumba nimejenga kwa siri sana hakuna anayejua kabisa hili suala.”

MIMI: “Sasa suala la watoto vipi hutaki wajuane?”

MZEE: “Hao hakuna shida watajuana tu ila sitaki ifahamike kama mke mdogo anakaa huku italeta shida.”

MIMI: “Sawa mzee hapo nimekuelewa”

Mzee Pama alikuwa ni mzee wa umri wa miaka 60-65 alikuwa anacheza humu ila alikuwa ni dizaini ya wale wazee wajanja au wahuni.

Tulitoka pale Mbweni saa 11 jioni na Mzee alinambia nimpeleke kwake Ununio.

Wakati tumeingia kwenye gari nilifungua drow na nikatoa invoices za manunuzi na nikamkabidhi, na alianza kuzitizama muda ule.

MIMI: “Mzee na hii Pesa ndo ilibakia kwenye manunuzi.”

MZEE: “Kijana kama pesa imebaki ni yako, umefanya kazi kubwa sana. Bila kumsimamia Fundi vizuri angenipiga yule mshenzi.”

Nilimshukuru Mzee na nikawasha gari ili tuondoke eneo lile. Nilimpeleka Mzee kwake ununio na akaniahidi kunitafuta kwani kuna vitu vya kununua vingi anataka nimsaidie kusimamia.

Muda huu nilijikuta nam-miss sana Iryn kwakweli, kwani ndo ilikuwaga mida ya kwenda kwa Iryn kumchukua. Licha ya yote Iryn alikuwa ni moja ya watu wangu wa karibu sana na ilitokea kuelewana sana.

Tulikuwa tunakwenda karibu mwezi bila mawasiliano yoyote na nilikuwa sijui maendeleo yake, kipindi hiki.

Kwasababu mwisho wa mwezi ulikuwa umekaribia nikawaza muda ule niende kwake Kijitonyama. Na lengo langu ilikuwa nijishushe nimwombe msamaha kama kuna sehemu nilimkwaza.

Niliona sometimes ni bora kuwa mjinga ili mambo yako yaende ila kwa upande mwingine niliwaza hivi nikijishusha sana si ataniona mimi bwege? Yaani bila yeye maisha yangu hayaendi? Niliwaza pale ataweza kunisumbua sana huko mbeleni. Pia nilikuwa nawaza ni jambo gani ambalo limemkera mpaka kuchukua maamuzi yale?. Iryn ni mwanamke ambaye ni hatabiriki “UNPREDICTABLE”.

Saa 12 jion nilikuwa pale kwa Iryn Kijitonyama na hata sikumpigia simu niliamua kwenda bila kutoa taarifa, nilitaka iwe saprize.

Nilipark gari nje ya geti na nikafungua geti maana nilikuwa tayari mwenyeji kwenye zile apartments. Niligonga mlango wake na baada ya dakika kadhaa alitoka kufungua.

IRYN: “Ooh Insider karibu na nilikuwa nawaza nikupigie simu toka jana ili uje tumalizane maana namzigo wako.”

MIMI: “Ooh sawa ila mimi sijaja kwaajili ya hilo, nimekuja kukuona na kukujulia hali maana ni muda kidogo toka unitumie ile text ya kuterminate mkataba, pia nilitaka kujua sababu ni nini mpaka ukaamua vile.”

IRYN: “Insider hakuna sababu yoyote na hakuna jambo lolote baya ambalo umefanya, ila nataka kufocus na masuala ya mama kwa sasa.”

MIMI: “Kama hakuna jambo nililokukosea ungenipigia simu na tungekaa chini tukaongea. Iryn mimi ni binadamu sijakamilika kwa asilimia mia, kama kuna sehemu nilikukosea nisamehe. Iryn naomba utambue mimi ni Mwanaume ambaye nakuheshimu sana na bado utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwenye moyo wangu.”

IRYN: “Insider hakuna shida mimi naona wewe ndo una wasiwasi.”

MIMI: “Hapana mimi nimekuja kukuomba msamaha pale ambapo sikuwa sawa na nimekukosea. Sijaja hapa kuomba unirudishe kazini, masuala ya kazi ni yako na ni maamuzi yako wewe.”

Na muda huu Iryn hakuongea kitu bali alifunga laptop yake na kuingia chumbani na mimi nilikaa pembeni ya coach. Na baada ya dakika 3 Iryn alitoka akiwa ameshika bahasha ndogo ya kaki

IRYN: “Insider pesa zako hizi nimeweka na fine ya kuvunja mkataba na wewe.”

Na muda huu alinikabidhi ile bahasha na mimi nikasimama nikaipokea ile bahasha pale na nikaiweka mfuko wa nyuma.

MIMI: “Ahsante but nishaelewa tatizo ni nini.”

IRYN: “What do you mean?”

Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.

MIMI: “I mean hiki ndo ulichokuwa unakitaka, Iryn thank you for everything, I have missed you so much. Mimi naondoka nikutakie maisha mema ila kama utahitaji msaada wangu never hesitate to call me. Byee.!

Nilimwacha pale Iryn katika sintofahamu kwani hakuweza kuongea neno lolote muda ule na alikuwa akiniona nikipotea machoni mwake live.

Na wakati niko kwa gari nilikuwa mtu mwenye furaha sana na kama nilikuwa nimepata Nguvu mpya na nikajisemea pale “When one door closes another opens.”

TO BE CONTINUED
Imeishia patamuuu
 
EPISODE 26

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Jumatatu ya Pasaka asubuhi nilifanya mawasiliano na yule constructor wa Mzee na nikamwambia baada ya lisaa nitakuwa Mbweni na yeye alisema yuko njiani ndo anaelekea.

Kwa upande mwingine yale materials ya kununua nilimtumia picha Mzee Mollel na alinisaidia kunitajia bei na kunipa connection kwa sehem yanakopatikana, alinitumia namba za baadhi ya masupplier akanambia nikiwapigia simu niwaambie yeye ndo amenikonekti.

Baada ya kufika Mbweni nilikuta kazi zikiendelea na mimi niliwasalimia Mafundi na Jamaa alikuwa amefika tayari.

Sababu alikuwa anajua kinachoendelea pamoja na ujio wangu, hata hakuwa na maswali zaidi alisema nimpe pesa akanunue materials.

“Kwenye kununua materials tutakwenda wote mkuu usiwe na wasiwasi.”

Na muda huu nilifanya kuwasiliana na baadhi ya supplier na tukapata mmoja pale Africana ndo alikuwa na bei nzuri.

Tulikwenda wote na Jamaa mpaka Africana kuna duka kubwa sana pale lipo mataa ya Africana, mkono wa kushoto kama unakwenda Juliana.

Tulifanya manunuzi ya materials mbalimbali na tukarudi Mbweni, vifaa vyote nilisimamimia manunuzi. Jamaa kama alimind hivi kwanza, pia hakuwa akiamini kuona nayajua maduka vile, kumbe nyuma ya Pazia alikuwepo mzee Mollel anayenipa CODE.

Sababu hii siku nilikuwa na miadi na Mama wa2, nilimwaga jamaa na nikaondoka. Nilitoka pale Mbweni kuelekea Mbezi Beach na muda huo ilikuwa saa 6 kasoro za mchana.

Hii siku tulikuwa tunakwenda kumpokea mdogo wake Airport na kuhusu kwenda kuangalia nyumba yake alisema tutakwenda siku nyingine.

Mama wa2 alitumia dakika 30 kutoka ndani na tukaelekea Airport.

“Insider Unaendeleaje.”

“Safi tu, mgeni ataingia sangapi?”

“Saa 8 atakuwa amefika tayari.”

Tuliwasili pale JNIA na tulikwenda moja kwa moja mpaka Terminal 2 ndo tukapark gari. Tuliamua kwenda kukaa kwenye kimgahawa tukimsubiri mgeni.

“Insider leo jioni nataka twende Masaki na wanangu tukatembee.”

“Sawa haina shida mimi nipo free leo.”

“Nilipata taarifa Uber wanasitisha huduma zao vipi kwako utafanyaje?.”

“Kwa wateja wa Card na kampuni bado wanaendelea ila wanaotumia card ni wachache sana, wateja wa cash ndo wengi kwa bongo hapa. Sio mbaya sana lakini maana Bolt bado wapo japo imeniathiri sana.”

“Pole sana ndo changamoto hizo naamini watarudi soon.”

“Ni mambo yanayohusisha serikali acha tuone itakuwaje.”

Suala la Uber kusitisha huduma zao kwa upande wa magari ni kutokana na LATRA kuwataka kupunguza kamisheni zao kutoka 25% mpaka 15%. Madereva wa Tax mtandao wolilamika kwa mamlaka husika kuwa hizi kampuni zinatoza kamisheni kubwa sana. Uber hawakuwa tayari kupunguza kamisheni zao kwani walisema wanatozwa kodi na tozo kibao hivyo wangeendesha biashara kwa hasara.

Tuliendelea kukaa pale na Mama wa2 huku story zikiendelea maana ndege ilichelewa kutoka KIA kwa taarifa ambazo Mama wa2 alizipata.

Saa 9 kasoro ndege iliwasili na na baada ya dakika 15 mamdogo alitoka na wakakumbatiana na dada yake pale. Walionekana kumisiana sana.

Nilimsaidia kubeba bag lake na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na tukaanza safari ya kurudi Mbezi Beach.

MAMA WA2: “Insider huyu ndo mdogo wangu wa mwisho anaitwa Joana.

MIMI: “Nimeona pia mmefanana sana, Joana karibu sana Dar es Salaam.”

“Ahsante.”

MAMA WA2: “Huyu anaitwa Insider ni mtu wangu wa karibu sana.”

MIMI: “Mama mkwe hujawai kunambia kuwa una mdogo mzuri hivi.”

Na wote waliishia kucheka muda huu na walikuwa wamekaa siti za nyuma.

Njiani walikiwa busy sana wakiongea mambo yao na tulitumia kama dk40 kufika nyumbani maana hakukuwa na foleni kabisa.

Tuliingia ndani muda ule na mimi nikatoa bag la mgeni nikaingiza ndani.

Baada ya kuingia ndani mamdogo alisalimiana na kina Rachel na Pili na mimi muda huu nilikuwa nawaza msosi maana njaa ilikuwa inanigonga balaa, toka asubuhi nilikuwa sijaingiza chochote tumboni.

Mama wa2 alitukaribisha dining kwaajili ya lunch na mimi ndo nilikuwa wakwanza kufika pale. Nilikuwa nimeshapazoea kwa Mama wa2 ilikuwa kama niko nyumbani tu.

Na wakati tuko dining Mama wa2 aliwaambia bint zake wajiandae kwaajili ya kutoka out. Mama wa2 alikuwa busy sana na mdogo wake hii siku hata nilipomaliza kula nilimshukuru kwa chakula na mimi nikaenda kukaa seblen.

Joana pia alikwenda kujiandaa na wakati huo bint zake walikuwa wako tayari wamejiandaa.

MAMA WA2: “Insider tunakwenda wapi eti?”

PILI: “Mama twende Slip way.”

MIMI: “Kama watoto wanataka kwenda huko tuwapeleke haina shida.”

MAMA WA2: “Bhasi tutakwenda huko.”

Na muda huu akina Pili na Rachel walionekana kufurahia sana kwenda huko.

Baada ya dakika 20 mamdogo alikuwa naye kajiandaa na ametoka hao tukaanza safari na muda huo ilikuwa saa 11 jioni.

Tulitumia dakika 25 kufika eneo lile na hii siku palionekana kuwa busy sana na tulikwenda upande wa chini wa Restaurant.

Tulitafuta sehemu nzuri ya kutosha watu sita na tukakaa, kwenye hii meza mimi pekee ndo nilikuwa mwanaume pale na hii ilikuwa ikinipa ufahari flani hivi.

Kila mtu aliagiza anachotaka kwa upande wangu sikutaka kuagiza chakula maana nilikuwa nimeshiba, niliagiza heineken 3 tu maana sikutaka kulewa hii siku. Kwa upande mwingine mama wawili aliagiza bucket ya Savanna kwaajili yake na mdogo wake.

Story zilikuwa zimetawala meza yetu tukicheka na mimi nilikuwa nimekaa karibu na Pili nampigisha story sana,

Sasa wakati dada analeta vinywaji Pili alishangaa sana kuona dada kaniwekea heineken pale mezani.

PILI: “Uncle Insider na wewe unakunywa kumbe?”

MIMI: “Nakunywa kwaajili yako hapa.”

PILI: “Toka hapa! mimi situmii pombe”

MIMI: “Wewe ni mchaga soon utaanza kutumia, muulize mama yako alianzaje kutumia. Unataka sikuonjeshe kidogo?”

PILI: “Aku sitaki mimi. Kwanza Baba yangu sio Mchagga”

Pili alikuwa kashanizoea kwa muda mfupi hata Mama wa2 alishangaa sana kuona Pili kanizoea haraka vile.

Mida ya saa moja usiku wakati tukiendelea kunywa na kupiga story, Prisca alinipigia simu, nikaamua kutoka eneo lile ili nikaongee naye mbali na pale.

PRISCA: “Hello baby how you doing?”

MIMI: “Niko poa za toka jana.”

PRISCA: “Safi tu, nimekumiss”

MIMI: “Jana ulinambia mnatoka as family nipe ripoti.”

PRISCA: “Insider ungekuwa unanijali ungekuwa ulinipigia simu na ukajua kinachoendelea.”

MIMI: “Aisee, nijue kinachoendelea kwenye mambo ya familia yenu?, naona kama unanikosea.”

PRISCA: “Sasa unataka ripoti ya nini?”

MIMI: “Ripoti niliyotaka mimi nijue ulirudi sangapi, Jana sikutaka kukutafuta maana nilijua utakuwa busy na Familia.”

PRISCA: “Okay we had funny yesterday, inshort we enjoyed.”

MIMI: “Nice na uko wapi kwa sasa?”

PRISCA: “Niko home nimelala on bed. Nimekumiss nataka nikuone.”

MIMI: “Acha uongo unanimisije na upo period?”

PRISCA: “Insider unataka kumaanisha kwasababu niko period siwezi onana na wewe? You only want sex from me that's all you care about.”

MIMI: “Prisca mimi naona hayo ni mawazo yako, ila naomba utambue kitu kimoja. Usifikiri mimi kama napenda sana kumchepuka Mama Junior na ninampenda sana. Unapaswa kunipa vile navyokosa kwa Mama Junior na sio kulalamika, kumbuka ulichagua mwenyewe na hukulazimishwa na kama unaona nakuumiza unaweza kuniacha na maisha yangu.”

PRISCA: “Leo ndo nimeprove upo na mimi kwasababu ya shida zako na huna hata tone la upendo kwangu, Ahsante nashukuru.” Akakata na simu.

Mimi sikutaka kumpigia tena simu niliamua kumpotezea na nikasema hasira zake zitakuwa sababu ya Period.

Wakati nimerudi pale mezani Mama wa2 aliniangalia afu akatabasamu

“Insider naona ulikuwa kujenga matofali”

Na mimi niliishia kucheka tu muda huu.

Tulikaa mpaka saa4 usiku ndo tukatoka pale na muda huu Mama J alikuwa akisumbua sana kwa kupiga simu.

Baada ya kuwashusha akina Mama wa2 alinipa malipo yangu na mimi nikaelekea nyumbani.

Nilimkuta wife yuko seblen anaangalia movie na mimi niliwasalimia na nikaunganisha bafuni kuoga.

Wakati nimetoka bafuni nilimkuta wife yuko kitandani amejilaza kizembe.

MIMI: “Nambie swahiba toka jana hatujaongea kabisa, hujanambia sikukuu ilikwendaje.”

WIFE: “Ilikuwa poa tu, Mama anakusalimia pia amesema uache tabia mbaya. Kwanini hupendi kujumuika na sisi?”

MIMI: “Usijali mwambie nitakwenda msalimia, na vipi kuhusu Mzee ulifanikiwa kuongea naye?”

WIFE: “Ndio alisema mwisho wa mwezi huu atanipa hizo hela.”

MIMI: “Wow nice umetisha sana swahiba, nafanya haya mambo kwaajili yako na hii bajaji tutatumia jina lako.”

WIFE: “Sawa haina shida, twende ukale maana leo nimekupikia vitamu.”

MIMI: “Sawa tangulia nakuja.”

Muda huu nilikaa kitandani maana nilikuwa nafuraha sana kuona jambo limefanikiwa tayari.

**********

Hii week baada ya Pasaka nilikuwa nashinda tu kule kwa Mzee Pama Mbweni. Asubuhi nikishawapeleka wateja wangu Posta naunganisha moja kwa moja mpaka Mbweni. Sikutakaa kaa mbali kabisa na eneo la tukio nilitaka kusimamia kila hatua kwenye ile nyumba.

Kazi ilikuwa inakimbia balaa na kwa upande mwingine mtu wa bustani alikuwa amekuja tukakubaliana bei na nikamwambia miti na maua tutakwenda nunua wote.

Mpaka kufikia jumapili nyumba ilikuwa imekamilika kila kitu kwa ndani na ilibaki vitu vidogo nje vya kumalizia kama kuweka tank na kumalizia pavings. Jumatatu ndo tulimalizia kila kitu na nikatafuta mtu wa kufanya usafi mle ndani, nje na kutengeneza barabara inayokwenda kwenye ile nyumba maana ilikuwa mbovu sana.

Kufikia jumatatu kila kitu kilikuwa kimekamilika vilibaki vitu vichache sana ambavyo sio vya lazima, lakini nyumba ilikuwa tayari kwaajili ya kuhamia.

Katika zile Pesa ambazo alinikabidhi mzee nilibakiwa na kama 3,200,000/= na hapo ndo nikajua jamaa alimpiga mzee japo pia nilipata discount kwenye mizigo ila kulikuwa na balance kubwa sana.

Niliitamani sana hii pesa lakini niliogopa jamaa anaweza kunisnitch kwa Mzee akampa hesabu za vitu na gharama zote afu nikapoteza trust kwa Mzee. Palepale nikachomoa million moja nikasema hii nitaitolea maelezo kwa Mzee ila hii amount inayobaki nitamrudishia.

***********

Kwa upande mwingine Jumapili ndo siku ambayo Pili alikuwa ana rudi shule hivyo Mama wa2 aliomba kampani yangu.

Nilitoka Mbweni kuelekea Mbezi Beach kwa Mama wa2 na saa 7 mchana nilikuwa pale.

Saa 8 mchana ndo tulitoka kuelekea Bagamoyo shuleni. Tulitumia saa moja na nusu kufika Bagamoyo shuleni na Mama wa2 alikwenda kumkabidhi.

Na hii siku walionekana Wazazi wengi wakiwarudisha watoto wao shule.

Baada ya kumuandikisha kuna sehemu tulikaa tukiwa tunaongea na mimi nilimshauri sana Pili asome kwa bidii na akae mbali na wanaume. Ilibidi nimchane ukweli ajitunze Mafisi “wazee wa kula kimasihara” sio watu wazuri Kabisa awe makini.

Pili alionekana kuwa makini sana akisikiliza ushauri wangu na nilitoa laki moja nikampa itamsaidia kama pocket money.

Niliona aibu kumwacha bila kitu afu mama yake alikuwa kanisaidia mkopo wa Pesa nyingi, niliamua kurudisha shukrani kwa njia hiyo.

Pili alishukuru na alifurahi sana, akasema next time nikamchukue na Mama yake pia alimpa Matron namba yangu incase kama kuna lolote wanaweza kunipigia na mimi. Na mama wa2 alininiandikisha mimi kama Uncle wa Pili.

Tuliondoka pale shuleni na kuanza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa tukiongea mambo mengi sana na Mama wa2.

MAMA WA2: “Insider mwanangu Pili amekuzoea haraka sana, the way ambavyo unaongea naye nilikuwa najiskia faraja sana. Baba yake hajawai hata siku moja kumpa ushauri binti yake nashukuru sana kwa leo.”

MIMI: “Pili ni kama mdogo wangu lazima nihakikishe anafikia malengo yake na kama unajambo lolote usisite kunambia.”

MAMA WA2: “Next time utamfata wakifunga shule.”

Tulitumia lisaa kufika Mbezi Beach nikamwacha kwake na mimi nikarudi zangu home mapema sana.

Usiku mzee alinicheki akanambia kesho nikamchukue Airport ndo anarudi na anatarijia kuingia saa 7 mchana na alinisisitiza sana kuwa ontime, maana tungeenda na kukagua nyumba kule Mbweni.

Asubuhi nilimka mapema na nikafanya usafi wa gari mwenyewe na baada ya kumaliza nilirudi ndani ili nipate kifungua kinywa.

*********

Tarehe 26 ndo siku ambayo mzee alirudi kutoka safari na ilikuwa ni siku ya Muungano. Na mimi mapema sana nilikuwa pale Terminal 3 nikimsubiri.

Nilimcheki dada Tyna akanambia yuko busy atanichek mida kidogo, na muda huu nilikuwa nikipiga story na yule jamaa yangu mlinzi.

Saa 8 kasoro ndo muda ambao mzee Pama aliwasili pale JNIA na nilimpokea na baada ya dakika chache tuliondoka maeneo yale.

Safari yetu ilikuwa ni kwenda moja kwa moja mpaka Mbweni ili afanye ukaguzi wa nyumba. Na tulitumia saa moja na nusu kufika pale

Mzee alifanya ukaguzi wa nyumba na aliridhika kuona jinsi ujenzi ulivyokuwa umekamilika vizuri tena kwa viwango vya hali ya juu. Pia alishangaa kuona nimetengeneza ile Barabara na imekaa vizuri, alishangaa kuona nimetengeneza bustani mpaka nje ya geti na palikuwa pamejengwa vizuri. Mzee pia alinisifu kwa kufanya usafi wa nyumba nje na ndani.

Mzee alimjengea mchepuko wake mjengo mkali sana tena wa kisasa, nyumba ilikuwa kubwa ya vyumba vinne.

MIMI: “Mzee naona unataka kuwa na Familia kubwa vyumba ni vingi sana.”

MZEE: “Nataka anizalie watoto wa3 hata pale tayari ni mjamzito.”

MIMI: “Hongera sana Mzee ni jambo la neema hilo.”

MZEE: “Kabisa, Kijana niseme Ahsante kwa kazi nzuri uliyofanya umenifurahisha sana, materials ni zenyewe hakuna ulichokosea.”

MIMI: “Mzee nilikuwa namsimamia Fundi mwanzo mwisho nilikuwa nakuja asubuhi nashinda na Mafundi jioni narudi nyumbani. Ndomana unaona kila kitu kimeenda vizuri na kwa wakati sahihi.”

MZEE: “Hii nyumba nimejenga kwa siri sana hakuna anayejua kabisa hili suala.”

MIMI: “Sasa suala la watoto vipi hutaki wajuane?”

MZEE: “Hao hakuna shida watajuana tu ila sitaki ifahamike kama mke mdogo anakaa huku italeta shida.”

MIMI: “Sawa mzee hapo nimekuelewa”

Mzee Pama alikuwa ni mzee wa umri wa miaka 60-65 alikuwa anacheza humu ila alikuwa ni dizaini ya wale wazee wajanja au wahuni.

Tulitoka pale Mbweni saa 11 jioni na Mzee alinambia nimpeleke kwake Ununio.

Wakati tumeingia kwenye gari nilifungua drow na nikatoa invoices za manunuzi na nikamkabidhi, na alianza kuzitizama muda ule.

MIMI: “Mzee na hii Pesa ndo ilibakia kwenye manunuzi.”

MZEE: “Kijana kama pesa imebaki ni yako, umefanya kazi kubwa sana. Bila kumsimamia Fundi vizuri angenipiga yule mshenzi.”

Nilimshukuru Mzee na nikawasha gari ili tuondoke eneo lile. Nilimpeleka Mzee kwake ununio na akaniahidi kunitafuta kwani kuna vitu vya kununua vingi anataka nimsaidie kusimamia.

Muda huu nilijikuta nam-miss sana Iryn kwakweli, kwani ndo ilikuwaga mida ya kwenda kwa Iryn kumchukua. Licha ya yote Iryn alikuwa ni moja ya watu wangu wa karibu sana na ilitokea kuelewana sana.

Tulikuwa tunakwenda karibu mwezi bila mawasiliano yoyote na nilikuwa sijui maendeleo yake, kipindi hiki.

Kwasababu mwisho wa mwezi ulikuwa umekaribia nikawaza muda ule niende kwake Kijitonyama. Na lengo langu ilikuwa nijishushe nimwombe msamaha kama kuna sehemu nilimkwaza.

Niliona sometimes ni bora kuwa mjinga ili mambo yako yaende ila kwa upande mwingine niliwaza hivi nikijishusha sana si ataniona mimi bwege? Yaani bila yeye maisha yangu hayaendi? Niliwaza pale ataweza kunisumbua sana huko mbeleni. Pia nilikuwa nawaza ni jambo gani ambalo limemkera mpaka kuchukua maamuzi yale?. Iryn ni mwanamke ambaye ni hatabiriki “UNPREDICTABLE”.

Saa 12 jion nilikuwa pale kwa Iryn Kijitonyama na hata sikumpigia simu niliamua kwenda bila kutoa taarifa, nilitaka iwe saprize.

Nilipark gari nje ya geti na nikafungua geti maana nilikuwa tayari mwenyeji kwenye zile apartments. Niligonga mlango wake na baada ya dakika kadhaa alitoka kufungua.

IRYN: “Ooh Insider karibu na nilikuwa nawaza nikupigie simu toka jana ili uje tumalizane maana namzigo wako.”

MIMI: “Ooh sawa ila mimi sijaja kwaajili ya hilo, nimekuja kukuona na kukujulia hali maana ni muda kidogo toka unitumie ile text ya kuterminate mkataba, pia nilitaka kujua sababu ni nini mpaka ukaamua vile.”

IRYN: “Insider hakuna sababu yoyote na hakuna jambo lolote baya ambalo umefanya, ila nataka kufocus na masuala ya mama kwa sasa.”

MIMI: “Kama hakuna jambo nililokukosea ungenipigia simu na tungekaa chini tukaongea. Iryn mimi ni binadamu sijakamilika kwa asilimia mia, kama kuna sehemu nilikukosea nisamehe. Iryn naomba utambue mimi ni Mwanaume ambaye nakuheshimu sana na bado utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwenye moyo wangu.”

IRYN: “Insider hakuna shida mimi naona wewe ndo una wasiwasi.”

MIMI: “Hapana mimi nimekuja kukuomba msamaha pale ambapo sikuwa sawa na nimekukosea. Sijaja hapa kuomba unirudishe kazini, masuala ya kazi ni yako na ni maamuzi yako wewe.”

Na muda huu Iryn hakuongea kitu bali alifunga laptop yake na kuingia chumbani na mimi nilikaa pembeni ya coach. Na baada ya dakika 3 Iryn alitoka akiwa ameshika bahasha ndogo ya kaki

IRYN: “Insider pesa zako hizi nimeweka na fine ya kuvunja mkataba na wewe.”

Na muda huu alinikabidhi ile bahasha na mimi nikasimama nikaipokea ile bahasha pale na nikaiweka mfuko wa nyuma.

MIMI: “Ahsante but nishaelewa tatizo ni nini.”

IRYN: “What do you mean?”

Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.

MIMI: “I mean hiki ndo ulichokuwa unakitaka, Iryn thank you for everything, I have missed you so much. Mimi naondoka nikutakie maisha mema ila kama utahitaji msaada wangu never hesitate to call me. Byee.!

Nilimwacha pale Iryn katika sintofahamu kwani hakuweza kuongea neno lolote muda ule na alikuwa akiniona nikipotea machoni mwake live.

Na wakati niko kwa gari nilikuwa mtu mwenye furaha sana na kama nilikuwa nimepata Nguvu mpya na nikajisemea pale “When one door closes another opens.”

TO BE CONTINUED
Ijumaa imeenda vema,,,,INSIDER MAN
 
Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.
Huwezi kujua ni kwa kiasi gani vijana wa hovyo walikuwa wanasubiri hii part kwa udi na uvumba.
 
Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.
Huwezi kujua ni kwa kiasi gani vijana wa hovyo walikuwa wanasubiri hii part kwa udi na uvumba
 
EPISODE 26

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Jumatatu ya Pasaka asubuhi nilifanya mawasiliano na yule constructor wa Mzee na nikamwambia baada ya lisaa nitakuwa Mbweni na yeye alisema yuko njiani ndo anaelekea.

Kwa upande mwingine yale materials ya kununua nilimtumia picha Mzee Mollel na alinisaidia kunitajia bei na kunipa connection kwa sehem yanakopatikana, alinitumia namba za baadhi ya masupplier akanambia nikiwapigia simu niwaambie yeye ndo amenikonekti.

Baada ya kufika Mbweni nilikuta kazi zikiendelea na mimi niliwasalimia Mafundi na Jamaa alikuwa amefika tayari.

Sababu alikuwa anajua kinachoendelea pamoja na ujio wangu, hata hakuwa na maswali zaidi alisema nimpe pesa akanunue materials.

“Kwenye kununua materials tutakwenda wote mkuu usiwe na wasiwasi.”

Na muda huu nilifanya kuwasiliana na baadhi ya supplier na tukapata mmoja pale Africana ndo alikuwa na bei nzuri.

Tulikwenda wote na Jamaa mpaka Africana kuna duka kubwa sana pale lipo mataa ya Africana, mkono wa kushoto kama unakwenda Juliana.

Tulifanya manunuzi ya materials mbalimbali na tukarudi Mbweni, vifaa vyote nilisimamimia manunuzi. Jamaa kama alimind hivi kwanza, pia hakuwa akiamini kuona nayajua maduka vile, kumbe nyuma ya Pazia alikuwepo mzee Mollel anayenipa CODE.

Sababu hii siku nilikuwa na miadi na Mama wa2, nilimwaga jamaa na nikaondoka. Nilitoka pale Mbweni kuelekea Mbezi Beach na muda huo ilikuwa saa 6 kasoro za mchana.

Hii siku tulikuwa tunakwenda kumpokea mdogo wake Airport na kuhusu kwenda kuangalia nyumba yake alisema tutakwenda siku nyingine.

Mama wa2 alitumia dakika 30 kutoka ndani na tukaelekea Airport.

“Insider Unaendeleaje.”

“Safi tu, mgeni ataingia sangapi?”

“Saa 8 atakuwa amefika tayari.”

Tuliwasili pale JNIA na tulikwenda moja kwa moja mpaka Terminal 2 ndo tukapark gari. Tuliamua kwenda kukaa kwenye kimgahawa tukimsubiri mgeni.

“Insider leo jioni nataka twende Masaki na wanangu tukatembee.”

“Sawa haina shida mimi nipo free leo.”

“Nilipata taarifa Uber wanasitisha huduma zao vipi kwako utafanyaje?.”

“Kwa wateja wa Card na kampuni bado wanaendelea ila wanaotumia card ni wachache sana, wateja wa cash ndo wengi kwa bongo hapa. Sio mbaya sana lakini maana Bolt bado wapo japo imeniathiri sana.”

“Pole sana ndo changamoto hizo naamini watarudi soon.”

“Ni mambo yanayohusisha serikali acha tuone itakuwaje.”

Suala la Uber kusitisha huduma zao kwa upande wa magari ni kutokana na LATRA kuwataka kupunguza kamisheni zao kutoka 25% mpaka 15%. Madereva wa Tax mtandao wolilamika kwa mamlaka husika kuwa hizi kampuni zinatoza kamisheni kubwa sana. Uber hawakuwa tayari kupunguza kamisheni zao kwani walisema wanatozwa kodi na tozo kibao hivyo wangeendesha biashara kwa hasara.

Tuliendelea kukaa pale na Mama wa2 huku story zikiendelea maana ndege ilichelewa kutoka KIA kwa taarifa ambazo Mama wa2 alizipata.

Saa 9 kasoro ndege iliwasili na na baada ya dakika 15 mamdogo alitoka na wakakumbatiana na dada yake pale. Walionekana kumisiana sana.

Nilimsaidia kubeba bag lake na tulikwenda parking tulikokuwa tumepark gari na tukaanza safari ya kurudi Mbezi Beach.

MAMA WA2: “Insider huyu ndo mdogo wangu wa mwisho anaitwa Joana.

MIMI: “Nimeona pia mmefanana sana, Joana karibu sana Dar es Salaam.”

“Ahsante.”

MAMA WA2: “Huyu anaitwa Insider ni mtu wangu wa karibu sana.”

MIMI: “Mama mkwe hujawai kunambia kuwa una mdogo mzuri hivi.”

Na wote waliishia kucheka muda huu na walikuwa wamekaa siti za nyuma.

Njiani walikiwa busy sana wakiongea mambo yao na tulitumia kama dk40 kufika nyumbani maana hakukuwa na foleni kabisa.

Tuliingia ndani muda ule na mimi nikatoa bag la mgeni nikaingiza ndani.

Baada ya kuingia ndani mamdogo alisalimiana na kina Rachel na Pili na mimi muda huu nilikuwa nawaza msosi maana njaa ilikuwa inanigonga balaa, toka asubuhi nilikuwa sijaingiza chochote tumboni.

Mama wa2 alitukaribisha dining kwaajili ya lunch na mimi ndo nilikuwa wakwanza kufika pale. Nilikuwa nimeshapazoea kwa Mama wa2 ilikuwa kama niko nyumbani tu.

Na wakati tuko dining Mama wa2 aliwaambia bint zake wajiandae kwaajili ya kutoka out. Mama wa2 alikuwa busy sana na mdogo wake hii siku hata nilipomaliza kula nilimshukuru kwa chakula na mimi nikaenda kukaa seblen.

Joana pia alikwenda kujiandaa na wakati huo bint zake walikuwa wako tayari wamejiandaa.

MAMA WA2: “Insider tunakwenda wapi eti?”

PILI: “Mama twende Slip way.”

MIMI: “Kama watoto wanataka kwenda huko tuwapeleke haina shida.”

MAMA WA2: “Bhasi tutakwenda huko.”

Na muda huu akina Pili na Rachel walionekana kufurahia sana kwenda huko.

Baada ya dakika 20 mamdogo alikuwa naye kajiandaa na ametoka hao tukaanza safari na muda huo ilikuwa saa 11 jioni.

Tulitumia dakika 25 kufika eneo lile na hii siku palionekana kuwa busy sana na tulikwenda upande wa chini wa Restaurant.

Tulitafuta sehemu nzuri ya kutosha watu sita na tukakaa, kwenye hii meza mimi pekee ndo nilikuwa mwanaume pale na hii ilikuwa ikinipa ufahari flani hivi.

Kila mtu aliagiza anachotaka kwa upande wangu sikutaka kuagiza chakula maana nilikuwa nimeshiba, niliagiza heineken 3 tu maana sikutaka kulewa hii siku. Kwa upande mwingine mama wawili aliagiza bucket ya Savanna kwaajili yake na mdogo wake.

Story zilikuwa zimetawala meza yetu tukicheka na mimi nilikuwa nimekaa karibu na Pili nampigisha story sana,

Sasa wakati dada analeta vinywaji Pili alishangaa sana kuona dada kaniwekea heineken pale mezani.

PILI: “Uncle Insider na wewe unakunywa kumbe?”

MIMI: “Nakunywa kwaajili yako hapa.”

PILI: “Toka hapa! mimi situmii pombe”

MIMI: “Wewe ni mchaga soon utaanza kutumia, muulize mama yako alianzaje kutumia. Unataka sikuonjeshe kidogo?”

PILI: “Aku sitaki mimi. Kwanza Baba yangu sio Mchagga”

Pili alikuwa kashanizoea kwa muda mfupi hata Mama wa2 alishangaa sana kuona Pili kanizoea haraka vile.

Mida ya saa moja usiku wakati tukiendelea kunywa na kupiga story, Prisca alinipigia simu, nikaamua kutoka eneo lile ili nikaongee naye mbali na pale.

PRISCA: “Hello baby how you doing?”

MIMI: “Niko poa za toka jana.”

PRISCA: “Safi tu, nimekumiss”

MIMI: “Jana ulinambia mnatoka as family nipe ripoti.”

PRISCA: “Insider ungekuwa unanijali ungekuwa ulinipigia simu na ukajua kinachoendelea.”

MIMI: “Aisee, nijue kinachoendelea kwenye mambo ya familia yenu?, naona kama unanikosea.”

PRISCA: “Sasa unataka ripoti ya nini?”

MIMI: “Ripoti niliyotaka mimi nijue ulirudi sangapi, Jana sikutaka kukutafuta maana nilijua utakuwa busy na Familia.”

PRISCA: “Okay we had funny yesterday, inshort we enjoyed.”

MIMI: “Nice na uko wapi kwa sasa?”

PRISCA: “Niko home nimelala on bed. Nimekumiss nataka nikuone.”

MIMI: “Acha uongo unanimisije na upo period?”

PRISCA: “Insider unataka kumaanisha kwasababu niko period siwezi onana na wewe? You only want sex from me that's all you care about.”

MIMI: “Prisca mimi naona hayo ni mawazo yako, ila naomba utambue kitu kimoja. Usifikiri mimi kama napenda sana kumchepuka Mama Junior na ninampenda sana. Unapaswa kunipa vile navyokosa kwa Mama Junior na sio kulalamika, kumbuka ulichagua mwenyewe na hukulazimishwa na kama unaona nakuumiza unaweza kuniacha na maisha yangu.”

PRISCA: “Leo ndo nimeprove upo na mimi kwasababu ya shida zako na huna hata tone la upendo kwangu, Ahsante nashukuru.” Akakata na simu.

Mimi sikutaka kumpigia tena simu niliamua kumpotezea na nikasema hasira zake zitakuwa sababu ya Period.

Wakati nimerudi pale mezani Mama wa2 aliniangalia afu akatabasamu

“Insider naona ulikuwa kujenga matofali”

Na mimi niliishia kucheka tu muda huu.

Tulikaa mpaka saa4 usiku ndo tukatoka pale na muda huu Mama J alikuwa akisumbua sana kwa kupiga simu.

Baada ya kuwashusha akina Mama wa2 alinipa malipo yangu na mimi nikaelekea nyumbani.

Nilimkuta wife yuko seblen anaangalia movie na mimi niliwasalimia na nikaunganisha bafuni kuoga.

Wakati nimetoka bafuni nilimkuta wife yuko kitandani amejilaza kizembe.

MIMI: “Nambie swahiba toka jana hatujaongea kabisa, hujanambia sikukuu ilikwendaje.”

WIFE: “Ilikuwa poa tu, Mama anakusalimia pia amesema uache tabia mbaya. Kwanini hupendi kujumuika na sisi?”

MIMI: “Usijali mwambie nitakwenda msalimia, na vipi kuhusu Mzee ulifanikiwa kuongea naye?”

WIFE: “Ndio alisema mwisho wa mwezi huu atanipa hizo hela.”

MIMI: “Wow nice umetisha sana swahiba, nafanya haya mambo kwaajili yako na hii bajaji tutatumia jina lako.”

WIFE: “Sawa haina shida, twende ukale maana leo nimekupikia vitamu.”

MIMI: “Sawa tangulia nakuja.”

Muda huu nilikaa kitandani maana nilikuwa nafuraha sana kuona jambo limefanikiwa tayari.

**********

Hii week baada ya Pasaka nilikuwa nashinda tu kule kwa Mzee Pama Mbweni. Asubuhi nikishawapeleka wateja wangu Posta naunganisha moja kwa moja mpaka Mbweni. Sikutakaa kaa mbali kabisa na eneo la tukio nilitaka kusimamia kila hatua kwenye ile nyumba.

Kazi ilikuwa inakimbia balaa na kwa upande mwingine mtu wa bustani alikuwa amekuja tukakubaliana bei na nikamwambia miti na maua tutakwenda nunua wote.

Mpaka kufikia jumapili nyumba ilikuwa imekamilika kila kitu kwa ndani na ilibaki vitu vidogo nje vya kumalizia kama kuweka tank na kumalizia pavings. Jumatatu ndo tulimalizia kila kitu na nikatafuta mtu wa kufanya usafi mle ndani, nje na kutengeneza barabara inayokwenda kwenye ile nyumba maana ilikuwa mbovu sana.

Kufikia jumatatu kila kitu kilikuwa kimekamilika vilibaki vitu vichache sana ambavyo sio vya lazima, lakini nyumba ilikuwa tayari kwaajili ya kuhamia.

Katika zile Pesa ambazo alinikabidhi mzee nilibakiwa na kama 3,200,000/= na hapo ndo nikajua jamaa alimpiga mzee japo pia nilipata discount kwenye mizigo ila kulikuwa na balance kubwa sana.

Niliitamani sana hii pesa lakini niliogopa jamaa anaweza kunisnitch kwa Mzee akampa hesabu za vitu na gharama zote afu nikapoteza trust kwa Mzee. Palepale nikachomoa million moja nikasema hii nitaitolea maelezo kwa Mzee ila hii amount inayobaki nitamrudishia.

***********

Kwa upande mwingine Jumapili ndo siku ambayo Pili alikuwa ana rudi shule hivyo Mama wa2 aliomba kampani yangu.

Nilitoka Mbweni kuelekea Mbezi Beach kwa Mama wa2 na saa 7 mchana nilikuwa pale.

Saa 8 mchana ndo tulitoka kuelekea Bagamoyo shuleni. Tulitumia saa moja na nusu kufika Bagamoyo shuleni na Mama wa2 alikwenda kumkabidhi.

Na hii siku walionekana Wazazi wengi wakiwarudisha watoto wao shule.

Baada ya kumuandikisha kuna sehemu tulikaa tukiwa tunaongea na mimi nilimshauri sana Pili asome kwa bidii na akae mbali na wanaume. Ilibidi nimchane ukweli ajitunze Mafisi “wazee wa kula kimasihara” sio watu wazuri Kabisa awe makini.

Pili alionekana kuwa makini sana akisikiliza ushauri wangu na nilitoa laki moja nikampa itamsaidia kama pocket money.

Niliona aibu kumwacha bila kitu afu mama yake alikuwa kanisaidia mkopo wa Pesa nyingi, niliamua kurudisha shukrani kwa njia hiyo.

Pili alishukuru na alifurahi sana, akasema next time nikamchukue na Mama yake pia alimpa Matron namba yangu incase kama kuna lolote wanaweza kunipigia na mimi. Na mama wa2 alininiandikisha mimi kama Uncle wa Pili.

Tuliondoka pale shuleni na kuanza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa tukiongea mambo mengi sana na Mama wa2.

MAMA WA2: “Insider mwanangu Pili amekuzoea haraka sana, the way ambavyo unaongea naye nilikuwa najiskia faraja sana. Baba yake hajawai hata siku moja kumpa ushauri binti yake nashukuru sana kwa leo.”

MIMI: “Pili ni kama mdogo wangu lazima nihakikishe anafikia malengo yake na kama unajambo lolote usisite kunambia.”

MAMA WA2: “Next time utamfata wakifunga shule.”

Tulitumia lisaa kufika Mbezi Beach nikamwacha kwake na mimi nikarudi zangu home mapema sana.

Usiku mzee alinicheki akanambia kesho nikamchukue Airport ndo anarudi na anatarijia kuingia saa 7 mchana na alinisisitiza sana kuwa ontime, maana tungeenda na kukagua nyumba kule Mbweni.

Asubuhi nilimka mapema na nikafanya usafi wa gari mwenyewe na baada ya kumaliza nilirudi ndani ili nipate kifungua kinywa.

*********

Tarehe 26 ndo siku ambayo mzee alirudi kutoka safari na ilikuwa ni siku ya Muungano. Na mimi mapema sana nilikuwa pale Terminal 3 nikimsubiri.

Nilimcheki dada Tyna akanambia yuko busy atanichek mida kidogo, na muda huu nilikuwa nikipiga story na yule jamaa yangu mlinzi.

Saa 8 kasoro ndo muda ambao mzee Pama aliwasili pale JNIA na nilimpokea na baada ya dakika chache tuliondoka maeneo yale.

Safari yetu ilikuwa ni kwenda moja kwa moja mpaka Mbweni ili afanye ukaguzi wa nyumba. Na tulitumia saa moja na nusu kufika pale

Mzee alifanya ukaguzi wa nyumba na aliridhika kuona jinsi ujenzi ulivyokuwa umekamilika vizuri tena kwa viwango vya hali ya juu. Pia alishangaa kuona nimetengeneza ile Barabara na imekaa vizuri, alishangaa kuona nimetengeneza bustani mpaka nje ya geti na palikuwa pamejengwa vizuri. Mzee pia alinisifu kwa kufanya usafi wa nyumba nje na ndani.

Mzee alimjengea mchepuko wake mjengo mkali sana tena wa kisasa, nyumba ilikuwa kubwa ya vyumba vinne.

MIMI: “Mzee naona unataka kuwa na Familia kubwa vyumba ni vingi sana.”

MZEE: “Nataka anizalie watoto wa3 hata pale tayari ni mjamzito.”

MIMI: “Hongera sana Mzee ni jambo la neema hilo.”

MZEE: “Kabisa, Kijana niseme Ahsante kwa kazi nzuri uliyofanya umenifurahisha sana, materials ni zenyewe hakuna ulichokosea.”

MIMI: “Mzee nilikuwa namsimamia Fundi mwanzo mwisho nilikuwa nakuja asubuhi nashinda na Mafundi jioni narudi nyumbani. Ndomana unaona kila kitu kimeenda vizuri na kwa wakati sahihi.”

MZEE: “Hii nyumba nimejenga kwa siri sana hakuna anayejua kabisa hili suala.”

MIMI: “Sasa suala la watoto vipi hutaki wajuane?”

MZEE: “Hao hakuna shida watajuana tu ila sitaki ifahamike kama mke mdogo anakaa huku italeta shida.”

MIMI: “Sawa mzee hapo nimekuelewa”

Mzee Pama alikuwa ni mzee wa umri wa miaka 60-65 alikuwa anacheza humu ila alikuwa ni dizaini ya wale wazee wajanja au wahuni.

Tulitoka pale Mbweni saa 11 jioni na Mzee alinambia nimpeleke kwake Ununio.

Wakati tumeingia kwenye gari nilifungua drow na nikatoa invoices za manunuzi na nikamkabidhi, na alianza kuzitizama muda ule.

MIMI: “Mzee na hii Pesa ndo ilibakia kwenye manunuzi.”

MZEE: “Kijana kama pesa imebaki ni yako, umefanya kazi kubwa sana. Bila kumsimamia Fundi vizuri angenipiga yule mshenzi.”

Nilimshukuru Mzee na nikawasha gari ili tuondoke eneo lile. Nilimpeleka Mzee kwake ununio na akaniahidi kunitafuta kwani kuna vitu vya kununua vingi anataka nimsaidie kusimamia.

Muda huu nilijikuta nam-miss sana Iryn kwakweli, kwani ndo ilikuwaga mida ya kwenda kwa Iryn kumchukua. Licha ya yote Iryn alikuwa ni moja ya watu wangu wa karibu sana na ilitokea kuelewana sana.

Tulikuwa tunakwenda karibu mwezi bila mawasiliano yoyote na nilikuwa sijui maendeleo yake, kipindi hiki.

Kwasababu mwisho wa mwezi ulikuwa umekaribia nikawaza muda ule niende kwake Kijitonyama. Na lengo langu ilikuwa nijishushe nimwombe msamaha kama kuna sehemu nilimkwaza.

Niliona sometimes ni bora kuwa mjinga ili mambo yako yaende ila kwa upande mwingine niliwaza hivi nikijishusha sana si ataniona mimi bwege? Yaani bila yeye maisha yangu hayaendi? Niliwaza pale ataweza kunisumbua sana huko mbeleni. Pia nilikuwa nawaza ni jambo gani ambalo limemkera mpaka kuchukua maamuzi yale?. Iryn ni mwanamke ambaye ni hatabiriki “UNPREDICTABLE”.

Saa 12 jion nilikuwa pale kwa Iryn Kijitonyama na hata sikumpigia simu niliamua kwenda bila kutoa taarifa, nilitaka iwe saprize.

Nilipark gari nje ya geti na nikafungua geti maana nilikuwa tayari mwenyeji kwenye zile apartments. Niligonga mlango wake na baada ya dakika kadhaa alitoka kufungua.

IRYN: “Ooh Insider karibu na nilikuwa nawaza nikupigie simu toka jana ili uje tumalizane maana namzigo wako.”

MIMI: “Ooh sawa ila mimi sijaja kwaajili ya hilo, nimekuja kukuona na kukujulia hali maana ni muda kidogo toka unitumie ile text ya kuterminate mkataba, pia nilitaka kujua sababu ni nini mpaka ukaamua vile.”

IRYN: “Insider hakuna sababu yoyote na hakuna jambo lolote baya ambalo umefanya, ila nataka kufocus na masuala ya mama kwa sasa.”

MIMI: “Kama hakuna jambo nililokukosea ungenipigia simu na tungekaa chini tukaongea. Iryn mimi ni binadamu sijakamilika kwa asilimia mia, kama kuna sehemu nilikukosea nisamehe. Iryn naomba utambue mimi ni Mwanaume ambaye nakuheshimu sana na bado utaendelea kuwa mtu muhimu sana kwenye moyo wangu.”

IRYN: “Insider hakuna shida mimi naona wewe ndo una wasiwasi.”

MIMI: “Hapana mimi nimekuja kukuomba msamaha pale ambapo sikuwa sawa na nimekukosea. Sijaja hapa kuomba unirudishe kazini, masuala ya kazi ni yako na ni maamuzi yako wewe.”

Na muda huu Iryn hakuongea kitu bali alifunga laptop yake na kuingia chumbani na mimi nilikaa pembeni ya coach. Na baada ya dakika 3 Iryn alitoka akiwa ameshika bahasha ndogo ya kaki

IRYN: “Insider pesa zako hizi nimeweka na fine ya kuvunja mkataba na wewe.”

Na muda huu alinikabidhi ile bahasha na mimi nikasimama nikaipokea ile bahasha pale na nikaiweka mfuko wa nyuma.

MIMI: “Ahsante but nishaelewa tatizo ni nini.”

IRYN: “What do you mean?”

Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.

MIMI: “I mean hiki ndo ulichokuwa unakitaka, Iryn thank you for everything, I have missed you so much. Mimi naondoka nikutakie maisha mema ila kama utahitaji msaada wangu never hesitate to call me. Byee.!

Nilimwacha pale Iryn katika sintofahamu kwani hakuweza kuongea neno lolote muda ule na alikuwa akiniona nikipotea machoni mwake live.

Na wakati niko kwa gari nilikuwa mtu mwenye furaha sana na kama nilikuwa nimepata Nguvu mpya na nikajisemea pale “When one door closes another opens.”

TO BE CONTINUED
Mkulungwa INSIDER MAN nyota 5 zinakuhusu we jamaa ni fundi sana kwenye kuandika
 
Uzi huu umenifanya niwe na wivu wa maendeleo aisee nizidi kupambana , pia hapa bongo dili ziko nyingi za pesa ndefu ishu ni kuichezesha akili na kubali kula na wakubwa aisee , vijana tusiwe waoga mtu muoga hufa kabla ya kifo , ukiangalia kama dili za huyo msomali aisee ni noma sana , mimi kwa Sasa nipo tayari kwa ishu yoyote isipokua ushoga na kuua mtu basiii
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] itabdi uwe shoga tu ndio rais Zaid kwa nyakati hz otherwise uwe jambazi
 
EPISODE 4

Wakati naanza hii kazi Mama Junior alikua hayupo home, alikua kwao ni mimi ambaye nilimpa ruhusa aende akapumzishe akili baada ya dada wa kazi kwenda kwao. Niliona mazingira ya kubaki peke yake na mtoto bila mtu wa kumsaidia mke wangu angeteseka, uzuri kwao ni hapahapa dar. Mama Junior ni mwanamke ambaye ana wivu sana na mimi kiasi kwamba huwa anahisi mimi nachepuka, inshort niseme ni mwanamke ambaye ananipenda sana.

***
Naam! ilikua ni jumatatu tulivu sana, nikakurupuka kitandani kucheki muda saa 5 asubuhi. Wakati naangalia muda nakutana na mcd calls za kutosha, nikakutana na messages,

“Bro! Good morning, how you doing??” -Manuel
“I’m worried about you..”- Manuel

“Kaka habari yako, ni mimi maggy uliyenipeleka Airpot last week, nahitaji tuonane leo if possible”- 0712*********

“Bae! Kwanini hupokei simu zangu? Upo na nani?”- Mama Junior

Kabla sijajibu hizo message nikacheki missd calls

“Mama Junior, 6 “
“Manuel, 2”
“New number, 1”

Akili yangu ikawa inawaza nianze na nani kati ya hao, nikaanza kupigia Manuel kwanza akapokea nikamshukuru kwa kampani ya pale Kidimbwi akanambia kama ntapata nafasi nipitie pale Sea cliff kuna kazi nyingine ya kufanya.

Nikampigia simu Maggy tukaongea akanambia anytime ukifika Posta utanicheki nikamwambia “sawa”.

Nikapiga simu namba ngeni, kupokea alikua ni mama mmoja hivi nilishawai mpakia, na yeye anafanyia kazi moja ya bank pale Posta, Azikiwe.

Nikampigia simu Mama Junior niliamua awe wa mwisho sababu namfahamu vzr, na kwa kitendo cha kutopokea simu zake na kujibu messages nilijua lazima atakua kafura.

Nikampigia simu … [emoji338]

Mama Junior: “Umeshaagana na wanawake zako ndo umeona sasa unitafute kwa muda wako…, Unaweza kunambia jana ulikua wapi? na umelala wapi?”

Mimi: “ Jamani… ndo salamu hiyo?”

Mama Junior: “ Baba Junior tafadhali naomba maelezo…, mwezi umepita hata kuja kutuona na mwanao hutaki, una mambo yako wewe”

Mimi: “ Mke wangu usifike huko… jana nilikua na washikaji walinipa mwaliko, nikaingia night sana, hapa ndo naamka…, hata hvo nimekupigia nikupe habari njema”

Mama J: “Habari zipi..?”

Mimi: “Mwezi wa 12 huu Christmas nataka wewe na Junior mpendeze, piga hesabu na gharama zote then Nitumie”. Hapa nilikua nimemmaliza hata hasira zikaisha kabisa.

Mama J: “Sawa haina shida, I love you. Takecare”


Nikaamka kitandani kwenda kuoga, kwanza nilikua na mahangover ya pombe, nilipeleka backet 2 za heineken sio mchezo, na ukicheki mpaka muda huo sijapata hata soup, kwa wanywaji nadhani huwa mnajua. Dizaini kama nikawa na kauvivu ka kwenda mzigoni, lakini nikasema hapana lazima niende nipige hata kidogo then nionane na hawa watu.

Nilikua napambana sana kutafuta wateja wa private ili niwe na uhakika wa kazi na kupata pesa nyingi. “Nakumbuka Dullah alinisisitiza sana nijitahid sana kuwa na wateja wa private maana hawa ndo kila kitu, App sometimes zinazingua kuna siku kazi zinakua ngumu”. Mfano kwa kila trip kamisheni ya Uber/bolt ni 25% yaani kama ubao unasoma 100,000/= hapo 25,000 ni yao yako 75,000, kwenye hio 75 hujatoa cost za mafuta, parking fee nknk. Ili uweze kupata faida ya angalau 30,000 kwa siku inabidi uingize kuanzia 70,000.

Kuna wale ambao wanaendesha kwa mikataba unakuta kwa bossy anapeleka 25,000-30,000, inabdi apambane kwa siku apate kuanzia 100,000/=, hapo unaona inabdi akili ya ziada sana.

********
Nikaingia mzigoni kama kawaida nikapiga mzigo nikapata mteja wa kwenda pale Aga khan, baada ya kumshusha mteja nikawaza kuonana na Maggy nijue anaishu gani na pia nikakumbuka na yule mama wa azikiwe. Nikasema leo ni “Two birds one stone” napiga ndege wa2 kwa jiwe moja.

Nikamvutia waya Maggy, akanilekeza ofisi yake ni pale Golden Jubilee tower, bhasi mimi nikasogea mpaka pale mtaa wa Ohio nikapark gari oppositie na Golden jubilee. Nikamtext [emoji187] ilikua saa inasoma 9 kasoro mchana.

MIMI: “hey boss niko around”

Maggy: “Umepark wapi?”

Mimi: “Opposite hapa na jubilee, near kibanda cha Mpesa”

Maggy: “Ok nakuja soon, bossy!”

Haikuchukua dakika 10 Maggy akawa amefika kwenye eneo la tukio tayari, nikamsalimia na nikamsifia “you look great”, akatabamu akanambia “nawe pia”.

“So tunafanyia haya maongezi hapahapa, au ndani ya gari??”. Nilimwuliza

Akanambia sijala kwanini tusiende cafe? nikakumbuka hata mimi nilikua sijala chakula cha maana toka niamke, lakini nilikua sisikii njaa.

Nilikokuwa nimepark gari kwa nyuma yake au tusema opposite na “IT plaza” kulikuwa na cafe pale, bhs ndo tuliingia pale, mimi nikaagiza “dona choma” yeye akaagiza “kiepe yai, kuku”. Hiki kicafe ndo niliingia kwa mara ya kwanza, ofcourse nilikipenda wanachakula kitamu afu ni cheap, so kila nikija Posta hapa ndo nilikua nakula msosi.

Tukaanza pale kupiga story sana, Maggy alikuwa anaongea “mimi usafiri wangu ni Uber kila siku asbh pamoja na kurudi so kama upo tayari uwe unakuja asubuhi kunichukua unanipeleka ofisn then jion sa12 unanirudisha home. Pia ninakazi nyingi sana huwa zinatokea hata za siku nzima, Uber wengi gari zao sio safi na wateja wetu wengi ni foreigners, jinsi ulivyo smart na gari yako safi ntakua na amani na wateja wangu.

Nikamwuliza before mimi ulikua unafanyaje? Akanambia nilikua namtu nafanya naye kazi ila hazingatii usafi wa gari. Mimi nikatabasamu pale,

Mimi nikamwambia suala la kuja kukuchukua niachie nilifanyie kazi ntakucheki badae tuyajenge kama tutaafikiana tutafanya kazi lakini suala la wateja wako mimi sina shida hili naweza kupa jibu la direct hapahapa, nikamwambia hao muda wowote nipigie simu hata Arusha tunakwenda, hata kama unasafari nje ya mkoa mim sina tatizo.

Tukaagana pale huku nikimwahidi badae nitamtafuta, palepale nikamcheki mama yangu wa azikiwe, Palepale nikampigia simu lakini hakupokea ghafla ikaingia text “Call you letter”, nikamtext back chap “niko Posta”, akanijibu “Na kikao nitakupigia nikitoka”. Nikamjibu “Ok”.

Kucheki muda ilikua saa 10 kasoro tayari nikasema acha nimsubiri huyu mama then nielekee Masaki kuonana na Manuel. Ukweli nilikuwa natamani sana kupiga story na Manuel maana ni mtu ambaye alitokea kunikubali sana afu hakuwa na roho ya kinyongo ni mtu poa sana. Nilitamani kuongea naye mengi kuhusu Siwtzerland ( “Switzerland ni moja ya nchi nzuri sana kwa foreigners, kusoma, hata upatikanaji kazi”). Plan zangu kubwa ni kutengeneza connection nijue namna kufika kule na masuala mengine.

Wakati narudi kwenye gari yangu nikaona kuna Uber kibao wametega around na mimi, nikaona kikundi cha washikaji wakipiga story nikajua wale ni Uber, bhs nikasogea pale kujumuika na mimi.


Matajiri kwema? za kazi?, wote wakajibu nikawaambia bila shaka nyinyi ni Uber, ndomana namimi nimesogea hapa nimevutiwa na story. Kwa muda mfupi tukawa kama watu ambao tunajuana kitambo.

Unajua story za madereva wa Uber nyingi ni kuhusu madem tu[emoji3][emoji3], ukiona Uber wamekaa kwenye vijiwe vyao hizo ndo story zo kubwa huji kuta wakipiga story za maendeleo hata siku moja. Inshort madem wanaliwa sana na madereva wa Uber.

Pale Posta najuana sana na maderva wa Uber wengi wananiitaga “Wakishua” sababu mimi muda wote niko smart na gari nayo ipo smart, hii ilipelekea kupendwa sana wa abiria.

********
Tulikua watu 6 pale lakini kadri muda ulivyokua ukienda na wahuni walizidi kupungua ikafika stage tukabaki wawili,, “Request ndo zilikua zinatupunguza maana kuanzia saa 11 jion ni muda ambao request zinakua nyingi sana Posta, demand ya ya Uber inakua juu sana hata rate ya nauli inakua juu sana.

Mpaka saa 11 naona kimya yule mama wa Azikiwe hajanitafuta, sikutaka kumtafuta kwanza nitaonekana kama mimi ndo nashida, then ataniona cheap sana, kwanza kitendo cha kumsubiri mpaka saa11 nilijiona fala sana.

Nika switch online App yangu nikaset destination ya kwenda Sea cliff, “ipo hivi kama unataka mteja wa kwenda Masaki au Posta, bhs kwenye App unaset destination, hivyo utapata request zinazoelekea usawa huo inaweza isiwe exactly point ila atlist inasaidia”. So kitendo cha kuweka destinationa haikuchukua muda nikapata request ya mteja alikua anaelekea Coral beach.

Nikamshusha customer pale Coral beach nikachukua uelekeo wa Sea cliff, kutoka Coral mpaka Seacliff sio mbali sana, ilikua chap tu niko pale tayari. “Wakati nakaribia Coral nilikua nishampanga tayari Manuel so akanambia nitamkuta pale Karambezi”.

Nikafika pale Karambezi nikamzoom Manuel kwa mbali ofcourse hapakua na watu wengi sana palikua kawaida tu. Tukasalimiana pale story zikaanza, story kubwa nilikua namwuliza namna ya kufika Switzerland na ishu za kazi especially unskilled jobs. “Njia rahisi ya kuingia chap ni scholarship au kusoma, hapo ni rahisi sana ila kama unakua umepata kazi bhasi mwajiri wako akupambanie visa japo huwa inachukua muda sana na gharama yake kubwa. Kama unataka kuingia wewe apply chuo, I recommend you to use this way, ukishafika ukaanza masomo kama mastars ni mwaka mmoja tu umemaliza, ukiwa unasoma kuna mishe nyingi sana za kufanya kule kama viwandani, mashambani, migahawani nknk” Manuel alikua akiongea.

Manuel mbinu nyingine ya kutumia ya haraka bhasi uoe mswiss hapo unapewa na uraia kabisa, “Nigerians wanatumia sana hii mbinu, wanaoa sana wamama watu wazima” nilicheka sana.

Ishu nyingine kubwa pia jumatano na alhamis nitakua na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima kwa Dar, ijumaa tutakwenda kibaha na Bagamoyo, ila kwa Jumamosi utaangalia wapi unatupeleka, then J2 tutaondoka kurudi Switzerland. Manuel alikua akiongea.

Akanionesha vituo tutakavyotembelea nikaona kuna sinza, tegeta, bunju, Kunduchi, Kimara, Kigamboni. Tukakubaliana 600,000/= ( 200,000/= per day) kuhusu jumamosi nikamwambia ntawapa offa, muda ule tulikua tunaikimbiza “pearly bay wine”. Nikamwambia bro jana dizaini kama haukuwa free kule Kidimbwi, alicheka sana akanambia “bro! next time gonna be lit,”. Tukaagana pale.

“The way nilivyomwona Manuel nilihisi kama mtu wa madem sana” huko mbele mtaona.

Before sijatoka pale Karambezi mama yetu alikua kanipigia simu ila sikupokea, so wakati natoka ilikua ishapita saa tayari, na saa yangu ilikua inaonesha ni saa 19:05. Nikampigia simu akanambia karudi home kama vipi niende kwake haina shida, “nikaona mama anaongea ujinga, yaani mimi niende kwake??”. Nikamwambia mama haiwezekani kama muhimu sana tuonane pale Raibow , huyu mama alikua anakaa kule chini Mbezi Beach karibu na Rainbow. “So hakukataa akakubali tuonane pale tuongee”.

Nikawa nawaza huyu mama anataka nini kwangu? Nikachoma mafuta mpaka pale Rainbow mbili kasoro dakika nikawa pale, wakati niko Kawe alikua kanijulisha kafika tayari.

Kufika pale nikaingia ndani nikamkuta amekaa anakunywa savannah, duu! nilijisemea huyu mama hatari au ndo anaongeza nyege!??.

Mimi: Habari yako bossy

Mama: Salama tu, ndo unatoka mishemishe?

Mimi: kama unavyoona, umeniweka sana pale Posta

Mama: jamani pole, kwani ulikua unanisubiri?!

Mimi: Ndio, maana hukusema niondoke! anyway nimeitikia wito bossy wangu, nakusikiliza, what’s a deal?

Mama! Ninataka asubuhi uwe unanichukua na mwanangu, lakini mtoto unamwacha pale mikocheni Warioba( hii shule ipo karibu na msikiti wa mwinyi).

Mimi: Sawa mama, sasa mbona hili lilikuwa lakuongea kwenye simu tu na tukamaliza, au ulitaka kuniona??( nilikua nimekazia macho)

Mama: Huku akicheka, unaonekana mpole sana ila ni mwongeaji sana, unavituko sana.

Mimi: Una watoto wangapi?

Mama: Wawili tu, wakwanza wa kike yuko form 5, wapili yuko standard 3, wote wa kike.

Mimi: wow! am luckiest man, huyo wa form 5 nitunzie ntakua mkwe wako.

Mama: utanibakia mwanangu bure!!

Mimi: So unakunywa beer usiku huu, baba watoto akirudi inakuaje??

Mama: Mume namtolea wapi mimi?, naishi na wanangu tu. Unajua wewe haunywi kama unanichora hapa!

Mimi: Hilo tu usijali, siku ntakupeleka Kidimbwi tukanywe wote.

Mama: Huku akicheka, unavituko sana mimi nishachuja tayari huko wanaenda damu mbichi.

Mimi: unaweza kujiona umechuja ila mimi bado nakuona upo hot sana.

“Huyu ni mama wa kichaga mweupe anashepu nzuri, ni mama kijana afu anajipenda sana huyu age yake anavyoonekana ni 40s ni mama kijana.

Mama: huku akicheka, we kaka unavitukoa sana,

Kwa muda tulio kaa na mama nilikua nishamcontol kwa maongezi na kila kitu kama ningetupia voko angeingia king.

Tukakubaliana pale atanilipa 12,000 kwa trip ila nikamwambia nitaanza jumatatu ya week inayokuja, mama hakuwa na shida kabisa.

“Unajua hawa wateja sometimes nilikua nawapa utani ili kuendelea kuwasogeza karibu na awe huru, haipendezi muda wote kuwa kauzu.”(Kanuni ni kwamba kama mteja ni mwongeaji na wewe kuwa mwongeaji, kama kauzu na wewe kuwa kauzu, hii ndo iliku principle yangu).

*****
Nikatoka pale na furaha sana, hesabu kichwani ni kumalizana ma Maggy hapo tayari na vichwa 2 na vyote vinakwenda Posta. Ilikua saa 3 usiku tayari nikamtext Maggy, palepale akani text back ni kama alikua anasubiri text yangu. Nikampandia hewani nikamwuliza anakaa Mikocheni gani akanambia karibu na shule ya Alpha. Nikamwambia nitakuwa nampeleka tu ila kurudi kama nitakua around nitakuwa namcheki, hakuwa na noma akakubali, tukakubaliana 10,000.

Mnajua kwanini sikutaka kazi ya kumpeleka na kumrudisha? niliwaza nitakua mtumwa, kwanza utakua na stress upo zako mbweni huko afu sa11 umfuate mteja Posta unakua mtumwa, sikutaka hii kitu kabisa, au jambo lingine muda wa kwenda kazini unaeleweka wakati wa kurudi hauleweki, sikutaka kuchoma mahindi bila sababu ya msingi.

Palepale nikapata idea ya kutengeneza mkataba wa kazi, nikachukua laptop nikadizaini mkataba wangu vizuri kabisa, nikaweka mpaka sehem ya kusaini mwanasheria, sikutaka masikhara na kazi kabisa, na pia nilitaka wateja wanione niko serious.

******
Jumatano ilifika huyo nikaenda Seacliff pale kumchukua Manuel lakini this time alikua yeye na Alex tu, tukasalimiana pale. Tulielekea kwenye hivyo vituo walikua wanafanya research zao na kupiga picha. Tulitembelea vituo vyote tukamaliza kwenye sa11 jioni, nikawarudisha mimi nikaendelea na kazi yangu. Kesho yake tukatembelea vituo vingine ile kazi tuliimaliza jioni pia.

Ijumaa ndo siku ya kwenda kibaha na Bagamoyo, kama kawaida tukaenda huko wakafanya mambo yao hii siku tulirudi usiku sana, nikawadrop pale Seacliff lakini Manuel akaomba tukapate dinner then niondoke, sikukataa tukaelekea Karambezi pale.

Ile tunaingia mlango mkubwa wa kwenda Karambezi nakutana na Ex wangu, Tangu nimemaliza chuo sikuwai onana naye ilikua ishapita miaka 3 na yeye alikua 2nd yr that time, nilikua nimemwacha mwaka 1 mbele.

Yeye ndo aliyeniona akaniita jina langu “INSIDER”, Manuel ndo aliyeskia wakati akiniita. Bro somebody is calling you, kucheki namwona Angel (code), wow akaja akanihug kwa nguvu, mpaka Manuel akashangaa!!!

Nilishangaa sana kukutana naye pale ofcourse alikua na rafiki yake afu walikua wakitoka, huyu alikua dem wangu wa chuo enzi hizo baada ya kumaliza chuo aliniacha asee!!, this time tunakutana nimebadilika, nimenawiri,afu niko na wazungu.

Akaomba namba yangu sikutaka kumpa, nikamwambia anipe yake ntamcheki…..

Angel ni mwanamke ambaye nilianza naye mahusiano wakati niko chuo, so wakati wao wanaanza first year mimi ndo nilikutana naye na kuweka ukaribu hatimae tukaanza mahusiano. Tulidumu kwa kipindi chote cha miaka 2, tulipendana sana mpaka masela zangu wa chuo walikua wanaamini huyu mrembo namwoa. Kilichotokea baada ya kumaliza chuo zilianza sababu, mara hapokei simu, ubusy mwingi, nikaanza pata report kutoka kwa masela anaonekana na mwanaume uyo moja kila maeneo, mimi kama mwanaume nikajua hapa sina mtu, nika move on.

********
Tuliagana ma Manuel pale Seacliff ili asubuhi niwai kuwabeba twende misele, ile jumamosi asubuhi by saa 3 nilikua pale. Wakatoka wote hao tukaanza safari plan yetu tuanze na “Ununio beach”, Manuel akaomba twende na “Haile Selasie Road” kuna vitu akanunue vya asili. Sehemu yenyewe tuliyokwenda ni karibu na filling station ya Puma au kama unatokea “Samaki samaki” kuna barabara inakunja kulia kama unakwenda CCBRT, sasa kwenye ile kona kushoto kuna supermarket inaitwa “Shrijee”, sasa pembeni ya supermarket kuna jamaa wanauzaga vitu vya asili kama, picha, vinyago, kacha nknk.

Manuel aliingia na ndugu zake wakanunua picha, vinyago, kacha kuna vingine waliweka kwenye mfuko vingi. Wakati tunatoka pale akanambia tupitie pale Puma, akamwambia dada ajaze full tank, “nilivyosikia full tank, nilihisi moyo wangu kupasuka kwa furaha”, huyu Manuel anaroho nzuri sana, ni moja wa wazungu wenye roho nzuri sana.

Kwenye saa 5 tulikua tuko pale Ununio Beach Ofcoz walipapenda sana na ile mandhari walienjoy sana, mimi ndo nilikua kama director pale. Nakumbuka tulikwenda “Mahaba Beach” kule kulikua kuna samaki wengi sana wabichi, wavuvi ndo kama centre yao, bhs tulichoma sana samaki pale.

Tulitoka pale mchana tunaenda “Coco beach” tukala sana mihogo pale na mishikaki, usiku ilikua imefika muda unagonga kwenye moja kasoro, Manuel akasema twende tukapate dinner moja ya cafe nzuri pale Masaki afu tukamalize bata letu Samaki Samaki. “Wakati tunapita pale samaki samaki asubuhi Manuel alipaona akanambia badae tunakuja hapa”.

Nikawadrop wajiandae then tukaenda pale “The tribe” tukapata dinner hao tukamalizia pale Samaki samaki. Kama mnavyojua vibe la Samaki samaki tulienjoy sana lakini hawakukaa sana maana jumapili ndo walikua wanatakiwa kuondoka. Nikawarudisha Seacliff na mimi nikarudi kulala ili asubuhi mapema niwe pale kuwachukua kuwapeleka Airpot.

Naam asubuhi mapema saa 2 na madakika nilikua pale, wao walikua wanatakiwa “kuchek in “ pale Airpot 10:00 AM. Nikaingiza gari mle ndani Seacliff karibu na mlango wa kuingilia tukapark vitu hao safari ya Airpot, ndani ya nusu saa tulikua tumefika Termninal 3, hakukua na foleni kabisa.

Tulipiga picha za pamoja pale kama ukumbusho, wale wazungu walifurahi sana, nilipata nafasi ya kuongea na Sophie lakini sikuchukua namba nikaopotezea.

Nikawa escot mpaka ndani pale tunaongea sana na Manuel akanambia “You are my brother here in Tanzania, I’ll never stop calling you bro!”, alitoa noti 2 za Dolla 100 akanipa, nilimkatalia akanambia “bro hizi pesa sio zako nampa Junior, mfikishie”. Pale nikaishiwa pozi ikabidi nipokeee tukapeana hug na mimi nikatoka zangu kurudi parking ili niondoke.

Niseme kwamba kukutana kwangu na Manuel ilikua baraka sana kwani ndani ya week 2 niliingiza pesa nyingi sana na pia niliishi maisha mazuri sana. Nikapiga hesabu ndani ya siku ambazo nimefanya nao kazi nilikua nimeingiza $1,050 na bado alikua ananipa offa za lunch, dinner nknk.

Nikawaza hapa leo niende kwa Mama J nikamsalimie na Junior maana ilikua inakwenda mwezi wa 2 hatujaonana live zaidi ya video call tu. Nikasema hizi pesa nimepewa kwaajili ya junior acha nikanunue baadhi ya mazaga niwapelekee itakayobaki ntampa mama J.

Nikaingia Mlimani city nikanunua baadhi ya vitu nikaelekea boko kwenda kuiona familia yangu, ile nimeingia kwenye gari nikamkumbuka Angel, nikasema ngoja nimpigie maana alionesha anahamu sana ya kuongea na mimi, nikachukua simu ili nimpigie..

ITAENDELEA
Mmh kwl Manuel amekuwa kama njia kwako naimagine hizo bata unazokula afu tunakukumbushia machungu ya kukosa kazi kipindi hiki😁😁 kila jambo lina muda wake Tumwamini Mungu
 
Back
Top Bottom