Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ila haujamfanyia poa Prisca jamaa yangu majibu makali sana yale kwa mwanamke anayekupenda..
 
Imeishia patamuuu
 
Ijumaa imeenda vema,,,,INSIDER MAN
 
Huwezi kujua ni kwa kiasi gani vijana wa hovyo walikuwa wanasubiri hii part kwa udi na uvumba.
 
Huwezi kujua ni kwa kiasi gani vijana wa hovyo walikuwa wanasubiri hii part kwa udi na uvumba
 
Mkulungwa INSIDER MAN nyota 5 zinakuhusu we jamaa ni fundi sana kwenye kuandika
 
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] itabdi uwe shoga tu ndio rais Zaid kwa nyakati hz otherwise uwe jambazi
 
Mmh kwl Manuel amekuwa kama njia kwako naimagine hizo bata unazokula afu tunakukumbushia machungu ya kukosa kazi kipindi hiki😁😁 kila jambo lina muda wake Tumwamini Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…