Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wazungu wanakula kama mchwa, huwezi amini migahawa inakesha hizi nchi 24/7,
Kibayolojia, kukaa kwenye mazingira ya baridi kunasababisha mtu anakula mara kwa mara tena chakula kingi.

Hata hapa Tanzania, watu waishio njombe, makete, mufindi na kwingineko kwenye baridi kali wanakula zaidi kuliko wanaoishi Dar kwenye joto au pwani kwa ujumla.
 
Nimegundua huo mtalimbo wako ni doro!

Unaiachaje pisi kali!,ya kishua, kama prisca!

Then demu kajaa mwenyewe!? Una mushkeli wewe si bure, nimekuvua vyeo!....

Story imekosa ladha ile niliyokwisha ijenga kichwani kwangu na kumaliza kabla hujasimulia,....nikitarajia ufike pale nilipokwisha jenga picha yangu kichwani.

Umetuaibisha mashababi!
 
Nimegundua huo mtalimbo wako ni doro!

Unaiachaje pisi kali!,ya kishua, kama prisca!

Then demu kajaa mwenyewe!? Una mushkeli wewe si bure, nimekuvua vyeo!....

Story imekosa ladha ile niliyokwisha ijenga kichwani kwangu na kumaliza kabla hujasimulia,....nikitarajia ufike pale nilipokwisha jenga picha yangu kichwani.

Umetuaibisha mashababi!
Hamna kaka. Kwenye uanaume ni kweli amezingua, ila kwenye 'uanaume' kwangu jamaa ni matured. Khuma kwenye sekta ya usafirishaji zimelostisha wengi sana. Na hii ndio subtle factor ya mafanikio kwenye sekta hii.
 
Nimegundua huo mtalimbo wako ni doro!

Unaiachaje pisi kali!,ya kishua, kama prisca!

Then demu kajaa mwenyewe!? Una mushkeli wewe si bure, nimekuvua vyeo!....

Story imekosa ladha ile niliyokwisha ijenga kichwani kwangu na kumaliza kabla hujasimulia,....nikitarajia ufike pale nilipokwisha jenga picha yangu kichwani.

Umetuaibisha mashababi!
Ushabab Demu humjui....ili kesho uanze kukonda Kwa stress.
Khuma ipimwe kwanza
 
The first four episodes were narrated well with eye catching incidents, unfortunately episode #5 you included unnecessary incidents. In the coming episodes avoid narrating unnecessary stories
Oya ujuaji wako toa hapa kwenye huu uzi, hizo unazosema unnecessary incidents ndio story yenyewe, we kama umeona ni unnecessary ni bora kukaa kimya na kutoendelea kusoma story
Simple tu kama kunywa maji bro.
 
Oya ujuaji wako toa hapa kwenye huu uzi, hizo unazosema unnecessary incidents ndio story yenyewe, we kama umeona ni unnecessary ni bora kukaa kimya na kutoendelea kusoma story
Simple tu kama kunywa maji bro.
Mwache atoe maoni yake. Ni haki yake kikatiba. Mbona unamfunga mdomo? Na wewe siyo mwenye uzi. Au unataka uwe chawa?
 
Back
Top Bottom