Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

The first four episodes were narrated well with eye catching incidents, unfortunately episode #5 you included unnecessary incidents. In the coming episodes avoid narrating unnecessary stories

We nae huna ata mia unatuletea kingereza cha chekechea toto,

Watu wanatafuta hela we umekazania dictionary[emoji1787][emoji1787]
 

Unakuta ata akajanywa ata chai kanakomaa unnecessary incident af vimtu vyaivi ukivifatilia una kuna kina degree ya __ pale chuo x naiv auna ata anko wa kuanzia apa mjin ukigraduate n moja kwa moja makongorosi mbeya[emoji23][emoji23]
 
Suala la Prisca naomba nikupongeze kwa kuweza kulishinda, kuna watu nimeona wanakumind ila uanaume sio kumla kila mwanamke aliye mbele yako, hata mimi siwez kutembea na mwanamke ambaye simjui na amelewa, UANAUME ni pamoja na kuwa na Self control, kijiheshimu.

Nikupe hongera kwa kujali ofisi yako ila kama hutojali naomba namba za Prisca
 

Kuwasapoti madogo sioni shida hata mimi home mzee anahela ila sometimes napigiwa simu nilipe ada ya dogo, wazazi pia wanaishiwa pia.

Jamaa nahisi alikua TRA kwa 100% maana kwa tasisi TANZANIA inayo deal na wafanya biashara ni TRA na hizo connection za Kariakoo nahisi alikua TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…