Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

SAS hapa nimekuelewa kwamba kwa wote Ni Pi's Kali ila iryn Ni pisi kuwazidi wote Hili mm itanisadia kuchora picha Yale vzr wakt nasoma story yako

Manake ukiwa na pisi zote Ni wazuri wote nitashindwa kujuwa nan kawazid mwingine kwa ukali ila kwa sasa mm nitaenda na iryn

Otherwisenl nakushukuru kwa ufafanuzi mzuri
 
Bila picha bado ni kazi bure mkulungwa!
 

Basi mkuu tupe sample ya star yeyote anaendana na irene tupate walau mwanga juu ya uzuri wake maana umemnadi mpaka unatufikirisha wadau.
 
Basi mkuu tupe sample ya star yeyote anaendana na irene tupate walau mwanga juu ya uzuri wake maana umemnadi mpaka unatufikirisha wadau.
Nimejaribu kumvutia picha huyo Irene maana mimi naishi jirani tu na hapo Gland Villa Kijitonyama ila hajai kichwani🙄
Kwako INSIDER MAN embu nipe number ya nyumba au nielekeze exactly street nimng'amue mrembo wetu, alafu nitoe ushuhuda hapa😊😊
 
Kuishi kwa ndugu
Hichi ndio kipengele pekee nimelipenda , nimekumbuka kipindi nimemaliza form six nilienda kwa ndugu (baba yangu mdogo) mkoa fulani nyanda za juu kusini

Sasa kulikuwa na dogo mwingine ambaye si mwanae ni mtoto wa dada yake alikuwa akilalamika kuhusu mke wa jamaa kuwa anakauli za kibaguzi na ni kweli nilikuwa naona the way anawatreat wanae na huyo mwingine ni tofauti hivyo ilikuwa mumewe akiwepo ndio tunakuwa na ahueni ,

Kauli yake moja ilinifanya nipange safari ya kuondoka pale , alimwagiza mwanae majani ya chai dukani akampa elfu5 sasa watoto wakawa wanagombania kila mmoja anataka aende , huyu aliyepewa hela akakimbia nayo kufika getini kajikwaa kaanguka nakuanza kulia


Mama mtu kufika akasema kuna mijitu mikubwa imekaa tu haina kazi imerelax ,mtoto anaenda dukani akirudishwa chenji tsh 200 atajua?

Sikumaliza week 2 nikaondoka😂
 
[emoji16][emoji16][emoji16] pole sana, Mimi niliambiwa nimeiba charge ya simu na kipindi hicho sikuwa nimewahi kumiliki simu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…