Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
Tunasubiri mwendelezo mkuu.Uber ndo baba lao asee utakutana na warembo mpaka bhasi, kama una mke utaanza kuona mke wako mbaya[emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri mwendelezo mkuu.Uber ndo baba lao asee utakutana na warembo mpaka bhasi, kama una mke utaanza kuona mke wako mbaya[emoji119]
Nataka kuona watabiri hapa:
1. Unafikiri Iryn alikua anapiga mishe gani?
2. Vipi kuhusu Mama J atakuja kujua kazi yangu ya uber?
3. Nitakuja kumla Prisca??
SAS hapa nimekuelewa kwamba kwa wote Ni Pi's Kali ila iryn Ni pisi kuwazidi wote Hili mm itanisadia kuchora picha Yale vzr wakt nasoma story yakoDr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo
Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.
Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu
Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??
Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.
Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.
Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,
Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.
Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,
grizzman Prince Mhando
Kweli kumbe Kuna miamba mingine wakali kuliko insiders...
Tafuta threads zao mkuu, utasahau hata kula😊Kweli kumbe Kuna miamba mingine wakali kuliko insiders...
Ila BMX 6 nimesoma ile yake ya mzee wa kinyerez Bado sijamkubali BadoTafuta threads zao mkuu, utasahau hata kula[emoji4]
Kwenye hii tasnia hujawahi niangushaNgoja tusubiri kusimuliwa huyo dada wa mrembo ulivyokutana naye...
Bila picha bado ni kazi bure mkulungwa!Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo
Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.
Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu
Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??
Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.
Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.
Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,
Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.
Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,
grizzman Prince Mhando
achana na maneno mkuu shusha vitu, kama alosto inaanza kujijenga hivi, sijui ni mimi tu ama na wengine.Uber ndo baba lao asee utakutana na warembo mpaka bhasi, kama una mke utaanza kuona mke wako mbaya[emoji119]
Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo
Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.
Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu
Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??
Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.
Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.
Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,
Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.
Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,
grizzman Prince Mhando
So ndo ile HATMA YANGU II MIKONO MWA KIJANA WA BUGURUNI?Ila BMX 6 nimesoma ile yake ya mzee wa kinyerez Bado sijamkubali Bado
Nimejaribu kumvutia picha huyo Irene maana mimi naishi jirani tu na hapo Gland Villa Kijitonyama ila hajai kichwani🙄Basi mkuu tupe sample ya star yeyote anaendana na irene tupate walau mwanga juu ya uzuri wake maana umemnadi mpaka unatufikirisha wadau.
1) irene anajiuza..ni high class prostituteNataka kuona watabiri hapa:
1. Unafikiri Iryn alikua anapiga mishe gani?
2. Vipi kuhusu Mama J atakuja kujua kazi yangu ya uber?
3. Nitakuja kumla Prisca??
😂😂Home Sweet Home,
Sio Home Sweat Home
Story nzuri
[emoji16][emoji16][emoji16] pole sana, Mimi niliambiwa nimeiba charge ya simu na kipindi hicho sikuwa nimewahi kumiliki simu...Kuishi kwa ndugu
Hichi ndio kipengele pekee nimelipenda , nimekumbuka kipindi nimemaliza form six nilienda kwa ndugu (baba yangu mdogo) mkoa fulani nyanda za juu kusini
Sasa kulikuwa na dogo mwingine ambaye si mwanae ni mtoto wa dada yake alikuwa akilalamika kuhusu mke wa jamaa kuwa anakauli za kibaguzi na ni kweli nilikuwa naona the way anawatreat wanae na huyo mwingine ni tofauti hivyo ilikuwa mumewe akiwepo ndio tunakuwa na ahueni ,
Kauli yake moja ilinifanya jipange safari ya kuondoka pale , alimwagiza mwanae majani ya chai dukani akampa elfu5 sasa watoto wakawa wanagombania kila mmoja aende , huyu alipewa hela akakimbia nayo kufika getini kajikwaa kaangukia akaanza kulia
Mama mtu kufika akasema kuna mijitu mikubwa imekaa tu haina kazi imerelax ,mtoto anaenda dukani alirudishwa chenji tsh 200 atajua?
Sikiliza week 2 nikaondoka[emoji23]