Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo

Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.

Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu

Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??

Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.

Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.

Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,

Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.

Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,

grizzman Prince Mhando
SAS hapa nimekuelewa kwamba kwa wote Ni Pi's Kali ila iryn Ni pisi kuwazidi wote Hili mm itanisadia kuchora picha Yale vzr wakt nasoma story yako

Manake ukiwa na pisi zote Ni wazuri wote nitashindwa kujuwa nan kawazid mwingine kwa ukali ila kwa sasa mm nitaenda na iryn

Otherwisenl nakushukuru kwa ufafanuzi mzuri
 
Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo

Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.

Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu

Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??

Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.

Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.

Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,

Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.

Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,

grizzman Prince Mhando
Bila picha bado ni kazi bure mkulungwa!
 
Dr hakuna sehem ambayo nimeandika kuna dada niliempeleka Airpot ni pisi kali/Mrembo

Prisca kwa mara ya kwanza nilimwona mzur ila nilivyokuja kumwona dada yake ndo nilijua dada yake ni mzuri zaidi sababu alikua na tyako.

Hakuna sehem ambayo nimeongelea uzuri wa mke wangu

Hakuna sehem ambayo nimesema Mzee alikua ni kigogo wa serikali, kuhusu mchepuko wake hakuna nilikosema ni pisi kali ila nilissema baada ya kumkagua niliona mzee anajua kuchagua (siku sema ni pisi kali), unafikir kwa mzee mwenye pesa kama yule angekua na mchepuko wa kawaida??

Sijataka kuandika mambo mengi sana maana nimekutana na wanawake wa kila aina ila mostly ni pisi kali, wanawake wa kawaida nilikua nakutana nao kwenye Bolt sana. Tambua kwanza watu waliokua wanatumia uber ni wale wenye Pesa, wanawake wazuri, uber rate za nauli ziko juu sana tofauti na bolt, pia Uber ilikua inapendwa sana na warembo sababu ya security.

Nimekutana na warembo mpaka nilikua najiuliza mbona hawa wanawake sikutani nao mitaani??, kuna wanawake nimemit nao uyo Prisca mbona cha mtoto na dada yake.

Nimeamua kuandika story na wanawake ambao walikua na impact kwenye maisha yangu, ningesema niandike kila kitu hapa zingefika Epsode 500,

Katika wanawake wote IRYN alikua ni funga kazi aseee, narudia sijawai kukutana na mwanamke mzuri kama Iryn kwa Tanzania hii huyu dada alikua ni pini, kisu, pisi kali, mrembo, cute, beautiful nknk, Mungu ni fundi.

Dr unafikir hapa Tanzania hakuna warembo? waulize madereva wa Uber watakwambia aseee,

grizzman Prince Mhando

Basi mkuu tupe sample ya star yeyote anaendana na irene tupate walau mwanga juu ya uzuri wake maana umemnadi mpaka unatufikirisha wadau.
 
Basi mkuu tupe sample ya star yeyote anaendana na irene tupate walau mwanga juu ya uzuri wake maana umemnadi mpaka unatufikirisha wadau.
Nimejaribu kumvutia picha huyo Irene maana mimi naishi jirani tu na hapo Gland Villa Kijitonyama ila hajai kichwani🙄
Kwako INSIDER MAN embu nipe number ya nyumba au nielekeze exactly street nimng'amue mrembo wetu, alafu nitoe ushuhuda hapa😊😊
 
Kuishi kwa ndugu
Hichi ndio kipengele pekee nimelipenda , nimekumbuka kipindi nimemaliza form six nilienda kwa ndugu (baba yangu mdogo) mkoa fulani nyanda za juu kusini

Sasa kulikuwa na dogo mwingine ambaye si mwanae ni mtoto wa dada yake alikuwa akilalamika kuhusu mke wa jamaa kuwa anakauli za kibaguzi na ni kweli nilikuwa naona the way anawatreat wanae na huyo mwingine ni tofauti hivyo ilikuwa mumewe akiwepo ndio tunakuwa na ahueni ,

Kauli yake moja ilinifanya nipange safari ya kuondoka pale , alimwagiza mwanae majani ya chai dukani akampa elfu5 sasa watoto wakawa wanagombania kila mmoja anataka aende , huyu aliyepewa hela akakimbia nayo kufika getini kajikwaa kaanguka nakuanza kulia


Mama mtu kufika akasema kuna mijitu mikubwa imekaa tu haina kazi imerelax ,mtoto anaenda dukani akirudishwa chenji tsh 200 atajua?

Sikumaliza week 2 nikaondoka😂
 
Kuishi kwa ndugu
Hichi ndio kipengele pekee nimelipenda , nimekumbuka kipindi nimemaliza form six nilienda kwa ndugu (baba yangu mdogo) mkoa fulani nyanda za juu kusini

Sasa kulikuwa na dogo mwingine ambaye si mwanae ni mtoto wa dada yake alikuwa akilalamika kuhusu mke wa jamaa kuwa anakauli za kibaguzi na ni kweli nilikuwa naona the way anawatreat wanae na huyo mwingine ni tofauti hivyo ilikuwa mumewe akiwepo ndio tunakuwa na ahueni ,

Kauli yake moja ilinifanya jipange safari ya kuondoka pale , alimwagiza mwanae majani ya chai dukani akampa elfu5 sasa watoto wakawa wanagombania kila mmoja aende , huyu alipewa hela akakimbia nayo kufika getini kajikwaa kaangukia akaanza kulia


Mama mtu kufika akasema kuna mijitu mikubwa imekaa tu haina kazi imerelax ,mtoto anaenda dukani alirudishwa chenji tsh 200 atajua?

Sikiliza week 2 nikaondoka[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] pole sana, Mimi niliambiwa nimeiba charge ya simu na kipindi hicho sikuwa nimewahi kumiliki simu...
 
Back
Top Bottom