Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kama unataka dudu sema mbona unamushkeri hivyo kwenye nyuzi za watu
We nawe ndio wale wale. Mi sijampigia wala kwa umri wangu sijamtafuta yule demu wako mbilikimo kama wanavyosema jamaa so wacha makasiriko kwangu bwana mdogo. We ndio ulikosea kuscreen shot ikatokea na namba yake. Tusamehe kwa kuiona ile namba maana dah si kwa hasira hizi.
 
Mkuu naomba kuuliza...ulishawahi kuwa kwenye hii field? Au na wewe umesikia story za vijiweni au huku mtandaoni?

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…