[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]Acha nianze na wewe
We nawe ndio wale wale. Mi sijampigia wala kwa umri wangu sijamtafuta yule demu wako mbilikimo kama wanavyosema jamaa so wacha makasiriko kwangu bwana mdogo. We ndio ulikosea kuscreen shot ikatokea na namba yake. Tusamehe kwa kuiona ile namba maana dah si kwa hasira hizi.Kama unataka dudu sema mbona unamushkeri hivyo kwenye nyuzi za watu
kuna watu tunataka tuanze kusoma ila wavivu wa kufungua mapage mengi, fanya uweke link ya kila muendelezo kwenye page ya kwanza....Before we Proceed tomorrow, naomba kwa wale mamluki uliovamia uzi wangu naomba mfanye kuignore mapema.
View attachment 2736804
ExactlyMgema amesifiwa tembo kaishalitia maji,,
Jitahid ndg,,,,Alosto ,,,,nimengia humu zaid ya Mara 50,,,,kila nikichek holaBefore we Proceed tomorrow, naomba kwa wale mamluki uliovamia uzi wangu naomba mfanye kuignore mapema.
View attachment 2736804
Insider man na konda msafi mna stori nzuri sema tu wewe una ngekewa sana.
Mkuu naomba kuuliza...ulishawahi kuwa kwenye hii field? Au na wewe umesikia story za vijiweni au huku mtandaoni?madereva wa taxi mtandao hasa hasa wanaoendesha magari ni waongo hatari. Yaani ukikaa nao kijiweni story zao ni hizi hizi. mara nikambeba mama wa kizungu akanipenda akaniachia dola 200 na binti yake akaanza nishobokea nikamla na siku nimembeba rafiki yake akalewa sana nikajikuta nimelaza siti na kuanza mpelekea moto. yaani story zao wote ni story za kufanikiwa, hawajawahi kufeli.
Hii kizazi kina vijana wa ovyo sana. Sijui taifa na dunia hii tunaipeleka wapi. Just assume vijana wa ovyo namna hii ndo watakuja kuwa wazee wa busara baada ya miaka 30 ijayo.
Ikifika saa sita usiku hujatuma episode nakuandalia mashtaka nikushtaki kwa kunisababisha homa bila sababu ya msingi tena kwa makusudi.
kuna watu tunataka tuanze kusoma ila wavivu wa kufungua mapage mengi, fanya uweke link ya kila muendelezo kwenye page ya kwanza....
konda msafiKuna story ya "KUMBU" nimesahau msimuliaji nani
Ibada njemaKesho mapema mkitoka misa ya asubuhi mtakuta mzigo tayari
ukianza saivi utaturahisishia sana mkuuNgoja iishe nitafanya hio kazi
ukianza saivi utaturahisishia sana mkuu
ndio ni lazima utumie web...Nielekeze jinsi ya kutengeneza hizo link maana naona kama inakupeleka kwenye web
ndio ni lazima utumie web...