Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

maua ya dunia kaka yapo meeeemgii saaana..Endelea na story
 
Huyu ni wale tax force walio pigwa chini na majaliwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cool
 
Tukiwa pale Mlimani city juzi kati hapo Iryn alipita
Oya sio poa.
Ni mkale sana.
Mwanangu Mpayungu village pia alimkubali
 
Yote Maisha Home Boy
Tumshukru nani kama siyo Mungu wetu pekee.
 
naishia hapa
 
kama uchawi vile nilipofika hapo request ikapiga kenke kenkeee na mm huku uber yangu imelia dididih dididih dididih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…