Naliona hilo mkuu siku hadi sikuImeandikwa mwanaume utakula kwa Jasho.
...asante sana mkuu INSIDER MANJinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Leta vitu man Leo nitashusha Episode 2www.jamiiforums.com
Niliwahi tu nauli demu hajatokea.ndo sembuse kutoa zawadi ya gari tena Mercedes😂😂kuna watu pesaImeandikwa mwanaume utakula kwa Jasho.
HImeandikwa mwanaume utakula kwa Jasho.
Tuendeleee muajemi nayeye kaamua kutoa ndinga kaka ndinga zitajaa kwako sio poa. Naamini iryn atakwambia insider hii tumia
hahaha daaah!! We jamaa...Tuendeleee muajemi nayeye kaamua kutoa ndinga kaka ndinga zitajaa kwako sio poa. Naamini iryn atakwambia insider hii tumia
uwe unaacha ufala wa kuquote episode nzima. si tunaotumia simu tunasumbuka, kwanza tukiona scroll line ikiwa ndogo tunajua mzigo umeshuka kumbe wapi...Asante Kwa muda wako kaka,Tunaendelea kiburudika.
Labda si mwenye Simu huyo [emoji23]uwe unaacha ufala wa kuquote episode nzima. si tunaotumia simu tunasumbuka, kwanza tukiona scroll line ikiwa ndogo tunajua mzigo umeshuka kumbe wapi...
Kwake ni vijisenti wala haimsumbuiSababu ya utelezi tu unahonga gari tena masidis benz
Boss, simu,bando, chaji, nguvu na uamuzi vyote viko chini yangu na unanipangia nifanye nn??? Jishikilie Mzee humu hatutaki makasiriko. [emoji23][emoji23][emoji23]uwe unaacha ufala wa kuquote episode nzima. si tunaotumia simu tunasumbuka, kwanza tukiona scroll line ikiwa ndogo tunajua mzigo umeshuka kumbe wapi...
hawa wajuba wanakera mwanangu, sio poaLabda si mwenye Simu huyo [emoji23]
hahahahahaha sawa bwana, mbwa wewe...mnanikeraga ile mbayaBoss, simu,bando, chaji, nguvu na uamuzi vyote viko chini yangu na unanipangia nifanye nn??? Jishikilie Mzee humu hatutaki makasiriko. [emoji23][emoji23][emoji23]