Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Du!story imekuwa tamu ila hizo nafasi utakuja jutia nimeaikitika sana kutomnyandua iryn
 
EPISODE 47

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

CONTINUE…..

Muda ule ilibidi nishangae kwanza maana niliona Muajemi kama karogwa hivi na sio akili zake. Niliona Muajemi ni kama hajitambui na hajui anafanya nini.

MUAJEMI: “Bro! unaionaje hii gari? Nataka umpelelekee Iryn kama zawadi.”

MIMI: “Bro! ushailipia tayari hii gari?”

MUAJEMI: “Bado nataka kwanza utoe comment then nifanye malipo ili uondoke nayo.”

Na kipindi hiki chote kulikuwa na Jamaa mwenye asili ya uarabu akiwa makini sana na sisi. Maana alijua kabisa gari imeuzwa anasubiri maokoto tu kutoka kwa Muajemi.

MIMI: “Bro! samahani naomba tuongee mara moja then tutarudi.”

MUAJEMI: “Sawa haina shida, unataka tuongelee wapi?”

MIMI: “Nafikiri twende pale mbele kuna kamgahawa tukae kabisa.”

Tulitoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Mgahawa wa Best bite na tulikaa pale tukaanza maongezi.

MIMI: “Bro! najua una mapenzi na upendo wa kweli kwa Iryn. I really appreciate your efforts, nimekuwa na wewe bega kwa bega toka mwanzo mpaka sasa, lakini kwa hili sikuungi mkono kabisa.”

MUAJEMI: “Kwanini Bro! mimi nafanya kutoka moyoni kabisa na nilikuwa na mpango wa kumnunulia gari toka muda mrefu sana.”

MIMI: “Sawa Bro! cha kwanza inatakiwa utambue unadeal na aina gani ya mwanamke. Iryn hana shida na gari ni vile hajataka kununua na hata akitaka gari mama yake aliacha Range sport mpya kabisa ipo kwa mama yake mlezi. Haya yote unafanya ili uweze kumuwin lakini unashindwa kutambua Iryn sio dizaini ya Wanawake wenye njaa. What if kama nitampelekea zawadi ya gari na akaikataa? umejaribu kuwaza hivi? Na vipi kwa upande wako utajisikiaje?.”

MUAJEMI: “Kaka upo sahihi sasa unanishauri ni nini hapa?”

MIMI: “Ni simple tu ili kuepusha haya kutokea. Iryn ni mtu mzima tayari anajitambua huna haja ya kuendelea kuzunguka mbuyu tena, kwasasa nenda direct. Omba appointment ya kuonana naye najua hawezi kukukatalia, this time itabidi umchane ukweli na usifiche hata kitu kimoja mwambie ukweli kuhusu maisha yako na mipango yako kwake.”

MUAJEMI: “Bro unaona ni sawa kumwambia direct? Vipi kama atanichomolea si itakuwa matatizo?”

MIMI: “Point yangu acha kupoteza muda kwa mwanamke, utapoteza pesa, utatoa hata zawadi ya figo lakini kama hakupendi- hakupendi ndo wanawake walivyo. Mpaka sasa mnafahamiana tayari vya kutosha don’t waste your time Bro! Kaa naye chini mpe ukweli ibaki yeye kuamua tu kama yuko in or out.”

MUAJEMI: “Kaka naona upo sahihi itabidi niombe appointment naye weekend hii.”

MIMI: “Yeah fanya hivo, akikubali sasa hapo unampelekea gari kama zawadi ili kukazia mapenzi ila kwasasa utakwama hata yeye atakushangaa sana atakuona bwege. Na ikitokea kakuchomolea wewe achana naye pisi kali zipo kibao, wewe unapesa huwezi kosa pisi kali sehemu yoyote Duniani.”

MUAJEMI: “Sawa Bro! leo umeongea point ila wasiwasi wangu akikataa.”

MIMI: “Mwanaume kuogopa kukataliwa ni udhaifu mkubwa sana inatakiwa ujiamini hata kama akikutalia chukulia simple madem wako wengi tu. Sasa ni bora ukataliwe au uendelee kupoteza muda? Na kumbuka nilikwambia before kwamba Iryn ana mtu wake Ufaransa anampa kila kitu anachotaka, hata yeye hana shida.”

MUAJEMI: “Sawa Bro! Acha mimi niende tutawasiliana.”

Tuliagana na Muajemi na alitoa laki 1 kwaajili ya mafuta ya gari na akaondoka. Niliamua kumchana ukweli Muajemi ili aisendelee kupoteza pesa. Maana niliona kuna siku itaweza kuleta shida hata pesa alizokuwa ananipa ni sababu ya Iryn wala sio kingine.

Iikuwa ni saa 12 jioni baada ya kuachana na Muajemi mimi nilielekea Mlimani moja kwa moja. Kuna jamaa nilikwenda kuonana naye mitaa ile kwaajili ya kufanya biashara ya zile simu.

Baada ya kuonana na kuridhika na zile simu, tulikubaliana kwa simu zote 7 atanipa 16,800,000/=. Na jamaa hakutaka kuchezea ile bahati na alifanya kutransfer Pesa kwenye account yangu ya bank.

Niliondoka maeneo yale ya Mlimani na nilikwenda chuo kumchukua Prisca mama kijacho wangu ili tupate Dinna ya pamoja. Na baada ya kuwasili pale chuo ilibidi nimsubiri atoke class na baada ya nusu saa alikuwa katoka tayari akiwa pamoja na Eva.

Tulitoka pale chuo na tulikwenda mpaka mlimani city pale Instanbul restaurant kwaajili ya dinna. Kila mtu aliagiza anachopenda kula na muda huu story zilikuwa zikiendelea pale.

MIMI: “Nambieni wake zangu masomo yanakwendaje.?”

Niliishiwa kupigwa jicho kali sana na Prisca muda huu.

EVA: “Shem hongera sana unakwenda kuwa Baba soon.”

PRISCA: “Awe Baba mara ngapi?”

MIMI: “Ahsante sana shemela wangu leo itabidi unipe namba zako incase of anything uwe unanipigia.”

EVA: “Sawa shem haina shida.”

PRISCA: “Baby itabidi nianze kwenda clinic mapema.”

MIMI: “Subiri kwanza ufikishe week 8 ndo uanze kwenda kwasasa mapema sana.”

EVA: “Hata mimi nilimwambia leo bado mapema sana, naona anatamani sana kuwa mama.”

Nilikaa na akina Prisca mpaka saa 3 usiku kasoro nikawaambia warequest usafiri na mimi nikaondoka kuelekea kwa Iryn.

Baada ya kufika pale na kuingia ndani nilikuta hakuna mtu ndani lakini simu ilikuwa seblen kuonesha mtu yuko around. Nilisubiri kama dakika 10 lakini mtu simwoni, nikakumbuka kuna swimming pool nilihisi atakuwa huko.

Baada ya kuzunguka na kwenda upande wa swimming pool nilimkuta kule akiwa anaswim kama mtu ambaye hana stress na maisha, na alikuwa peke yake.

“Nimekusubiri sana kumbe upo huko mummy.”

“Insider ingia bhasi na wewe maji ya moto hadi raha.”

“Mimi siingii humo ndani fanya kutoka twende ndani tukaongee.”

“Usinambie leo hii hutaki kuswim na mimi.”

“Muda umekwenda kuna jambo nataka tuzungumze muhimu.”

“We can talk there mbona kuna utulivu wa kutosha hapa. Anyway twende ndani hata hivyo nimekaa sana kwenye maji.”

Tulirudi ndani muda huu tukiwa tumeongozana njiani, na Iryn alikuwa katangulia kwa mbele, so nilikuwa kwa nyuma nikamtizama maungo yake kwa matamanio.

MIMI: “Iryn Mungu alikuumba sana Mummy.”

IRYN: “Insider toka nyuma yangu tangulia mbele.”

Baada ya kuingia ndani aliingia chumbani na baada ya dakika 10 alitoka kavaa tayari.

IRYN: “Insider unajambo gani?”

MIMI: “Kwamba sikuhizi umeanza kunionea aibu mpaka umeenda kubadilika? Hujui nilikuwa naona raha kukuangalia ukiwa vile?”

IRYN: “Natoka tukiachana hapa na utanipeleka Mikocheni Plaza nikale Pizza.”

MIMI: “Ok sawa, nimeshauza simu tayari nipe account namba nifanye kutransfer pesa zako.”

IRYN: “Sawa twende bhasi njiani nitakupa utatransfer.”

Na muda huu alikuwa akiniinua kwenye coach kwa kunibembeleza.

Ilibidi nimepeleke Mikocheni Plaza pale Pizza Hut na baada ya kuwasili alining’ang’ania simsubiri ili turudi wote tena. Ukweli sikuwa na jinsi ilibidi twende wote mpaka ndani japo nilikuwa natamani kurudi home mapema.

Iryn aliingia ndani kuweka odda na baada ya dakika 5 alitoka akaja akakaa kwenye bench kwa pale nje. Na muda huu kuna jamaa alikuwa anakuja upande wetu ni kama alikuwa amem-target Iryn sasa aliponiona mimi dizaini kama alipiga U-turn.

IRYN: “Uyo mshenzi alikuwa ananitongoza eti alikuwa anataka kunilipia Pizza nikamgomea. Akaanza kuniomba namba ya simu, baadae akanambia unakaa wapi, nikamwambia nimekaa nje na mme wangu.”
Na muda huu Iryn alikuwa anacheka sana.

MIMI: “Sasa hapa ndo alikuwa anakufuata? Maana niliona alikuwa anakuja kwa ajili yako.”

IRYN: “Alikuwa haamini nafikiri sasa kweli kaprove. Why Tanzanian men’s are not smart?”

MIMI: “Sio Tanzania tu ni Dunia nzima acha uchawi wako kwa Watanzania.”

IRYN: “Sawa bhana, ngoja nikachukue juice. Insider nikuletee juice gani?”

MIMI: “Nichagulie nzuri for me.”

Iryn aliondoka na muda huu jamaa alikuwa akiniangalia sana dizaini alikuwa haamini macho yake kama mimi ndo mme wa Iryn. Na Iryn alivyorudi alinikisi shavuni kwa makusudi, nilihisi anamuumiza jamaa tu.

MIMI: “Noana umeamua kumchoma Moyo Jamaa.”

IRYN: “Nimekukisi sababu ya kunipa kampani wala sio sababu ya huyo mshenzi.”

MIMI: “Sawa mrembo wangu wa Dunia kula Pizza tuondoke nimem-miss mama J wangu leo.”

IRYN: “Hongera zako mimi mpaka nionane na Grizmann. Afu ratiba zetu zitaendelea soon nakosa Pesa nyingi sana kwakweli.”

MIMI: “Iryn bado unawaza kuendelea na hizo Biashara?”

IRYN: “Insider kazi ni kazi hutakiwi kuchagua, mimi ni mzuri nina kipaji cha massaji kwanini niache Pesa zinipite?. Afu nilikupa offa ya kukufanyia massage lakini unaringa, na hii kwaajili ya afya yako. Kumbuka unakaa sana kwenye gari unahitaji kunyooshwa huo mgongo shauri yako.”

MIMI: “Kweli itabidi unifanyie matibabu Doctor.”

IRYN: “Tuondoke mimi niko full hapa bebe.”

Na muda huu tuliondoka huku jamaa akituangalia kwa wivu sana na Iryn alikuwa kaniwekea mkono kiunoni, kwa mtu anayetuona kwa mara ya kwanza angejua sisi ni wapenzi.

Nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home muda ule maana ilikuwa ni saa 5 kasoro usiku.

Kwa upande mwingine kwenye zile simu za Iryn nilikuwa nimepata 2,800,000/= kama udalali baada ya kuziuza.

*********
Jumatano asubuhi nilipigiwa simu kutoka kwa mama Janeth na aliomba tuonane saa 6 mchana pale ofisini kwake Masaki.

Mapema sana kwenye saa 6 kasoro mchana nilikuwa nimewasili pale na nilikwenda moja kwa moja mpaka getini na gari. Mama Janeth alisema nikifika pale niingie na gari ndani moja kwa moja nisipark nje.

“Bro! habari yako unakwenda wapi?”

“Nakwenda kuonana na Mrs Carter.”

“Wewe ni nani na una appointment naye?”

“Sasa nitakuja kwenye Organization kubwa kama hii bila kuwa na appointment?”

“Embu subiri kwanza tufanye mawasiliano.”

Nilisubiri pale getini kama dakika 3 hivi ndo nikaruhusiwa kuingia ndani. Na baada ya kupark gari niliwasiliana na Mama Janeth na akanambia nimsubiri pale sehem ya visitors anakuja.

Ilimchukua kama dakika 15 mama Janeth kutoka na baada ya kufika pale nilipokuwa nimekaa tulisalimiana na akanambia tuongozane, na muda huu tulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye ofisi yake.

“Insider karibu sana Jisikie huru hii ni ofisi yenu usiwe na wasiwasi.”

“Ahsante sana mama kwanza nashukuru kwa kunipa wito wa kufika kwenye organization kubwa kama hii.”

“Mnaruhusiwa kuja mbona sema Watanzania hampo active kama nchi zingine.”

“Sijawai kujua hili mama.”

“Mnaruhusiwa kuvisit kama unataka elimu anything unapewa. Nimekuita hapa kwanza pole na msiba mwanangu, Iryn alinipa taarifa zote na alinambia mazishi yalifanyika Tabora.”

“Ndio mama nashukuru lakini kazi ya Mungu haina makosa, japo inaumiza sana kuondokewa na mtu muhimu kwenye maisha.”

“Poleni sana, nilitamani sana tuonane maana wewe ni moja ya member wa kampuni yetu na kazi yako inaonekana nikushukuru kwa hili. Nilipita pale ofisini nikaona umeweka mazingira mazuri, umepanda miti na maua kwakweli ulinifurahisha sana.”

“Ahsante sana mama ni moja ya majukumu yangu ya kiofisi huna haja ya kushukuru wakati unanilipa mshahara.”

“Jambo lingine naomba uniwie radhi kwa kutokukurudia mapema lakini ujumbe wako niliupata kwa kuchelewa sana. Nilikuwa huko Ukraine tunafanya tafiti so I was very busy that time na dada alituma mail kwenye account yangu binafsi, angetumia ya ofisi ingekuwa haraka sana kuipata.”

“Usijali mama kuwa na amani Iryn alishanambia hayo yote tayari, kipindi kile nilikuwa kwenye wakati mgumu sana. Iryn aliondoka bila kuniaga afu akawa hapatikani kwa simu, nikapata wazo la kwenda kwako lakini nikaambiwa umehama. Nikaamua kuja hapa ofisini ndo HR akanambia niache taarifa zangu atakutumia.”

“Pole sana pale tulihama, wakati umeleta mzigo weekend tulihama. Niliamua kuhamia nyumba yangu maana landlord alipandisha rent, nikaona bora nikakae nyumba yangu ili niwe huru.”

“Ni kweli kabisa mama upo sahihi kodi zina kera sana.”

Kwa ufupi mama Janeth alifurahi sana kwa kumjali sana Iryn maana alisema before mimi Iryn alikuwa ni mtu wa mawazo sana na alikuwa anajifungia ndani. Lakini baada ya kukutana na mimi amebadilika sana amekuwa mchangamfu na furaha sana.

Mama Janeth alinishukuru sana na aliniomba niendelee kuwa karibu na Iryn ili amsahau mama yake kabisa.

Ni mazungumzo yaliyochukua kama dakika 45 na baada ya hapo alinipeleka kwa yule HR wa siku ile na akanitambulisha kama mwanae. Yule HR alishangaa sana na alikuwa anani-changamkia sana muda huu.

Baada ya yote Mama Janeth alisema tukapate lunch ya pamoja na tulikwenda kupata lunch pale Epi d’or.”

Muda ule tukiwa pale mgahawani tulikuwa tunaongea mambo mengi sana na Mama Janeth kuhusu maisha na mambo mengine. Kwa upande wake mama Janeth alikuwa na furaha sana na jambo lingine alikuwa anahisi mimi nina mahusiano ya kimapenzi na Iryn.

Baada ya lunch nilimrudisha Mama Janeth ofisini kwake na tukaagana. Wakati niko njiani nilifanya mawasiliano na Dullah maana nilimwambia nikirudi toka Tabora msibani ningemjulisha.

Nilimwambia Dullah juu ya maamuzi yangu ya kuachana na biashara ya Uber kama ukumbusho wangu kwa Mzee Pama. Japo alinipinga sana na haya maamuzi yangu lakini ilibidi akubaliane tu na mimi, kwanza biashara ilishakuwa ngumu sana kipindi hiki. Dullah alinisisitiza sana Uber wakirudi niendelee na kazi lakini nilimwambia nitaajiri dereva, na haya yote ni sababu ya heshima yangu kwa Mzee Pama.

*******
Kesho yake jioni ambayo ni alhamis niliamua kupitia saloon zote kufanya ukaguzi pamoja na kuwapa taarifa Lucy na Sumaiya kuhusu kikao cha weekend.

Niliona ni busara kuwashirikisha katika mipango ya kikao kwa ujumla, sambamba na eneo la kufanyia. Iryn aliniachia hili suala mimi kama operation manager lakini na mimi niliona sinabudi kuwashirikisha akina Lucy kama partners wangu.

Nilianza na Lucy pale Mikocheni na baada ya kumshirikisha alitoa wazo tutafute sehemu nzuri ya uwazi na baada ya hapo twende sehemu tukamalizie bata.

Tuliagana na Lucy na nilikwenda moja kwa moja mpaka Masaki kwaajili ya kuonana na Sumaiya. Wakati nawasili pale dizaini kama aliniona hivyo alitoka na akaja parking na akafungua mlango wa gari akakaa siti ya mbele.

“Mtoto unapenda magari wewe.”

“Hakuna mwanamke asiyependa gari Insider.”

“Naona leo umependeza sana na hiko kigauni chako kinafanya viamke vilivyo lala.”

“Kwa mwanaume Rijali ni kawaida so siwezi kukushangaa wewe kama ni kweli. Niambie unajambo gani kutoka kwa Queen, maana leo kanipigia simu eti ananisalimia, toka lini Queen anipigie simu akanisalimia?.”

“Si Bossy wako? hutaki akujulie hali mfanyakazi wake ?”

“Yule anahisi mimi nakupea ni wivu tu umemjaa, maskini anafikiri tunanyanduana.”

“Mama Janeth alikutoa wapi wewe? Maana sijawahi kukutana na mwanamke mwenye mdomo kama wewe.”

Sumaiya ni mwanamke asili yake ni Tanga anakimwili portable afu mweupe madem wa Tanga nadhani mnawajua vizuri. Kingine alikuwa mwongeaji sana afu hanaga aibu kabisa.

Niliongea na Sumaiya kuhusu suala la kikao Jumamosi na yeye alishauri tutafute Hotel au sehemu yoyote ya wazi ili tufanye kikao chetu na baada ya hapo tutoke out.

Ushauri wa Sumaiya niliona una mantiki
Maana tungekuwa 17 kwa idadi ya wote, Masaki kuna wafanyakazi 7, Mikocheni 5, Sinza 3 , bado mimi na Iryn. Jumla hapo tunakuwa 17 so hotel ndo ilikuwa sehemu sahihi ya kufanyia kikao.

Baada ya maongezi Sumaiya aliomba nimsubiri ili nimpe lift mpaka Morocco na ilikuwa ni usiku umeanza kuingia.

Nilimsubiri kwa nusu saa ndo alitoka na tukaondoka, sasa kutokana na story za njiani nilijikuta nampeleka Sumaiya mpaka kwake. Alikuwa anakaa Kinondoni mitaa ya Gavana kule kama unakwenda Biafra. Na lengo langu lilikuwa nikatokee mataa ya Biafra then Morocco afu niunge na Bagamoyo road.

“Insider si unapitia kwangu upajue? Kufika mpaka hapa na usiingie kwangu haitakuwa vizuri.”

“Sawa twende nikapajue kwako.”

Baada ya kuwasili kwake alishuka akafungua geti na mimi nikaingiza gari nikapark tukaingia ndani kwake. Alikuwa amepanga apartment nzuri ya Jiko, sebule, na masta.

“Nani anakulipia kodi hapa? sitaki matatizo.”

“Angekuwa analipa kodi mwanaume mwenzako hata nisinge kuingiza ndani.”

Na muda huu nilimvuta kwangu kwa nguvu na nikamshika makalio yake.

“Makalio yenyewe huna ya kushika.”
Na nikaendelea kuyapapasa na kuyaminya minya.

Niliona Sumaiya kashaanza kulegea taratibu na yeye akanipa tongue tukaanza romance pale asee ilikuwa ni mtifuano, nikambeba nikamtupia kwa coach. Na kalivyo portable vile hata sikuwa na tumia nguvu kubwa sana kumbeba.

Sikutaka hata kumcheleweshea kabisa nikamvua kigauni chake, uwii alikuwa na bikini afu kwa juu hakuvaa chochote nilikuwa naziona chuchu zake live zilivyosimama wima, uzuri zilikuwa zina jaa kwenye mikono yangu maana alikuwa ana vifuu vidogo sana.

Nilianza kuvinyonya taratibu pale na yeye alishakuwa yuko Dunia nyingine muda mrefu sana. Kisima chake kilikuwa kishaanza kutoa chemchem tayari na mimi niliendeleza maunyama yangu taratibu hata sikuwa na mapepe maana kuku ni wangu haraka za nini?.

Muda huu Sumaiya alikuwa kashaanza kupapasa mtwangio wangu ili nianze kutwanga kinu. Na mimi palepale nimlaza chali na nikambetua kwa juu kidogo ndani ya sekunde alikiaa chaaah!, niliiachana bikini yake vipande viwili. Na muda huu nilikuwa nashuhudia something hot between her legs na alikuwa kashave kabisa.

Nilimkunja vizuri kabisa kwaajili ya kumtwanga lakini nilikumbuka sina kinga, sikutaka suala la Prisca lijirudie tena hivyo nikamuacha palepale.

“Insider unashida gani?”

“Do you have a condoms?”

“No sina.”

“Siwezi kuendelea bila condom acha nikanunue chap then nakuja tuendelee.”

Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.

TO BE CONTINUED.
Balaa zishaanza. Sumaiya tayari
 
EPISODE 47

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

CONTINUE…..

Muda ule ilibidi nishangae kwanza maana niliona Muajemi kama karogwa hivi na sio akili zake. Niliona Muajemi ni kama hajitambui na hajui anafanya nini.

MUAJEMI: “Bro! unaionaje hii gari? Nataka umpelelekee Iryn kama zawadi.”

MIMI: “Bro! ushailipia tayari hii gari?”

MUAJEMI: “Bado nataka kwanza utoe comment then nifanye malipo ili uondoke nayo.”

Na kipindi hiki chote kulikuwa na Jamaa mwenye asili ya uarabu akiwa makini sana na sisi. Maana alijua kabisa gari imeuzwa anasubiri maokoto tu kutoka kwa Muajemi.

MIMI: “Bro! samahani naomba tuongee mara moja then tutarudi.”

MUAJEMI: “Sawa haina shida, unataka tuongelee wapi?”

MIMI: “Nafikiri twende pale mbele kuna kamgahawa tukae kabisa.”

Tulitoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Mgahawa wa Best bite na tulikaa pale tukaanza maongezi.

MIMI: “Bro! najua una mapenzi na upendo wa kweli kwa Iryn. I really appreciate your efforts, nimekuwa na wewe bega kwa bega toka mwanzo mpaka sasa, lakini kwa hili sikuungi mkono kabisa.”

MUAJEMI: “Kwanini Bro! mimi nafanya kutoka moyoni kabisa na nilikuwa na mpango wa kumnunulia gari toka muda mrefu sana.”

MIMI: “Sawa Bro! cha kwanza inatakiwa utambue unadeal na aina gani ya mwanamke. Iryn hana shida na gari ni vile hajataka kununua na hata akitaka gari mama yake aliacha Range sport mpya kabisa ipo kwa mama yake mlezi. Haya yote unafanya ili uweze kumuwin lakini unashindwa kutambua Iryn sio dizaini ya Wanawake wenye njaa. What if kama nitampelekea zawadi ya gari na akaikataa? umejaribu kuwaza hivi? Na vipi kwa upande wako utajisikiaje?.”

MUAJEMI: “Kaka upo sahihi sasa unanishauri ni nini hapa?”

MIMI: “Ni simple tu ili kuepusha haya kutokea. Iryn ni mtu mzima tayari anajitambua huna haja ya kuendelea kuzunguka mbuyu tena, kwasasa nenda direct. Omba appointment ya kuonana naye najua hawezi kukukatalia, this time itabidi umchane ukweli na usifiche hata kitu kimoja mwambie ukweli kuhusu maisha yako na mipango yako kwake.”

MUAJEMI: “Bro unaona ni sawa kumwambia direct? Vipi kama atanichomolea si itakuwa matatizo?”

MIMI: “Point yangu acha kupoteza muda kwa mwanamke, utapoteza pesa, utatoa hata zawadi ya figo lakini kama hakupendi- hakupendi ndo wanawake walivyo. Mpaka sasa mnafahamiana tayari vya kutosha don’t waste your time Bro! Kaa naye chini mpe ukweli ibaki yeye kuamua tu kama yuko in or out.”

MUAJEMI: “Kaka naona upo sahihi itabidi niombe appointment naye weekend hii.”

MIMI: “Yeah fanya hivo, akikubali sasa hapo unampelekea gari kama zawadi ili kukazia mapenzi ila kwasasa utakwama hata yeye atakushangaa sana atakuona bwege. Na ikitokea kakuchomolea wewe achana naye pisi kali zipo kibao, wewe unapesa huwezi kosa pisi kali sehemu yoyote Duniani.”

MUAJEMI: “Sawa Bro! leo umeongea point ila wasiwasi wangu akikataa.”

MIMI: “Mwanaume kuogopa kukataliwa ni udhaifu mkubwa sana inatakiwa ujiamini hata kama akikutalia chukulia simple madem wako wengi tu. Sasa ni bora ukataliwe au uendelee kupoteza muda? Na kumbuka nilikwambia before kwamba Iryn ana mtu wake Ufaransa anampa kila kitu anachotaka, hata yeye hana shida.”

MUAJEMI: “Sawa Bro! Acha mimi niende tutawasiliana.”

Tuliagana na Muajemi na alitoa laki 1 kwaajili ya mafuta ya gari na akaondoka. Niliamua kumchana ukweli Muajemi ili aisendelee kupoteza pesa. Maana niliona kuna siku itaweza kuleta shida hata pesa alizokuwa ananipa ni sababu ya Iryn wala sio kingine.

Iikuwa ni saa 12 jioni baada ya kuachana na Muajemi mimi nilielekea Mlimani moja kwa moja. Kuna jamaa nilikwenda kuonana naye mitaa ile kwaajili ya kufanya biashara ya zile simu.

Baada ya kuonana na kuridhika na zile simu, tulikubaliana kwa simu zote 7 atanipa 16,800,000/=. Na jamaa hakutaka kuchezea ile bahati na alifanya kutransfer Pesa kwenye account yangu ya bank.

Niliondoka maeneo yale ya Mlimani na nilikwenda chuo kumchukua Prisca mama kijacho wangu ili tupate Dinna ya pamoja. Na baada ya kuwasili pale chuo ilibidi nimsubiri atoke class na baada ya nusu saa alikuwa katoka tayari akiwa pamoja na Eva.

Tulitoka pale chuo na tulikwenda mpaka mlimani city pale Instanbul restaurant kwaajili ya dinna. Kila mtu aliagiza anachopenda kula na muda huu story zilikuwa zikiendelea pale.

MIMI: “Nambieni wake zangu masomo yanakwendaje.?”

Niliishiwa kupigwa jicho kali sana na Prisca muda huu.

EVA: “Shem hongera sana unakwenda kuwa Baba soon.”

PRISCA: “Awe Baba mara ngapi?”

MIMI: “Ahsante sana shemela wangu leo itabidi unipe namba zako incase of anything uwe unanipigia.”

EVA: “Sawa shem haina shida.”

PRISCA: “Baby itabidi nianze kwenda clinic mapema.”

MIMI: “Subiri kwanza ufikishe week 8 ndo uanze kwenda kwasasa mapema sana.”

EVA: “Hata mimi nilimwambia leo bado mapema sana, naona anatamani sana kuwa mama.”

Nilikaa na akina Prisca mpaka saa 3 usiku kasoro nikawaambia warequest usafiri na mimi nikaondoka kuelekea kwa Iryn.

Baada ya kufika pale na kuingia ndani nilikuta hakuna mtu ndani lakini simu ilikuwa seblen kuonesha mtu yuko around. Nilisubiri kama dakika 10 lakini mtu simwoni, nikakumbuka kuna swimming pool nilihisi atakuwa huko.

Baada ya kuzunguka na kwenda upande wa swimming pool nilimkuta kule akiwa anaswim kama mtu ambaye hana stress na maisha, na alikuwa peke yake.

“Nimekusubiri sana kumbe upo huko mummy.”

“Insider ingia bhasi na wewe maji ya moto hadi raha.”

“Mimi siingii humo ndani fanya kutoka twende ndani tukaongee.”

“Usinambie leo hii hutaki kuswim na mimi.”

“Muda umekwenda kuna jambo nataka tuzungumze muhimu.”

“We can talk there mbona kuna utulivu wa kutosha hapa. Anyway twende ndani hata hivyo nimekaa sana kwenye maji.”

Tulirudi ndani muda huu tukiwa tumeongozana njiani, na Iryn alikuwa katangulia kwa mbele, so nilikuwa kwa nyuma nikamtizama maungo yake kwa matamanio.

MIMI: “Iryn Mungu alikuumba sana Mummy.”

IRYN: “Insider toka nyuma yangu tangulia mbele.”

Baada ya kuingia ndani aliingia chumbani na baada ya dakika 10 alitoka kavaa tayari.

IRYN: “Insider unajambo gani?”

MIMI: “Kwamba sikuhizi umeanza kunionea aibu mpaka umeenda kubadilika? Hujui nilikuwa naona raha kukuangalia ukiwa vile?”

IRYN: “Natoka tukiachana hapa na utanipeleka Mikocheni Plaza nikale Pizza.”

MIMI: “Ok sawa, nimeshauza simu tayari nipe account namba nifanye kutransfer pesa zako.”

IRYN: “Sawa twende bhasi njiani nitakupa utatransfer.”

Na muda huu alikuwa akiniinua kwenye coach kwa kunibembeleza.

Ilibidi nimepeleke Mikocheni Plaza pale Pizza Hut na baada ya kuwasili alining’ang’ania simsubiri ili turudi wote tena. Ukweli sikuwa na jinsi ilibidi twende wote mpaka ndani japo nilikuwa natamani kurudi home mapema.

Iryn aliingia ndani kuweka odda na baada ya dakika 5 alitoka akaja akakaa kwenye bench kwa pale nje. Na muda huu kuna jamaa alikuwa anakuja upande wetu ni kama alikuwa amem-target Iryn sasa aliponiona mimi dizaini kama alipiga U-turn.

IRYN: “Uyo mshenzi alikuwa ananitongoza eti alikuwa anataka kunilipia Pizza nikamgomea. Akaanza kuniomba namba ya simu, baadae akanambia unakaa wapi, nikamwambia nimekaa nje na mme wangu.”
Na muda huu Iryn alikuwa anacheka sana.

MIMI: “Sasa hapa ndo alikuwa anakufuata? Maana niliona alikuwa anakuja kwa ajili yako.”

IRYN: “Alikuwa haamini nafikiri sasa kweli kaprove. Why Tanzanian men’s are not smart?”

MIMI: “Sio Tanzania tu ni Dunia nzima acha uchawi wako kwa Watanzania.”

IRYN: “Sawa bhana, ngoja nikachukue juice. Insider nikuletee juice gani?”

MIMI: “Nichagulie nzuri for me.”

Iryn aliondoka na muda huu jamaa alikuwa akiniangalia sana dizaini alikuwa haamini macho yake kama mimi ndo mme wa Iryn. Na Iryn alivyorudi alinikisi shavuni kwa makusudi, nilihisi anamuumiza jamaa tu.

MIMI: “Noana umeamua kumchoma Moyo Jamaa.”

IRYN: “Nimekukisi sababu ya kunipa kampani wala sio sababu ya huyo mshenzi.”

MIMI: “Sawa mrembo wangu wa Dunia kula Pizza tuondoke nimem-miss mama J wangu leo.”

IRYN: “Hongera zako mimi mpaka nionane na Grizmann. Afu ratiba zetu zitaendelea soon nakosa Pesa nyingi sana kwakweli.”

MIMI: “Iryn bado unawaza kuendelea na hizo Biashara?”

IRYN: “Insider kazi ni kazi hutakiwi kuchagua, mimi ni mzuri nina kipaji cha massaji kwanini niache Pesa zinipite?. Afu nilikupa offa ya kukufanyia massage lakini unaringa, na hii kwaajili ya afya yako. Kumbuka unakaa sana kwenye gari unahitaji kunyooshwa huo mgongo shauri yako.”

MIMI: “Kweli itabidi unifanyie matibabu Doctor.”

IRYN: “Tuondoke mimi niko full hapa bebe.”

Na muda huu tuliondoka huku jamaa akituangalia kwa wivu sana na Iryn alikuwa kaniwekea mkono kiunoni, kwa mtu anayetuona kwa mara ya kwanza angejua sisi ni wapenzi.

Nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home muda ule maana ilikuwa ni saa 5 kasoro usiku.

Kwa upande mwingine kwenye zile simu za Iryn nilikuwa nimepata 2,800,000/= kama udalali baada ya kuziuza.

*********
Jumatano asubuhi nilipigiwa simu kutoka kwa mama Janeth na aliomba tuonane saa 6 mchana pale ofisini kwake Masaki.

Mapema sana kwenye saa 6 kasoro mchana nilikuwa nimewasili pale na nilikwenda moja kwa moja mpaka getini na gari. Mama Janeth alisema nikifika pale niingie na gari ndani moja kwa moja nisipark nje.

“Bro! habari yako unakwenda wapi?”

“Nakwenda kuonana na Mrs Carter.”

“Wewe ni nani na una appointment naye?”

“Sasa nitakuja kwenye Organization kubwa kama hii bila kuwa na appointment?”

“Embu subiri kwanza tufanye mawasiliano.”

Nilisubiri pale getini kama dakika 3 hivi ndo nikaruhusiwa kuingia ndani. Na baada ya kupark gari niliwasiliana na Mama Janeth na akanambia nimsubiri pale sehem ya visitors anakuja.

Ilimchukua kama dakika 15 mama Janeth kutoka na baada ya kufika pale nilipokuwa nimekaa tulisalimiana na akanambia tuongozane, na muda huu tulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye ofisi yake.

“Insider karibu sana Jisikie huru hii ni ofisi yenu usiwe na wasiwasi.”

“Ahsante sana mama kwanza nashukuru kwa kunipa wito wa kufika kwenye organization kubwa kama hii.”

“Mnaruhusiwa kuja mbona sema Watanzania hampo active kama nchi zingine.”

“Sijawai kujua hili mama.”

“Mnaruhusiwa kuvisit kama unataka elimu anything unapewa. Nimekuita hapa kwanza pole na msiba mwanangu, Iryn alinipa taarifa zote na alinambia mazishi yalifanyika Tabora.”

“Ndio mama nashukuru lakini kazi ya Mungu haina makosa, japo inaumiza sana kuondokewa na mtu muhimu kwenye maisha.”

“Poleni sana, nilitamani sana tuonane maana wewe ni moja ya member wa kampuni yetu na kazi yako inaonekana nikushukuru kwa hili. Nilipita pale ofisini nikaona umeweka mazingira mazuri, umepanda miti na maua kwakweli ulinifurahisha sana.”

“Ahsante sana mama ni moja ya majukumu yangu ya kiofisi huna haja ya kushukuru wakati unanilipa mshahara.”

“Jambo lingine naomba uniwie radhi kwa kutokukurudia mapema lakini ujumbe wako niliupata kwa kuchelewa sana. Nilikuwa huko Ukraine tunafanya tafiti so I was very busy that time na dada alituma mail kwenye account yangu binafsi, angetumia ya ofisi ingekuwa haraka sana kuipata.”

“Usijali mama kuwa na amani Iryn alishanambia hayo yote tayari, kipindi kile nilikuwa kwenye wakati mgumu sana. Iryn aliondoka bila kuniaga afu akawa hapatikani kwa simu, nikapata wazo la kwenda kwako lakini nikaambiwa umehama. Nikaamua kuja hapa ofisini ndo HR akanambia niache taarifa zangu atakutumia.”

“Pole sana pale tulihama, wakati umeleta mzigo weekend tulihama. Niliamua kuhamia nyumba yangu maana landlord alipandisha rent, nikaona bora nikakae nyumba yangu ili niwe huru.”

“Ni kweli kabisa mama upo sahihi kodi zina kera sana.”

Kwa ufupi mama Janeth alifurahi sana kwa kumjali sana Iryn maana alisema before mimi Iryn alikuwa ni mtu wa mawazo sana na alikuwa anajifungia ndani. Lakini baada ya kukutana na mimi amebadilika sana amekuwa mchangamfu na furaha sana.

Mama Janeth alinishukuru sana na aliniomba niendelee kuwa karibu na Iryn ili amsahau mama yake kabisa.

Ni mazungumzo yaliyochukua kama dakika 45 na baada ya hapo alinipeleka kwa yule HR wa siku ile na akanitambulisha kama mwanae. Yule HR alishangaa sana na alikuwa anani-changamkia sana muda huu.

Baada ya yote Mama Janeth alisema tukapate lunch ya pamoja na tulikwenda kupata lunch pale Epi d’or.”

Muda ule tukiwa pale mgahawani tulikuwa tunaongea mambo mengi sana na Mama Janeth kuhusu maisha na mambo mengine. Kwa upande wake mama Janeth alikuwa na furaha sana na jambo lingine alikuwa anahisi mimi nina mahusiano ya kimapenzi na Iryn.

Baada ya lunch nilimrudisha Mama Janeth ofisini kwake na tukaagana. Wakati niko njiani nilifanya mawasiliano na Dullah maana nilimwambia nikirudi toka Tabora msibani ningemjulisha.

Nilimwambia Dullah juu ya maamuzi yangu ya kuachana na biashara ya Uber kama ukumbusho wangu kwa Mzee Pama. Japo alinipinga sana na haya maamuzi yangu lakini ilibidi akubaliane tu na mimi, kwanza biashara ilishakuwa ngumu sana kipindi hiki. Dullah alinisisitiza sana Uber wakirudi niendelee na kazi lakini nilimwambia nitaajiri dereva, na haya yote ni sababu ya heshima yangu kwa Mzee Pama.

*******
Kesho yake jioni ambayo ni alhamis niliamua kupitia saloon zote kufanya ukaguzi pamoja na kuwapa taarifa Lucy na Sumaiya kuhusu kikao cha weekend.

Niliona ni busara kuwashirikisha katika mipango ya kikao kwa ujumla, sambamba na eneo la kufanyia. Iryn aliniachia hili suala mimi kama operation manager lakini na mimi niliona sinabudi kuwashirikisha akina Lucy kama partners wangu.

Nilianza na Lucy pale Mikocheni na baada ya kumshirikisha alitoa wazo tutafute sehemu nzuri ya uwazi na baada ya hapo twende sehemu tukamalizie bata.

Tuliagana na Lucy na nilikwenda moja kwa moja mpaka Masaki kwaajili ya kuonana na Sumaiya. Wakati nawasili pale dizaini kama aliniona hivyo alitoka na akaja parking na akafungua mlango wa gari akakaa siti ya mbele.

“Mtoto unapenda magari wewe.”

“Hakuna mwanamke asiyependa gari Insider.”

“Naona leo umependeza sana na hiko kigauni chako kinafanya viamke vilivyo lala.”

“Kwa mwanaume Rijali ni kawaida so siwezi kukushangaa wewe kama ni kweli. Niambie unajambo gani kutoka kwa Queen, maana leo kanipigia simu eti ananisalimia, toka lini Queen anipigie simu akanisalimia?.”

“Si Bossy wako? hutaki akujulie hali mfanyakazi wake ?”

“Yule anahisi mimi nakupea ni wivu tu umemjaa, maskini anafikiri tunanyanduana.”

“Mama Janeth alikutoa wapi wewe? Maana sijawahi kukutana na mwanamke mwenye mdomo kama wewe.”

Sumaiya ni mwanamke asili yake ni Tanga anakimwili portable afu mweupe madem wa Tanga nadhani mnawajua vizuri. Kingine alikuwa mwongeaji sana afu hanaga aibu kabisa.

Niliongea na Sumaiya kuhusu suala la kikao Jumamosi na yeye alishauri tutafute Hotel au sehemu yoyote ya wazi ili tufanye kikao chetu na baada ya hapo tutoke out.

Ushauri wa Sumaiya niliona una mantiki
Maana tungekuwa 17 kwa idadi ya wote, Masaki kuna wafanyakazi 7, Mikocheni 5, Sinza 3 , bado mimi na Iryn. Jumla hapo tunakuwa 17 so hotel ndo ilikuwa sehemu sahihi ya kufanyia kikao.

Baada ya maongezi Sumaiya aliomba nimsubiri ili nimpe lift mpaka Morocco na ilikuwa ni usiku umeanza kuingia.

Nilimsubiri kwa nusu saa ndo alitoka na tukaondoka, sasa kutokana na story za njiani nilijikuta nampeleka Sumaiya mpaka kwake. Alikuwa anakaa Kinondoni mitaa ya Gavana kule kama unakwenda Biafra. Na lengo langu lilikuwa nikatokee mataa ya Biafra then Morocco afu niunge na Bagamoyo road.

“Insider si unapitia kwangu upajue? Kufika mpaka hapa na usiingie kwangu haitakuwa vizuri.”

“Sawa twende nikapajue kwako.”

Baada ya kuwasili kwake alishuka akafungua geti na mimi nikaingiza gari nikapark tukaingia ndani kwake. Alikuwa amepanga apartment nzuri ya Jiko, sebule, na masta.

“Nani anakulipia kodi hapa? sitaki matatizo.”

“Angekuwa analipa kodi mwanaume mwenzako hata nisinge kuingiza ndani.”

Na muda huu nilimvuta kwangu kwa nguvu na nikamshika makalio yake.

“Makalio yenyewe huna ya kushika.”
Na nikaendelea kuyapapasa na kuyaminya minya.

Niliona Sumaiya kashaanza kulegea taratibu na yeye akanipa tongue tukaanza romance pale asee ilikuwa ni mtifuano, nikambeba nikamtupia kwa coach. Na kalivyo portable vile hata sikuwa na tumia nguvu kubwa sana kumbeba.

Sikutaka hata kumcheleweshea kabisa nikamvua kigauni chake, uwii alikuwa na bikini afu kwa juu hakuvaa chochote nilikuwa naziona chuchu zake live zilivyosimama wima, uzuri zilikuwa zina jaa kwenye mikono yangu maana alikuwa ana vifuu vidogo sana.

Nilianza kuvinyonya taratibu pale na yeye alishakuwa yuko Dunia nyingine muda mrefu sana. Kisima chake kilikuwa kishaanza kutoa chemchem tayari na mimi niliendeleza maunyama yangu taratibu hata sikuwa na mapepe maana kuku ni wangu haraka za nini?.

Muda huu Sumaiya alikuwa kashaanza kupapasa mtwangio wangu ili nianze kutwanga kinu. Na mimi palepale nimlaza chali na nikambetua kwa juu kidogo ndani ya sekunde alikiaa chaaah!, niliiachana bikini yake vipande viwili. Na muda huu nilikuwa nashuhudia something hot between her legs na alikuwa kashave kabisa.

Nilimkunja vizuri kabisa kwaajili ya kumtwanga lakini nilikumbuka sina kinga, sikutaka suala la Prisca lijirudie tena hivyo nikamuacha palepale.

“Insider unashida gani?”

“Do you have a condoms?”

“No sina.”

“Siwezi kuendelea bila condom acha nikanunue chap then nakuja tuendelee.”

Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.

TO BE CONTINUED.

Ungepapasa na kuwatuma wazungu waende nje ya bahari tu kuliko kumkata mood dah uliyumba kimtindo
 
EPISODE 46

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilifanya kurequest usafiri kwaajili ya Mary na mimi nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

CONTINUE..

Baada ya kuwasili kwa mama kijacho wangu Prisca nilimkuta hajalala na alikuwa bado yuko seblen anaangalia movie. Niligonga mlango na akatoka kunifungulia, muda huu aliishia kunikumbatia na makisi juu. Pale nje kuna jamaa alikuwa anaanika nguo na aliishia kutukodolea macho kwa wivu.

“Baby I have missed you so much.”

“Remember I promised you nitakuja leo.”

“Pole na Msiba hunny, da Mary umemwacha wapi?”

“Tuliachana ubungo pale yeye karudi home.”

“Kaoge kwanza then uje ule sawa?”

“Twende ukaniogeshe bwana au hutaki kuniogesha Baba Kijacho?”

“Mhh sawa honey tangulia nakuja.”

Baada ya kuoga tulikuwa chumbani tukipiga story na muda huu nilikuwa namchezea Prisca tumbo lake na yeye alikuwa ametulia tulii anasikia raha. Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kabadilika sana kimaongezi, ule utoto wake ulikuwa umekwisha, kulikuwa na mabadiliko makubwa sana.

Tuliishia kulala tu maana nilikuwa nimechoka na uchovu sana wa safari.

Asubuhi niliamshwa kwaajili ya breakfast na kwenye simu Iryn, Mary, Muajemi, na Mama J walikuwa wamenipigia simu. Ilibidi nianze kumpigia simu Mama J na niliongea naye mbele ya Prisca huku akisikia.

WIFE: “Baba J Unaendeleaje jana ulisema unarudi mbona hujarudi?”

MIMI: “Wife sorry tulichelewa kutoka then tukapata shida njiani, hivyo tulilala Moro na soon tutaanza safari ya kurudi.”

WIFE: “Ok husband, Iryn amesema leo anaondoka jioni kwenda kwake.”

MIMI: “Sawa! Lakini mwambie asiondoke kwanza, mimi mchana nitakuwa hapo, nitampigia simu soon niongee naye.”

Na wakati naongea na mama J kwa simu Prisca alikuwa akinitizama sana na baada ya kumaliza maongezi akaanza kucheka.

“Honey una masters ya uongo inaonekana hata mimi unanidanganya vingi sana.”

“So ulitaka niseme ukweli kwamba niko kwa mchepuko?”

“Nooo! I like the way ulivyomdanganya na ameridhika kabisa hajawa na maswali tena.”

Na mimi nilikwenda zangu kulala tena maana nilikuwa na uchovu muda huu, ukijumlisha kutoka kule Mbweni mpaka Tabora nilikuwa nakosa muda wa kulala kabisa.

Mchana muda wa saa 9 nilipigiwa simu na mama wa2 na akanambia jioni atakuja kwangu kunitembelea, pia alisema ana mazungumzo na mimi kuna jambo anataka kunishirikisha.

Muda huu ilibidi nimuage Prisca na nikaondoka kurudi home Mbezi. Nilitumia bodaboda kurudi nyumbani na ilinichukua dakika 20 kufika pale, na baada ya kushuka na kuingia ndani mama J alikuja akani hug na Iryn akafuatia.

Muda huu tulitumia kuongea kuhusu habari za msiba za kule Tabora na baada ya kumaliza maongezi ya msiba nilimpa mama J taarifa za ujio wa mgeni.

MAMA J: “Vipi kuhusu Iryn tulikuwa tunapanga tuondoke ukirudi wewe.”

MIMI: “Iryn kwanini tusiondoke kesho mummy nikusaidie kutoa na vitu kule Kijitonyama?”

IRYN: “No problem Insider usiwe na wasiwasi, mama J tutakwenda kesho tuandae dina kwaajili ya wageni baadae.”

Saa 12 jioni mama wa2 alikuja nyumbani pamoja na mwanae Rachel lakini nilishangaa kuona haja ongozana na Pili.

“Mama mkwe karibu ndani hapa ndo nyumbani jisikie upo kwako.”

“Ahsante sana mkwe ukweli nimefurahi sana kupajua pia pole sana kwa msiba jamani.”

“Ahsante sana kwakweli Mzee tulijuana kwa muda mfupi na ametangulia mbele za haki, alikuwa kama mzee kwangu. Vipi mke wangu Pili yuko wapi? mbona hujaja nae?.”

“Pili amekwenda Mwanza kumsalimia Baba yake.”

“Ohh! habari njema hizi ni haki yake.”

Kipindi niko msibani mama wa2 alinijulisha kuwa Pili anafunga shule, hivyo nikamchukue lakini nilishindwa sababu ya kuwa busy na msiba.

Nilitumia muda huu kufanya utambulisho na nilianza na mama J ambaye nilimtambulisha kama mke wangu na nilimtambulisha Iryn kama ndugu yangu. Na baada ya hapo nilimtambulisha mama wa2 kama ndugu yangu wa karibu sana, na muda huu alikuwa amemshika Junior akimchezea.

“Insider una mtoto mzuri hivi napendaje watoto wa kiume mimi, yaani so handsome kama Baba yake.”

“Mama naomba nimshike mtoto na mimi please” ni sauti ya Rachel alikuwa akimwomba mama yake. Na mama wa2 alimpa mtoto Rachel ili amshike.

Saa 1 usiku tulipata dina ya pamoja na baada ya dina akina mama J waliondoka wote pale nyumbani. Waliaga wanatoka out, hivyo nikabaki mimi na mama wa2 pale nyumbani.

Baada ya kuondoka tulikuwa free kufanya maongezi pale kwa kujiachia,

“Insider ukweli nimefurahi sana kufika kwako na kuijua familia yako. Huyo dada umesema ni ndugu yako lakini anaonekana kama sio Mtanzania she’s so beautiful kuna watu walipendelewa kuumbwa.”

“Wazazi wake sio Watanzania kwa kuzaliwa ila wameishi hapa. Nambie ulisema una mazungumzo mengine na mimi.”

“Insider nashukuru Mungu nimepandishwa cheo pale ofisini na sasa nitakwenda HQ na mshahara nitalipwa mara ya 3 ya huu ninaolipwa sasa.”

“Jamani nimefurahi sana kusikia hivyo mama mkwe, mafanikio yako ni yangu. Hongera sana na Mungu akutangulie. Unategemea kuanza lini majukumu mapya?.”

“Mwezi ujao nafikiri, na vipi kuhusu suala lako la kazi nitumie CV yako au hutaki kufanya kazi Bank?”

“Napenda ila kuna deal Marehemu alisema ananitafutia so baada ya kifo chake kuna mtu amemwachia maagizo ambaye tutaonana akirudi kutoka Tabora. Acha nimsikilize afu nitakupa mrejesho mama mkwe.”

“Usiwe na wasiwasi anytime utanambia ili tufanye maarifa.”

“Vipi ni connection au uchapakazi wako tu?”

“Insider ukweli Baba Rachel kanisaidia kupanda cheo.”

“Ndo raha hii ya kuzaa na wakubwa.”

“Hahahah Insider umeanza. Nafikiri tukukimbie sasa ili nikajiandae na ratiba za kesho.”

“Acha niwapeleke ili na mimi niende kule msibani nikaangalie na maendeleo maana toka nirudi jana sijakwenda kabisa.”

Tuliondoka na mama wa2 na nilitumia ile Dualis maana Ist walikuwa wameondoka nayo akina Iryn. Na muda huu nilifanya kuwasiliana na Mary nikamwambia nampitia baada ya dakika 20 ajiandae ili twende Mbweni.

Baada ya kuingia kwa gari Mama wa2 alikuwa akishangaa sana kuona na gari nyingine.

“Insider hii ni gari mpya kabisa umenunua?”

“Hapana hii ni ya Mzee alinununua kwaajili ya mchepuko wake, alisema nisimpe mpaka awe vizuri barabarani, sasa ndo kimetokea kifo chake.”

“Aisee sijui huyo dada anahali gani kwasasa, inaonekana Mzee alikuamini sana, kukuachia gari sio kitu kidogo ujue.”

“Unachoongea ni sahihi Mama mkwe.”

Tulitumia dakika 10 kuwasili pale kwake na niliwashusha na wakati tunaagana Rachel alikuwa akiongea na mimi.

RACHEL: “Uncle Insider utakuwa unakuja kunichukua ili nikacheze na Junior sindio?”

MIMI: “Usijali Rachel nitakuwa nakuja weekend sawa?”

MAMA WA2: “Insider kafunga shule huyu hata katikati ya week sio mbaya.”

MIMI: “Sawa haina shida nitakuwa nakuja kukuchua, wewe ukim-miss nipigie simu tu.”

RACHEL: “Ok byee Uncle.” Na tuliishia kugonga mikono.

Tuliachana pale na mimi nilikwenda kumchukua Mary pale kwao na tukaanza safari ya kwenda Mbweni. Kwa upande mwingine Mary alishangaa kuona nina gari mpya na mimi sikutaka kumwambia chochote.

“Kumbe siku ile usiku ni wewe uliyemshusha Prisca pale home na hii hii gari.”

“Hahahaa ni mimi ila sikutaka kukupa salamu ile siku maana niliona muda umekwenda.”

“Tabia mbaya hiyo Insider unajua nilimfikiria vibaya sana Prisca ile siku, hata yeye hakutaka kusema ni wewe.”

Tuliwasili pale Mbweni na nilimkuta yule mlinzi pale getini akiendelea na majukumu yake. Niliamua ku-park gari nje kabisa ya geti, sikutaka kuingia nayo ndani.

Tuliingia ndani na nikawakuta baadhi ya ndugu wa Jane na marafiki zake baadhi walikuwepo na wengine walikuwa wanakuja kutoa pole. Pis Kuna baadhi ya ndugu walikuwa wameondoka tayari.

Tuliwasalimia wote na mama yake alikuwa pale sebleni nikamsogelea karibu. Nilisalimiana na mama na aliulizia mazishi yalikwendaje kule Tabora. Kwa upande mwingine mama alikuwa na wasiwasi sana kuhusu mwanae kukosa stahiki zake, maana Jane hakuwa mke halali wa ndoa.

Nilimtoa hofu mama muda huu na nikamwambia Mzee alisoma waraka kuwatambulisha wake zake wote hata Jane ametambulika kama mke wake. Na imani atapata urithi maana Mzee aliandika ameacha barua ya mirathi.

“Na wasiwasi mwanangu wasije mnyang’anya na hii nyumba, Jane akaanza kutaabika.”

“Hamna mama Mzee alisema hii nyumba kamjengea Jane, nafikiri hata hati itakuwa na Jina la Jane naamini hivyo.”

Kwa upande mwingine mama yake alinishukuru sana kwa yote niliyoyafanya pale na kujitoa kwangu kipindi chote cha msiba. Na sisi hatukaa sana bali tuliwaaga tukaondoka pale Mbweni na tulikwenda mpaka “The Wave” ya kule chini Whitesand.

Baada ya kuwasili pale, tuliingia ndani na tulitafuta angle nzuri tukakaa. Tuliagiza wine ambayo tulifanya kushara na Mary na muda huu tulikuwa tukipiga story mbalimbali.

“Insider umejitoa sana kwenye huu msiba Mungu atakulipa hata Mzee huko aliko atakuwa anaona must be proud of you.”

“Hata wewe pia Mary ulijitoa sana sikutegemea ungenipa kampani namna ile, ulijitoa kuliko hata ndugu zake Jane.”

“Insider, unajua Mzee japo nilimwona kwa mara 2, ila kifo chake kilinishtua sana.”

“Unajua mimi mpaka sasa siamini amini kama kweli Mzee ametutoka naona kama ndoto. Nikikumbuka wakati tunaongea na alikuwa akinisisitiza sana kumwangalia Jane.”

“Ni kama alikuwa anaona kifo chake inabidi uwe bega kwa bega na Jane, nafikiri Mzee alikupa Task hakutaka kukwambia ukweli.”

“Hata mimi nahisi hivyo, Mzee alinipa task Mungu asaidie Jane ajifungue salama. Nafikiri hii ndo task nayotakiwa kuhakikisha inafanikiwa.”

“Hiyo ndo point hata hivyo Insider unabahati sana ya kukutana na watu wenye hadhi tukianza na Mzee sikutegemea angekuwa na ukwasi wa namna ile.“

“Unajua sikuwahi kumwuliza Mzee kuhusu personal life yake hata siku moja, ila nilipanga this time angerudi ningemwuliza maana alisema angenitafutia kazi.”

“Nilisikia unaongea na Mzee Juma naamini atakusaidia kama kweli alipewa maagizo kutoka kwa mzee na jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba naamini atafanya jambo.”

“Anyway acha tuone Mzee pekee ndo angelichukulia hili suala kwa uzito sana maana kuna sehemu nilikuwa namgusa, how about Mzee Juma??”

“Ni kweli unayosema ila siamini kama anaweza kukuchinjia baharini.”

Tulitumia kama masaa 2 pale “The wave” na tuliamua kuondoka kwenda kulala. Na muda huu niliwaza kumpa pesa kidogo Mary maana nilijua lazima kafulia.

Kipindi niko msibani Tabora niliwasiliana na Muajemi na nilimpa taarifa za msiba na alinitumia milion 1 ya pole. Pia Nilimuahidi nikirudi Dar jumamosi ningemcheki maana alisema anataka tuongee kuhusu sakata la Iryn.

Hivyo, nilikuwa na million 1 kutoka kwa Muajemi, laki 5 kutoka kwa Iryn na laki 3 alizonipa Mzee Juma. Jumla nilikuwa na 1,800,000/= na sikutumia hata cent kwenye hizi pesa.

Nilimpeleka Mary mpaka kwao na wakati tuko nje getini tuliendelea kupiga story na Mary mle ndani ya gari. Baada ya nusu saa hivi tuliagana na nilimpa laki 3 kama shukrani yangu kwake.

******
Jumatatu asubuhi niliondoka pamoja na Iryn kwenda kwenye apartment yake mpya. Na toka alipie alikuwa hajawai kwenda tena maeneo yale. Baada ya kuwasili pale getini kulikuwa na mlinzi, hivyo tukafanya utambulisho kwanza.

“Kaka mimi naitwa Iryn mpangaji mpya niko “Block A” floor ya 1.”

“Karibu sana Bossy na samahani kwa usumbufu.”

“Usijali ni kazi yako hakuna ulichokosea.”

Muda huu tulifunguliwa geti na tulikwenda moja kwa moja mpaka usawa wa apartment ya Iryn ndo nikapark gari.

Baada ya kuingia ndani ya apartment Iryn alikuwa anaangalia vitu vya kununua. Baada ya hapo tuliondoka kwenda Kijitonyama kwanza, kwenda kuchukua vitu vyake.

Baada ya kuwasili pale Kijitonyama tuliingia ndani na Iryn aliingia chumbani kuanza kupanga nguo na kuweka kwenye bag. Mimi muda huu nilikuwa nafungua Home thieta maana ilikuwa inaondoka na baada ya kumaliza nilikwenda kumsaidia kutoa vitu vya chumbani na kupeleka kwenye gari.

Nilifungua drow na nikaanza kutoa vitu vya mle ndani na nilivyofungua drow ambalo lina simu nikaanza kuzitoa na kuzipanga.

IRYN: “Insider hizo simu ulisema utanitafutia mteja uliishia wapi?”

MIMI: “Nilisahau ila leo kuna mtu nitampigia naona ziko 10 idadi ni sawa?”

IRYN: “Ni sawa moja kuna dada nilimpa pale Sinza niliona peke yake hana simu inayoeleweka. Na wewe unaweza kuchukua simu moja hapo utakayoipenda.”

MIMI: “Thank you Bossy, mimi nina chukua hii 13 Pro.”

IRYN: “Kwanini sasa? Chukua hio Pro Max.”

MIMI: “Napenda simu ndogo hiyo Promax hapana.”

IRYN: “Sawa ni wewe tu mimi nimekupa uchague unayotaka kama umeipenda Pro haina shida.”

MIMI: “Na hizi zilizobaki niuzaje?”

IRYN: “Uza hizo 13 Pro Max na hiyo Samsung, hizo 13 Pro ziweke kuna dada tutawapa Saloon. Kwa hizo simu 7 zilizobaki niletee milion 14 cash, ukiuza zaidi ya hapo ni yako.”

MIMI: “Sawa afu nilikuwa nawazo, kwanini ile Saloon ya Sinza isifungwe? Wateja wa pale tukawa direct Mikocheni? Maana nimefanya Research nimegundua wateja wengi hawatoki Sinza pale.”

IRYN: “Wazo lako ni zuri sana nafikiri mwisho wa mwezi huu tuta achana na Sinza. Hata pale Mikocheni tunahama kuna ofisi kubwa niliipata tutaweza hata kupata sehemu ya storage.”

MIMI: “Ooh! hukuwahi kunishirikisha hili kabisa ulianza lini Process?”

IRYN: “Ni muda toka kipindi kile nime-kusimamisha, pia naomba week hii utaorganize kikao kila kitu utapanga wewe. Mimi utanipa ratiba, location na cost zote tutakazo incur. Nataka kuongea na wafanyakazi wangu wote mpaka wa Masaki.”

MIMI: “Sawa haina shida, nitalifanyia kazi then nitakupa mrejesho mapema.”

Baada ya hapo tuliondoka pale Kijitonyama na tulikwenda Mlimani City ambapo alikuwa anafanya shopping ya kununua vitu vya ndani pamoja na chakula. Na baada ya kumaliza shopping tuliondoka na kurudi Kawe kwenye apartment mpya.

Nilishinda pale na Iryn na siku hii nilimpigia Ugali na yeye alikuwa anapika mboga. Na baada ya lunch nilimwaga nakwenda Mbweni kwaajili ya kuangalia maendeleo ya pale.

Nilipitia pale Jambo Supermarket Bahari Beach nikanunua baadhi ya mazaga ya jikoni ya kupika na nilinunua mchele, unga, Nyama ya ng’ombe na Kuku. Nilihisi huenda wakawa wameishiwa vitu vya kupika hivyo nilijiongeza tu kwa upande wangu.

Baada ya kuwasili pale na mazaga dada alikuja kunipokea na nilimsaidia kubeba mpaka jikoni. Nilikuwa nimefaulu ule mtihani maana walikuwa wameishiwa vitu ndani.

“Kaka umejuaje kama vitu vilikuwa vimeisha ndani maana nilikuwa nawaza kukupigia lakini mama akasema niache utakuja.”

“Ungepiga tu hata msiwe na wasiwasi kwa siku nyingine.”

Na muda huu nilikwenda Seblen kuonana na mama na nilimsalimia pia pale kulikuwa na ndugu wengine wa Jane. Mpaka leo walikuwa watu watano tu wamebaki pale kwa Jane.

MAMA: “Mwanangu huyu ni mdogo wake Jane anaitwa Vicky ndo bint yangu wa mwisho. Sikuwai kukutambulisha kipindi kile cha msiba na kila ukija anakuwa ndani.”

MIMI: “Hongera mama naona pia wamefanana sana na Jane, nilikuwa namwona ila nilihisi ni mdogo wake.”

Na mudaa huu nilisalimiana na Vicky, pia alikuwa anasoma chuo hapa Dar na alikuwa 1st year.

VICKY: “Ahsante kaka tunashukuru kwa yote na kujitolea kwako kwenye familia yetu.”

MIMI: “Msijali tuko Pamoja sana ndugu zangu.”

MAMA: “Umewasiliana na Jane? na maendeleo yake yapoje? Mimi simpati kwa simu.”

MIMI: “Nimeongea naye asubuhi na weekend hii ataweza kurudi. Wakati naongea naye alikuwa kidogo kachangamka tuendelee kumwombea.”

MAMA: “Ahsante sana kidogo na amani.”

Na muda huu simu yangu alianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Muajemi akipiga na mimi nilipokea simu yake na tukaanza mazungumzo.

Muajemi alikuwa anaomba tuonane jioni ya saa 11 ontime na mimi nilimkubalia sikuwa na pingamizi lolote.

Nilishinda pale Mbweni mpaka saa 10 jioni na niliaga nikaondoka maeneo yale. Njiani nilifanya mawasiliano na Muajemi na akanambia tukutane pale Namanga.

Niliendesha gari mpaka Namanga na mapema nilikuwa nimefika tayari. Baada ya kufika maeneo yale nilimpigia simu na akaniambia yuko showroom ambayo ipo opposite na mataa ya Namanga.

Nilidrive mpaka pale Showroom na nikapark gari nje nikaingia ndani. Baada ya kuingia ndani niliweza kuonana na Muajemi na tukasalimiana kwa kugonga tano. Na muda huu tulianza kuongea na alinipa pole ya Msiba na maongezi mengine mengi yaliendelea.

“Bro! sitaki kukupotezea muda ila nina zawadi kwaajili ya Iryn naomba uipeleke kwa niaba yangu.”

“Ni zawadi gani hiyo Bro?”

“Twende nikuoneshe Bro!.”

Tuliongozana na Muajemi na baada ya mwendo wa hatua 10 hivi alinionesha gari kama zawadi ya Iryn. Mbele yangu ilikuwa inaonekana Mercedes Benz kwa nyuma ikisomeka “S-550” something like that. Na colour yake ni rangi ya maziwa “pearl” na ilikuwa inang’aa sana muda huu.

“Nataka umpelekee Iryn hii gari.”


TO BE CONTINUED
Wooo! Yooooh! Akiikubali kaliwa! Akiikataa itamuumiza pia!
 
Back
Top Bottom