pusherAweee sema kweli??? lol ndio natia maguu hapaaa ngoja nisome kwa kutuliaa wabheja sana!
TupoNext Episode
21:00
Mwe huu uzi mbona nitasoma bila kumaliza na uvivu wangu 🤷🏼♀️
Ngoja nissome ccy asante sana
Ukipata muda pitia uusome mamy ni mzuri sanaMwe huu uzi mbona nitasoma bila kumaliza na uvivu wangu 🤷🏼♀️
Enjoy the story sisNgoja nissome ccy asante sana
Kwanini mkuuinatosha kabisa kusema tena bila kupepesa macho kwamba MUAJEMI NI MBUSI
Duuh we jamaa yaani unaogopa kula mzigo sababu ya kuogopa mtoto,mimi watoto huwa naona bora wazaliwe tu hata wakifika 20 poa tuEPISODE 47
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
CONTINUE…..
Muda ule ilibidi nishangae kwanza maana niliona Muajemi kama karogwa hivi na sio akili zake. Niliona Muajemi ni kama hajitambui na hajui anafanya nini.
MUAJEMI: “Bro! unaionaje hii gari? Nataka umpelelekee Iryn kama zawadi.”
MIMI: “Bro! ushailipia tayari hii gari?”
MUAJEMI: “Bado nataka kwanza utoe comment then nifanye malipo ili uondoke nayo.”
Na kipindi hiki chote kulikuwa na Jamaa mwenye asili ya uarabu akiwa makini sana na sisi. Maana alijua kabisa gari imeuzwa anasubiri maokoto tu kutoka kwa Muajemi.
MIMI: “Bro! samahani naomba tuongee mara moja then tutarudi.”
MUAJEMI: “Sawa haina shida, unataka tuongelee wapi?”
MIMI: “Nafikiri twende pale mbele kuna kamgahawa tukae kabisa.”
Tulitoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Mgahawa wa Best bite na tulikaa pale tukaanza maongezi.
MIMI: “Bro! najua una mapenzi na upendo wa kweli kwa Iryn. I really appreciate your efforts, nimekuwa na wewe bega kwa bega toka mwanzo mpaka sasa, lakini kwa hili sikuungi mkono kabisa.”
MUAJEMI: “Kwanini Bro! mimi nafanya kutoka moyoni kabisa na nilikuwa na mpango wa kumnunulia gari toka muda mrefu sana.”
MIMI: “Sawa Bro! cha kwanza inatakiwa utambue unadeal na aina gani ya mwanamke. Iryn hana shida na gari ni vile hajataka kununua na hata akitaka gari mama yake aliacha Range sport mpya kabisa ipo kwa mama yake mlezi. Haya yote unafanya ili uweze kumuwin lakini unashindwa kutambua Iryn sio dizaini ya Wanawake wenye njaa. What if kama nitampelekea zawadi ya gari na akaikataa? umejaribu kuwaza hivi? Na vipi kwa upande wako utajisikiaje?.”
MUAJEMI: “Kaka upo sahihi sasa unanishauri ni nini hapa?”
MIMI: “Ni simple tu ili kuepusha haya kutokea. Iryn ni mtu mzima tayari anajitambua huna haja ya kuendelea kuzunguka mbuyu tena, kwasasa nenda direct. Omba appointment ya kuonana naye najua hawezi kukukatalia, this time itabidi umchane ukweli na usifiche hata kitu kimoja mwambie ukweli kuhusu maisha yako na mipango yako kwake.”
MUAJEMI: “Bro unaona ni sawa kumwambia direct? Vipi kama atanichomolea si itakuwa matatizo?”
MIMI: “Point yangu acha kupoteza muda kwa mwanamke, utapoteza pesa, utatoa hata zawadi ya figo lakini kama hakupendi- hakupendi ndo wanawake walivyo. Mpaka sasa mnafahamiana tayari vya kutosha don’t waste your time Bro! Kaa naye chini mpe ukweli ibaki yeye kuamua tu kama yuko in or out.”
MUAJEMI: “Kaka naona upo sahihi itabidi niombe appointment naye weekend hii.”
MIMI: “Yeah fanya hivo, akikubali sasa hapo unampelekea gari kama zawadi ili kukazia mapenzi ila kwasasa utakwama hata yeye atakushangaa sana atakuona bwege. Na ikitokea kakuchomolea wewe achana naye pisi kali zipo kibao, wewe unapesa huwezi kosa pisi kali sehemu yoyote Duniani.”
MUAJEMI: “Sawa Bro! leo umeongea point ila wasiwasi wangu akikataa.”
MIMI: “Mwanaume kuogopa kukataliwa ni udhaifu mkubwa sana inatakiwa ujiamini hata kama akikutalia chukulia simple madem wako wengi tu. Sasa ni bora ukataliwe au uendelee kupoteza muda? Na kumbuka nilikwambia before kwamba Iryn ana mtu wake Ufaransa anampa kila kitu anachotaka, hata yeye hana shida.”
MUAJEMI: “Sawa Bro! Acha mimi niende tutawasiliana.”
Tuliagana na Muajemi na alitoa laki 1 kwaajili ya mafuta ya gari na akaondoka. Niliamua kumchana ukweli Muajemi ili aisendelee kupoteza pesa. Maana niliona kuna siku itaweza kuleta shida hata pesa alizokuwa ananipa ni sababu ya Iryn wala sio kingine.
Iikuwa ni saa 12 jioni baada ya kuachana na Muajemi mimi nilielekea Mlimani moja kwa moja. Kuna jamaa nilikwenda kuonana naye mitaa ile kwaajili ya kufanya biashara ya zile simu.
Baada ya kuonana na kuridhika na zile simu, tulikubaliana kwa simu zote 7 atanipa 16,800,000/=. Na jamaa hakutaka kuchezea ile bahati na alifanya kutransfer Pesa kwenye account yangu ya bank.
Niliondoka maeneo yale ya Mlimani na nilikwenda chuo kumchukua Prisca mama kijacho wangu ili tupate Dinna ya pamoja. Na baada ya kuwasili pale chuo ilibidi nimsubiri atoke class na baada ya nusu saa alikuwa katoka tayari akiwa pamoja na Eva.
Tulitoka pale chuo na tulikwenda mpaka mlimani city pale Instanbul restaurant kwaajili ya dinna. Kila mtu aliagiza anachopenda kula na muda huu story zilikuwa zikiendelea pale.
MIMI: “Nambieni wake zangu masomo yanakwendaje.?”
Niliishiwa kupigwa jicho kali sana na Prisca muda huu.
EVA: “Shem hongera sana unakwenda kuwa Baba soon.”
PRISCA: “Awe Baba mara ngapi?”
MIMI: “Ahsante sana shemela wangu leo itabidi unipe namba zako incase of anything uwe unanipigia.”
EVA: “Sawa shem haina shida.”
PRISCA: “Baby itabidi nianze kwenda clinic mapema.”
MIMI: “Subiri kwanza ufikishe week 8 ndo uanze kwenda kwasasa mapema sana.”
EVA: “Hata mimi nilimwambia leo bado mapema sana, naona anatamani sana kuwa mama.”
Nilikaa na akina Prisca mpaka saa 3 usiku kasoro nikawaambia warequest usafiri na mimi nikaondoka kuelekea kwa Iryn.
Baada ya kufika pale na kuingia ndani nilikuta hakuna mtu ndani lakini simu ilikuwa seblen kuonesha mtu yuko around. Nilisubiri kama dakika 10 lakini mtu simwoni, nikakumbuka kuna swimming pool nilihisi atakuwa huko.
Baada ya kuzunguka na kwenda upande wa swimming pool nilimkuta kule akiwa anaswim kama mtu ambaye hana stress na maisha, na alikuwa peke yake.
“Nimekusubiri sana kumbe upo huko mummy.”
“Insider ingia bhasi na wewe maji ya moto hadi raha.”
“Mimi siingii humo ndani fanya kutoka twende ndani tukaongee.”
“Usinambie leo hii hutaki kuswim na mimi.”
“Muda umekwenda kuna jambo nataka tuzungumze muhimu.”
“We can talk there mbona kuna utulivu wa kutosha hapa. Anyway twende ndani hata hivyo nimekaa sana kwenye maji.”
Tulirudi ndani muda huu tukiwa tumeongozana njiani, na Iryn alikuwa katangulia kwa mbele, so nilikuwa kwa nyuma nikamtizama maungo yake kwa matamanio.
MIMI: “Iryn Mungu alikuumba sana Mummy.”
IRYN: “Insider toka nyuma yangu tangulia mbele.”
Baada ya kuingia ndani aliingia chumbani na baada ya dakika 10 alitoka kavaa tayari.
IRYN: “Insider unajambo gani?”
MIMI: “Kwamba sikuhizi umeanza kunionea aibu mpaka umeenda kubadilika? Hujui nilikuwa naona raha kukuangalia ukiwa vile?”
IRYN: “Natoka tukiachana hapa na utanipeleka Mikocheni Plaza nikale Pizza.”
MIMI: “Ok sawa, nimeshauza simu tayari nipe account namba nifanye kutransfer pesa zako.”
IRYN: “Sawa twende bhasi njiani nitakupa utatransfer.”
Na muda huu alikuwa akiniinua kwenye coach kwa kunibembeleza.
Ilibidi nimepeleke Mikocheni Plaza pale Pizza Hut na baada ya kuwasili alining’ang’ania simsubiri ili turudi wote tena. Ukweli sikuwa na jinsi ilibidi twende wote mpaka ndani japo nilikuwa natamani kurudi home mapema.
Iryn aliingia ndani kuweka odda na baada ya dakika 5 alitoka akaja akakaa kwenye bench kwa pale nje. Na muda huu kuna jamaa alikuwa anakuja upande wetu ni kama alikuwa amem-target Iryn sasa aliponiona mimi dizaini kama alipiga U-turn.
IRYN: “Uyo mshenzi alikuwa ananitongoza eti alikuwa anataka kunilipia Pizza nikamgomea. Akaanza kuniomba namba ya simu, baadae akanambia unakaa wapi, nikamwambia nimekaa nje na mme wangu.”
Na muda huu Iryn alikuwa anacheka sana.
MIMI: “Sasa hapa ndo alikuwa anakufuata? Maana niliona alikuwa anakuja kwa ajili yako.”
IRYN: “Alikuwa haamini nafikiri sasa kweli kaprove. Why Tanzanian men’s are not smart?”
MIMI: “Sio Tanzania tu ni Dunia nzima acha uchawi wako kwa Watanzania.”
IRYN: “Sawa bhana, ngoja nikachukue juice. Insider nikuletee juice gani?”
MIMI: “Nichagulie nzuri for me.”
Iryn aliondoka na muda huu jamaa alikuwa akiniangalia sana dizaini alikuwa haamini macho yake kama mimi ndo mme wa Iryn. Na Iryn alivyorudi alinikisi shavuni kwa makusudi, nilihisi anamuumiza jamaa tu.
MIMI: “Noana umeamua kumchoma Moyo Jamaa.”
IRYN: “Nimekukisi sababu ya kunipa kampani wala sio sababu ya huyo mshenzi.”
MIMI: “Sawa mrembo wangu wa Dunia kula Pizza tuondoke nimem-miss mama J wangu leo.”
IRYN: “Hongera zako mimi mpaka nionane na Grizmann. Afu ratiba zetu zitaendelea soon nakosa Pesa nyingi sana kwakweli.”
MIMI: “Iryn bado unawaza kuendelea na hizo Biashara?”
IRYN: “Insider kazi ni kazi hutakiwi kuchagua, mimi ni mzuri nina kipaji cha massaji kwanini niache Pesa zinipite?. Afu nilikupa offa ya kukufanyia massage lakini unaringa, na hii kwaajili ya afya yako. Kumbuka unakaa sana kwenye gari unahitaji kunyooshwa huo mgongo shauri yako.”
MIMI: “Kweli itabidi unifanyie matibabu Doctor.”
IRYN: “Tuondoke mimi niko full hapa bebe.”
Na muda huu tuliondoka huku jamaa akituangalia kwa wivu sana na Iryn alikuwa kaniwekea mkono kiunoni, kwa mtu anayetuona kwa mara ya kwanza angejua sisi ni wapenzi.
Nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home muda ule maana ilikuwa ni saa 5 kasoro usiku.
Kwa upande mwingine kwenye zile simu za Iryn nilikuwa nimepata 2,800,000/= kama udalali baada ya kuziuza.
*********
Jumatano asubuhi nilipigiwa simu kutoka kwa mama Janeth na aliomba tuonane saa 6 mchana pale ofisini kwake Masaki.
Mapema sana kwenye saa 6 kasoro mchana nilikuwa nimewasili pale na nilikwenda moja kwa moja mpaka getini na gari. Mama Janeth alisema nikifika pale niingie na gari ndani moja kwa moja nisipark nje.
“Bro! habari yako unakwenda wapi?”
“Nakwenda kuonana na Mrs Carter.”
“Wewe ni nani na una appointment naye?”
“Sasa nitakuja kwenye Organization kubwa kama hii bila kuwa na appointment?”
“Embu subiri kwanza tufanye mawasiliano.”
Nilisubiri pale getini kama dakika 3 hivi ndo nikaruhusiwa kuingia ndani. Na baada ya kupark gari niliwasiliana na Mama Janeth na akanambia nimsubiri pale sehem ya visitors anakuja.
Ilimchukua kama dakika 15 mama Janeth kutoka na baada ya kufika pale nilipokuwa nimekaa tulisalimiana na akanambia tuongozane, na muda huu tulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye ofisi yake.
“Insider karibu sana Jisikie huru hii ni ofisi yenu usiwe na wasiwasi.”
“Ahsante sana mama kwanza nashukuru kwa kunipa wito wa kufika kwenye organization kubwa kama hii.”
“Mnaruhusiwa kuja mbona sema Watanzania hampo active kama nchi zingine.”
“Sijawai kujua hili mama.”
“Mnaruhusiwa kuvisit kama unataka elimu anything unapewa. Nimekuita hapa kwanza pole na msiba mwanangu, Iryn alinipa taarifa zote na alinambia mazishi yalifanyika Tabora.”
“Ndio mama nashukuru lakini kazi ya Mungu haina makosa, japo inaumiza sana kuondokewa na mtu muhimu kwenye maisha.”
“Poleni sana, nilitamani sana tuonane maana wewe ni moja ya member wa kampuni yetu na kazi yako inaonekana nikushukuru kwa hili. Nilipita pale ofisini nikaona umeweka mazingira mazuri, umepanda miti na maua kwakweli ulinifurahisha sana.”
“Ahsante sana mama ni moja ya majukumu yangu ya kiofisi huna haja ya kushukuru wakati unanilipa mshahara.”
“Jambo lingine naomba uniwie radhi kwa kutokukurudia mapema lakini ujumbe wako niliupata kwa kuchelewa sana. Nilikuwa huko Ukraine tunafanya tafiti so I was very busy that time na dada alituma mail kwenye account yangu binafsi, angetumia ya ofisi ingekuwa haraka sana kuipata.”
“Usijali mama kuwa na amani Iryn alishanambia hayo yote tayari, kipindi kile nilikuwa kwenye wakati mgumu sana. Iryn aliondoka bila kuniaga afu akawa hapatikani kwa simu, nikapata wazo la kwenda kwako lakini nikaambiwa umehama. Nikaamua kuja hapa ofisini ndo HR akanambia niache taarifa zangu atakutumia.”
“Pole sana pale tulihama, wakati umeleta mzigo weekend tulihama. Niliamua kuhamia nyumba yangu maana landlord alipandisha rent, nikaona bora nikakae nyumba yangu ili niwe huru.”
“Ni kweli kabisa mama upo sahihi kodi zina kera sana.”
Kwa ufupi mama Janeth alifurahi sana kwa kumjali sana Iryn maana alisema before mimi Iryn alikuwa ni mtu wa mawazo sana na alikuwa anajifungia ndani. Lakini baada ya kukutana na mimi amebadilika sana amekuwa mchangamfu na furaha sana.
Mama Janeth alinishukuru sana na aliniomba niendelee kuwa karibu na Iryn ili amsahau mama yake kabisa.
Ni mazungumzo yaliyochukua kama dakika 45 na baada ya hapo alinipeleka kwa yule HR wa siku ile na akanitambulisha kama mwanae. Yule HR alishangaa sana na alikuwa anani-changamkia sana muda huu.
Baada ya yote Mama Janeth alisema tukapate lunch ya pamoja na tulikwenda kupata lunch pale Epi d’or.”
Muda ule tukiwa pale mgahawani tulikuwa tunaongea mambo mengi sana na Mama Janeth kuhusu maisha na mambo mengine. Kwa upande wake mama Janeth alikuwa na furaha sana na jambo lingine alikuwa anahisi mimi nina mahusiano ya kimapenzi na Iryn.
Baada ya lunch nilimrudisha Mama Janeth ofisini kwake na tukaagana. Wakati niko njiani nilifanya mawasiliano na Dullah maana nilimwambia nikirudi toka Tabora msibani ningemjulisha.
Nilimwambia Dullah juu ya maamuzi yangu ya kuachana na biashara ya Uber kama ukumbusho wangu kwa Mzee Pama. Japo alinipinga sana na haya maamuzi yangu lakini ilibidi akubaliane tu na mimi, kwanza biashara ilishakuwa ngumu sana kipindi hiki. Dullah alinisisitiza sana Uber wakirudi niendelee na kazi lakini nilimwambia nitaajiri dereva, na haya yote ni sababu ya heshima yangu kwa Mzee Pama.
*******
Kesho yake jioni ambayo ni alhamis niliamua kupitia saloon zote kufanya ukaguzi pamoja na kuwapa taarifa Lucy na Sumaiya kuhusu kikao cha weekend.
Niliona ni busara kuwashirikisha katika mipango ya kikao kwa ujumla, sambamba na eneo la kufanyia. Iryn aliniachia hili suala mimi kama operation manager lakini na mimi niliona sinabudi kuwashirikisha akina Lucy kama partners wangu.
Nilianza na Lucy pale Mikocheni na baada ya kumshirikisha alitoa wazo tutafute sehemu nzuri ya uwazi na baada ya hapo twende sehemu tukamalizie bata.
Tuliagana na Lucy na nilikwenda moja kwa moja mpaka Masaki kwaajili ya kuonana na Sumaiya. Wakati nawasili pale dizaini kama aliniona hivyo alitoka na akaja parking na akafungua mlango wa gari akakaa siti ya mbele.
“Mtoto unapenda magari wewe.”
“Hakuna mwanamke asiyependa gari Insider.”
“Naona leo umependeza sana na hiko kigauni chako kinafanya viamke vilivyo lala.”
“Kwa mwanaume Rijali ni kawaida so siwezi kukushangaa wewe kama ni kweli. Niambie unajambo gani kutoka kwa Queen, maana leo kanipigia simu eti ananisalimia, toka lini Queen anipigie simu akanisalimia?.”
“Si Bossy wako? hutaki akujulie hali mfanyakazi wake ?”
“Yule anahisi mimi nakupea ni wivu tu umemjaa, maskini anafikiri tunanyanduana.”
“Mama Janeth alikutoa wapi wewe? Maana sijawahi kukutana na mwanamke mwenye mdomo kama wewe.”
Sumaiya ni mwanamke asili yake ni Tanga anakimwili portable afu mweupe madem wa Tanga nadhani mnawajua vizuri. Kingine alikuwa mwongeaji sana afu hanaga aibu kabisa.
Niliongea na Sumaiya kuhusu suala la kikao Jumamosi na yeye alishauri tutafute Hotel au sehemu yoyote ya wazi ili tufanye kikao chetu na baada ya hapo tutoke out.
Ushauri wa Sumaiya niliona una mantiki
Maana tungekuwa 17 kwa idadi ya wote, Masaki kuna wafanyakazi 7, Mikocheni 5, Sinza 3 , bado mimi na Iryn. Jumla hapo tunakuwa 17 so hotel ndo ilikuwa sehemu sahihi ya kufanyia kikao.
Baada ya maongezi Sumaiya aliomba nimsubiri ili nimpe lift mpaka Morocco na ilikuwa ni usiku umeanza kuingia.
Nilimsubiri kwa nusu saa ndo alitoka na tukaondoka, sasa kutokana na story za njiani nilijikuta nampeleka Sumaiya mpaka kwake. Alikuwa anakaa Kinondoni mitaa ya Gavana kule kama unakwenda Biafra. Na lengo langu lilikuwa nikatokee mataa ya Biafra then Morocco afu niunge na Bagamoyo road.
“Insider si unapitia kwangu upajue? Kufika mpaka hapa na usiingie kwangu haitakuwa vizuri.”
“Sawa twende nikapajue kwako.”
Baada ya kuwasili kwake alishuka akafungua geti na mimi nikaingiza gari nikapark tukaingia ndani kwake. Alikuwa amepanga apartment nzuri ya Jiko, sebule, na masta.
“Nani anakulipia kodi hapa? sitaki matatizo.”
“Angekuwa analipa kodi mwanaume mwenzako hata nisinge kuingiza ndani.”
Na muda huu nilimvuta kwangu kwa nguvu na nikamshika makalio yake.
“Makalio yenyewe huna ya kushika.”
Na nikaendelea kuyapapasa na kuyaminya minya.
Niliona Sumaiya kashaanza kulegea taratibu na yeye akanipa tongue tukaanza romance pale asee ilikuwa ni mtifuano, nikambeba nikamtupia kwa coach. Na kalivyo portable vile hata sikuwa na tumia nguvu kubwa sana kumbeba.
Sikutaka hata kumcheleweshea kabisa nikamvua kigauni chake, uwii alikuwa na bikini afu kwa juu hakuvaa chochote nilikuwa naziona chuchu zake live zilivyosimama wima, uzuri zilikuwa zina jaa kwenye mikono yangu maana alikuwa ana vifuu vidogo sana.
Nilianza kuvinyonya taratibu pale na yeye alishakuwa yuko Dunia nyingine muda mrefu sana. Kisima chake kilikuwa kishaanza kutoa chemchem tayari na mimi niliendeleza maunyama yangu taratibu hata sikuwa na mapepe maana kuku ni wangu haraka za nini?.
Muda huu Sumaiya alikuwa kashaanza kupapasa mtwangio wangu ili nianze kutwanga kinu. Na mimi palepale nimlaza chali na nikambetua kwa juu kidogo ndani ya sekunde alikiaa chaaah!, niliiachana bikini yake vipande viwili. Na muda huu nilikuwa nashuhudia something hot between her legs na alikuwa kashave kabisa.
Nilimkunja vizuri kabisa kwaajili ya kumtwanga lakini nilikumbuka sina kinga, sikutaka suala la Prisca lijirudie tena hivyo nikamuacha palepale.
“Insider unashida gani?”
“Do you have a condoms?”
“No sina.”
“Siwezi kuendelea bila condom acha nikanunue chap then nakuja tuendelee.”
Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.
TO BE CONTINUED.
Daah, saafi sana kaka..EPISODE 47
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
CONTINUE…..
Muda ule ilibidi nishangae kwanza maana niliona Muajemi kama karogwa hivi na sio akili zake. Niliona Muajemi ni kama hajitambui na hajui anafanya nini.
MUAJEMI: “Bro! unaionaje hii gari? Nataka umpelelekee Iryn kama zawadi.”
MIMI: “Bro! ushailipia tayari hii gari?”
MUAJEMI: “Bado nataka kwanza utoe comment then nifanye malipo ili uondoke nayo.”
Na kipindi hiki chote kulikuwa na Jamaa mwenye asili ya uarabu akiwa makini sana na sisi. Maana alijua kabisa gari imeuzwa anasubiri maokoto tu kutoka kwa Muajemi.
MIMI: “Bro! samahani naomba tuongee mara moja then tutarudi.”
MUAJEMI: “Sawa haina shida, unataka tuongelee wapi?”
MIMI: “Nafikiri twende pale mbele kuna kamgahawa tukae kabisa.”
Tulitoka pale na tulikwenda moja kwa moja mpaka Mgahawa wa Best bite na tulikaa pale tukaanza maongezi.
MIMI: “Bro! najua una mapenzi na upendo wa kweli kwa Iryn. I really appreciate your efforts, nimekuwa na wewe bega kwa bega toka mwanzo mpaka sasa, lakini kwa hili sikuungi mkono kabisa.”
MUAJEMI: “Kwanini Bro! mimi nafanya kutoka moyoni kabisa na nilikuwa na mpango wa kumnunulia gari toka muda mrefu sana.”
MIMI: “Sawa Bro! cha kwanza inatakiwa utambue unadeal na aina gani ya mwanamke. Iryn hana shida na gari ni vile hajataka kununua na hata akitaka gari mama yake aliacha Range sport mpya kabisa ipo kwa mama yake mlezi. Haya yote unafanya ili uweze kumuwin lakini unashindwa kutambua Iryn sio dizaini ya Wanawake wenye njaa. What if kama nitampelekea zawadi ya gari na akaikataa? umejaribu kuwaza hivi? Na vipi kwa upande wako utajisikiaje?.”
MUAJEMI: “Kaka upo sahihi sasa unanishauri ni nini hapa?”
MIMI: “Ni simple tu ili kuepusha haya kutokea. Iryn ni mtu mzima tayari anajitambua huna haja ya kuendelea kuzunguka mbuyu tena, kwasasa nenda direct. Omba appointment ya kuonana naye najua hawezi kukukatalia, this time itabidi umchane ukweli na usifiche hata kitu kimoja mwambie ukweli kuhusu maisha yako na mipango yako kwake.”
MUAJEMI: “Bro unaona ni sawa kumwambia direct? Vipi kama atanichomolea si itakuwa matatizo?”
MIMI: “Point yangu acha kupoteza muda kwa mwanamke, utapoteza pesa, utatoa hata zawadi ya figo lakini kama hakupendi- hakupendi ndo wanawake walivyo. Mpaka sasa mnafahamiana tayari vya kutosha don’t waste your time Bro! Kaa naye chini mpe ukweli ibaki yeye kuamua tu kama yuko in or out.”
MUAJEMI: “Kaka naona upo sahihi itabidi niombe appointment naye weekend hii.”
MIMI: “Yeah fanya hivo, akikubali sasa hapo unampelekea gari kama zawadi ili kukazia mapenzi ila kwasasa utakwama hata yeye atakushangaa sana atakuona bwege. Na ikitokea kakuchomolea wewe achana naye pisi kali zipo kibao, wewe unapesa huwezi kosa pisi kali sehemu yoyote Duniani.”
MUAJEMI: “Sawa Bro! leo umeongea point ila wasiwasi wangu akikataa.”
MIMI: “Mwanaume kuogopa kukataliwa ni udhaifu mkubwa sana inatakiwa ujiamini hata kama akikutalia chukulia simple madem wako wengi tu. Sasa ni bora ukataliwe au uendelee kupoteza muda? Na kumbuka nilikwambia before kwamba Iryn ana mtu wake Ufaransa anampa kila kitu anachotaka, hata yeye hana shida.”
MUAJEMI: “Sawa Bro! Acha mimi niende tutawasiliana.”
Tuliagana na Muajemi na alitoa laki 1 kwaajili ya mafuta ya gari na akaondoka. Niliamua kumchana ukweli Muajemi ili aisendelee kupoteza pesa. Maana niliona kuna siku itaweza kuleta shida hata pesa alizokuwa ananipa ni sababu ya Iryn wala sio kingine.
Iikuwa ni saa 12 jioni baada ya kuachana na Muajemi mimi nilielekea Mlimani moja kwa moja. Kuna jamaa nilikwenda kuonana naye mitaa ile kwaajili ya kufanya biashara ya zile simu.
Baada ya kuonana na kuridhika na zile simu, tulikubaliana kwa simu zote 7 atanipa 16,800,000/=. Na jamaa hakutaka kuchezea ile bahati na alifanya kutransfer Pesa kwenye account yangu ya bank.
Niliondoka maeneo yale ya Mlimani na nilikwenda chuo kumchukua Prisca mama kijacho wangu ili tupate Dinna ya pamoja. Na baada ya kuwasili pale chuo ilibidi nimsubiri atoke class na baada ya nusu saa alikuwa katoka tayari akiwa pamoja na Eva.
Tulitoka pale chuo na tulikwenda mpaka mlimani city pale Instanbul restaurant kwaajili ya dinna. Kila mtu aliagiza anachopenda kula na muda huu story zilikuwa zikiendelea pale.
MIMI: “Nambieni wake zangu masomo yanakwendaje.?”
Niliishiwa kupigwa jicho kali sana na Prisca muda huu.
EVA: “Shem hongera sana unakwenda kuwa Baba soon.”
PRISCA: “Awe Baba mara ngapi?”
MIMI: “Ahsante sana shemela wangu leo itabidi unipe namba zako incase of anything uwe unanipigia.”
EVA: “Sawa shem haina shida.”
PRISCA: “Baby itabidi nianze kwenda clinic mapema.”
MIMI: “Subiri kwanza ufikishe week 8 ndo uanze kwenda kwasasa mapema sana.”
EVA: “Hata mimi nilimwambia leo bado mapema sana, naona anatamani sana kuwa mama.”
Nilikaa na akina Prisca mpaka saa 3 usiku kasoro nikawaambia warequest usafiri na mimi nikaondoka kuelekea kwa Iryn.
Baada ya kufika pale na kuingia ndani nilikuta hakuna mtu ndani lakini simu ilikuwa seblen kuonesha mtu yuko around. Nilisubiri kama dakika 10 lakini mtu simwoni, nikakumbuka kuna swimming pool nilihisi atakuwa huko.
Baada ya kuzunguka na kwenda upande wa swimming pool nilimkuta kule akiwa anaswim kama mtu ambaye hana stress na maisha, na alikuwa peke yake.
“Nimekusubiri sana kumbe upo huko mummy.”
“Insider ingia bhasi na wewe maji ya moto hadi raha.”
“Mimi siingii humo ndani fanya kutoka twende ndani tukaongee.”
“Usinambie leo hii hutaki kuswim na mimi.”
“Muda umekwenda kuna jambo nataka tuzungumze muhimu.”
“We can talk there mbona kuna utulivu wa kutosha hapa. Anyway twende ndani hata hivyo nimekaa sana kwenye maji.”
Tulirudi ndani muda huu tukiwa tumeongozana njiani, na Iryn alikuwa katangulia kwa mbele, so nilikuwa kwa nyuma nikamtizama maungo yake kwa matamanio.
MIMI: “Iryn Mungu alikuumba sana Mummy.”
IRYN: “Insider toka nyuma yangu tangulia mbele.”
Baada ya kuingia ndani aliingia chumbani na baada ya dakika 10 alitoka kavaa tayari.
IRYN: “Insider unajambo gani?”
MIMI: “Kwamba sikuhizi umeanza kunionea aibu mpaka umeenda kubadilika? Hujui nilikuwa naona raha kukuangalia ukiwa vile?”
IRYN: “Natoka tukiachana hapa na utanipeleka Mikocheni Plaza nikale Pizza.”
MIMI: “Ok sawa, nimeshauza simu tayari nipe account namba nifanye kutransfer pesa zako.”
IRYN: “Sawa twende bhasi njiani nitakupa utatransfer.”
Na muda huu alikuwa akiniinua kwenye coach kwa kunibembeleza.
Ilibidi nimepeleke Mikocheni Plaza pale Pizza Hut na baada ya kuwasili alining’ang’ania simsubiri ili turudi wote tena. Ukweli sikuwa na jinsi ilibidi twende wote mpaka ndani japo nilikuwa natamani kurudi home mapema.
Iryn aliingia ndani kuweka odda na baada ya dakika 5 alitoka akaja akakaa kwenye bench kwa pale nje. Na muda huu kuna jamaa alikuwa anakuja upande wetu ni kama alikuwa amem-target Iryn sasa aliponiona mimi dizaini kama alipiga U-turn.
IRYN: “Uyo mshenzi alikuwa ananitongoza eti alikuwa anataka kunilipia Pizza nikamgomea. Akaanza kuniomba namba ya simu, baadae akanambia unakaa wapi, nikamwambia nimekaa nje na mme wangu.”
Na muda huu Iryn alikuwa anacheka sana.
MIMI: “Sasa hapa ndo alikuwa anakufuata? Maana niliona alikuwa anakuja kwa ajili yako.”
IRYN: “Alikuwa haamini nafikiri sasa kweli kaprove. Why Tanzanian men’s are not smart?”
MIMI: “Sio Tanzania tu ni Dunia nzima acha uchawi wako kwa Watanzania.”
IRYN: “Sawa bhana, ngoja nikachukue juice. Insider nikuletee juice gani?”
MIMI: “Nichagulie nzuri for me.”
Iryn aliondoka na muda huu jamaa alikuwa akiniangalia sana dizaini alikuwa haamini macho yake kama mimi ndo mme wa Iryn. Na Iryn alivyorudi alinikisi shavuni kwa makusudi, nilihisi anamuumiza jamaa tu.
MIMI: “Noana umeamua kumchoma Moyo Jamaa.”
IRYN: “Nimekukisi sababu ya kunipa kampani wala sio sababu ya huyo mshenzi.”
MIMI: “Sawa mrembo wangu wa Dunia kula Pizza tuondoke nimem-miss mama J wangu leo.”
IRYN: “Hongera zako mimi mpaka nionane na Grizmann. Afu ratiba zetu zitaendelea soon nakosa Pesa nyingi sana kwakweli.”
MIMI: “Iryn bado unawaza kuendelea na hizo Biashara?”
IRYN: “Insider kazi ni kazi hutakiwi kuchagua, mimi ni mzuri nina kipaji cha massaji kwanini niache Pesa zinipite?. Afu nilikupa offa ya kukufanyia massage lakini unaringa, na hii kwaajili ya afya yako. Kumbuka unakaa sana kwenye gari unahitaji kunyooshwa huo mgongo shauri yako.”
MIMI: “Kweli itabidi unifanyie matibabu Doctor.”
IRYN: “Tuondoke mimi niko full hapa bebe.”
Na muda huu tuliondoka huku jamaa akituangalia kwa wivu sana na Iryn alikuwa kaniwekea mkono kiunoni, kwa mtu anayetuona kwa mara ya kwanza angejua sisi ni wapenzi.
Nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home muda ule maana ilikuwa ni saa 5 kasoro usiku.
Kwa upande mwingine kwenye zile simu za Iryn nilikuwa nimepata 2,800,000/= kama udalali baada ya kuziuza.
*********
Jumatano asubuhi nilipigiwa simu kutoka kwa mama Janeth na aliomba tuonane saa 6 mchana pale ofisini kwake Masaki.
Mapema sana kwenye saa 6 kasoro mchana nilikuwa nimewasili pale na nilikwenda moja kwa moja mpaka getini na gari. Mama Janeth alisema nikifika pale niingie na gari ndani moja kwa moja nisipark nje.
“Bro! habari yako unakwenda wapi?”
“Nakwenda kuonana na Mrs Carter.”
“Wewe ni nani na una appointment naye?”
“Sasa nitakuja kwenye Organization kubwa kama hii bila kuwa na appointment?”
“Embu subiri kwanza tufanye mawasiliano.”
Nilisubiri pale getini kama dakika 3 hivi ndo nikaruhusiwa kuingia ndani. Na baada ya kupark gari niliwasiliana na Mama Janeth na akanambia nimsubiri pale sehem ya visitors anakuja.
Ilimchukua kama dakika 15 mama Janeth kutoka na baada ya kufika pale nilipokuwa nimekaa tulisalimiana na akanambia tuongozane, na muda huu tulikwenda moja kwa moja mpaka kwenye ofisi yake.
“Insider karibu sana Jisikie huru hii ni ofisi yenu usiwe na wasiwasi.”
“Ahsante sana mama kwanza nashukuru kwa kunipa wito wa kufika kwenye organization kubwa kama hii.”
“Mnaruhusiwa kuja mbona sema Watanzania hampo active kama nchi zingine.”
“Sijawai kujua hili mama.”
“Mnaruhusiwa kuvisit kama unataka elimu anything unapewa. Nimekuita hapa kwanza pole na msiba mwanangu, Iryn alinipa taarifa zote na alinambia mazishi yalifanyika Tabora.”
“Ndio mama nashukuru lakini kazi ya Mungu haina makosa, japo inaumiza sana kuondokewa na mtu muhimu kwenye maisha.”
“Poleni sana, nilitamani sana tuonane maana wewe ni moja ya member wa kampuni yetu na kazi yako inaonekana nikushukuru kwa hili. Nilipita pale ofisini nikaona umeweka mazingira mazuri, umepanda miti na maua kwakweli ulinifurahisha sana.”
“Ahsante sana mama ni moja ya majukumu yangu ya kiofisi huna haja ya kushukuru wakati unanilipa mshahara.”
“Jambo lingine naomba uniwie radhi kwa kutokukurudia mapema lakini ujumbe wako niliupata kwa kuchelewa sana. Nilikuwa huko Ukraine tunafanya tafiti so I was very busy that time na dada alituma mail kwenye account yangu binafsi, angetumia ya ofisi ingekuwa haraka sana kuipata.”
“Usijali mama kuwa na amani Iryn alishanambia hayo yote tayari, kipindi kile nilikuwa kwenye wakati mgumu sana. Iryn aliondoka bila kuniaga afu akawa hapatikani kwa simu, nikapata wazo la kwenda kwako lakini nikaambiwa umehama. Nikaamua kuja hapa ofisini ndo HR akanambia niache taarifa zangu atakutumia.”
“Pole sana pale tulihama, wakati umeleta mzigo weekend tulihama. Niliamua kuhamia nyumba yangu maana landlord alipandisha rent, nikaona bora nikakae nyumba yangu ili niwe huru.”
“Ni kweli kabisa mama upo sahihi kodi zina kera sana.”
Kwa ufupi mama Janeth alifurahi sana kwa kumjali sana Iryn maana alisema before mimi Iryn alikuwa ni mtu wa mawazo sana na alikuwa anajifungia ndani. Lakini baada ya kukutana na mimi amebadilika sana amekuwa mchangamfu na furaha sana.
Mama Janeth alinishukuru sana na aliniomba niendelee kuwa karibu na Iryn ili amsahau mama yake kabisa.
Ni mazungumzo yaliyochukua kama dakika 45 na baada ya hapo alinipeleka kwa yule HR wa siku ile na akanitambulisha kama mwanae. Yule HR alishangaa sana na alikuwa anani-changamkia sana muda huu.
Baada ya yote Mama Janeth alisema tukapate lunch ya pamoja na tulikwenda kupata lunch pale Epi d’or.”
Muda ule tukiwa pale mgahawani tulikuwa tunaongea mambo mengi sana na Mama Janeth kuhusu maisha na mambo mengine. Kwa upande wake mama Janeth alikuwa na furaha sana na jambo lingine alikuwa anahisi mimi nina mahusiano ya kimapenzi na Iryn.
Baada ya lunch nilimrudisha Mama Janeth ofisini kwake na tukaagana. Wakati niko njiani nilifanya mawasiliano na Dullah maana nilimwambia nikirudi toka Tabora msibani ningemjulisha.
Nilimwambia Dullah juu ya maamuzi yangu ya kuachana na biashara ya Uber kama ukumbusho wangu kwa Mzee Pama. Japo alinipinga sana na haya maamuzi yangu lakini ilibidi akubaliane tu na mimi, kwanza biashara ilishakuwa ngumu sana kipindi hiki. Dullah alinisisitiza sana Uber wakirudi niendelee na kazi lakini nilimwambia nitaajiri dereva, na haya yote ni sababu ya heshima yangu kwa Mzee Pama.
*******
Kesho yake jioni ambayo ni alhamis niliamua kupitia saloon zote kufanya ukaguzi pamoja na kuwapa taarifa Lucy na Sumaiya kuhusu kikao cha weekend.
Niliona ni busara kuwashirikisha katika mipango ya kikao kwa ujumla, sambamba na eneo la kufanyia. Iryn aliniachia hili suala mimi kama operation manager lakini na mimi niliona sinabudi kuwashirikisha akina Lucy kama partners wangu.
Nilianza na Lucy pale Mikocheni na baada ya kumshirikisha alitoa wazo tutafute sehemu nzuri ya uwazi na baada ya hapo twende sehemu tukamalizie bata.
Tuliagana na Lucy na nilikwenda moja kwa moja mpaka Masaki kwaajili ya kuonana na Sumaiya. Wakati nawasili pale dizaini kama aliniona hivyo alitoka na akaja parking na akafungua mlango wa gari akakaa siti ya mbele.
“Mtoto unapenda magari wewe.”
“Hakuna mwanamke asiyependa gari Insider.”
“Naona leo umependeza sana na hiko kigauni chako kinafanya viamke vilivyo lala.”
“Kwa mwanaume Rijali ni kawaida so siwezi kukushangaa wewe kama ni kweli. Niambie unajambo gani kutoka kwa Queen, maana leo kanipigia simu eti ananisalimia, toka lini Queen anipigie simu akanisalimia?.”
“Si Bossy wako? hutaki akujulie hali mfanyakazi wake ?”
“Yule anahisi mimi nakupea ni wivu tu umemjaa, maskini anafikiri tunanyanduana.”
“Mama Janeth alikutoa wapi wewe? Maana sijawahi kukutana na mwanamke mwenye mdomo kama wewe.”
Sumaiya ni mwanamke asili yake ni Tanga anakimwili portable afu mweupe madem wa Tanga nadhani mnawajua vizuri. Kingine alikuwa mwongeaji sana afu hanaga aibu kabisa.
Niliongea na Sumaiya kuhusu suala la kikao Jumamosi na yeye alishauri tutafute Hotel au sehemu yoyote ya wazi ili tufanye kikao chetu na baada ya hapo tutoke out.
Ushauri wa Sumaiya niliona una mantiki
Maana tungekuwa 17 kwa idadi ya wote, Masaki kuna wafanyakazi 7, Mikocheni 5, Sinza 3 , bado mimi na Iryn. Jumla hapo tunakuwa 17 so hotel ndo ilikuwa sehemu sahihi ya kufanyia kikao.
Baada ya maongezi Sumaiya aliomba nimsubiri ili nimpe lift mpaka Morocco na ilikuwa ni usiku umeanza kuingia.
Nilimsubiri kwa nusu saa ndo alitoka na tukaondoka, sasa kutokana na story za njiani nilijikuta nampeleka Sumaiya mpaka kwake. Alikuwa anakaa Kinondoni mitaa ya Gavana kule kama unakwenda Biafra. Na lengo langu lilikuwa nikatokee mataa ya Biafra then Morocco afu niunge na Bagamoyo road.
“Insider si unapitia kwangu upajue? Kufika mpaka hapa na usiingie kwangu haitakuwa vizuri.”
“Sawa twende nikapajue kwako.”
Baada ya kuwasili kwake alishuka akafungua geti na mimi nikaingiza gari nikapark tukaingia ndani kwake. Alikuwa amepanga apartment nzuri ya Jiko, sebule, na masta.
“Nani anakulipia kodi hapa? sitaki matatizo.”
“Angekuwa analipa kodi mwanaume mwenzako hata nisinge kuingiza ndani.”
Na muda huu nilimvuta kwangu kwa nguvu na nikamshika makalio yake.
“Makalio yenyewe huna ya kushika.”
Na nikaendelea kuyapapasa na kuyaminya minya.
Niliona Sumaiya kashaanza kulegea taratibu na yeye akanipa tongue tukaanza romance pale asee ilikuwa ni mtifuano, nikambeba nikamtupia kwa coach. Na kalivyo portable vile hata sikuwa na tumia nguvu kubwa sana kumbeba.
Sikutaka hata kumcheleweshea kabisa nikamvua kigauni chake, uwii alikuwa na bikini afu kwa juu hakuvaa chochote nilikuwa naziona chuchu zake live zilivyosimama wima, uzuri zilikuwa zina jaa kwenye mikono yangu maana alikuwa ana vifuu vidogo sana.
Nilianza kuvinyonya taratibu pale na yeye alishakuwa yuko Dunia nyingine muda mrefu sana. Kisima chake kilikuwa kishaanza kutoa chemchem tayari na mimi niliendeleza maunyama yangu taratibu hata sikuwa na mapepe maana kuku ni wangu haraka za nini?.
Muda huu Sumaiya alikuwa kashaanza kupapasa mtwangio wangu ili nianze kutwanga kinu. Na mimi palepale nimlaza chali na nikambetua kwa juu kidogo ndani ya sekunde alikiaa chaaah!, niliiachana bikini yake vipande viwili. Na muda huu nilikuwa nashuhudia something hot between her legs na alikuwa kashave kabisa.
Nilimkunja vizuri kabisa kwaajili ya kumtwanga lakini nilikumbuka sina kinga, sikutaka suala la Prisca lijirudie tena hivyo nikamuacha palepale.
“Insider unashida gani?”
“Do you have a condoms?”
“No sina.”
“Siwezi kuendelea bila condom acha nikanunue chap then nakuja tuendelee.”
Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.
TO BE CONTINUED.