Hii mbona kama unaniweka "mission impossible...." Huko nyuma jamaa kama alisha hint kama ilichakazwaHaliwi mtu ... wa kula Iryn bado hajafungua uzi hapa JF
Hamna kituu....kwa update mpaka sasa hajaliwa mtu na haijaelezwa mahali popoteHii mbona kama unaniweka "mission impossible...." Huko nyuma jamaa kama alisha hint kama ilichakazwa
EPISODE 50
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Jumamosi jioni nilikwenda Ununio kwaajili ya kuonana na Mrs Pama na wakati niko njiani nilikuwa najiuliza maswali mengi sana.
“Ni nini ambacho Mrs. anataka kutoka kwangu? na muda huu niliwaza huenda likawa suala la Jane.”
Niliwasili Ununio na baada ya kupiga honi nilifunguliwa geti nikaingiza gari ndani nikapark. Nilisalimiana na jamaa mfanyakazi wa pale maana tunajuana na akanambia Mrs Pama yuko ndani. Nilikaribishwa ndani muda huu na baada ya kuingia nilikuta kuna watu wapo sebleni, nilisalimia na mimi nikakaa.
Baada ya dakika chache alitoka Mrs Pama na tukasalimiana na hii ndo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza tunazungumza na Mrs.
“Karibu sana Kijana uwe na amani, nashukuru sana kwa kutii wito wangu.”
“Ahsante sana mama nashukuru sana, hata hivyo hii sio mara yangu ya kwanza nakuja hapa. Mara nyingi nikija unakuwa haupo.”
“Nafikiri huwa tunapishana na pia mambo ya kazi.”
Na muda huu dada aliniletea juice kwenye kombe kubwa la glass.
“Dada nafikiri hii juice ipeleke pale nje kwenye hema tunatoka hapo. Kijana wangu nafikiri tutoke nje tukaongee maana hapa seblen kuna wageni itakuwa sio busara kuwatoa.” Mrs aliongea kwa sauti ya chini sana.
Tuliondoka seblen na tulikwenda nje kukaa garden na kulikuwa na hema pale. Na mida huu maongezi yaliendelea.
MRS. PAMA: “Mwanangu sitaki kukupotezea muda maana najua unamajukumu mengi sana.”
MIMI: “Usiwe na shaka na mimi mama.”
MRS. PAMA: “Kuna mambo nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee, maana nimepata taarifa wewe ndo ulikuwa kama rafiki yake sana enzi za uhai wake. Nimepata taarifa hata hapa nyumbani ulikuwa unakuja na pia nilikuona msibani kule Tabora. Niseme ahsante sana kwa yote.”
MIMI: “Ni kweli mama Mzee alikiwa kama rafiki kwangu na alikuwa kama Mzee kwangu maana alinifundisha sana kuhusu maisha. Na sisi tulifahamiana kupitia Uber, mimi ni dereva wa Uber. Mara ya kwanza kukutana na mzee alinipenda ndo nikawa nafanya naye kazi nyingi sana.”
MRS. PAMA: “Nilitaka kujua kama mzee kuna jambo lolote on-going alikuachia, maana nimejaribu kufuatilia nimeona mara ya mwisho alikuingizia kiasi cha Pesa milion 6. Hiki ni kiasi kikubwa sana kama kuna jambo lolote naomba niambie.”
MIMI: “Ni kweli mama hicho kiasi mzee alinitumia. Ila alinitumia baada ya kuongea naye na kumwambia biashara ya Uber imekuwa ngumu, pia aliniahidi angenitafutia kazi. Hiyo pesa alituma inisaidie pale nilikokwama bad news baada ya siku 3 nikapata taarifa za kifo chake.”
MRS. PAMA: “Haina shida nilitaka kujua kama kulikuwa na suala lolote linaendelea kati yenu. Na vipi kuhusu Jane mlifahamiana lini?”
MIMI: “Jane tumefahamiana toka mwaka jana.”
MRS. PAMA: “Ulikuwa unajua kama Mzee anajenga nyumba Mbweni?”
Niliona Mrs ameanza kuvuka mipaka maana maswali aliyoanza kuuliza ni kama anatafuta ushahidi.
MIMI: “Hapana mama hayo mimi sijui kwakweli.”
MRS. PAMA: “Okay kijana mimi ni hayo tu nilikuwa nayo niseme Ahsante sana kwa kuitikia wito, karibu tena hapa ni nyumbani.”
MIMI: “Ahsante mama pia poleni sana kwa msiba.”
Ni maongezi yaliyochukua kama nusu saa hivi na niliondoka pale Ununio. Ukweli sikujua dhumuni la Mrs Pama kuniita maana niliwaza kwa yale maswali ni kama alikuwa anatafuta jambo alijue. Na pia alionesha kutoridhika na majibu yangu, ni kama alikuwa anataka kumjua Jane vizuri ila mimi nilikuwa mgumu kuingilika.
Muda huu saa yangu ilikuwa inasoma saa 11 jioni hivyo nikaamua niende Mikocheni nikaonane na Maggy. Nilitumia kama dakika 40 kuwasili pale kwa Maggy na baada ya kupark gari niligonga mlango wake na akatoka kunifungulia mlango.
“Insider sikutegemea kama ungekuja leo maana wewe unamambo mengi sana.”
“Remember nilikwambia leo nakuja kwaajili yako, leo ukitaka hata tulale wote nitalala kwaajili yako.”
“Utaweza kulala wewe? Vipi yule mrembo wako anaendeleaje?”
“Yule ni Bossy wangu kama ulivyo wewe hapa, sema ndo unakimbia.”
“Insider leo sijapika kabisa ngoja nikajiandae ili tukitoka hapa tukapate na dinna kabisa afu tutoke out.”
Maggy aliingia ndani kujianda na aliniacha nimekaa seblen. Baada ya nusu saa alitoka akiwa amewaka sana na mimi kama kawaida yangu nikamsifia pale na yeye akaishia kufurahi tu.
Saa 1 usiku ndo tulitoka pale kwake na tuliamua kwenda Golden fork kupata dinna. Baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulitumia kama lisaa tukaondoka kuelekea samaki samaki.
Mapema sana tulikuwa tumewasili pale na tulizama ndani. Muda huu ulikuwa mapema sana hata watu walikuwa ni wa kuwahesabu. Tuliagiza vinywaji lakini mimi hii siku sikutaka kunywa kabisa maana nilikuwa na ratiba za kwenda church asubuhi ili nikatoe na shukrani.
Kwa upande wangu niliagiza heineken 3 tu lakini Maggy aliagiza backet ya Savanna. Hii siku tuliongea mambo mengi sana na Maggy na mimi nilimtakia mema kwenye maisha yake mapya pamoja na kazi yake mpya. Hata kunitoa out ilikuwa ni kama farewell na alikuwa anatarajia kuondoka jumatano kwenda Dodoma.
Saa 6 usiku wakati mziki umeanza kuchanganya tuliondoka na nilimpelea Maggy kwake na mimi nikarudi zangu home kulala. Kwa upande mwingine mama J alikuwa ameshazoea time table zangu za kurudi hata zile kelele zilikuwa hazipo tena.
******
Jumapili niliamka mapema sana ili niwai misa ya saa 1 asubuhi. Hii siku niliweza kutoa na sadaka zangu za shukran kwa mambo yote Mungu aliyonitendea. Kwa upande mwingine mama Junior ni mwalimu wa watoto “Sunday school”.
Baada ya kutoka church niliwasiliana na Mary nikampa ratiba za kwenda kwa Prisca. Na tulikubaliana twende saa 6 mchana tukamtembelee.
Saa 5 nilitoka home nikaenda kwa Zena kumpitia Mary na hao tukaanza safari ya kwenda Changanyikeni. Kwa upande mwingine sikumwambia Prisca kama nitakwenda na dada yake nilitaka iwe surprise kwake. Pia sikumwambia Mary kama tunakwenda Changanyikeni.
Tulivyofika Mlimani city Mary alisema tuingie ndani ili anunue vitu kwaajili ya mdogo wake na mimi niliona ni jambo jema. Baada ya kupark gari tulikwenda pale Shoppers tukafanya shopping ya vitu na mimi nilinunua mazaga kama mafuta, sukari, maziwa, kuku, nknk.
“Insider mbona sikuelewi haya yote kwaajili ya Prisca?”
“Wewe twende utaona.”
Tulitoka pale Mlimani city na tukaendelea na safari yetu na nilitumia njia ya geti maji huku unapita Coet. Sasa baada ya Mary kuona nakata kona kuelekea UDBS alianza kuongea,
“Insider Hall 4 si unakatia pale Contena? Au tunakwenda kuoanana naye wapi?”
“Wewe kuwa mpole utaona.”
Mary aliendelea kuwa na maswali na mimi nilikuwa kimya hata sikuwa namjibu ilibidi Mary awe mpole tu.
Baada ya kuwasili pale Changanyikeni kwa Prisca nilishuka nikafungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark. Tulipiga hodi na alitoka Eva kutufungulia mlango lakini alishangaa baada ya kumwona Mary.
EVA: “Ooh da Mary mambo sikutegemea kama ungekuja.”
MARY: “Ahsante sana nimeona nije nimsaprize huyo dogo maana hataki kurudi home.”
Muda huu tulikaa kwenye coach na Prisca alitoka chumbani akiwa amejifunga khanga shingoni, na alvyomwona Mary alishtuka. Na mimi nilimsogelea nika-mhug na nikamkiss mdomoni.
Kwa upande mwingine Prisca tumbo lake lilikuwa la kawaida tu kwa mtu ambaye hana experince ni ngumu kumtambua kama anamimba.
PRISCA: “Karibuni, da Mary nimekumiss.”
MARY: “Unajua Unazingua home kila mtu anawasiwasi na wewe unashida gani?”
PRISCA: “Si unajua na mitihani? afu mimi nishakuwa mtu mzima sio kunifuatilia kama Ivy.”
MARY: “Mzee ndo anakuulizia shida unashindwa hata kuja kusalimia, unajua Ivy amekumiss sana?”
PRISCA: “I know hata hapa nimetoka kuongea naye kupitia simu ya mama.”
EVA: “Ngoja mimi nikawapikie chakula wageni zangu.”
MARY: “Acha tu tutatoka kula lunch pamoja. Kwahiyo ndo umeamua kupanga kabisa, Insider remember I told you that day.”
MIMI: “Eva naomba tupishe tuna mazungumzo kidogo hapa Seblen unaweza kwenda hata chumbani, samahani.”
EVA: “Kuwa na amani shem.”
MIMI: “Prisca nimeamua kuja na Mary sababu hali uliyonayo kwasasa huna haja ya kuendelea kuficha huyu ni dada yako, pia ndo msaada wako na…..” Mary alinikatisha maongezi yangu,
MARY: “Mbona siwaelewi kuficha nini?”
MIMI: “Mary subiri nimalize kuongea kwanza sawa?, ipo hivi Prisca unavyomwona hapo ana ujauzito wangu wa miezi 2. Na aliamua kuondoka nyumbani ili kuficha hii siri mpaka atakapomaliza mitihani ndo angewapa taarifa. Kwakuwa wewe ni mtu muhimu sana kama shem wangu nimeamua kukupa hii siri mapema, ila usithubutu kusema chochote mpaka aseme mwenyewe.”
MARY: “Aisee kumbe, hongera Prisca nafikiri hata home watakua surprised na taarifa hii maana nilijua hu……”
PRISCA: “Da Mary stop no need to talk about this.”
MIMI: “You guys mnahide nini mbona siwaelewi?”
MARY: “Nothing, Insider umempa mdogo wangu mimba unampango gani naye?”
MIMI: “Subiri arudi home itafahamika tu hapohapo.”
MARY: “Prisca me sidhani kama ni shida hii as long as Insider amekubali mimba ni yake unaweza kurudi home na ukawaambia wazazi.”
PRISCA: “I know subiri kwanza nimalizane na UE, haya mengine yataendelea.”
MARY: “Guys mimi sina tatizo nimefurahi kusikia hili ila Insider nakuomba usimchezee Prisca, remember I told you this before.”
MIMI: “I remember twende tukale lunch, mama kijacho wangu anasikia njaa hajala mchana.”
MARY: “Sawa Baba kijacho, Prisca mshtue Eva ili tuondoke.”
Tuliondoka pale na tulikwenda kupata lunch pale “Down Hill” restaurant ambayo ipo opposite na Mlimani City.
Wakati tumefika pale tukisubiri chakula nilipigiwa simu na Mama Janeth na alikuwa anaomba niende kwake kama nina nafasi. Alisema ana wageni hivyo anahitaji niwapeleke Airport wanatakiwa kuondoka na ndege ya saa 12 jioni. Kwa upande wangu sikuweza kumkatalia na nikamwambia nitakwenda kwake ontime.
Tulipata lunch ya pamoja pale huku story zikitawala na muda huu Mary alikuwa busy sana akiongea na Prisca kuhusu maendeleo yake. Na mimi nilikuwa busy na Eva tukipiga story na hii siku niliweza kuchukua namba yake ya simu.
Saa 9 mchana ilitukutia pale na mimi niliwaaga nimepata emergence natakiwa kwenda Masaki, kwa upande mwingine Mary alisema anatashinda na Prisca navyorudi nitampitia ili tuondoke wote.
EVA: “Shem unamambo mengi wewe nakupa nyota zako.”
MIMI: “Hamna Eva nikilala mtoto atakuja kukosa pampass.”
EVA: “Sawa shem wewe wahi tu.”
Na mimi nilifanya malipo nikaondoka maeneo yale na break yangu ilikuwa Masaki kwenye nyumba mpya ya Mama Janeth. Nilifunguliwa geti na nikaingiaza gari ndani na niliwaona mama Janeth na wageni zake wakitoka ndani.
“Mwanangu za jumapili naomba uwapeleke wageni wangu hawa Airport, afu unavyorudi kuna mtu atakupa samaki wabichi nakupa namba ya simu muwasiliane.”
“Sawa mama haina shida.”
Na mimi muda huu nilikuwa ninasaidia kuyaweka mabag kwenye gari kwaajili ya kuondoka maeneo yale.
Baada ya dakika 5 tuliondoka Masaki na tulianza safari ya kwenda AirPort, uzuri kwa Jumapili hakunaga foleni kabisa hivyo ndani ya nusu saa nilikuwa nimewasili pale tayari JNIA. Nilipark gari vizuri pale Terminal 3 na niliwasaidia kubeba mabag kwenye kibaiskeli na tukaingia ndani.
Baada ya kuwapeleka ndani niliwaaga na mimi nikafanya mawasiliano na mtu wa samaki na alinambia nisogee mpaka Ferry sokoni ndo tutaonana pale.
Baada ya kuwasili pale Ferry jamaa alinikabidhi samaki wakiwa kwenye ndoo dogo ya lita 10 na mimi nikaondoka kurudi Masaki.
Ndani ya lisaa nilikuwa nimekamilisha mambo yote na muda huu nilikuwa nimerudi tayari kwa mama Janeth. Nilimkabidhi ndoo yake ya samaki na kwa upande wake alikuwa kafurahi sana, maana alishangaa nimemaliza majukumu yangu kwa muda mfupi sana.
“Mwanangu itabidi unipeleke pale Saloon na baada ya hapo tutafute sehemu tukae tuzungumze maana bado sikujui vizuri.”
“Sawa mama haina shida kwasasa sina chakufanya.”
Mama Janeth aliingia ndani na Ilimchukua kama dakika 5 kutoka na tukaanza safari ya kwenda Saloon. Hatukutumia muda mrefu na ndani ya dakika 5 tulikuwa maeneo yale na alikwenda ndani.
Baada ya dakika 30 Mama Janeth alitoka akiwa ameongozana na Sumaiya walikuwa wanaongea. Walikuja mpaka usawa wa gari yangu na Mama Janeth akaingia ndani, siku hii Sumaiya hakuonesha sign yoyote zaidi ya kunipa salamu tu.
“Unaonaje tukienda maeneo ya beach tukapata na upepo wa Bahari?”
“Sawa haina shida kwahiyo twende Cocobeach.?”
“Lakini tutakwenda ule upande mwingine wa hotelin.”
Tulitoka pale Saloon tukaelekea Beach na baada ya kuwasili pale tulitafuta sehemu nzuri tukakaa. Kama mnavyojua Watanzania wakiona Mzungu wanavyokimbilia chap. Baada ya dada kuja kutusikiliza mimi niliagiza heineken 3, kwa upande wa Mama Janeth aliagiza Kilimanjaro lager 3 na Pweza samaki akasema akatwe katwe vipande.
Kwa upande mwingine Mama Janeth alishangaa sana kuona natumia beer ni kama hakujutia kampani yangu. Kwa ambao ham-wajui wazungu hawa watu hawapendagi unafiki kama wewe ni mnywaji jiachie usianze kujifichaficha, kama wewe unatumia marijuana wewe mwambie hawana noma.
Dada alianza kwanza kutulutea vinywaji na tukaanza kunywa pale taratibu.
MIMI: “Mama wewe ni mpenzi wa local beers?”
MA’ JANETH: “I like hii mnaita Kilimanjaro ndo beer yangu pendwa.”
MIMI: “Mimi hii ndo beer yangu pendwa.”
MA’ JANETH: “Heineken sijawahi kuipenda kwakweli. Hivi mwanangu una elimu gani?”
MIMI: “Mama mimi nina bachelor ya masuala ya Uchumi.”
MA’ JANETH: “Ooh kumbe tuna Mchumi kwenye kampuni yetu bhasi naamini tutaanza kupata supernormal profit.”
MIMI: “Kwa hili hata msijali nina mpango wa kuandaa budget ya kampuni kwa mwaka mzima, pia ninaweza kuandaa Financial statements, na masuala mbalimbali ya kodi.”
MA’ JANETH: “Kama hivi unaweza kufanya nafikiri tukupe haya majukumu wewe sababu namlipa consultant pesa nyingi sana kwa mwaka. Tukikupa haya majukumu wewe itasaidia kupunguza gharama na tutaangalia namna ya kukuongezea mshahara. Nitaongea na Iryn nione anasemaje kuhusu hili jambo.”
Kwa upande wangu nilijua Iryn hawezi kunichomolea kabisa kwenye hili deal. Pia mama Janeth aliniona smart sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa mipango pale, alinikubali sana.
Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu na nilikuwa bado niko na Mama Janeth pale tukiendelea kunywa na tukipiga story. Na mimi nilipokea simu yake, na toka jumanne nipeleke document za mizigo tulikuwa hatujaonana hata kwake sikwenda kabisa.
MIMI: “Hello Bossy.”
IRYN: “Insider Mama Janeth alikuwa anakuulizia vipi ulionana naye?”
MIMI: “Yes na bado niko naye hapa.”
IRYN: “Sawa unategemea kutoka sangapi huko?”
MIMI: “Sijajua lakini kwenye saa 2 hivi naweza nikatoka.”
IRYN: “Bhasi ukiwa unatoka nambie nataka unipitie hapa Palm Village au una ratiba zako?”
MIMI: “Hapana sina nitakupitia navyorudi.”
IRYN: “Ok” na akakata simu pale.
Tuliendelea kukaa na mama Janeth mpaka saa 2 usiku ndo tuliondoka maeneo yale na nilimpeleka kwanza kwake.
Wakati natoka Masaki nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea, na nilipiga kwa mara nyingine tena lakini hakupokea. Wakati nimefika Msasani Ubalozi wa Marekani alinipigia simu na nikamwambia nakaribia kufika alipo na yeye alisema nikifika nimjulishe.
Niliplan nikionana na Iryn niongee naye ili nijue tatizo ni nini mpaka kanibadilikia vile na pia niliwaza nianze kumjasusi kuhusu sakata la Muajemi.
Ndani ya dakika 10 nilikuwa pale Palm village na nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, aliuliza nimepark wapi gari na mimi nikamuelekeza, akanambia anakuja.
Nilisubiri pale kwa dakika 30 lakini hakuna dalili za mtu kutokea nikawaza nimpigie simu tena lakini nikasita. Baada ya dakika 5 alinipigia simu akanambia nikamfate upande wa parking za ndani kabisa ground floor.
Ilibidi nitoke pale niingie ndani kwenye parking za wakazi wa pale. Baada ya kuingiza gari ndani nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, akanambia anashuka yuko kwenye lift.
Nilishtuka kumuona Iryn kaongozana na mshikaji wakija usawa wangu na walisimama. Muda huu macho yangu yalishuhudia wakikumbatiana na jamaa live na wakiwa zero distance.
Moyo wangu ulipiga paaah!, Moyo uliniuma sana, niliumia sana jamani. Hakuna siku ambayo niliumia kwenye maisha yangu kama hii na nilipatwa na hasira sana.
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
TO BE CONTINUED
EPISODE 50
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Jumamosi jioni nilikwenda Ununio kwaajili ya kuonana na Mrs Pama na wakati niko njiani nilikuwa najiuliza maswali mengi sana.
“Ni nini ambacho Mrs. anataka kutoka kwangu? na muda huu niliwaza huenda likawa suala la Jane.”
Niliwasili Ununio na baada ya kupiga honi nilifunguliwa geti nikaingiza gari ndani nikapark. Nilisalimiana na jamaa mfanyakazi wa pale maana tunajuana na akanambia Mrs Pama yuko ndani. Nilikaribishwa ndani muda huu na baada ya kuingia nilikuta kuna watu wapo sebleni, nilisalimia na mimi nikakaa.
Baada ya dakika chache alitoka Mrs Pama na tukasalimiana na hii ndo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza tunazungumza na Mrs.
“Karibu sana Kijana uwe na amani, nashukuru sana kwa kutii wito wangu.”
“Ahsante sana mama nashukuru sana, hata hivyo hii sio mara yangu ya kwanza nakuja hapa. Mara nyingi nikija unakuwa haupo.”
“Nafikiri huwa tunapishana na pia mambo ya kazi.”
Na muda huu dada aliniletea juice kwenye kombe kubwa la glass.
“Dada nafikiri hii juice ipeleke pale nje kwenye hema tunatoka hapo. Kijana wangu nafikiri tutoke nje tukaongee maana hapa seblen kuna wageni itakuwa sio busara kuwatoa.” Mrs aliongea kwa sauti ya chini sana.
Tuliondoka seblen na tulikwenda nje kukaa garden na kulikuwa na hema pale. Na mida huu maongezi yaliendelea.
MRS. PAMA: “Mwanangu sitaki kukupotezea muda maana najua unamajukumu mengi sana.”
MIMI: “Usiwe na shaka na mimi mama.”
MRS. PAMA: “Kuna mambo nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee, maana nimepata taarifa wewe ndo ulikuwa kama rafiki yake sana enzi za uhai wake. Nimepata taarifa hata hapa nyumbani ulikuwa unakuja na pia nilikuona msibani kule Tabora. Niseme ahsante sana kwa yote.”
MIMI: “Ni kweli mama Mzee alikiwa kama rafiki kwangu na alikuwa kama Mzee kwangu maana alinifundisha sana kuhusu maisha. Na sisi tulifahamiana kupitia Uber, mimi ni dereva wa Uber. Mara ya kwanza kukutana na mzee alinipenda ndo nikawa nafanya naye kazi nyingi sana.”
MRS. PAMA: “Nilitaka kujua kama mzee kuna jambo lolote on-going alikuachia, maana nimejaribu kufuatilia nimeona mara ya mwisho alikuingizia kiasi cha Pesa milion 6. Hiki ni kiasi kikubwa sana kama kuna jambo lolote naomba niambie.”
MIMI: “Ni kweli mama hicho kiasi mzee alinitumia. Ila alinitumia baada ya kuongea naye na kumwambia biashara ya Uber imekuwa ngumu, pia aliniahidi angenitafutia kazi. Hiyo pesa alituma inisaidie pale nilikokwama bad news baada ya siku 3 nikapata taarifa za kifo chake.”
MRS. PAMA: “Haina shida nilitaka kujua kama kulikuwa na suala lolote linaendelea kati yenu. Na vipi kuhusu Jane mlifahamiana lini?”
MIMI: “Jane tumefahamiana toka mwaka jana.”
MRS. PAMA: “Ulikuwa unajua kama Mzee anajenga nyumba Mbweni?”
Niliona Mrs ameanza kuvuka mipaka maana maswali aliyoanza kuuliza ni kama anatafuta ushahidi.
MIMI: “Hapana mama hayo mimi sijui kwakweli.”
MRS. PAMA: “Okay kijana mimi ni hayo tu nilikuwa nayo niseme Ahsante sana kwa kuitikia wito, karibu tena hapa ni nyumbani.”
MIMI: “Ahsante mama pia poleni sana kwa msiba.”
Ni maongezi yaliyochukua kama nusu saa hivi na niliondoka pale Ununio. Ukweli sikujua dhumuni la Mrs Pama kuniita maana niliwaza kwa yale maswali ni kama alikuwa anatafuta jambo alijue. Na pia alionesha kutoridhika na majibu yangu, ni kama alikuwa anataka kumjua Jane vizuri ila mimi nilikuwa mgumu kuingilika.
Muda huu saa yangu ilikuwa inasoma saa 11 jioni hivyo nikaamua niende Mikocheni nikaonane na Maggy. Nilitumia kama dakika 40 kuwasili pale kwa Maggy na baada ya kupark gari niligonga mlango wake na akatoka kunifungulia mlango.
“Insider sikutegemea kama ungekuja leo maana wewe unamambo mengi sana.”
“Remember nilikwambia leo nakuja kwaajili yako, leo ukitaka hata tulale wote nitalala kwaajili yako.”
“Utaweza kulala wewe? Vipi yule mrembo wako anaendeleaje?”
“Yule ni Bossy wangu kama ulivyo wewe hapa, sema ndo unakimbia.”
“Insider leo sijapika kabisa ngoja nikajiandae ili tukitoka hapa tukapate na dinna kabisa afu tutoke out.”
Maggy aliingia ndani kujianda na aliniacha nimekaa seblen. Baada ya nusu saa alitoka akiwa amewaka sana na mimi kama kawaida yangu nikamsifia pale na yeye akaishia kufurahi tu.
Saa 1 usiku ndo tulitoka pale kwake na tuliamua kwenda Golden fork kupata dinna. Baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulitumia kama lisaa tukaondoka kuelekea samaki samaki.
Mapema sana tulikuwa tumewasili pale na tulizama ndani. Muda huu ulikuwa mapema sana hata watu walikuwa ni wa kuwahesabu. Tuliagiza vinywaji lakini mimi hii siku sikutaka kunywa kabisa maana nilikuwa na ratiba za kwenda church asubuhi ili nikatoe na shukrani.
Kwa upande wangu niliagiza heineken 3 tu lakini Maggy aliagiza backet ya Savanna. Hii siku tuliongea mambo mengi sana na Maggy na mimi nilimtakia mema kwenye maisha yake mapya pamoja na kazi yake mpya. Hata kunitoa out ilikuwa ni kama farewell na alikuwa anatarajia kuondoka jumatano kwenda Dodoma.
Saa 6 usiku wakati mziki umeanza kuchanganya tuliondoka na nilimpelea Maggy kwake na mimi nikarudi zangu home kulala. Kwa upande mwingine mama J alikuwa ameshazoea time table zangu za kurudi hata zile kelele zilikuwa hazipo tena.
******
Jumapili niliamka mapema sana ili niwai misa ya saa 1 asubuhi. Hii siku niliweza kutoa na sadaka zangu za shukran kwa mambo yote Mungu aliyonitendea. Kwa upande mwingine mama Junior ni mwalimu wa watoto “Sunday school”.
Baada ya kutoka church niliwasiliana na Mary nikampa ratiba za kwenda kwa Prisca. Na tulikubaliana twende saa 6 mchana tukamtembelee.
Saa 5 nilitoka home nikaenda kwa Zena kumpitia Mary na hao tukaanza safari ya kwenda Changanyikeni. Kwa upande mwingine sikumwambia Prisca kama nitakwenda na dada yake nilitaka iwe surprise kwake. Pia sikumwambia Mary kama tunakwenda Changanyikeni.
Tulivyofika Mlimani city Mary alisema tuingie ndani ili anunue vitu kwaajili ya mdogo wake na mimi niliona ni jambo jema. Baada ya kupark gari tulikwenda pale Shoppers tukafanya shopping ya vitu na mimi nilinunua mazaga kama mafuta, sukari, maziwa, kuku, nknk.
“Insider mbona sikuelewi haya yote kwaajili ya Prisca?”
“Wewe twende utaona.”
Tulitoka pale Mlimani city na tukaendelea na safari yetu na nilitumia njia ya geti maji huku unapita Coet. Sasa baada ya Mary kuona nakata kona kuelekea UDBS alianza kuongea,
“Insider Hall 4 si unakatia pale Contena? Au tunakwenda kuoanana naye wapi?”
“Wewe kuwa mpole utaona.”
Mary aliendelea kuwa na maswali na mimi nilikuwa kimya hata sikuwa namjibu ilibidi Mary awe mpole tu.
Baada ya kuwasili pale Changanyikeni kwa Prisca nilishuka nikafungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark. Tulipiga hodi na alitoka Eva kutufungulia mlango lakini alishangaa baada ya kumwona Mary.
EVA: “Ooh da Mary mambo sikutegemea kama ungekuja.”
MARY: “Ahsante sana nimeona nije nimsaprize huyo dogo maana hataki kurudi home.”
Muda huu tulikaa kwenye coach na Prisca alitoka chumbani akiwa amejifunga khanga shingoni, na alvyomwona Mary alishtuka. Na mimi nilimsogelea nika-mhug na nikamkiss mdomoni.
Kwa upande mwingine Prisca tumbo lake lilikuwa la kawaida tu kwa mtu ambaye hana experince ni ngumu kumtambua kama anamimba.
PRISCA: “Karibuni, da Mary nimekumiss.”
MARY: “Unajua Unazingua home kila mtu anawasiwasi na wewe unashida gani?”
PRISCA: “Si unajua na mitihani? afu mimi nishakuwa mtu mzima sio kunifuatilia kama Ivy.”
MARY: “Mzee ndo anakuulizia shida unashindwa hata kuja kusalimia, unajua Ivy amekumiss sana?”
PRISCA: “I know hata hapa nimetoka kuongea naye kupitia simu ya mama.”
EVA: “Ngoja mimi nikawapikie chakula wageni zangu.”
MARY: “Acha tu tutatoka kula lunch pamoja. Kwahiyo ndo umeamua kupanga kabisa, Insider remember I told you that day.”
MIMI: “Eva naomba tupishe tuna mazungumzo kidogo hapa Seblen unaweza kwenda hata chumbani, samahani.”
EVA: “Kuwa na amani shem.”
MIMI: “Prisca nimeamua kuja na Mary sababu hali uliyonayo kwasasa huna haja ya kuendelea kuficha huyu ni dada yako, pia ndo msaada wako na…..” Mary alinikatisha maongezi yangu,
MARY: “Mbona siwaelewi kuficha nini?”
MIMI: “Mary subiri nimalize kuongea kwanza sawa?, ipo hivi Prisca unavyomwona hapo ana ujauzito wangu wa miezi 2. Na aliamua kuondoka nyumbani ili kuficha hii siri mpaka atakapomaliza mitihani ndo angewapa taarifa. Kwakuwa wewe ni mtu muhimu sana kama shem wangu nimeamua kukupa hii siri mapema, ila usithubutu kusema chochote mpaka aseme mwenyewe.”
MARY: “Aisee kumbe, hongera Prisca nafikiri hata home watakua surprised na taarifa hii maana nilijua hu……”
PRISCA: “Da Mary stop no need to talk about this.”
MIMI: “You guys mnahide nini mbona siwaelewi?”
MARY: “Nothing, Insider umempa mdogo wangu mimba unampango gani naye?”
MIMI: “Subiri arudi home itafahamika tu hapohapo.”
MARY: “Prisca me sidhani kama ni shida hii as long as Insider amekubali mimba ni yake unaweza kurudi home na ukawaambia wazazi.”
PRISCA: “I know subiri kwanza nimalizane na UE, haya mengine yataendelea.”
MARY: “Guys mimi sina tatizo nimefurahi kusikia hili ila Insider nakuomba usimchezee Prisca, remember I told you this before.”
MIMI: “I remember twende tukale lunch, mama kijacho wangu anasikia njaa hajala mchana.”
MARY: “Sawa Baba kijacho, Prisca mshtue Eva ili tuondoke.”
Tuliondoka pale na tulikwenda kupata lunch pale “Down Hill” restaurant ambayo ipo opposite na Mlimani City.
Wakati tumefika pale tukisubiri chakula nilipigiwa simu na Mama Janeth na alikuwa anaomba niende kwake kama nina nafasi. Alisema ana wageni hivyo anahitaji niwapeleke Airport wanatakiwa kuondoka na ndege ya saa 12 jioni. Kwa upande wangu sikuweza kumkatalia na nikamwambia nitakwenda kwake ontime.
Tulipata lunch ya pamoja pale huku story zikitawala na muda huu Mary alikuwa busy sana akiongea na Prisca kuhusu maendeleo yake. Na mimi nilikuwa busy na Eva tukipiga story na hii siku niliweza kuchukua namba yake ya simu.
Saa 9 mchana ilitukutia pale na mimi niliwaaga nimepata emergence natakiwa kwenda Masaki, kwa upande mwingine Mary alisema anatashinda na Prisca navyorudi nitampitia ili tuondoke wote.
EVA: “Shem unamambo mengi wewe nakupa nyota zako.”
MIMI: “Hamna Eva nikilala mtoto atakuja kukosa pampass.”
EVA: “Sawa shem wewe wahi tu.”
Na mimi nilifanya malipo nikaondoka maeneo yale na break yangu ilikuwa Masaki kwenye nyumba mpya ya Mama Janeth. Nilifunguliwa geti na nikaingiaza gari ndani na niliwaona mama Janeth na wageni zake wakitoka ndani.
“Mwanangu za jumapili naomba uwapeleke wageni wangu hawa Airport, afu unavyorudi kuna mtu atakupa samaki wabichi nakupa namba ya simu muwasiliane.”
“Sawa mama haina shida.”
Na mimi muda huu nilikuwa ninasaidia kuyaweka mabag kwenye gari kwaajili ya kuondoka maeneo yale.
Baada ya dakika 5 tuliondoka Masaki na tulianza safari ya kwenda AirPort, uzuri kwa Jumapili hakunaga foleni kabisa hivyo ndani ya nusu saa nilikuwa nimewasili pale tayari JNIA. Nilipark gari vizuri pale Terminal 3 na niliwasaidia kubeba mabag kwenye kibaiskeli na tukaingia ndani.
Baada ya kuwapeleka ndani niliwaaga na mimi nikafanya mawasiliano na mtu wa samaki na alinambia nisogee mpaka Ferry sokoni ndo tutaonana pale.
Baada ya kuwasili pale Ferry jamaa alinikabidhi samaki wakiwa kwenye ndoo dogo ya lita 10 na mimi nikaondoka kurudi Masaki.
Ndani ya lisaa nilikuwa nimekamilisha mambo yote na muda huu nilikuwa nimerudi tayari kwa mama Janeth. Nilimkabidhi ndoo yake ya samaki na kwa upande wake alikuwa kafurahi sana, maana alishangaa nimemaliza majukumu yangu kwa muda mfupi sana.
“Mwanangu itabidi unipeleke pale Saloon na baada ya hapo tutafute sehemu tukae tuzungumze maana bado sikujui vizuri.”
“Sawa mama haina shida kwasasa sina chakufanya.”
Mama Janeth aliingia ndani na Ilimchukua kama dakika 5 kutoka na tukaanza safari ya kwenda Saloon. Hatukutumia muda mrefu na ndani ya dakika 5 tulikuwa maeneo yale na alikwenda ndani.
Baada ya dakika 30 Mama Janeth alitoka akiwa ameongozana na Sumaiya walikuwa wanaongea. Walikuja mpaka usawa wa gari yangu na Mama Janeth akaingia ndani, siku hii Sumaiya hakuonesha sign yoyote zaidi ya kunipa salamu tu.
“Unaonaje tukienda maeneo ya beach tukapata na upepo wa Bahari?”
“Sawa haina shida kwahiyo twende Cocobeach.?”
“Lakini tutakwenda ule upande mwingine wa hotelin.”
Tulitoka pale Saloon tukaelekea Beach na baada ya kuwasili pale tulitafuta sehemu nzuri tukakaa. Kama mnavyojua Watanzania wakiona Mzungu wanavyokimbilia chap. Baada ya dada kuja kutusikiliza mimi niliagiza heineken 3, kwa upande wa Mama Janeth aliagiza Kilimanjaro lager 3 na Pweza samaki akasema akatwe katwe vipande.
Kwa upande mwingine Mama Janeth alishangaa sana kuona natumia beer ni kama hakujutia kampani yangu. Kwa ambao ham-wajui wazungu hawa watu hawapendagi unafiki kama wewe ni mnywaji jiachie usianze kujifichaficha, kama wewe unatumia marijuana wewe mwambie hawana noma.
Dada alianza kwanza kutulutea vinywaji na tukaanza kunywa pale taratibu.
MIMI: “Mama wewe ni mpenzi wa local beers?”
MA’ JANETH: “I like hii mnaita Kilimanjaro ndo beer yangu pendwa.”
MIMI: “Mimi hii ndo beer yangu pendwa.”
MA’ JANETH: “Heineken sijawahi kuipenda kwakweli. Hivi mwanangu una elimu gani?”
MIMI: “Mama mimi nina bachelor ya masuala ya Uchumi.”
MA’ JANETH: “Ooh kumbe tuna Mchumi kwenye kampuni yetu bhasi naamini tutaanza kupata supernormal profit.”
MIMI: “Kwa hili hata msijali nina mpango wa kuandaa budget ya kampuni kwa mwaka mzima, pia ninaweza kuandaa Financial statements, na masuala mbalimbali ya kodi.”
MA’ JANETH: “Kama hivi unaweza kufanya nafikiri tukupe haya majukumu wewe sababu namlipa consultant pesa nyingi sana kwa mwaka. Tukikupa haya majukumu wewe itasaidia kupunguza gharama na tutaangalia namna ya kukuongezea mshahara. Nitaongea na Iryn nione anasemaje kuhusu hili jambo.”
Kwa upande wangu nilijua Iryn hawezi kunichomolea kabisa kwenye hili deal. Pia mama Janeth aliniona smart sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa mipango pale, alinikubali sana.
Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu na nilikuwa bado niko na Mama Janeth pale tukiendelea kunywa na tukipiga story. Na mimi nilipokea simu yake, na toka jumanne nipeleke document za mizigo tulikuwa hatujaonana hata kwake sikwenda kabisa.
MIMI: “Hello Bossy.”
IRYN: “Insider Mama Janeth alikuwa anakuulizia vipi ulionana naye?”
MIMI: “Yes na bado niko naye hapa.”
IRYN: “Sawa unategemea kutoka sangapi huko?”
MIMI: “Sijajua lakini kwenye saa 2 hivi naweza nikatoka.”
IRYN: “Bhasi ukiwa unatoka nambie nataka unipitie hapa Palm Village au una ratiba zako?”
MIMI: “Hapana sina nitakupitia navyorudi.”
IRYN: “Ok” na akakata simu pale.
Tuliendelea kukaa na mama Janeth mpaka saa 2 usiku ndo tuliondoka maeneo yale na nilimpeleka kwanza kwake.
Wakati natoka Masaki nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea, na nilipiga kwa mara nyingine tena lakini hakupokea. Wakati nimefika Msasani Ubalozi wa Marekani alinipigia simu na nikamwambia nakaribia kufika alipo na yeye alisema nikifika nimjulishe.
Niliplan nikionana na Iryn niongee naye ili nijue tatizo ni nini mpaka kanibadilikia vile na pia niliwaza nianze kumjasusi kuhusu sakata la Muajemi.
Ndani ya dakika 10 nilikuwa pale Palm village na nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, aliuliza nimepark wapi gari na mimi nikamuelekeza, akanambia anakuja.
Nilisubiri pale kwa dakika 30 lakini hakuna dalili za mtu kutokea nikawaza nimpigie simu tena lakini nikasita. Baada ya dakika 5 alinipigia simu akanambia nikamfate upande wa parking za ndani kabisa ground floor.
Ilibidi nitoke pale niingie ndani kwenye parking za wakazi wa pale. Baada ya kuingiza gari ndani nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, akanambia anashuka yuko kwenye lift.
Nilishtuka kumuona Iryn kaongozana na mshikaji wakija usawa wangu na walisimama. Muda huu macho yangu yalishuhudia wakikumbatiana na jamaa live na wakiwa zero distance.
Moyo wangu ulipiga paaah!, Moyo uliniuma sana, niliumia sana jamani. Hakuna siku ambayo niliumia kwenye maisha yangu kama hii na nilipatwa na hasira sana.
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
TO BE CONTINUED
Na mimi jamani naomba kuitwa dear
Kwamba jamaa katoka kupiga mzigo na akaja nae kabisa jamaa umuone ili roho ikuume kabisa nawe ujiongeze labda utaomba mzigoEPISODE 50
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Jumamosi jioni nilikwenda Ununio kwaajili ya kuonana na Mrs Pama na wakati niko njiani nilikuwa najiuliza maswali mengi sana.
“Ni nini ambacho Mrs. anataka kutoka kwangu? na muda huu niliwaza huenda likawa suala la Jane.”
Niliwasili Ununio na baada ya kupiga honi nilifunguliwa geti nikaingiza gari ndani nikapark. Nilisalimiana na jamaa mfanyakazi wa pale maana tunajuana na akanambia Mrs Pama yuko ndani. Nilikaribishwa ndani muda huu na baada ya kuingia nilikuta kuna watu wapo sebleni, nilisalimia na mimi nikakaa.
Baada ya dakika chache alitoka Mrs Pama na tukasalimiana na hii ndo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza tunazungumza na Mrs.
“Karibu sana Kijana uwe na amani, nashukuru sana kwa kutii wito wangu.”
“Ahsante sana mama nashukuru sana, hata hivyo hii sio mara yangu ya kwanza nakuja hapa. Mara nyingi nikija unakuwa haupo.”
“Nafikiri huwa tunapishana na pia mambo ya kazi.”
Na muda huu dada aliniletea juice kwenye kombe kubwa la glass.
“Dada nafikiri hii juice ipeleke pale nje kwenye hema tunatoka hapo. Kijana wangu nafikiri tutoke nje tukaongee maana hapa seblen kuna wageni itakuwa sio busara kuwatoa.” Mrs aliongea kwa sauti ya chini sana.
Tuliondoka seblen na tulikwenda nje kukaa garden na kulikuwa na hema pale. Na mida huu maongezi yaliendelea.
MRS. PAMA: “Mwanangu sitaki kukupotezea muda maana najua unamajukumu mengi sana.”
MIMI: “Usiwe na shaka na mimi mama.”
MRS. PAMA: “Kuna mambo nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee, maana nimepata taarifa wewe ndo ulikuwa kama rafiki yake sana enzi za uhai wake. Nimepata taarifa hata hapa nyumbani ulikuwa unakuja na pia nilikuona msibani kule Tabora. Niseme ahsante sana kwa yote.”
MIMI: “Ni kweli mama Mzee alikiwa kama rafiki kwangu na alikuwa kama Mzee kwangu maana alinifundisha sana kuhusu maisha. Na sisi tulifahamiana kupitia Uber, mimi ni dereva wa Uber. Mara ya kwanza kukutana na mzee alinipenda ndo nikawa nafanya naye kazi nyingi sana.”
MRS. PAMA: “Nilitaka kujua kama mzee kuna jambo lolote on-going alikuachia, maana nimejaribu kufuatilia nimeona mara ya mwisho alikuingizia kiasi cha Pesa milion 6. Hiki ni kiasi kikubwa sana kama kuna jambo lolote naomba niambie.”
MIMI: “Ni kweli mama hicho kiasi mzee alinitumia. Ila alinitumia baada ya kuongea naye na kumwambia biashara ya Uber imekuwa ngumu, pia aliniahidi angenitafutia kazi. Hiyo pesa alituma inisaidie pale nilikokwama bad news baada ya siku 3 nikapata taarifa za kifo chake.”
MRS. PAMA: “Haina shida nilitaka kujua kama kulikuwa na suala lolote linaendelea kati yenu. Na vipi kuhusu Jane mlifahamiana lini?”
MIMI: “Jane tumefahamiana toka mwaka jana.”
MRS. PAMA: “Ulikuwa unajua kama Mzee anajenga nyumba Mbweni?”
Niliona Mrs ameanza kuvuka mipaka maana maswali aliyoanza kuuliza ni kama anatafuta ushahidi.
MIMI: “Hapana mama hayo mimi sijui kwakweli.”
MRS. PAMA: “Okay kijana mimi ni hayo tu nilikuwa nayo niseme Ahsante sana kwa kuitikia wito, karibu tena hapa ni nyumbani.”
MIMI: “Ahsante mama pia poleni sana kwa msiba.”
Ni maongezi yaliyochukua kama nusu saa hivi na niliondoka pale Ununio. Ukweli sikujua dhumuni la Mrs Pama kuniita maana niliwaza kwa yale maswali ni kama alikuwa anatafuta jambo alijue. Na pia alionesha kutoridhika na majibu yangu, ni kama alikuwa anataka kumjua Jane vizuri ila mimi nilikuwa mgumu kuingilika.
Muda huu saa yangu ilikuwa inasoma saa 11 jioni hivyo nikaamua niende Mikocheni nikaonane na Maggy. Nilitumia kama dakika 40 kuwasili pale kwa Maggy na baada ya kupark gari niligonga mlango wake na akatoka kunifungulia mlango.
“Insider sikutegemea kama ungekuja leo maana wewe unamambo mengi sana.”
“Remember nilikwambia leo nakuja kwaajili yako, leo ukitaka hata tulale wote nitalala kwaajili yako.”
“Utaweza kulala wewe? Vipi yule mrembo wako anaendeleaje?”
“Yule ni Bossy wangu kama ulivyo wewe hapa, sema ndo unakimbia.”
“Insider leo sijapika kabisa ngoja nikajiandae ili tukitoka hapa tukapate na dinna kabisa afu tutoke out.”
Maggy aliingia ndani kujianda na aliniacha nimekaa seblen. Baada ya nusu saa alitoka akiwa amewaka sana na mimi kama kawaida yangu nikamsifia pale na yeye akaishia kufurahi tu.
Saa 1 usiku ndo tulitoka pale kwake na tuliamua kwenda Golden fork kupata dinna. Baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulitumia kama lisaa tukaondoka kuelekea samaki samaki.
Mapema sana tulikuwa tumewasili pale na tulizama ndani. Muda huu ulikuwa mapema sana hata watu walikuwa ni wa kuwahesabu. Tuliagiza vinywaji lakini mimi hii siku sikutaka kunywa kabisa maana nilikuwa na ratiba za kwenda church asubuhi ili nikatoe na shukrani.
Kwa upande wangu niliagiza heineken 3 tu lakini Maggy aliagiza backet ya Savanna. Hii siku tuliongea mambo mengi sana na Maggy na mimi nilimtakia mema kwenye maisha yake mapya pamoja na kazi yake mpya. Hata kunitoa out ilikuwa ni kama farewell na alikuwa anatarajia kuondoka jumatano kwenda Dodoma.
Saa 6 usiku wakati mziki umeanza kuchanganya tuliondoka na nilimpelea Maggy kwake na mimi nikarudi zangu home kulala. Kwa upande mwingine mama J alikuwa ameshazoea time table zangu za kurudi hata zile kelele zilikuwa hazipo tena.
******
Jumapili niliamka mapema sana ili niwai misa ya saa 1 asubuhi. Hii siku niliweza kutoa na sadaka zangu za shukran kwa mambo yote Mungu aliyonitendea. Kwa upande mwingine mama Junior ni mwalimu wa watoto “Sunday school”.
Baada ya kutoka church niliwasiliana na Mary nikampa ratiba za kwenda kwa Prisca. Na tulikubaliana twende saa 6 mchana tukamtembelee.
Saa 5 nilitoka home nikaenda kwa Zena kumpitia Mary na hao tukaanza safari ya kwenda Changanyikeni. Kwa upande mwingine sikumwambia Prisca kama nitakwenda na dada yake nilitaka iwe surprise kwake. Pia sikumwambia Mary kama tunakwenda Changanyikeni.
Tulivyofika Mlimani city Mary alisema tuingie ndani ili anunue vitu kwaajili ya mdogo wake na mimi niliona ni jambo jema. Baada ya kupark gari tulikwenda pale Shoppers tukafanya shopping ya vitu na mimi nilinunua mazaga kama mafuta, sukari, maziwa, kuku, nknk.
“Insider mbona sikuelewi haya yote kwaajili ya Prisca?”
“Wewe twende utaona.”
Tulitoka pale Mlimani city na tukaendelea na safari yetu na nilitumia njia ya geti maji huku unapita Coet. Sasa baada ya Mary kuona nakata kona kuelekea UDBS alianza kuongea,
“Insider Hall 4 si unakatia pale Contena? Au tunakwenda kuoanana naye wapi?”
“Wewe kuwa mpole utaona.”
Mary aliendelea kuwa na maswali na mimi nilikuwa kimya hata sikuwa namjibu ilibidi Mary awe mpole tu.
Baada ya kuwasili pale Changanyikeni kwa Prisca nilishuka nikafungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark. Tulipiga hodi na alitoka Eva kutufungulia mlango lakini alishangaa baada ya kumwona Mary.
EVA: “Ooh da Mary mambo sikutegemea kama ungekuja.”
MARY: “Ahsante sana nimeona nije nimsaprize huyo dogo maana hataki kurudi home.”
Muda huu tulikaa kwenye coach na Prisca alitoka chumbani akiwa amejifunga khanga shingoni, na alvyomwona Mary alishtuka. Na mimi nilimsogelea nika-mhug na nikamkiss mdomoni.
Kwa upande mwingine Prisca tumbo lake lilikuwa la kawaida tu kwa mtu ambaye hana experince ni ngumu kumtambua kama anamimba.
PRISCA: “Karibuni, da Mary nimekumiss.”
MARY: “Unajua Unazingua home kila mtu anawasiwasi na wewe unashida gani?”
PRISCA: “Si unajua na mitihani? afu mimi nishakuwa mtu mzima sio kunifuatilia kama Ivy.”
MARY: “Mzee ndo anakuulizia shida unashindwa hata kuja kusalimia, unajua Ivy amekumiss sana?”
PRISCA: “I know hata hapa nimetoka kuongea naye kupitia simu ya mama.”
EVA: “Ngoja mimi nikawapikie chakula wageni zangu.”
MARY: “Acha tu tutatoka kula lunch pamoja. Kwahiyo ndo umeamua kupanga kabisa, Insider remember I told you that day.”
MIMI: “Eva naomba tupishe tuna mazungumzo kidogo hapa Seblen unaweza kwenda hata chumbani, samahani.”
EVA: “Kuwa na amani shem.”
MIMI: “Prisca nimeamua kuja na Mary sababu hali uliyonayo kwasasa huna haja ya kuendelea kuficha huyu ni dada yako, pia ndo msaada wako na…..” Mary alinikatisha maongezi yangu,
MARY: “Mbona siwaelewi kuficha nini?”
MIMI: “Mary subiri nimalize kuongea kwanza sawa?, ipo hivi Prisca unavyomwona hapo ana ujauzito wangu wa miezi 2. Na aliamua kuondoka nyumbani ili kuficha hii siri mpaka atakapomaliza mitihani ndo angewapa taarifa. Kwakuwa wewe ni mtu muhimu sana kama shem wangu nimeamua kukupa hii siri mapema, ila usithubutu kusema chochote mpaka aseme mwenyewe.”
MARY: “Aisee kumbe, hongera Prisca nafikiri hata home watakua surprised na taarifa hii maana nilijua hu……”
PRISCA: “Da Mary stop no need to talk about this.”
MIMI: “You guys mnahide nini mbona siwaelewi?”
MARY: “Nothing, Insider umempa mdogo wangu mimba unampango gani naye?”
MIMI: “Subiri arudi home itafahamika tu hapohapo.”
MARY: “Prisca me sidhani kama ni shida hii as long as Insider amekubali mimba ni yake unaweza kurudi home na ukawaambia wazazi.”
PRISCA: “I know subiri kwanza nimalizane na UE, haya mengine yataendelea.”
MARY: “Guys mimi sina tatizo nimefurahi kusikia hili ila Insider nakuomba usimchezee Prisca, remember I told you this before.”
MIMI: “I remember twende tukale lunch, mama kijacho wangu anasikia njaa hajala mchana.”
MARY: “Sawa Baba kijacho, Prisca mshtue Eva ili tuondoke.”
Tuliondoka pale na tulikwenda kupata lunch pale “Down Hill” restaurant ambayo ipo opposite na Mlimani City.
Wakati tumefika pale tukisubiri chakula nilipigiwa simu na Mama Janeth na alikuwa anaomba niende kwake kama nina nafasi. Alisema ana wageni hivyo anahitaji niwapeleke Airport wanatakiwa kuondoka na ndege ya saa 12 jioni. Kwa upande wangu sikuweza kumkatalia na nikamwambia nitakwenda kwake ontime.
Tulipata lunch ya pamoja pale huku story zikitawala na muda huu Mary alikuwa busy sana akiongea na Prisca kuhusu maendeleo yake. Na mimi nilikuwa busy na Eva tukipiga story na hii siku niliweza kuchukua namba yake ya simu.
Saa 9 mchana ilitukutia pale na mimi niliwaaga nimepata emergence natakiwa kwenda Masaki, kwa upande mwingine Mary alisema anatashinda na Prisca navyorudi nitampitia ili tuondoke wote.
EVA: “Shem unamambo mengi wewe nakupa nyota zako.”
MIMI: “Hamna Eva nikilala mtoto atakuja kukosa pampass.”
EVA: “Sawa shem wewe wahi tu.”
Na mimi nilifanya malipo nikaondoka maeneo yale na break yangu ilikuwa Masaki kwenye nyumba mpya ya Mama Janeth. Nilifunguliwa geti na nikaingiaza gari ndani na niliwaona mama Janeth na wageni zake wakitoka ndani.
“Mwanangu za jumapili naomba uwapeleke wageni wangu hawa Airport, afu unavyorudi kuna mtu atakupa samaki wabichi nakupa namba ya simu muwasiliane.”
“Sawa mama haina shida.”
Na mimi muda huu nilikuwa ninasaidia kuyaweka mabag kwenye gari kwaajili ya kuondoka maeneo yale.
Baada ya dakika 5 tuliondoka Masaki na tulianza safari ya kwenda AirPort, uzuri kwa Jumapili hakunaga foleni kabisa hivyo ndani ya nusu saa nilikuwa nimewasili pale tayari JNIA. Nilipark gari vizuri pale Terminal 3 na niliwasaidia kubeba mabag kwenye kibaiskeli na tukaingia ndani.
Baada ya kuwapeleka ndani niliwaaga na mimi nikafanya mawasiliano na mtu wa samaki na alinambia nisogee mpaka Ferry sokoni ndo tutaonana pale.
Baada ya kuwasili pale Ferry jamaa alinikabidhi samaki wakiwa kwenye ndoo dogo ya lita 10 na mimi nikaondoka kurudi Masaki.
Ndani ya lisaa nilikuwa nimekamilisha mambo yote na muda huu nilikuwa nimerudi tayari kwa mama Janeth. Nilimkabidhi ndoo yake ya samaki na kwa upande wake alikuwa kafurahi sana, maana alishangaa nimemaliza majukumu yangu kwa muda mfupi sana.
“Mwanangu itabidi unipeleke pale Saloon na baada ya hapo tutafute sehemu tukae tuzungumze maana bado sikujui vizuri.”
“Sawa mama haina shida kwasasa sina chakufanya.”
Mama Janeth aliingia ndani na Ilimchukua kama dakika 5 kutoka na tukaanza safari ya kwenda Saloon. Hatukutumia muda mrefu na ndani ya dakika 5 tulikuwa maeneo yale na alikwenda ndani.
Baada ya dakika 30 Mama Janeth alitoka akiwa ameongozana na Sumaiya walikuwa wanaongea. Walikuja mpaka usawa wa gari yangu na Mama Janeth akaingia ndani, siku hii Sumaiya hakuonesha sign yoyote zaidi ya kunipa salamu tu.
“Unaonaje tukienda maeneo ya beach tukapata na upepo wa Bahari?”
“Sawa haina shida kwahiyo twende Cocobeach.?”
“Lakini tutakwenda ule upande mwingine wa hotelin.”
Tulitoka pale Saloon tukaelekea Beach na baada ya kuwasili pale tulitafuta sehemu nzuri tukakaa. Kama mnavyojua Watanzania wakiona Mzungu wanavyokimbilia chap. Baada ya dada kuja kutusikiliza mimi niliagiza heineken 3, kwa upande wa Mama Janeth aliagiza Kilimanjaro lager 3 na Pweza samaki akasema akatwe katwe vipande.
Kwa upande mwingine Mama Janeth alishangaa sana kuona natumia beer ni kama hakujutia kampani yangu. Kwa ambao ham-wajui wazungu hawa watu hawapendagi unafiki kama wewe ni mnywaji jiachie usianze kujifichaficha, kama wewe unatumia marijuana wewe mwambie hawana noma.
Dada alianza kwanza kutulutea vinywaji na tukaanza kunywa pale taratibu.
MIMI: “Mama wewe ni mpenzi wa local beers?”
MA’ JANETH: “I like hii mnaita Kilimanjaro ndo beer yangu pendwa.”
MIMI: “Mimi hii ndo beer yangu pendwa.”
MA’ JANETH: “Heineken sijawahi kuipenda kwakweli. Hivi mwanangu una elimu gani?”
MIMI: “Mama mimi nina bachelor ya masuala ya Uchumi.”
MA’ JANETH: “Ooh kumbe tuna Mchumi kwenye kampuni yetu bhasi naamini tutaanza kupata supernormal profit.”
MIMI: “Kwa hili hata msijali nina mpango wa kuandaa budget ya kampuni kwa mwaka mzima, pia ninaweza kuandaa Financial statements, na masuala mbalimbali ya kodi.”
MA’ JANETH: “Kama hivi unaweza kufanya nafikiri tukupe haya majukumu wewe sababu namlipa consultant pesa nyingi sana kwa mwaka. Tukikupa haya majukumu wewe itasaidia kupunguza gharama na tutaangalia namna ya kukuongezea mshahara. Nitaongea na Iryn nione anasemaje kuhusu hili jambo.”
Kwa upande wangu nilijua Iryn hawezi kunichomolea kabisa kwenye hili deal. Pia mama Janeth aliniona smart sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa mipango pale, alinikubali sana.
Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu na nilikuwa bado niko na Mama Janeth pale tukiendelea kunywa na tukipiga story. Na mimi nilipokea simu yake, na toka jumanne nipeleke document za mizigo tulikuwa hatujaonana hata kwake sikwenda kabisa.
MIMI: “Hello Bossy.”
IRYN: “Insider Mama Janeth alikuwa anakuulizia vipi ulionana naye?”
MIMI: “Yes na bado niko naye hapa.”
IRYN: “Sawa unategemea kutoka sangapi huko?”
MIMI: “Sijajua lakini kwenye saa 2 hivi naweza nikatoka.”
IRYN: “Bhasi ukiwa unatoka nambie nataka unipitie hapa Palm Village au una ratiba zako?”
MIMI: “Hapana sina nitakupitia navyorudi.”
IRYN: “Ok” na akakata simu pale.
Tuliendelea kukaa na mama Janeth mpaka saa 2 usiku ndo tuliondoka maeneo yale na nilimpeleka kwanza kwake.
Wakati natoka Masaki nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea, na nilipiga kwa mara nyingine tena lakini hakupokea. Wakati nimefika Msasani Ubalozi wa Marekani alinipigia simu na nikamwambia nakaribia kufika alipo na yeye alisema nikifika nimjulishe.
Niliplan nikionana na Iryn niongee naye ili nijue tatizo ni nini mpaka kanibadilikia vile na pia niliwaza nianze kumjasusi kuhusu sakata la Muajemi.
Ndani ya dakika 10 nilikuwa pale Palm village na nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, aliuliza nimepark wapi gari na mimi nikamuelekeza, akanambia anakuja.
Nilisubiri pale kwa dakika 30 lakini hakuna dalili za mtu kutokea nikawaza nimpigie simu tena lakini nikasita. Baada ya dakika 5 alinipigia simu akanambia nikamfate upande wa parking za ndani kabisa ground floor.
Ilibidi nitoke pale niingie ndani kwenye parking za wakazi wa pale. Baada ya kuingiza gari ndani nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, akanambia anashuka yuko kwenye lift.
Nilishtuka kumuona Iryn kaongozana na mshikaji wakija usawa wangu na walisimama. Muda huu macho yangu yalishuhudia wakikumbatiana na jamaa live na wakiwa zero distance.
Moyo wangu ulipiga paaah!, Moyo uliniuma sana, niliumia sana jamani. Hakuna siku ambayo niliumia kwenye maisha yangu kama hii na nilipatwa na hasira sana.
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
TO BE CONTINUED
Pole sana in advance kwa maumivu uliyowahi pitiaEPISODE 50
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Jumamosi jioni nilikwenda Ununio kwaajili ya kuonana na Mrs Pama na wakati niko njiani nilikuwa najiuliza maswali mengi sana.
“Ni nini ambacho Mrs. anataka kutoka kwangu? na muda huu niliwaza huenda likawa suala la Jane.”
Niliwasili Ununio na baada ya kupiga honi nilifunguliwa geti nikaingiza gari ndani nikapark. Nilisalimiana na jamaa mfanyakazi wa pale maana tunajuana na akanambia Mrs Pama yuko ndani. Nilikaribishwa ndani muda huu na baada ya kuingia nilikuta kuna watu wapo sebleni, nilisalimia na mimi nikakaa.
Baada ya dakika chache alitoka Mrs Pama na tukasalimiana na hii ndo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza tunazungumza na Mrs.
“Karibu sana Kijana uwe na amani, nashukuru sana kwa kutii wito wangu.”
“Ahsante sana mama nashukuru sana, hata hivyo hii sio mara yangu ya kwanza nakuja hapa. Mara nyingi nikija unakuwa haupo.”
“Nafikiri huwa tunapishana na pia mambo ya kazi.”
Na muda huu dada aliniletea juice kwenye kombe kubwa la glass.
“Dada nafikiri hii juice ipeleke pale nje kwenye hema tunatoka hapo. Kijana wangu nafikiri tutoke nje tukaongee maana hapa seblen kuna wageni itakuwa sio busara kuwatoa.” Mrs aliongea kwa sauti ya chini sana.
Tuliondoka seblen na tulikwenda nje kukaa garden na kulikuwa na hema pale. Na mida huu maongezi yaliendelea.
MRS. PAMA: “Mwanangu sitaki kukupotezea muda maana najua unamajukumu mengi sana.”
MIMI: “Usiwe na shaka na mimi mama.”
MRS. PAMA: “Kuna mambo nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee, maana nimepata taarifa wewe ndo ulikuwa kama rafiki yake sana enzi za uhai wake. Nimepata taarifa hata hapa nyumbani ulikuwa unakuja na pia nilikuona msibani kule Tabora. Niseme ahsante sana kwa yote.”
MIMI: “Ni kweli mama Mzee alikiwa kama rafiki kwangu na alikuwa kama Mzee kwangu maana alinifundisha sana kuhusu maisha. Na sisi tulifahamiana kupitia Uber, mimi ni dereva wa Uber. Mara ya kwanza kukutana na mzee alinipenda ndo nikawa nafanya naye kazi nyingi sana.”
MRS. PAMA: “Nilitaka kujua kama mzee kuna jambo lolote on-going alikuachia, maana nimejaribu kufuatilia nimeona mara ya mwisho alikuingizia kiasi cha Pesa milion 6. Hiki ni kiasi kikubwa sana kama kuna jambo lolote naomba niambie.”
MIMI: “Ni kweli mama hicho kiasi mzee alinitumia. Ila alinitumia baada ya kuongea naye na kumwambia biashara ya Uber imekuwa ngumu, pia aliniahidi angenitafutia kazi. Hiyo pesa alituma inisaidie pale nilikokwama bad news baada ya siku 3 nikapata taarifa za kifo chake.”
MRS. PAMA: “Haina shida nilitaka kujua kama kulikuwa na suala lolote linaendelea kati yenu. Na vipi kuhusu Jane mlifahamiana lini?”
MIMI: “Jane tumefahamiana toka mwaka jana.”
MRS. PAMA: “Ulikuwa unajua kama Mzee anajenga nyumba Mbweni?”
Niliona Mrs ameanza kuvuka mipaka maana maswali aliyoanza kuuliza ni kama anatafuta ushahidi.
MIMI: “Hapana mama hayo mimi sijui kwakweli.”
MRS. PAMA: “Okay kijana mimi ni hayo tu nilikuwa nayo niseme Ahsante sana kwa kuitikia wito, karibu tena hapa ni nyumbani.”
MIMI: “Ahsante mama pia poleni sana kwa msiba.”
Ni maongezi yaliyochukua kama nusu saa hivi na niliondoka pale Ununio. Ukweli sikujua dhumuni la Mrs Pama kuniita maana niliwaza kwa yale maswali ni kama alikuwa anatafuta jambo alijue. Na pia alionesha kutoridhika na majibu yangu, ni kama alikuwa anataka kumjua Jane vizuri ila mimi nilikuwa mgumu kuingilika.
Muda huu saa yangu ilikuwa inasoma saa 11 jioni hivyo nikaamua niende Mikocheni nikaonane na Maggy. Nilitumia kama dakika 40 kuwasili pale kwa Maggy na baada ya kupark gari niligonga mlango wake na akatoka kunifungulia mlango.
“Insider sikutegemea kama ungekuja leo maana wewe unamambo mengi sana.”
“Remember nilikwambia leo nakuja kwaajili yako, leo ukitaka hata tulale wote nitalala kwaajili yako.”
“Utaweza kulala wewe? Vipi yule mrembo wako anaendeleaje?”
“Yule ni Bossy wangu kama ulivyo wewe hapa, sema ndo unakimbia.”
“Insider leo sijapika kabisa ngoja nikajiandae ili tukitoka hapa tukapate na dinna kabisa afu tutoke out.”
Maggy aliingia ndani kujianda na aliniacha nimekaa seblen. Baada ya nusu saa alitoka akiwa amewaka sana na mimi kama kawaida yangu nikamsifia pale na yeye akaishia kufurahi tu.
Saa 1 usiku ndo tulitoka pale kwake na tuliamua kwenda Golden fork kupata dinna. Baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulitumia kama lisaa tukaondoka kuelekea samaki samaki.
Mapema sana tulikuwa tumewasili pale na tulizama ndani. Muda huu ulikuwa mapema sana hata watu walikuwa ni wa kuwahesabu. Tuliagiza vinywaji lakini mimi hii siku sikutaka kunywa kabisa maana nilikuwa na ratiba za kwenda church asubuhi ili nikatoe na shukrani.
Kwa upande wangu niliagiza heineken 3 tu lakini Maggy aliagiza backet ya Savanna. Hii siku tuliongea mambo mengi sana na Maggy na mimi nilimtakia mema kwenye maisha yake mapya pamoja na kazi yake mpya. Hata kunitoa out ilikuwa ni kama farewell na alikuwa anatarajia kuondoka jumatano kwenda Dodoma.
Saa 6 usiku wakati mziki umeanza kuchanganya tuliondoka na nilimpelea Maggy kwake na mimi nikarudi zangu home kulala. Kwa upande mwingine mama J alikuwa ameshazoea time table zangu za kurudi hata zile kelele zilikuwa hazipo tena.
******
Jumapili niliamka mapema sana ili niwai misa ya saa 1 asubuhi. Hii siku niliweza kutoa na sadaka zangu za shukran kwa mambo yote Mungu aliyonitendea. Kwa upande mwingine mama Junior ni mwalimu wa watoto “Sunday school”.
Baada ya kutoka church niliwasiliana na Mary nikampa ratiba za kwenda kwa Prisca. Na tulikubaliana twende saa 6 mchana tukamtembelee.
Saa 5 nilitoka home nikaenda kwa Zena kumpitia Mary na hao tukaanza safari ya kwenda Changanyikeni. Kwa upande mwingine sikumwambia Prisca kama nitakwenda na dada yake nilitaka iwe surprise kwake. Pia sikumwambia Mary kama tunakwenda Changanyikeni.
Tulivyofika Mlimani city Mary alisema tuingie ndani ili anunue vitu kwaajili ya mdogo wake na mimi niliona ni jambo jema. Baada ya kupark gari tulikwenda pale Shoppers tukafanya shopping ya vitu na mimi nilinunua mazaga kama mafuta, sukari, maziwa, kuku, nknk.
“Insider mbona sikuelewi haya yote kwaajili ya Prisca?”
“Wewe twende utaona.”
Tulitoka pale Mlimani city na tukaendelea na safari yetu na nilitumia njia ya geti maji huku unapita Coet. Sasa baada ya Mary kuona nakata kona kuelekea UDBS alianza kuongea,
“Insider Hall 4 si unakatia pale Contena? Au tunakwenda kuoanana naye wapi?”
“Wewe kuwa mpole utaona.”
Mary aliendelea kuwa na maswali na mimi nilikuwa kimya hata sikuwa namjibu ilibidi Mary awe mpole tu.
Baada ya kuwasili pale Changanyikeni kwa Prisca nilishuka nikafungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark. Tulipiga hodi na alitoka Eva kutufungulia mlango lakini alishangaa baada ya kumwona Mary.
EVA: “Ooh da Mary mambo sikutegemea kama ungekuja.”
MARY: “Ahsante sana nimeona nije nimsaprize huyo dogo maana hataki kurudi home.”
Muda huu tulikaa kwenye coach na Prisca alitoka chumbani akiwa amejifunga khanga shingoni, na alvyomwona Mary alishtuka. Na mimi nilimsogelea nika-mhug na nikamkiss mdomoni.
Kwa upande mwingine Prisca tumbo lake lilikuwa la kawaida tu kwa mtu ambaye hana experince ni ngumu kumtambua kama anamimba.
PRISCA: “Karibuni, da Mary nimekumiss.”
MARY: “Unajua Unazingua home kila mtu anawasiwasi na wewe unashida gani?”
PRISCA: “Si unajua na mitihani? afu mimi nishakuwa mtu mzima sio kunifuatilia kama Ivy.”
MARY: “Mzee ndo anakuulizia shida unashindwa hata kuja kusalimia, unajua Ivy amekumiss sana?”
PRISCA: “I know hata hapa nimetoka kuongea naye kupitia simu ya mama.”
EVA: “Ngoja mimi nikawapikie chakula wageni zangu.”
MARY: “Acha tu tutatoka kula lunch pamoja. Kwahiyo ndo umeamua kupanga kabisa, Insider remember I told you that day.”
MIMI: “Eva naomba tupishe tuna mazungumzo kidogo hapa Seblen unaweza kwenda hata chumbani, samahani.”
EVA: “Kuwa na amani shem.”
MIMI: “Prisca nimeamua kuja na Mary sababu hali uliyonayo kwasasa huna haja ya kuendelea kuficha huyu ni dada yako, pia ndo msaada wako na…..” Mary alinikatisha maongezi yangu,
MARY: “Mbona siwaelewi kuficha nini?”
MIMI: “Mary subiri nimalize kuongea kwanza sawa?, ipo hivi Prisca unavyomwona hapo ana ujauzito wangu wa miezi 2. Na aliamua kuondoka nyumbani ili kuficha hii siri mpaka atakapomaliza mitihani ndo angewapa taarifa. Kwakuwa wewe ni mtu muhimu sana kama shem wangu nimeamua kukupa hii siri mapema, ila usithubutu kusema chochote mpaka aseme mwenyewe.”
MARY: “Aisee kumbe, hongera Prisca nafikiri hata home watakua surprised na taarifa hii maana nilijua hu……”
PRISCA: “Da Mary stop no need to talk about this.”
MIMI: “You guys mnahide nini mbona siwaelewi?”
MARY: “Nothing, Insider umempa mdogo wangu mimba unampango gani naye?”
MIMI: “Subiri arudi home itafahamika tu hapohapo.”
MARY: “Prisca me sidhani kama ni shida hii as long as Insider amekubali mimba ni yake unaweza kurudi home na ukawaambia wazazi.”
PRISCA: “I know subiri kwanza nimalizane na UE, haya mengine yataendelea.”
MARY: “Guys mimi sina tatizo nimefurahi kusikia hili ila Insider nakuomba usimchezee Prisca, remember I told you this before.”
MIMI: “I remember twende tukale lunch, mama kijacho wangu anasikia njaa hajala mchana.”
MARY: “Sawa Baba kijacho, Prisca mshtue Eva ili tuondoke.”
Tuliondoka pale na tulikwenda kupata lunch pale “Down Hill” restaurant ambayo ipo opposite na Mlimani City.
Wakati tumefika pale tukisubiri chakula nilipigiwa simu na Mama Janeth na alikuwa anaomba niende kwake kama nina nafasi. Alisema ana wageni hivyo anahitaji niwapeleke Airport wanatakiwa kuondoka na ndege ya saa 12 jioni. Kwa upande wangu sikuweza kumkatalia na nikamwambia nitakwenda kwake ontime.
Tulipata lunch ya pamoja pale huku story zikitawala na muda huu Mary alikuwa busy sana akiongea na Prisca kuhusu maendeleo yake. Na mimi nilikuwa busy na Eva tukipiga story na hii siku niliweza kuchukua namba yake ya simu.
Saa 9 mchana ilitukutia pale na mimi niliwaaga nimepata emergence natakiwa kwenda Masaki, kwa upande mwingine Mary alisema anatashinda na Prisca navyorudi nitampitia ili tuondoke wote.
EVA: “Shem unamambo mengi wewe nakupa nyota zako.”
MIMI: “Hamna Eva nikilala mtoto atakuja kukosa pampass.”
EVA: “Sawa shem wewe wahi tu.”
Na mimi nilifanya malipo nikaondoka maeneo yale na break yangu ilikuwa Masaki kwenye nyumba mpya ya Mama Janeth. Nilifunguliwa geti na nikaingiaza gari ndani na niliwaona mama Janeth na wageni zake wakitoka ndani.
“Mwanangu za jumapili naomba uwapeleke wageni wangu hawa Airport, afu unavyorudi kuna mtu atakupa samaki wabichi nakupa namba ya simu muwasiliane.”
“Sawa mama haina shida.”
Na mimi muda huu nilikuwa ninasaidia kuyaweka mabag kwenye gari kwaajili ya kuondoka maeneo yale.
Baada ya dakika 5 tuliondoka Masaki na tulianza safari ya kwenda AirPort, uzuri kwa Jumapili hakunaga foleni kabisa hivyo ndani ya nusu saa nilikuwa nimewasili pale tayari JNIA. Nilipark gari vizuri pale Terminal 3 na niliwasaidia kubeba mabag kwenye kibaiskeli na tukaingia ndani.
Baada ya kuwapeleka ndani niliwaaga na mimi nikafanya mawasiliano na mtu wa samaki na alinambia nisogee mpaka Ferry sokoni ndo tutaonana pale.
Baada ya kuwasili pale Ferry jamaa alinikabidhi samaki wakiwa kwenye ndoo dogo ya lita 10 na mimi nikaondoka kurudi Masaki.
Ndani ya lisaa nilikuwa nimekamilisha mambo yote na muda huu nilikuwa nimerudi tayari kwa mama Janeth. Nilimkabidhi ndoo yake ya samaki na kwa upande wake alikuwa kafurahi sana, maana alishangaa nimemaliza majukumu yangu kwa muda mfupi sana.
“Mwanangu itabidi unipeleke pale Saloon na baada ya hapo tutafute sehemu tukae tuzungumze maana bado sikujui vizuri.”
“Sawa mama haina shida kwasasa sina chakufanya.”
Mama Janeth aliingia ndani na Ilimchukua kama dakika 5 kutoka na tukaanza safari ya kwenda Saloon. Hatukutumia muda mrefu na ndani ya dakika 5 tulikuwa maeneo yale na alikwenda ndani.
Baada ya dakika 30 Mama Janeth alitoka akiwa ameongozana na Sumaiya walikuwa wanaongea. Walikuja mpaka usawa wa gari yangu na Mama Janeth akaingia ndani, siku hii Sumaiya hakuonesha sign yoyote zaidi ya kunipa salamu tu.
“Unaonaje tukienda maeneo ya beach tukapata na upepo wa Bahari?”
“Sawa haina shida kwahiyo twende Cocobeach.?”
“Lakini tutakwenda ule upande mwingine wa hotelin.”
Tulitoka pale Saloon tukaelekea Beach na baada ya kuwasili pale tulitafuta sehemu nzuri tukakaa. Kama mnavyojua Watanzania wakiona Mzungu wanavyokimbilia chap. Baada ya dada kuja kutusikiliza mimi niliagiza heineken 3, kwa upande wa Mama Janeth aliagiza Kilimanjaro lager 3 na Pweza samaki akasema akatwe katwe vipande.
Kwa upande mwingine Mama Janeth alishangaa sana kuona natumia beer ni kama hakujutia kampani yangu. Kwa ambao ham-wajui wazungu hawa watu hawapendagi unafiki kama wewe ni mnywaji jiachie usianze kujifichaficha, kama wewe unatumia marijuana wewe mwambie hawana noma.
Dada alianza kwanza kutulutea vinywaji na tukaanza kunywa pale taratibu.
MIMI: “Mama wewe ni mpenzi wa local beers?”
MA’ JANETH: “I like hii mnaita Kilimanjaro ndo beer yangu pendwa.”
MIMI: “Mimi hii ndo beer yangu pendwa.”
MA’ JANETH: “Heineken sijawahi kuipenda kwakweli. Hivi mwanangu una elimu gani?”
MIMI: “Mama mimi nina bachelor ya masuala ya Uchumi.”
MA’ JANETH: “Ooh kumbe tuna Mchumi kwenye kampuni yetu bhasi naamini tutaanza kupata supernormal profit.”
MIMI: “Kwa hili hata msijali nina mpango wa kuandaa budget ya kampuni kwa mwaka mzima, pia ninaweza kuandaa Financial statements, na masuala mbalimbali ya kodi.”
MA’ JANETH: “Kama hivi unaweza kufanya nafikiri tukupe haya majukumu wewe sababu namlipa consultant pesa nyingi sana kwa mwaka. Tukikupa haya majukumu wewe itasaidia kupunguza gharama na tutaangalia namna ya kukuongezea mshahara. Nitaongea na Iryn nione anasemaje kuhusu hili jambo.”
Kwa upande wangu nilijua Iryn hawezi kunichomolea kabisa kwenye hili deal. Pia mama Janeth aliniona smart sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa mipango pale, alinikubali sana.
Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu na nilikuwa bado niko na Mama Janeth pale tukiendelea kunywa na tukipiga story. Na mimi nilipokea simu yake, na toka jumanne nipeleke document za mizigo tulikuwa hatujaonana hata kwake sikwenda kabisa.
MIMI: “Hello Bossy.”
IRYN: “Insider Mama Janeth alikuwa anakuulizia vipi ulionana naye?”
MIMI: “Yes na bado niko naye hapa.”
IRYN: “Sawa unategemea kutoka sangapi huko?”
MIMI: “Sijajua lakini kwenye saa 2 hivi naweza nikatoka.”
IRYN: “Bhasi ukiwa unatoka nambie nataka unipitie hapa Palm Village au una ratiba zako?”
MIMI: “Hapana sina nitakupitia navyorudi.”
IRYN: “Ok” na akakata simu pale.
Tuliendelea kukaa na mama Janeth mpaka saa 2 usiku ndo tuliondoka maeneo yale na nilimpeleka kwanza kwake.
Wakati natoka Masaki nilimpigia simu Iryn lakini hakupokea, na nilipiga kwa mara nyingine tena lakini hakupokea. Wakati nimefika Msasani Ubalozi wa Marekani alinipigia simu na nikamwambia nakaribia kufika alipo na yeye alisema nikifika nimjulishe.
Niliplan nikionana na Iryn niongee naye ili nijue tatizo ni nini mpaka kanibadilikia vile na pia niliwaza nianze kumjasusi kuhusu sakata la Muajemi.
Ndani ya dakika 10 nilikuwa pale Palm village na nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, aliuliza nimepark wapi gari na mimi nikamuelekeza, akanambia anakuja.
Nilisubiri pale kwa dakika 30 lakini hakuna dalili za mtu kutokea nikawaza nimpigie simu tena lakini nikasita. Baada ya dakika 5 alinipigia simu akanambia nikamfate upande wa parking za ndani kabisa ground floor.
Ilibidi nitoke pale niingie ndani kwenye parking za wakazi wa pale. Baada ya kuingiza gari ndani nilimpigia simu kumpa taarifa kuwa nimefika, akanambia anashuka yuko kwenye lift.
Nilishtuka kumuona Iryn kaongozana na mshikaji wakija usawa wangu na walisimama. Muda huu macho yangu yalishuhudia wakikumbatiana na jamaa live na wakiwa zero distance.
Moyo wangu ulipiga paaah!, Moyo uliniuma sana, niliumia sana jamani. Hakuna siku ambayo niliumia kwenye maisha yangu kama hii na nilipatwa na hasira sana.
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
TO BE CONTINUED