Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Sasa mkuu na wewe utuanzishie hiyo hadithi yako. Inaonekana itabamba sana.
 
Usije ukawa umelewa mwamba?. Usijaribu kuwaita tu wana-JF walio karibu, halafu kweli wakaja ukajoin nao wakakufahamu na wakamfahamu na Mary,baadae wakakuletea unoko mwamba. Kaa mbali
Vijana wa humu ni wajinga sana asipo kuelewa hapa atajuta
 
Mzee tumegee kidogo
 
Watu8 Naam, Kosi la Mzee INSIDER MAN litaingia vitani rasmi aidha kibarua kiote nyasi au utabiri wako utimie.

Insider Jana nilikua Dynasty Kisha Bara Beach na kumalizia ziara Bahari Beach (zamani leger hotel) ningejua upo Kidimbwi ningekutafuta. Tatizo sikuingia kwenye hii Tamthilia mapema...

Nimecheka sana, maumivu ya kumuona Iryn akiwa na mwanaume mwingine yalizidi Yale ungeyapata kama ingekua Mama J ndio unamuona na mtu mwingine?

Bila shaka maneno ya Lucy yaligonga kichwa Mara mbilimbili
 
Tanzania nchi yangu.

Watu wanafume weeee wakati Iryn anatoka kumfsnyia mtu massage!!! Na hiyo ni kawaida Iryn kukumbatiana na wateja wake. Shida iko wapi hapo?
Massage ya wabongo hafanyi mbona.ngoja tuone itakuwaje
 
@INSIDER MAN ni mzanaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabila la wazanaki kama GENTAMYCINE huwa wana wivu kwa michepuko yako a.k.a KITUNGO kuliko kwa wake zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ila hii biashara ya ijumaa inaboa sana ujue, story inapoteza ladha inachukua muda mrefu sana, bora ungekuwa unafanya japo moja kwa siku au moja kila baada ya siku moja..
 
Lucy na sumaiya walikushauri uzuri
 
Daaah ngoma ya wiz inanifanya nijihisi kama namfaham Mzee rest in peace mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…