Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
After reading this story. Nimegundua wabongo wengi sana wapo empty linapokuja swala la connection katika biashara. Watu wengi wanahisi ni uongo kwa sababu wanaproject fikra zao kwamba haiwezekani kukutana na watu na wakabadili maisha yako.
Nilikutana na mdada kutoka Washington DC kupitia biashara yangu instagram na amebadilisha maisha yangu haswa, yaani najua ni mtu ambaye hatutakuja kupotezana regardless ya yote tuliyopitia, na ni miaka minne sasa na sijawahi kujuta kufahamiana naye. Na sijawahi hata kuwaza kulala naye.
Nilikutana na mdada kutoka Washington DC kupitia biashara yangu instagram na amebadilisha maisha yangu haswa, yaani najua ni mtu ambaye hatutakuja kupotezana regardless ya yote tuliyopitia, na ni miaka minne sasa na sijawahi kujuta kufahamiana naye. Na sijawahi hata kuwaza kulala naye.