Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Insider Man alipaswa aondoe hii post ya kocha Nabi maana inaharibu story
 
Am working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.
Mimi sisomagi story kabisa. I am lazy man kusoma.story yako ilikiwa inajitokeza kila mara na baadae nikataka nione kuna nini .baada ya kutia mguu INSIDER sikupiga kope mpaka nilipomaliza episode iliyoko last mpaka sasa. the way inavyovutia mpaka sasa nahsi Sonona coz inabidi nisubirie episode pale utakapoamua. Respect kwako young bro
 
Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
Ngumu kum outsmart insider man .jamaa ni genius .story iko very complex ila ukiifanyia cross examination anaweza pata tuzo huyu Dogo .kama kuna mistakes ni negligible .na admire accuracy ya maeneo .jamaa analijua jiji vilivyo
 
Insider nafikiri wewe ndo mtu unayekula bata humu ndani, kuna maeneo nimeyajua kupitia wewe kupitia huu uzi nimefika mpaka location husika.

Jiji unalijua, barabara zote zipo kichwani, bado sehemu za bata.

Leo niko hapa Bahari Beach hotel au Ledger Plaza naswim hapa huku nasubiri Episode
 
Hapana Mkuu, nasisitiza tena nimeisoma story 'hii thoroughly' neno baada ya neno ukiondolea sehemu moja tu ama mbili ktk dialog series ndipo alichanganya majina tu badala ya kuandika Prisca alitaja Iryn lakini kwa muktadha story yenyewe, jamaa hajajichanganya kabisa.

Hiyo habari unayosema alipokuwa room pale Zenj na Iryn siyo narration yake kuna mdau hapa JFndiyo aliyeweka dososo kuchangamsha jukwaa baada ya watu humu kulia na arostoo.Kama sikosei ni Mkuu SMART GHOST. na baada ya ile story aliomba msamaha kwa kuchombezo la hilo andiko lake.
Narudia tena Mwamba hajajichanganya katika mtiririko wa story yake ukiondolea errors ndogondogo za kiuandishi.
 
Hiyo habari unayosema alipokuwa room pale Zenj na Iryn siyo narration yake kuna mdau hapa JFndiyo aliyeweka dososo kuchangamsha jukwaa baada ya watu humu kulia na arostoo.Kama sikosei ni Mkuu SMART GHOST.
Ni kweli, ila huyo jamaa ni kocha Nabi ndiye alifanya hivyo, hakufanya poa kuweka dodoso huku akimtambilisha Insider Man kama muweka dodoso 😂
 
Ile ni mtu mwingine alikuwa anaendeleza hakuwa insider
 

I second you mkuu, huyu jamaa kama hii story ameitunga based on true story basi amepunguza na kuongeza chumvi kiasi kidogo(very smart).

Kwa mtu mzoefu wa kupita pita maeneo tajwa kwenye hii story utagundua man analifahamu jiji kwa uzuri hususan hizi sehemu za bata.

Legendary comment[emoji110]
 
Kabisa mimi nimebahatika kupitia maeneo kadhaa ya pande ambazo amekuwa akizitaja kwakweli nilijikuta nikivutiwa na hii story cos mandhari aliyoyaeleza ni popular sana kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…