Tukutane jumapili baada ya misaSi ilikuwa ni saa 19:00 Ijumaa saizi mbona muda umeenda au mi ndo nimechanganya? INSIDER MAN
Rema asimcheleweshe huyu japokua mkubwa kwakeHuyu jamaa na mwandishi wapo sawa mtoto mzuri unamchekea chekea tu anakudharau.Apo unaona dem kabisa kaelekea kibla ila jamaa anashia kushukuru tu.
View attachment 2750207
Ha ha ha ha ha!!!Tukutane jumapili baada ya misa
Hapana hicho kipande unachokiongelea kuna jamaa ndo alikiendeleza wakati tunasubiria epsode inayofuata hata mim niliingia mkengePale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.
Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......
Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....
Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... [emoji16]
Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.
Ni burudani tu [emoji23]
Wadau wa kuigiza nafasi za wasifu wa hii story tupo! Mimi nataka niwe "INSIDER MAN" ili ikifika mahali Iryn ananiita nikampangie nguo kwenye kabati chumbani kwake huku amenivalia kimitego sitawaangusha wana JamiiForums maana itakuwa nafasi hadhimu ya kula kimasihara! Hila nafasi ya Mzee Pama sitaki!!Am working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.
One day mkuu, ni ndoto yangu pia.Yeah man huko tulikuepo kabla hakujawa palivyo leo,, mitaa ya press,, kwa komba, bwiru boys na girls, Aict Ziwani kote tumevuruga sana na wana,, Leo ukitaja mitaa expensive Mwanza lazima Bwiru iwe miongoni mwa top 3,, kuna unyama mwingi sana kule,, mijengo ya maana,, beach view flan ivi amazing kama Texas,, Nitarudi Mwanza,,
Leo ijumaa INSIDER MAN lete mzigoAm working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.
Huyo jamaa ni mshenzi kabisa 😁kuna jamaa ndo alikiendeleza wakati tunasubiria epsode inayofuata hata mim niliingia mkenge
Leo ijumaa INSIDER MAN lete mzigo
AsanteeeeeEPISODE: 51
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
CONTINUE…
Jamaa hakuishia hapo akamkiss Iryn kwenye forehead yake na mambo yote yalikuwa yanafanyika huku mimi nashuhudia live. Muda huu nilihisi kuishiwa nguvu kabisa, niliishia kuumia tu moyoni na niliona Iryn kama alitaka kunifanyia makusudi.
Iryn alikuja kwenye gari na akaa siti za nyuma na sio kawaida yake kabisa. “What the f*ck” nilishia kutukana tu na hapa sasa nikajua Iryn ametoka kuliwa maana angekaa mbele ningemshtukia.
Alinisalimia na mimi nilimjibu fresh kabisa hata sikutaka kumwonesha sign yoyote ile. Muda huu niliongeza sauti ya mziki kwenye gari na album ya Kendrick Lamar “Mr. Morale & The Big Steppers” ndo ilikuwa kwa playlist.
Nilitoka na gari mle ndani kwa kasi sana mpaka mlinzi aliishia kushangaa tu pale mlangoni. Baada ya kufika Mikocheni Plaza Iryn alianza kuniuliza kuhusu yaliyojiri na mama Janeth lakini mimi nilijifanya kama sijamsikia, nilijifanya niko busy na kurap ngoma ya Kendrick lamar “N-95” muda huu ndo ilikuwa ikisikika.
Baada ya kuwasili kwake niliingiza gari ndani mpaka usawa wa apartment yake na akashuka. Na mimi hata sikutaka kupoteza sekunde pale, bali niligeuza gari huyo moto nikaondoka.
Ukweli mwili wangu ulikuwa mzito sana muda huu. Nilipatwa na hasira sana tena zile za wivu, maana sikutegemea kama kuna siku nitakuja kumwona Iryn akiwa na mwanaume katika mazingira kama yale.
Niliwaza pale hivi kama mimi nimeumia hivi, vipi kuhusu Mary ile siku Kidimbwi? Niliwaza pia ni mara ngapi nimemuumiza Iryn hasa suala la kujua nina mke na mtoto?. Niliishia kujilaumu tu na maneno ya Lucy yalianza kunijia
“Iryn hajataka kumpa uchi mwanaume mwingine ila akija kupata mwanaume nakuambia utakuwa umempoteza mazima.”
Niliishia kulaumu tu, baada ya kuwasili nyumbani nilishuka kwenye gari na nilikuwa mpole sana hata wife alivyoniona alihisi something wrong.
“Baba J mbona hivyo upo sawa kweli?”
“Yeah niko sawa mke wangu leo niko hovyo sana.”
“Pole, hakuna jambo lingine lolote limetokea?”
“Hamna kwakweli ningelikuambia mbona?.”
Nilikwenda ndani chumbani na muda huu simu yangu ilianza kuita ile kucheki alikuwa ni Mary akipiga, nikakumbuka nilimuahidi kwenda kumchukua kule Changanyikeni.
“Mary mambo.”
“Insider mbona hukuja kunichukua na uliahidi?”
“Sorry Mary mambo yaliingiliana nikashindwa kukupa taarifa ndo naingia hapa home now.”
“Its okay nilirequest usafiri, mbona hivyo are you ok?”
“Yeah I am good. Don’t worry about me Mary.”
“Okay have a good night.”
Niliingia bafuni kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani nikalala maana nilipitiwa na usingizi palepale.
*******
Asubuhi Iryn alinipigia simu na akanipa maagizo ya kwenda kufanya ukaguzi kwenye ofisi mpya ya Mikocheni kabla ya kuhamia.
Nilikwenda kuonana na Lucy na alinipa kampani mpaka ofisi mpya maana nilikuwa sijui ipo location gani. Ofisi mpya haikuwa mbali sana na chuo cha kodi (ITA) na pia haikuwa mbali na Palm Village. Ofisi ilikuwa ni kubwa kwakweli ni kama house na Iryn aliplan kuongeza huduma zingine kama massage lakini kwa upande wa wanawake tu.
Ofisi ilikuwa imekamilika kwa kila kitu na kimuonekano kwa ndani haikuwa tofauti na ya kule Masaki. Muda huu nilipata wazo la kutengeneza mazingira ya nje maana yalikuwa hayaridhishi kabisa. Nilitafuta mtu wa kutengeneza bustani pamoja na mazingira ya nje pamoja na kupanda miti na maua.
Nilishinda pale Mikocheni mpaka jioni ndo kila kitu kilikuwa sawa, kutokana na jinsi ofisi ilivyo nilipata wazo la kuajiri mtu wa usafi awe anamwagilia na maua.
Kwa upande mwingine niliwaza kutokana na sintofahamu inayoendelea kati yangu na Iryn niliona ni bora kujidhatiti katika kampuni pamoja na kuongeza ubunifu. Akili ilinijia ninunue mapambo kama Canvas za kuweka ukutani ili ofisi ipendeze na pia nitengeneze T-shirts za kampuni kama sare.
Usiku niliandaa report na nikamtumia Iryn kupitia kwa email na nilikuwa nimeandika na idea ya kuajiriwa kwa mtu wa usafi na mazingira kwa ujumla. Baada ya kutuma report haikuchukua muda mrefu Iryn alini reply na ujumbe uliosomeka “Nice work”.
Kwa cost zote ambazo nilikuwa natoa pesa zangu mfukoni, nilikuwa naziandikia afu kila mwisho wa mwezi nalipwa pamoja na mshahara.
Jumanne asubuhi baada ya kuachana na mama wa2 nilikwenda Kariakoo kuonana na mtu wa printing. Mtashangaa kwanini Mama wa2 tu? Maggy alikuwa ameacha kazi tangu 30/06 hivyo alikuwa anasubiri kuondoka kwenda Dodoma kwenye kazi yake mpya.
Nilikwenda Kariakoo mtaa wa Nyamwezi karibu na Sunderland towers, sasa maduka ya underground pale kuna mshikaji wangu sana ni Home boy anaprint sana hizi T-shirts.
Baada ya kuonana nilimpa mpango kazi wa kudesign logo ya kampuni pamoja na kuprint T-shirts. Kwa idadi ya wafanyakazi ilikuwa 15 lakini Iryn alikuwa anampango wa kuajiri wengine 4 kwa Masaki na Mikocheni, hivyo idadi ingekuwa 20 pamoja na mtu wa usafi.
Mipango yangu ilikuwa kuprint T-shirts za rangi nyeusi na blue, baada ya kushauriana na jamaa tuliona tuprint ziwe 48 kwa blue 24 na Black 24.
Jamaa alishauri atengeneze logo za kushonea ndo imara na zinadumu pia alishauri tshirt za form 6 ndo zitakuwa nzuri.
Gharama zote zilikuwa ni 650,000/=, baada ya kumalizana na masuala ya T-shirt nilikwenda Kijitonyama kuonana na mtu wa Canvas. Hesabu zangu kichwani niliona idadi ya canvas 20 zingetosha kabisa kwa Masaki na Mikocheni.
Jamaa baada ya kuongea naye vizuri alinifanyia Tshs 600,000/= kwa zote maana zilikuwa na ukubwa tofauti. Nilimpa kazi jamaa na akasema ndani ya siku 2 atakuwa amekamilisha kazi tayari.
*******
Jumatano Maggy aliondoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kuanza kazi mpya na makazi mapya. Saa 2 asubuhi niliwasili pale kwake kwaajili ya kumpa kampani na yeye alikuwa anatarajia kuondoka saa 5.
Muda huu Maggy alikuwa amesha jiandaa tayari na tulikuwa tumekaa seblen tukiongea.
“Insider nitakuachia key, hivi vitu kuna mtu atakuja kuvibeba jumamosi.”
“Sawa haina shida mimi unaniachia nini kama ukumbusho?”
“Anayekuja kuvichukua ni mdogo wangu ili akaanze maisha wewe usiwe na wasiwasi na mimi.”
“Sawa haina shida Maggy wangu ila nasikitika sana mteja wangu anaondoka nitakufa njaa.”
“Insider wewe usiwe na wasiwasi ukikwama unakuwa unapiga simu tunasaidiana sisi ni ndugu.”
“Poa Maggy na hizi key nazo nitampa dogo?”
“Kuna mtu nitampa namba zako atakucheki.”
Tuliondoka pale na tulianza safari ya kwenda AirPort na njian tulikuwa tukipiga sana story za mwisho mwisho. Niliwasili pale terminal 2 na nilimpa kampani Maggy mpaka ndani na tuliendelea kukaa pale nje kwenye bench tukipiga story mbalimbali.
Muda ulifika wa kucheck-in aliniaga na akatoa bahasha kwenye mkoba wake na akataka kunikabidhi.
“Insider mshahara wako huu maana ndo tarehe zenyewe.”
“Maggy keep it. No need to pay, mimi mwezi huu nilikupa offa, hata usiwe na wasiwasi.”
“Insider umechoma mafuta yako for nothing?”
“Elewa hivyo tumefanya kazi nyingi sana sioni sababu ya kukulipisha, keep it baadae unaweza kuja kuwa msaada kwangu, kama sio mimi hata watoto wangu.”
Tuliishia kukumbatiana na Maggy muda huu na aliondoka kwenda kucheck-in. Na mimi nilifanya kumtafuta dada Tyna ili nimsalimie na alisema nimsubiri.
Baada ya dakika 15 dada Tyna alikuja na tukakaa pale BAO cafe tukipiga story. Tuliongea mambo mengi sana na kubwa alisisitiza sana kwenda kwake kumsalimia. Tuliongea kama dakika 20 hivi tukaachana na mimi niliamua kwenda Mbweni kwa Jane ili tukaendelee na mafunzo yetu.
Saa 7 mchana nilikuwa nimewasili pale Mbweni na nilipark gari nje getini nikaingia ndani. Nilimkuta Jane seblen anaongea na mgeni na baada ya kuniona mimi alifurahi sana.
“Shem bora nimekuona maana nahamu ya kuendesha gari sana.”
“Ndo kilichonileta hapa kama ulikuwa hujui.”
“Shoga wewe si upo? acha nikaendelee na shule mwenzio.”
Tuliondoka na Jane na baada ya kufika kwenye gari nilimpa funguo ya gari.
“Insider tunakwenda wapi leo?”
“Upo vizuri? Nataka twende mpaka Mlimani city. Tutapita njia ya juu kwenda na kurudi tutapita ya chini.”
“Sawa haina shida.”
Lengo langu kubwa kuona Jane akizoea mazingira ya barabara tofauti ili aendelee kupunguza uoga. Tuliondoka pale na tulianza safari yetu na tulikwenda kuingia Bagamoyo road tukitokea Mbweni road pale Boko.
Tulikwenda moja kwa moja mpaka Mlimani city pale roundabout tukageuza kurudi tulikotoka. Wakati wa kurudi tulipita barabara ya chini kupitia Cocacola road mpaka tukaunga na Mwaikibaki.
Barabarani Jane alikuwa anajitahidi sana kudrive, alikuwa kila siku anabadilika ni vitu vidogo sana vilikuwa vya kumuelekeza. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na Jane alikuwa muda wote anatabasamu tu.
“Insider nishauri ninue gari gani?”
“Subiri kwanza uzoee barabara hapo sasa tutaangalia suala la gari.”
“Hata mimi ndo ilikuwa mipango yangu. Nafikiri utanisaidia kwenye hili suala la kununua gari.”
“Usiwe na wasiwasi kwa hili.”
Baada ya kuwasili pale kwake alishuka na nikamwambia hii week nzima tutakuwa pamoja tunafanya mafunzo mpaka awe fit na yeye aliishia kufurahi tu.
Alhamisi na ijumaa hizi siku pia nilizitumia sana kufanya mafunzo na Jane. Ijumaa tulikwenda mpaka Msata na alikuwa anaendesha gari mwenyewe. Nakumbuka Kiwangwa tulipigwa mkono sababu ya over speed na tuliandikiwa tsh 30,000.
Kwa upande mwingine Jane alikuwa tayari kawa Dereva tayari na ile Ijumaa niliamua kumuachia gari yangu Ist aendelee kuitumia.
********
Jumamosi tulikuwa tunahamia ofisi mpya kwa Mikocheni na kulikuwa na kazi ya kupeleka vitu na baadhi ya mahitaji. Na hii siku niliweka zile Canvas pale ofisini na ofisi ilipendeza sana kwakweli na ilikuwa inavutia.
Nilisimamia show nzima nikiwa na Lucy kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, pia Lucy alikuwa na team yake wakipanga vitu kwa mpangilio mzuri.
Baada ya mimi kuona mambo yanakwenda vizuri nilimuaga Lucy na niliondoka na fundi kwenda Masaki na zile Canvas. Baada ya kuwasili pale ilikuwa jioni hivyo tukaziweka zile canvas sehemu zote na ofisi ilipendeza sana.
SUMAIYA: “Bossy leo umetisha sana ofisi imependeza sana.”
MIMI: “Thanks for your compliments lady.”
SUMAIYA: “Insider leo weekend naomba nitoe out.”
MIMI: “Kama baada ya hapo nitakukula sawa niko tayari.”
SUMAIYA: “Ili unifanyie kama siku ile? thubutu.”
MIMI: “Leo siku yangu mbaya sana unajua nilikuwa nakazi ya kuhamia ofisi mpya so nimechoka sana.”
SUMAIYA: “Wewe jishaue tu hapa.”
Kwa upande mwingine Sumaiya alikuwa ameanza kuwa na heshima hata ule utani wake alikuwa hana tena. Baada ya kumaliza kuweka zile Canvas, zilibaki 3 hivyo nikapata wazo, moja nitaondoka nayo, moja nitampa mama Janeth na nyingine nimpe Iryn.
Nilimpigia simu Mama Janeth ili kumpa taarifa naenda kwake na yeye alisema yupo niende tu hakuna shida. Baada ya kuwasili kwake nilitoa Canva moja nikaweka kwa bahasha kubwa na ilikuwa inapicha ya mwanamke wa kiafrica ilikuwa nzuri sana.
Baada ya kushuka kwa gari nilikaribishwa ndani na nilikuwa nimeshika ile bahasha. Ndani ya dakika kadhaa dada alikuja na korosho kwenye bakuli pamoja na juice na mimi nikaendelea kula huku namsubiri mama Janeth.
Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka na mimi nilisimama nikamsalimia.
MA’ JANETH: “Karibu sana my son.”
MIMI: “Ahsante sana, Mama mimi hata sikai maana nilikuwa ofisini nikasema nikuletee hii zawadi.”
Na muda huu nilimkabidhi ile canva na yeye akaifungua bahasha akaitoa ndani ilikuwa ni kubwa ya square.
MA’ JANETH: “Mwanangu Ahsante sana what a gift? I really like it na unisaidie kuiweka mwenyewe.”
Mama Janeth aliingia ndani akatoka na mashine nikadrill nikaweka ile picha, ofcourse canva ilikuwa kali sana hata yeye aliipenda sana na akanipa kazi nimtafutie zingine 3.
Wakati tunaendelea kuongea pale, Mama Janeth alipigiwa simu na Sumaiya na alikuwa anampa shukran kwa kupendezesha ofisi, alifikiri mama Mama Janeth ndo kahusika.
MA’ JANETH: “Insider kumbe umeweka mpaka kule ofisini?”
MIMI: “Ndio mama.”
MA’ JANETH: “Let’s go nikaone maana Sumaiya amesema Ofisi imependeza sana.”
Muda huu ilibidi tuongozane na mama Janeth mpaka pale ofisini tena na baada ya kuingia ndani aliishia kufurahi tu muda huu. Tulitoka pale ofisini na kwa mbele kidogo kama mita 100 kuna sehem wanauza vinywaji, tulikwenda kukaa pale na tukaagiza juice.
MA’ JANETH: “Mwanangu leo umenifurahisha sana kwakweli itabidi Iryn akurudishie cost zako.”
MIMI: “Mama no need nimefanya kama ukumbusho kwa ofisi kama siku sipo.”
MA’ JANETH: “Hapana hiyo ni kazi ya kampuni Iryn atalifanyia kazi hili. Lile suala lingine nilishaongea na Iryn atakutafuta muongee, kuna jambo lingine nataka kukushirikisha kama utaona lina manufaa kwako.”
MIMI: “Sawa mama wewe nishirikishe tu nakusikiliza.”
MA’ JANETH: “Mara nyingi nakuwa na wageni tofauti wa ofisi na binafsi ni kuwachukua Airport na kuwapeleka, kama unakuwa free kwa jioni na weekend uwe unafanya hii kazi. Unaonaje hili wazo kwa upande wako unakuwa unapata pesa za pembeni hutegemei mshahara tu.”
MIMI: “Mama haina shida tena nitashukuru sana kwa hili.”
MA’ JANETH: “Sawa haina shida mara nyingi huwa nawapeleka mimi au Dereva wangu au Uber. Kama wewe utakuwepo nitakuwa nakutumia wewe kwenye hili.”
MIMI: “Ahsante sana mama mimi niko tayari. Wewe muda wowote niambie hata usiwe na wasiwasi.
MA’ JANETH: “Ahsante sana mwanangu nitakuwa nakupa ratiba mapema ili ujiandae mapema.”
Nilimuaga mama Janeth pale maana nilikuwa natakiwa nikaonane na Lucy kwaajili ya kuchukua funguo then nikamkabidhi Iryn. Nilidrive gari kwa spidi sana na nilitumia muda mfupi kufika pale ofisini na nilimkuta Lucy akiwa peke yake.
“Mbona upo alone?”
“Wamendoka maana hakuna cha kufanya. Nilikuwa nakusubiri wewe nikupe key.”
“Kazi nzuri sana nafikiri Iryn atafurahi sana.”
Baada ya kuachana na Lucy nilimpigia simu Iryn kuhusu Key na akasema nimpelekee kwake pia anataka nimpeleke Capetown.
Na mimi nilitoka kwenda mpaka kwake na baada ya kufika nilipark gari usawa wa apartment yake na nikampa taarifa niko parking, sikutaka hata kuingia ndani kwake.
Ilimchukua dakika 20 Iryn kutoka ndani na baada ya kuingia kwenye gari alikaa siti za nyuma.
“Bossy sikuhizi hujali muda kabisa ni nini kimekukuta.?”
“Insider sorry kuna mtu nilikuwa nawasiliana naye ndomana.”
“Sawa wewe ni Bossy wangu mimi hata nikikesha sina shida ilimradi nalipwa mshahara.”
“Lets go tuwahi.”
Tulitoka pale na uelelekeo ulikuwa ni Capetown Fish Market sasa wakati tumekaribia Mikocheni plaza, Iryn akasema tupitie kwanza Palm Village. Na mimi nilihisi lazima tutakuwa tunampitia yule jamaa yake.
Baada ya kuwasili pale nilipark gari na muda huu Iryn alikuwa akiongea na simu. Alikuwa ana muelekeza jamaa tuliko park gari, na muda huu Iryn alishusha kioo na akampungia mkono jamaa kama kumpa ishara. Jamaa alisogea mpaka tulikopark gari akafungua mlango na akakaa siti za nyuma na Iryn.
TO BE CONTINUED
Utatua saa ngapi?Upo njiani
Duh! Iryn atakupelekea moto mpaka dunia uione chungu masta ☹EPISODE: 51
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
CONTINUE…
Jamaa hakuishia hapo akamkiss Iryn kwenye forehead yake na mambo yote yalikuwa yanafanyika huku mimi nashuhudia live. Muda huu nilihisi kuishiwa nguvu kabisa, niliishia kuumia tu moyoni na niliona Iryn kama alitaka kunifanyia makusudi.
Iryn alikuja kwenye gari na akaa siti za nyuma na sio kawaida yake kabisa. “What the f*ck” nilishia kutukana tu na hapa sasa nikajua Iryn ametoka kuliwa maana angekaa mbele ningemshtukia.
Alinisalimia na mimi nilimjibu fresh kabisa hata sikutaka kumwonesha sign yoyote ile. Muda huu niliongeza sauti ya mziki kwenye gari na album ya Kendrick Lamar “Mr. Morale & The Big Steppers” ndo ilikuwa kwa playlist.
Nilitoka na gari mle ndani kwa kasi sana mpaka mlinzi aliishia kushangaa tu pale mlangoni. Baada ya kufika Mikocheni Plaza Iryn alianza kuniuliza kuhusu yaliyojiri na mama Janeth lakini mimi nilijifanya kama sijamsikia, nilijifanya niko busy na kurap ngoma ya Kendrick lamar “N-95” muda huu ndo ilikuwa ikisikika.
Baada ya kuwasili kwake niliingiza gari ndani mpaka usawa wa apartment yake na akashuka. Na mimi hata sikutaka kupoteza sekunde pale, bali niligeuza gari huyo moto nikaondoka.
Ukweli mwili wangu ulikuwa mzito sana muda huu. Nilipatwa na hasira sana tena zile za wivu, maana sikutegemea kama kuna siku nitakuja kumwona Iryn akiwa na mwanaume katika mazingira kama yale.
Niliwaza pale hivi kama mimi nimeumia hivi, vipi kuhusu Mary ile siku Kidimbwi? Niliwaza pia ni mara ngapi nimemuumiza Iryn hasa suala la kujua nina mke na mtoto?. Niliishia kujilaumu tu na maneno ya Lucy yalianza kunijia
“Iryn hajataka kumpa uchi mwanaume mwingine ila akija kupata mwanaume nakuambia utakuwa umempoteza mazima.”
Niliishia kulaumu tu, baada ya kuwasili nyumbani nilishuka kwenye gari na nilikuwa mpole sana hata wife alivyoniona alihisi something wrong.
“Baba J mbona hivyo upo sawa kweli?”
“Yeah niko sawa mke wangu leo niko hovyo sana.”
“Pole, hakuna jambo lingine lolote limetokea?”
“Hamna kwakweli ningelikuambia mbona?.”
Nilikwenda ndani chumbani na muda huu simu yangu ilianza kuita ile kucheki alikuwa ni Mary akipiga, nikakumbuka nilimuahidi kwenda kumchukua kule Changanyikeni.
“Mary mambo.”
“Insider mbona hukuja kunichukua na uliahidi?”
“Sorry Mary mambo yaliingiliana nikashindwa kukupa taarifa ndo naingia hapa home now.”
“Its okay nilirequest usafiri, mbona hivyo are you ok?”
“Yeah I am good. Don’t worry about me Mary.”
“Okay have a good night.”
Niliingia bafuni kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani nikalala maana nilipitiwa na usingizi palepale.
*******
Asubuhi Iryn alinipigia simu na akanipa maagizo ya kwenda kufanya ukaguzi kwenye ofisi mpya ya Mikocheni kabla ya kuhamia.
Nilikwenda kuonana na Lucy na alinipa kampani mpaka ofisi mpya maana nilikuwa sijui ipo location gani. Ofisi mpya haikuwa mbali sana na chuo cha kodi (ITA) na pia haikuwa mbali na Palm Village. Ofisi ilikuwa ni kubwa kwakweli ni kama house na Iryn aliplan kuongeza huduma zingine kama massage lakini kwa upande wa wanawake tu.
Ofisi ilikuwa imekamilika kwa kila kitu na kimuonekano kwa ndani haikuwa tofauti na ya kule Masaki. Muda huu nilipata wazo la kutengeneza mazingira ya nje maana yalikuwa hayaridhishi kabisa. Nilitafuta mtu wa kutengeneza bustani pamoja na mazingira ya nje pamoja na kupanda miti na maua.
Nilishinda pale Mikocheni mpaka jioni ndo kila kitu kilikuwa sawa, kutokana na jinsi ofisi ilivyo nilipata wazo la kuajiri mtu wa usafi awe anamwagilia na maua.
Kwa upande mwingine niliwaza kutokana na sintofahamu inayoendelea kati yangu na Iryn niliona ni bora kujidhatiti katika kampuni pamoja na kuongeza ubunifu. Akili ilinijia ninunue mapambo kama Canvas za kuweka ukutani ili ofisi ipendeze na pia nitengeneze T-shirts za kampuni kama sare.
Usiku niliandaa report na nikamtumia Iryn kupitia kwa email na nilikuwa nimeandika na idea ya kuajiriwa kwa mtu wa usafi na mazingira kwa ujumla. Baada ya kutuma report haikuchukua muda mrefu Iryn alini reply na ujumbe uliosomeka “Nice work”.
Kwa cost zote ambazo nilikuwa natoa pesa zangu mfukoni, nilikuwa naziandikia afu kila mwisho wa mwezi nalipwa pamoja na mshahara.
Jumanne asubuhi baada ya kuachana na mama wa2 nilikwenda Kariakoo kuonana na mtu wa printing. Mtashangaa kwanini Mama wa2 tu? Maggy alikuwa ameacha kazi tangu 30/06 hivyo alikuwa anasubiri kuondoka kwenda Dodoma kwenye kazi yake mpya.
Nilikwenda Kariakoo mtaa wa Nyamwezi karibu na Sunderland towers, sasa maduka ya underground pale kuna mshikaji wangu sana ni Home boy anaprint sana hizi T-shirts.
Baada ya kuonana nilimpa mpango kazi wa kudesign logo ya kampuni pamoja na kuprint T-shirts. Kwa idadi ya wafanyakazi ilikuwa 15 lakini Iryn alikuwa anampango wa kuajiri wengine 4 kwa Masaki na Mikocheni, hivyo idadi ingekuwa 20 pamoja na mtu wa usafi.
Mipango yangu ilikuwa kuprint T-shirts za rangi nyeusi na blue, baada ya kushauriana na jamaa tuliona tuprint ziwe 48 kwa blue 24 na Black 24.
Jamaa alishauri atengeneze logo za kushonea ndo imara na zinadumu pia alishauri tshirt za form 6 ndo zitakuwa nzuri.
Gharama zote zilikuwa ni 650,000/=, baada ya kumalizana na masuala ya T-shirt nilikwenda Kijitonyama kuonana na mtu wa Canvas. Hesabu zangu kichwani niliona idadi ya canvas 20 zingetosha kabisa kwa Masaki na Mikocheni.
Jamaa baada ya kuongea naye vizuri alinifanyia Tshs 600,000/= kwa zote maana zilikuwa na ukubwa tofauti. Nilimpa kazi jamaa na akasema ndani ya siku 2 atakuwa amekamilisha kazi tayari.
*******
Jumatano Maggy aliondoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kuanza kazi mpya na makazi mapya. Saa 2 asubuhi niliwasili pale kwake kwaajili ya kumpa kampani na yeye alikuwa anatarajia kuondoka saa 5.
Muda huu Maggy alikuwa amesha jiandaa tayari na tulikuwa tumekaa seblen tukiongea.
“Insider nitakuachia key, hivi vitu kuna mtu atakuja kuvibeba jumamosi.”
“Sawa haina shida mimi unaniachia nini kama ukumbusho?”
“Anayekuja kuvichukua ni mdogo wangu ili akaanze maisha wewe usiwe na wasiwasi na mimi.”
“Sawa haina shida Maggy wangu ila nasikitika sana mteja wangu anaondoka nitakufa njaa.”
“Insider wewe usiwe na wasiwasi ukikwama unakuwa unapiga simu tunasaidiana sisi ni ndugu.”
“Poa Maggy na hizi key nazo nitampa dogo?”
“Kuna mtu nitampa namba zako atakucheki.”
Tuliondoka pale na tulianza safari ya kwenda AirPort na njian tulikuwa tukipiga sana story za mwisho mwisho. Niliwasili pale terminal 2 na nilimpa kampani Maggy mpaka ndani na tuliendelea kukaa pale nje kwenye bench tukipiga story mbalimbali.
Muda ulifika wa kucheck-in aliniaga na akatoa bahasha kwenye mkoba wake na akataka kunikabidhi.
“Insider mshahara wako huu maana ndo tarehe zenyewe.”
“Maggy keep it. No need to pay, mimi mwezi huu nilikupa offa, hata usiwe na wasiwasi.”
“Insider umechoma mafuta yako for nothing?”
“Elewa hivyo tumefanya kazi nyingi sana sioni sababu ya kukulipisha, keep it baadae unaweza kuja kuwa msaada kwangu, kama sio mimi hata watoto wangu.”
Tuliishia kukumbatiana na Maggy muda huu na aliondoka kwenda kucheck-in. Na mimi nilifanya kumtafuta dada Tyna ili nimsalimie na alisema nimsubiri.
Baada ya dakika 15 dada Tyna alikuja na tukakaa pale BAO cafe tukipiga story. Tuliongea mambo mengi sana na kubwa alisisitiza sana kwenda kwake kumsalimia. Tuliongea kama dakika 20 hivi tukaachana na mimi niliamua kwenda Mbweni kwa Jane ili tukaendelee na mafunzo yetu.
Saa 7 mchana nilikuwa nimewasili pale Mbweni na nilipark gari nje getini nikaingia ndani. Nilimkuta Jane seblen anaongea na mgeni na baada ya kuniona mimi alifurahi sana.
“Shem bora nimekuona maana nahamu ya kuendesha gari sana.”
“Ndo kilichonileta hapa kama ulikuwa hujui.”
“Shoga wewe si upo? acha nikaendelee na shule mwenzio.”
Tuliondoka na Jane na baada ya kufika kwenye gari nilimpa funguo ya gari.
“Insider tunakwenda wapi leo?”
“Upo vizuri? Nataka twende mpaka Mlimani city. Tutapita njia ya juu kwenda na kurudi tutapita ya chini.”
“Sawa haina shida.”
Lengo langu kubwa kuona Jane akizoea mazingira ya barabara tofauti ili aendelee kupunguza uoga. Tuliondoka pale na tulianza safari yetu na tulikwenda kuingia Bagamoyo road tukitokea Mbweni road pale Boko.
Tulikwenda moja kwa moja mpaka Mlimani city pale roundabout tukageuza kurudi tulikotoka. Wakati wa kurudi tulipita barabara ya chini kupitia Cocacola road mpaka tukaunga na Mwaikibaki.
Barabarani Jane alikuwa anajitahidi sana kudrive, alikuwa kila siku anabadilika ni vitu vidogo sana vilikuwa vya kumuelekeza. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na Jane alikuwa muda wote anatabasamu tu.
“Insider nishauri ninue gari gani?”
“Subiri kwanza uzoee barabara hapo sasa tutaangalia suala la gari.”
“Hata mimi ndo ilikuwa mipango yangu. Nafikiri utanisaidia kwenye hili suala la kununua gari.”
“Usiwe na wasiwasi kwa hili.”
Baada ya kuwasili pale kwake alishuka na nikamwambia hii week nzima tutakuwa pamoja tunafanya mafunzo mpaka awe fit na yeye aliishia kufurahi tu.
Alhamisi na ijumaa hizi siku pia nilizitumia sana kufanya mafunzo na Jane. Ijumaa tulikwenda mpaka Msata na alikuwa anaendesha gari mwenyewe. Nakumbuka Kiwangwa tulipigwa mkono sababu ya over speed na tuliandikiwa tsh 30,000.
Kwa upande mwingine Jane alikuwa tayari kawa Dereva tayari na ile Ijumaa niliamua kumuachia gari yangu Ist aendelee kuitumia.
********
Jumamosi tulikuwa tunahamia ofisi mpya kwa Mikocheni na kulikuwa na kazi ya kupeleka vitu na baadhi ya mahitaji. Na hii siku niliweka zile Canvas pale ofisini na ofisi ilipendeza sana kwakweli na ilikuwa inavutia.
Nilisimamia show nzima nikiwa na Lucy kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, pia Lucy alikuwa na team yake wakipanga vitu kwa mpangilio mzuri.
Baada ya mimi kuona mambo yanakwenda vizuri nilimuaga Lucy na niliondoka na fundi kwenda Masaki na zile Canvas. Baada ya kuwasili pale ilikuwa jioni hivyo tukaziweka zile canvas sehemu zote na ofisi ilipendeza sana.
SUMAIYA: “Bossy leo umetisha sana ofisi imependeza sana.”
MIMI: “Thanks for your compliments lady.”
SUMAIYA: “Insider leo weekend naomba nitoe out.”
MIMI: “Kama baada ya hapo nitakukula sawa niko tayari.”
SUMAIYA: “Ili unifanyie kama siku ile? thubutu.”
MIMI: “Leo siku yangu mbaya sana unajua nilikuwa nakazi ya kuhamia ofisi mpya so nimechoka sana.”
SUMAIYA: “Wewe jishaue tu hapa.”
Kwa upande mwingine Sumaiya alikuwa ameanza kuwa na heshima hata ule utani wake alikuwa hana tena. Baada ya kumaliza kuweka zile Canvas, zilibaki 3 hivyo nikapata wazo, moja nitaondoka nayo, moja nitampa mama Janeth na nyingine nimpe Iryn.
Nilimpigia simu Mama Janeth ili kumpa taarifa naenda kwake na yeye alisema yupo niende tu hakuna shida. Baada ya kuwasili kwake nilitoa Canva moja nikaweka kwa bahasha kubwa na ilikuwa inapicha ya mwanamke wa kiafrica ilikuwa nzuri sana.
Baada ya kushuka kwa gari nilikaribishwa ndani na nilikuwa nimeshika ile bahasha. Ndani ya dakika kadhaa dada alikuja na korosho kwenye bakuli pamoja na juice na mimi nikaendelea kula huku namsubiri mama Janeth.
Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka na mimi nilisimama nikamsalimia.
MA’ JANETH: “Karibu sana my son.”
MIMI: “Ahsante sana, Mama mimi hata sikai maana nilikuwa ofisini nikasema nikuletee hii zawadi.”
Na muda huu nilimkabidhi ile canva na yeye akaifungua bahasha akaitoa ndani ilikuwa ni kubwa ya square.
MA’ JANETH: “Mwanangu Ahsante sana what a gift? I really like it na unisaidie kuiweka mwenyewe.”
Mama Janeth aliingia ndani akatoka na mashine nikadrill nikaweka ile picha, ofcourse canva ilikuwa kali sana hata yeye aliipenda sana na akanipa kazi nimtafutie zingine 3.
Wakati tunaendelea kuongea pale, Mama Janeth alipigiwa simu na Sumaiya na alikuwa anampa shukran kwa kupendezesha ofisi, alifikiri mama Mama Janeth ndo kahusika.
MA’ JANETH: “Insider kumbe umeweka mpaka kule ofisini?”
MIMI: “Ndio mama.”
MA’ JANETH: “Let’s go nikaone maana Sumaiya amesema Ofisi imependeza sana.”
Muda huu ilibidi tuongozane na mama Janeth mpaka pale ofisini tena na baada ya kuingia ndani aliishia kufurahi tu muda huu. Tulitoka pale ofisini na kwa mbele kidogo kama mita 100 kuna sehem wanauza vinywaji, tulikwenda kukaa pale na tukaagiza juice.
MA’ JANETH: “Mwanangu leo umenifurahisha sana kwakweli itabidi Iryn akurudishie cost zako.”
MIMI: “Mama no need nimefanya kama ukumbusho kwa ofisi kama siku sipo.”
MA’ JANETH: “Hapana hiyo ni kazi ya kampuni Iryn atalifanyia kazi hili. Lile suala lingine nilishaongea na Iryn atakutafuta muongee, kuna jambo lingine nataka kukushirikisha kama utaona lina manufaa kwako.”
MIMI: “Sawa mama wewe nishirikishe tu nakusikiliza.”
MA’ JANETH: “Mara nyingi nakuwa na wageni tofauti wa ofisi na binafsi ni kuwachukua Airport na kuwapeleka, kama unakuwa free kwa jioni na weekend uwe unafanya hii kazi. Unaonaje hili wazo kwa upande wako unakuwa unapata pesa za pembeni hutegemei mshahara tu.”
MIMI: “Mama haina shida tena nitashukuru sana kwa hili.”
MA’ JANETH: “Sawa haina shida mara nyingi huwa nawapeleka mimi au Dereva wangu au Uber. Kama wewe utakuwepo nitakuwa nakutumia wewe kwenye hili.”
MIMI: “Ahsante sana mama mimi niko tayari. Wewe muda wowote niambie hata usiwe na wasiwasi.
MA’ JANETH: “Ahsante sana mwanangu nitakuwa nakupa ratiba mapema ili ujiandae mapema.”
Nilimuaga mama Janeth pale maana nilikuwa natakiwa nikaonane na Lucy kwaajili ya kuchukua funguo then nikamkabidhi Iryn. Nilidrive gari kwa spidi sana na nilitumia muda mfupi kufika pale ofisini na nilimkuta Lucy akiwa peke yake.
“Mbona upo alone?”
“Wamendoka maana hakuna cha kufanya. Nilikuwa nakusubiri wewe nikupe key.”
“Kazi nzuri sana nafikiri Iryn atafurahi sana.”
Baada ya kuachana na Lucy nilimpigia simu Iryn kuhusu Key na akasema nimpelekee kwake pia anataka nimpeleke Capetown.
Na mimi nilitoka kwenda mpaka kwake na baada ya kufika nilipark gari usawa wa apartment yake na nikampa taarifa niko parking, sikutaka hata kuingia ndani kwake.
Ilimchukua dakika 20 Iryn kutoka ndani na baada ya kuingia kwenye gari alikaa siti za nyuma.
“Bossy sikuhizi hujali muda kabisa ni nini kimekukuta.?”
“Insider sorry kuna mtu nilikuwa nawasiliana naye ndomana.”
“Sawa wewe ni Bossy wangu mimi hata nikikesha sina shida ilimradi nalipwa mshahara.”
“Lets go tuwahi.”
Tulitoka pale na uelelekeo ulikuwa ni Capetown Fish Market sasa wakati tumekaribia Mikocheni plaza, Iryn akasema tupitie kwanza Palm Village. Na mimi nilihisi lazima tutakuwa tunampitia yule jamaa yake.
Baada ya kuwasili pale nilipark gari na muda huu Iryn alikuwa akiongea na simu. Alikuwa ana muelekeza jamaa tuliko park gari, na muda huu Iryn alishusha kioo na akampungia mkono jamaa kama kumpa ishara. Jamaa alisogea mpaka tulikopark gari akafungua mlango na akakaa siti za nyuma na Iryn.
TO BE CONTINUED
Nasemaje umeyakanyaga Mzee wanguEPISODE: 51
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
CONTINUE…
Jamaa hakuishia hapo akamkiss Iryn kwenye forehead yake na mambo yote yalikuwa yanafanyika huku mimi nashuhudia live. Muda huu nilihisi kuishiwa nguvu kabisa, niliishia kuumia tu moyoni na niliona Iryn kama alitaka kunifanyia makusudi.
Iryn alikuja kwenye gari na akaa siti za nyuma na sio kawaida yake kabisa. “What the f*ck” nilishia kutukana tu na hapa sasa nikajua Iryn ametoka kuliwa maana angekaa mbele ningemshtukia.
Alinisalimia na mimi nilimjibu fresh kabisa hata sikutaka kumwonesha sign yoyote ile. Muda huu niliongeza sauti ya mziki kwenye gari na album ya Kendrick Lamar “Mr. Morale & The Big Steppers” ndo ilikuwa kwa playlist.
Nilitoka na gari mle ndani kwa kasi sana mpaka mlinzi aliishia kushangaa tu pale mlangoni. Baada ya kufika Mikocheni Plaza Iryn alianza kuniuliza kuhusu yaliyojiri na mama Janeth lakini mimi nilijifanya kama sijamsikia, nilijifanya niko busy na kurap ngoma ya Kendrick lamar “N-95” muda huu ndo ilikuwa ikisikika.
Baada ya kuwasili kwake niliingiza gari ndani mpaka usawa wa apartment yake na akashuka. Na mimi hata sikutaka kupoteza sekunde pale, bali niligeuza gari huyo moto nikaondoka.
Ukweli mwili wangu ulikuwa mzito sana muda huu. Nilipatwa na hasira sana tena zile za wivu, maana sikutegemea kama kuna siku nitakuja kumwona Iryn akiwa na mwanaume katika mazingira kama yale.
Niliwaza pale hivi kama mimi nimeumia hivi, vipi kuhusu Mary ile siku Kidimbwi? Niliwaza pia ni mara ngapi nimemuumiza Iryn hasa suala la kujua nina mke na mtoto?. Niliishia kujilaumu tu na maneno ya Lucy yalianza kunijia
“Iryn hajataka kumpa uchi mwanaume mwingine ila akija kupata mwanaume nakuambia utakuwa umempoteza mazima.”
Niliishia kulaumu tu, baada ya kuwasili nyumbani nilishuka kwenye gari na nilikuwa mpole sana hata wife alivyoniona alihisi something wrong.
“Baba J mbona hivyo upo sawa kweli?”
“Yeah niko sawa mke wangu leo niko hovyo sana.”
“Pole, hakuna jambo lingine lolote limetokea?”
“Hamna kwakweli ningelikuambia mbona?.”
Nilikwenda ndani chumbani na muda huu simu yangu ilianza kuita ile kucheki alikuwa ni Mary akipiga, nikakumbuka nilimuahidi kwenda kumchukua kule Changanyikeni.
“Mary mambo.”
“Insider mbona hukuja kunichukua na uliahidi?”
“Sorry Mary mambo yaliingiliana nikashindwa kukupa taarifa ndo naingia hapa home now.”
“Its okay nilirequest usafiri, mbona hivyo are you ok?”
“Yeah I am good. Don’t worry about me Mary.”
“Okay have a good night.”
Niliingia bafuni kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani nikalala maana nilipitiwa na usingizi palepale.
*******
Asubuhi Iryn alinipigia simu na akanipa maagizo ya kwenda kufanya ukaguzi kwenye ofisi mpya ya Mikocheni kabla ya kuhamia.
Nilikwenda kuonana na Lucy na alinipa kampani mpaka ofisi mpya maana nilikuwa sijui ipo location gani. Ofisi mpya haikuwa mbali sana na chuo cha kodi (ITA) na pia haikuwa mbali na Palm Village. Ofisi ilikuwa ni kubwa kwakweli ni kama house na Iryn aliplan kuongeza huduma zingine kama massage lakini kwa upande wa wanawake tu.
Ofisi ilikuwa imekamilika kwa kila kitu na kimuonekano kwa ndani haikuwa tofauti na ya kule Masaki. Muda huu nilipata wazo la kutengeneza mazingira ya nje maana yalikuwa hayaridhishi kabisa. Nilitafuta mtu wa kutengeneza bustani pamoja na mazingira ya nje pamoja na kupanda miti na maua.
Nilishinda pale Mikocheni mpaka jioni ndo kila kitu kilikuwa sawa, kutokana na jinsi ofisi ilivyo nilipata wazo la kuajiri mtu wa usafi awe anamwagilia na maua.
Kwa upande mwingine niliwaza kutokana na sintofahamu inayoendelea kati yangu na Iryn niliona ni bora kujidhatiti katika kampuni pamoja na kuongeza ubunifu. Akili ilinijia ninunue mapambo kama Canvas za kuweka ukutani ili ofisi ipendeze na pia nitengeneze T-shirts za kampuni kama sare.
Usiku niliandaa report na nikamtumia Iryn kupitia kwa email na nilikuwa nimeandika na idea ya kuajiriwa kwa mtu wa usafi na mazingira kwa ujumla. Baada ya kutuma report haikuchukua muda mrefu Iryn alini reply na ujumbe uliosomeka “Nice work”.
Kwa cost zote ambazo nilikuwa natoa pesa zangu mfukoni, nilikuwa naziandikia afu kila mwisho wa mwezi nalipwa pamoja na mshahara.
Jumanne asubuhi baada ya kuachana na mama wa2 nilikwenda Kariakoo kuonana na mtu wa printing. Mtashangaa kwanini Mama wa2 tu? Maggy alikuwa ameacha kazi tangu 30/06 hivyo alikuwa anasubiri kuondoka kwenda Dodoma kwenye kazi yake mpya.
Nilikwenda Kariakoo mtaa wa Nyamwezi karibu na Sunderland towers, sasa maduka ya underground pale kuna mshikaji wangu sana ni Home boy anaprint sana hizi T-shirts.
Baada ya kuonana nilimpa mpango kazi wa kudesign logo ya kampuni pamoja na kuprint T-shirts. Kwa idadi ya wafanyakazi ilikuwa 15 lakini Iryn alikuwa anampango wa kuajiri wengine 4 kwa Masaki na Mikocheni, hivyo idadi ingekuwa 20 pamoja na mtu wa usafi.
Mipango yangu ilikuwa kuprint T-shirts za rangi nyeusi na blue, baada ya kushauriana na jamaa tuliona tuprint ziwe 48 kwa blue 24 na Black 24.
Jamaa alishauri atengeneze logo za kushonea ndo imara na zinadumu pia alishauri tshirt za form 6 ndo zitakuwa nzuri.
Gharama zote zilikuwa ni 650,000/=, baada ya kumalizana na masuala ya T-shirt nilikwenda Kijitonyama kuonana na mtu wa Canvas. Hesabu zangu kichwani niliona idadi ya canvas 20 zingetosha kabisa kwa Masaki na Mikocheni.
Jamaa baada ya kuongea naye vizuri alinifanyia Tshs 600,000/= kwa zote maana zilikuwa na ukubwa tofauti. Nilimpa kazi jamaa na akasema ndani ya siku 2 atakuwa amekamilisha kazi tayari.
*******
Jumatano Maggy aliondoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kuanza kazi mpya na makazi mapya. Saa 2 asubuhi niliwasili pale kwake kwaajili ya kumpa kampani na yeye alikuwa anatarajia kuondoka saa 5.
Muda huu Maggy alikuwa amesha jiandaa tayari na tulikuwa tumekaa seblen tukiongea.
“Insider nitakuachia key, hivi vitu kuna mtu atakuja kuvibeba jumamosi.”
“Sawa haina shida mimi unaniachia nini kama ukumbusho?”
“Anayekuja kuvichukua ni mdogo wangu ili akaanze maisha wewe usiwe na wasiwasi na mimi.”
“Sawa haina shida Maggy wangu ila nasikitika sana mteja wangu anaondoka nitakufa njaa.”
“Insider wewe usiwe na wasiwasi ukikwama unakuwa unapiga simu tunasaidiana sisi ni ndugu.”
“Poa Maggy na hizi key nazo nitampa dogo?”
“Kuna mtu nitampa namba zako atakucheki.”
Tuliondoka pale na tulianza safari ya kwenda AirPort na njian tulikuwa tukipiga sana story za mwisho mwisho. Niliwasili pale terminal 2 na nilimpa kampani Maggy mpaka ndani na tuliendelea kukaa pale nje kwenye bench tukipiga story mbalimbali.
Muda ulifika wa kucheck-in aliniaga na akatoa bahasha kwenye mkoba wake na akataka kunikabidhi.
“Insider mshahara wako huu maana ndo tarehe zenyewe.”
“Maggy keep it. No need to pay, mimi mwezi huu nilikupa offa, hata usiwe na wasiwasi.”
“Insider umechoma mafuta yako for nothing?”
“Elewa hivyo tumefanya kazi nyingi sana sioni sababu ya kukulipisha, keep it baadae unaweza kuja kuwa msaada kwangu, kama sio mimi hata watoto wangu.”
Tuliishia kukumbatiana na Maggy muda huu na aliondoka kwenda kucheck-in. Na mimi nilifanya kumtafuta dada Tyna ili nimsalimie na alisema nimsubiri.
Baada ya dakika 15 dada Tyna alikuja na tukakaa pale BAO cafe tukipiga story. Tuliongea mambo mengi sana na kubwa alisisitiza sana kwenda kwake kumsalimia. Tuliongea kama dakika 20 hivi tukaachana na mimi niliamua kwenda Mbweni kwa Jane ili tukaendelee na mafunzo yetu.
Saa 7 mchana nilikuwa nimewasili pale Mbweni na nilipark gari nje getini nikaingia ndani. Nilimkuta Jane seblen anaongea na mgeni na baada ya kuniona mimi alifurahi sana.
“Shem bora nimekuona maana nahamu ya kuendesha gari sana.”
“Ndo kilichonileta hapa kama ulikuwa hujui.”
“Shoga wewe si upo? acha nikaendelee na shule mwenzio.”
Tuliondoka na Jane na baada ya kufika kwenye gari nilimpa funguo ya gari.
“Insider tunakwenda wapi leo?”
“Upo vizuri? Nataka twende mpaka Mlimani city. Tutapita njia ya juu kwenda na kurudi tutapita ya chini.”
“Sawa haina shida.”
Lengo langu kubwa kuona Jane akizoea mazingira ya barabara tofauti ili aendelee kupunguza uoga. Tuliondoka pale na tulianza safari yetu na tulikwenda kuingia Bagamoyo road tukitokea Mbweni road pale Boko.
Tulikwenda moja kwa moja mpaka Mlimani city pale roundabout tukageuza kurudi tulikotoka. Wakati wa kurudi tulipita barabara ya chini kupitia Cocacola road mpaka tukaunga na Mwaikibaki.
Barabarani Jane alikuwa anajitahidi sana kudrive, alikuwa kila siku anabadilika ni vitu vidogo sana vilikuwa vya kumuelekeza. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na Jane alikuwa muda wote anatabasamu tu.
“Insider nishauri ninue gari gani?”
“Subiri kwanza uzoee barabara hapo sasa tutaangalia suala la gari.”
“Hata mimi ndo ilikuwa mipango yangu. Nafikiri utanisaidia kwenye hili suala la kununua gari.”
“Usiwe na wasiwasi kwa hili.”
Baada ya kuwasili pale kwake alishuka na nikamwambia hii week nzima tutakuwa pamoja tunafanya mafunzo mpaka awe fit na yeye aliishia kufurahi tu.
Alhamisi na ijumaa hizi siku pia nilizitumia sana kufanya mafunzo na Jane. Ijumaa tulikwenda mpaka Msata na alikuwa anaendesha gari mwenyewe. Nakumbuka Kiwangwa tulipigwa mkono sababu ya over speed na tuliandikiwa tsh 30,000.
Kwa upande mwingine Jane alikuwa tayari kawa Dereva tayari na ile Ijumaa niliamua kumuachia gari yangu Ist aendelee kuitumia.
********
Jumamosi tulikuwa tunahamia ofisi mpya kwa Mikocheni na kulikuwa na kazi ya kupeleka vitu na baadhi ya mahitaji. Na hii siku niliweka zile Canvas pale ofisini na ofisi ilipendeza sana kwakweli na ilikuwa inavutia.
Nilisimamia show nzima nikiwa na Lucy kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, pia Lucy alikuwa na team yake wakipanga vitu kwa mpangilio mzuri.
Baada ya mimi kuona mambo yanakwenda vizuri nilimuaga Lucy na niliondoka na fundi kwenda Masaki na zile Canvas. Baada ya kuwasili pale ilikuwa jioni hivyo tukaziweka zile canvas sehemu zote na ofisi ilipendeza sana.
SUMAIYA: “Bossy leo umetisha sana ofisi imependeza sana.”
MIMI: “Thanks for your compliments lady.”
SUMAIYA: “Insider leo weekend naomba nitoe out.”
MIMI: “Kama baada ya hapo nitakukula sawa niko tayari.”
SUMAIYA: “Ili unifanyie kama siku ile? thubutu.”
MIMI: “Leo siku yangu mbaya sana unajua nilikuwa nakazi ya kuhamia ofisi mpya so nimechoka sana.”
SUMAIYA: “Wewe jishaue tu hapa.”
Kwa upande mwingine Sumaiya alikuwa ameanza kuwa na heshima hata ule utani wake alikuwa hana tena. Baada ya kumaliza kuweka zile Canvas, zilibaki 3 hivyo nikapata wazo, moja nitaondoka nayo, moja nitampa mama Janeth na nyingine nimpe Iryn.
Nilimpigia simu Mama Janeth ili kumpa taarifa naenda kwake na yeye alisema yupo niende tu hakuna shida. Baada ya kuwasili kwake nilitoa Canva moja nikaweka kwa bahasha kubwa na ilikuwa inapicha ya mwanamke wa kiafrica ilikuwa nzuri sana.
Baada ya kushuka kwa gari nilikaribishwa ndani na nilikuwa nimeshika ile bahasha. Ndani ya dakika kadhaa dada alikuja na korosho kwenye bakuli pamoja na juice na mimi nikaendelea kula huku namsubiri mama Janeth.
Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka na mimi nilisimama nikamsalimia.
MA’ JANETH: “Karibu sana my son.”
MIMI: “Ahsante sana, Mama mimi hata sikai maana nilikuwa ofisini nikasema nikuletee hii zawadi.”
Na muda huu nilimkabidhi ile canva na yeye akaifungua bahasha akaitoa ndani ilikuwa ni kubwa ya square.
MA’ JANETH: “Mwanangu Ahsante sana what a gift? I really like it na unisaidie kuiweka mwenyewe.”
Mama Janeth aliingia ndani akatoka na mashine nikadrill nikaweka ile picha, ofcourse canva ilikuwa kali sana hata yeye aliipenda sana na akanipa kazi nimtafutie zingine 3.
Wakati tunaendelea kuongea pale, Mama Janeth alipigiwa simu na Sumaiya na alikuwa anampa shukran kwa kupendezesha ofisi, alifikiri mama Mama Janeth ndo kahusika.
MA’ JANETH: “Insider kumbe umeweka mpaka kule ofisini?”
MIMI: “Ndio mama.”
MA’ JANETH: “Let’s go nikaone maana Sumaiya amesema Ofisi imependeza sana.”
Muda huu ilibidi tuongozane na mama Janeth mpaka pale ofisini tena na baada ya kuingia ndani aliishia kufurahi tu muda huu. Tulitoka pale ofisini na kwa mbele kidogo kama mita 100 kuna sehem wanauza vinywaji, tulikwenda kukaa pale na tukaagiza juice.
MA’ JANETH: “Mwanangu leo umenifurahisha sana kwakweli itabidi Iryn akurudishie cost zako.”
MIMI: “Mama no need nimefanya kama ukumbusho kwa ofisi kama siku sipo.”
MA’ JANETH: “Hapana hiyo ni kazi ya kampuni Iryn atalifanyia kazi hili. Lile suala lingine nilishaongea na Iryn atakutafuta muongee, kuna jambo lingine nataka kukushirikisha kama utaona lina manufaa kwako.”
MIMI: “Sawa mama wewe nishirikishe tu nakusikiliza.”
MA’ JANETH: “Mara nyingi nakuwa na wageni tofauti wa ofisi na binafsi ni kuwachukua Airport na kuwapeleka, kama unakuwa free kwa jioni na weekend uwe unafanya hii kazi. Unaonaje hili wazo kwa upande wako unakuwa unapata pesa za pembeni hutegemei mshahara tu.”
MIMI: “Mama haina shida tena nitashukuru sana kwa hili.”
MA’ JANETH: “Sawa haina shida mara nyingi huwa nawapeleka mimi au Dereva wangu au Uber. Kama wewe utakuwepo nitakuwa nakutumia wewe kwenye hili.”
MIMI: “Ahsante sana mama mimi niko tayari. Wewe muda wowote niambie hata usiwe na wasiwasi.
MA’ JANETH: “Ahsante sana mwanangu nitakuwa nakupa ratiba mapema ili ujiandae mapema.”
Nilimuaga mama Janeth pale maana nilikuwa natakiwa nikaonane na Lucy kwaajili ya kuchukua funguo then nikamkabidhi Iryn. Nilidrive gari kwa spidi sana na nilitumia muda mfupi kufika pale ofisini na nilimkuta Lucy akiwa peke yake.
“Mbona upo alone?”
“Wamendoka maana hakuna cha kufanya. Nilikuwa nakusubiri wewe nikupe key.”
“Kazi nzuri sana nafikiri Iryn atafurahi sana.”
Baada ya kuachana na Lucy nilimpigia simu Iryn kuhusu Key na akasema nimpelekee kwake pia anataka nimpeleke Capetown.
Na mimi nilitoka kwenda mpaka kwake na baada ya kufika nilipark gari usawa wa apartment yake na nikampa taarifa niko parking, sikutaka hata kuingia ndani kwake.
Ilimchukua dakika 20 Iryn kutoka ndani na baada ya kuingia kwenye gari alikaa siti za nyuma.
“Bossy sikuhizi hujali muda kabisa ni nini kimekukuta.?”
“Insider sorry kuna mtu nilikuwa nawasiliana naye ndomana.”
“Sawa wewe ni Bossy wangu mimi hata nikikesha sina shida ilimradi nalipwa mshahara.”
“Lets go tuwahi.”
Tulitoka pale na uelelekeo ulikuwa ni Capetown Fish Market sasa wakati tumekaribia Mikocheni plaza, Iryn akasema tupitie kwanza Palm Village. Na mimi nilihisi lazima tutakuwa tunampitia yule jamaa yake.
Baada ya kuwasili pale nilipark gari na muda huu Iryn alikuwa akiongea na simu. Alikuwa ana muelekeza jamaa tuliko park gari, na muda huu Iryn alishusha kioo na akampungia mkono jamaa kama kumpa ishara. Jamaa alisogea mpaka tulikopark gari akafungua mlango na akakaa siti za nyuma na Iryn.
TO BE CONTINUED
EPISODE: 51
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”
Muda huu mawazo yangu kichwani yalikuwa yananiambia Iryn alikuwa analiwa haiwezekani aniweke zaidi ya nusu saa. Ahh k*m*nina niliishia kutukana tu muda ule.
CONTINUE…
Jamaa hakuishia hapo akamkiss Iryn kwenye forehead yake na mambo yote yalikuwa yanafanyika huku mimi nashuhudia live. Muda huu nilihisi kuishiwa nguvu kabisa, niliishia kuumia tu moyoni na niliona Iryn kama alitaka kunifanyia makusudi.
Iryn alikuja kwenye gari na akaa siti za nyuma na sio kawaida yake kabisa. “What the f*ck” nilishia kutukana tu na hapa sasa nikajua Iryn ametoka kuliwa maana angekaa mbele ningemshtukia.
Alinisalimia na mimi nilimjibu fresh kabisa hata sikutaka kumwonesha sign yoyote ile. Muda huu niliongeza sauti ya mziki kwenye gari na album ya Kendrick Lamar “Mr. Morale & The Big Steppers” ndo ilikuwa kwa playlist.
Nilitoka na gari mle ndani kwa kasi sana mpaka mlinzi aliishia kushangaa tu pale mlangoni. Baada ya kufika Mikocheni Plaza Iryn alianza kuniuliza kuhusu yaliyojiri na mama Janeth lakini mimi nilijifanya kama sijamsikia, nilijifanya niko busy na kurap ngoma ya Kendrick lamar “N-95” muda huu ndo ilikuwa ikisikika.
Baada ya kuwasili kwake niliingiza gari ndani mpaka usawa wa apartment yake na akashuka. Na mimi hata sikutaka kupoteza sekunde pale, bali niligeuza gari huyo moto nikaondoka.
Ukweli mwili wangu ulikuwa mzito sana muda huu. Nilipatwa na hasira sana tena zile za wivu, maana sikutegemea kama kuna siku nitakuja kumwona Iryn akiwa na mwanaume katika mazingira kama yale.
Niliwaza pale hivi kama mimi nimeumia hivi, vipi kuhusu Mary ile siku Kidimbwi? Niliwaza pia ni mara ngapi nimemuumiza Iryn hasa suala la kujua nina mke na mtoto?. Niliishia kujilaumu tu na maneno ya Lucy yalianza kunijia
“Iryn hajataka kumpa uchi mwanaume mwingine ila akija kupata mwanaume nakuambia utakuwa umempoteza mazima.”
Niliishia kulaumu tu, baada ya kuwasili nyumbani nilishuka kwenye gari na nilikuwa mpole sana hata wife alivyoniona alihisi something wrong.
“Baba J mbona hivyo upo sawa kweli?”
“Yeah niko sawa mke wangu leo niko hovyo sana.”
“Pole, hakuna jambo lingine lolote limetokea?”
“Hamna kwakweli ningelikuambia mbona?.”
Nilikwenda ndani chumbani na muda huu simu yangu ilianza kuita ile kucheki alikuwa ni Mary akipiga, nikakumbuka nilimuahidi kwenda kumchukua kule Changanyikeni.
“Mary mambo.”
“Insider mbona hukuja kunichukua na uliahidi?”
“Sorry Mary mambo yaliingiliana nikashindwa kukupa taarifa ndo naingia hapa home now.”
“Its okay nilirequest usafiri, mbona hivyo are you ok?”
“Yeah I am good. Don’t worry about me Mary.”
“Okay have a good night.”
Niliingia bafuni kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani nikalala maana nilipitiwa na usingizi palepale.
*******
Asubuhi Iryn alinipigia simu na akanipa maagizo ya kwenda kufanya ukaguzi kwenye ofisi mpya ya Mikocheni kabla ya kuhamia.
Nilikwenda kuonana na Lucy na alinipa kampani mpaka ofisi mpya maana nilikuwa sijui ipo location gani. Ofisi mpya haikuwa mbali sana na chuo cha kodi (ITA) na pia haikuwa mbali na Palm Village. Ofisi ilikuwa ni kubwa kwakweli ni kama house na Iryn aliplan kuongeza huduma zingine kama massage lakini kwa upande wa wanawake tu.
Ofisi ilikuwa imekamilika kwa kila kitu na kimuonekano kwa ndani haikuwa tofauti na ya kule Masaki. Muda huu nilipata wazo la kutengeneza mazingira ya nje maana yalikuwa hayaridhishi kabisa. Nilitafuta mtu wa kutengeneza bustani pamoja na mazingira ya nje pamoja na kupanda miti na maua.
Nilishinda pale Mikocheni mpaka jioni ndo kila kitu kilikuwa sawa, kutokana na jinsi ofisi ilivyo nilipata wazo la kuajiri mtu wa usafi awe anamwagilia na maua.
Kwa upande mwingine niliwaza kutokana na sintofahamu inayoendelea kati yangu na Iryn niliona ni bora kujidhatiti katika kampuni pamoja na kuongeza ubunifu. Akili ilinijia ninunue mapambo kama Canvas za kuweka ukutani ili ofisi ipendeze na pia nitengeneze T-shirts za kampuni kama sare.
Usiku niliandaa report na nikamtumia Iryn kupitia kwa email na nilikuwa nimeandika na idea ya kuajiriwa kwa mtu wa usafi na mazingira kwa ujumla. Baada ya kutuma report haikuchukua muda mrefu Iryn alini reply na ujumbe uliosomeka “Nice work”.
Kwa cost zote ambazo nilikuwa natoa pesa zangu mfukoni, nilikuwa naziandikia afu kila mwisho wa mwezi nalipwa pamoja na mshahara.
Jumanne asubuhi baada ya kuachana na mama wa2 nilikwenda Kariakoo kuonana na mtu wa printing. Mtashangaa kwanini Mama wa2 tu? Maggy alikuwa ameacha kazi tangu 30/06 hivyo alikuwa anasubiri kuondoka kwenda Dodoma kwenye kazi yake mpya.
Nilikwenda Kariakoo mtaa wa Nyamwezi karibu na Sunderland towers, sasa maduka ya underground pale kuna mshikaji wangu sana ni Home boy anaprint sana hizi T-shirts.
Baada ya kuonana nilimpa mpango kazi wa kudesign logo ya kampuni pamoja na kuprint T-shirts. Kwa idadi ya wafanyakazi ilikuwa 15 lakini Iryn alikuwa anampango wa kuajiri wengine 4 kwa Masaki na Mikocheni, hivyo idadi ingekuwa 20 pamoja na mtu wa usafi.
Mipango yangu ilikuwa kuprint T-shirts za rangi nyeusi na blue, baada ya kushauriana na jamaa tuliona tuprint ziwe 48 kwa blue 24 na Black 24.
Jamaa alishauri atengeneze logo za kushonea ndo imara na zinadumu pia alishauri tshirt za form 6 ndo zitakuwa nzuri.
Gharama zote zilikuwa ni 650,000/=, baada ya kumalizana na masuala ya T-shirt nilikwenda Kijitonyama kuonana na mtu wa Canvas. Hesabu zangu kichwani niliona idadi ya canvas 20 zingetosha kabisa kwa Masaki na Mikocheni.
Jamaa baada ya kuongea naye vizuri alinifanyia Tshs 600,000/= kwa zote maana zilikuwa na ukubwa tofauti. Nilimpa kazi jamaa na akasema ndani ya siku 2 atakuwa amekamilisha kazi tayari.
*******
Jumatano Maggy aliondoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kuanza kazi mpya na makazi mapya. Saa 2 asubuhi niliwasili pale kwake kwaajili ya kumpa kampani na yeye alikuwa anatarajia kuondoka saa 5.
Muda huu Maggy alikuwa amesha jiandaa tayari na tulikuwa tumekaa seblen tukiongea.
“Insider nitakuachia key, hivi vitu kuna mtu atakuja kuvibeba jumamosi.”
“Sawa haina shida mimi unaniachia nini kama ukumbusho?”
“Anayekuja kuvichukua ni mdogo wangu ili akaanze maisha wewe usiwe na wasiwasi na mimi.”
“Sawa haina shida Maggy wangu ila nasikitika sana mteja wangu anaondoka nitakufa njaa.”
“Insider wewe usiwe na wasiwasi ukikwama unakuwa unapiga simu tunasaidiana sisi ni ndugu.”
“Poa Maggy na hizi key nazo nitampa dogo?”
“Kuna mtu nitampa namba zako atakucheki.”
Tuliondoka pale na tulianza safari ya kwenda AirPort na njian tulikuwa tukipiga sana story za mwisho mwisho. Niliwasili pale terminal 2 na nilimpa kampani Maggy mpaka ndani na tuliendelea kukaa pale nje kwenye bench tukipiga story mbalimbali.
Muda ulifika wa kucheck-in aliniaga na akatoa bahasha kwenye mkoba wake na akataka kunikabidhi.
“Insider mshahara wako huu maana ndo tarehe zenyewe.”
“Maggy keep it. No need to pay, mimi mwezi huu nilikupa offa, hata usiwe na wasiwasi.”
“Insider umechoma mafuta yako for nothing?”
“Elewa hivyo tumefanya kazi nyingi sana sioni sababu ya kukulipisha, keep it baadae unaweza kuja kuwa msaada kwangu, kama sio mimi hata watoto wangu.”
Tuliishia kukumbatiana na Maggy muda huu na aliondoka kwenda kucheck-in. Na mimi nilifanya kumtafuta dada Tyna ili nimsalimie na alisema nimsubiri.
Baada ya dakika 15 dada Tyna alikuja na tukakaa pale BAO cafe tukipiga story. Tuliongea mambo mengi sana na kubwa alisisitiza sana kwenda kwake kumsalimia. Tuliongea kama dakika 20 hivi tukaachana na mimi niliamua kwenda Mbweni kwa Jane ili tukaendelee na mafunzo yetu.
Saa 7 mchana nilikuwa nimewasili pale Mbweni na nilipark gari nje getini nikaingia ndani. Nilimkuta Jane seblen anaongea na mgeni na baada ya kuniona mimi alifurahi sana.
“Shem bora nimekuona maana nahamu ya kuendesha gari sana.”
“Ndo kilichonileta hapa kama ulikuwa hujui.”
“Shoga wewe si upo? acha nikaendelee na shule mwenzio.”
Tuliondoka na Jane na baada ya kufika kwenye gari nilimpa funguo ya gari.
“Insider tunakwenda wapi leo?”
“Upo vizuri? Nataka twende mpaka Mlimani city. Tutapita njia ya juu kwenda na kurudi tutapita ya chini.”
“Sawa haina shida.”
Lengo langu kubwa kuona Jane akizoea mazingira ya barabara tofauti ili aendelee kupunguza uoga. Tuliondoka pale na tulianza safari yetu na tulikwenda kuingia Bagamoyo road tukitokea Mbweni road pale Boko.
Tulikwenda moja kwa moja mpaka Mlimani city pale roundabout tukageuza kurudi tulikotoka. Wakati wa kurudi tulipita barabara ya chini kupitia Cocacola road mpaka tukaunga na Mwaikibaki.
Barabarani Jane alikuwa anajitahidi sana kudrive, alikuwa kila siku anabadilika ni vitu vidogo sana vilikuwa vya kumuelekeza. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na Jane alikuwa muda wote anatabasamu tu.
“Insider nishauri ninue gari gani?”
“Subiri kwanza uzoee barabara hapo sasa tutaangalia suala la gari.”
“Hata mimi ndo ilikuwa mipango yangu. Nafikiri utanisaidia kwenye hili suala la kununua gari.”
“Usiwe na wasiwasi kwa hili.”
Baada ya kuwasili pale kwake alishuka na nikamwambia hii week nzima tutakuwa pamoja tunafanya mafunzo mpaka awe fit na yeye aliishia kufurahi tu.
Alhamisi na ijumaa hizi siku pia nilizitumia sana kufanya mafunzo na Jane. Ijumaa tulikwenda mpaka Msata na alikuwa anaendesha gari mwenyewe. Nakumbuka Kiwangwa tulipigwa mkono sababu ya over speed na tuliandikiwa tsh 30,000.
Kwa upande mwingine Jane alikuwa tayari kawa Dereva tayari na ile Ijumaa niliamua kumuachia gari yangu Ist aendelee kuitumia.
********
Jumamosi tulikuwa tunahamia ofisi mpya kwa Mikocheni na kulikuwa na kazi ya kupeleka vitu na baadhi ya mahitaji. Na hii siku niliweka zile Canvas pale ofisini na ofisi ilipendeza sana kwakweli na ilikuwa inavutia.
Nilisimamia show nzima nikiwa na Lucy kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, pia Lucy alikuwa na team yake wakipanga vitu kwa mpangilio mzuri.
Baada ya mimi kuona mambo yanakwenda vizuri nilimuaga Lucy na niliondoka na fundi kwenda Masaki na zile Canvas. Baada ya kuwasili pale ilikuwa jioni hivyo tukaziweka zile canvas sehemu zote na ofisi ilipendeza sana.
SUMAIYA: “Bossy leo umetisha sana ofisi imependeza sana.”
MIMI: “Thanks for your compliments lady.”
SUMAIYA: “Insider leo weekend naomba nitoe out.”
MIMI: “Kama baada ya hapo nitakukula sawa niko tayari.”
SUMAIYA: “Ili unifanyie kama siku ile? thubutu.”
MIMI: “Leo siku yangu mbaya sana unajua nilikuwa nakazi ya kuhamia ofisi mpya so nimechoka sana.”
SUMAIYA: “Wewe jishaue tu hapa.”
Kwa upande mwingine Sumaiya alikuwa ameanza kuwa na heshima hata ule utani wake alikuwa hana tena. Baada ya kumaliza kuweka zile Canvas, zilibaki 3 hivyo nikapata wazo, moja nitaondoka nayo, moja nitampa mama Janeth na nyingine nimpe Iryn.
Nilimpigia simu Mama Janeth ili kumpa taarifa naenda kwake na yeye alisema yupo niende tu hakuna shida. Baada ya kuwasili kwake nilitoa Canva moja nikaweka kwa bahasha kubwa na ilikuwa inapicha ya mwanamke wa kiafrica ilikuwa nzuri sana.
Baada ya kushuka kwa gari nilikaribishwa ndani na nilikuwa nimeshika ile bahasha. Ndani ya dakika kadhaa dada alikuja na korosho kwenye bakuli pamoja na juice na mimi nikaendelea kula huku namsubiri mama Janeth.
Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka na mimi nilisimama nikamsalimia.
MA’ JANETH: “Karibu sana my son.”
MIMI: “Ahsante sana, Mama mimi hata sikai maana nilikuwa ofisini nikasema nikuletee hii zawadi.”
Na muda huu nilimkabidhi ile canva na yeye akaifungua bahasha akaitoa ndani ilikuwa ni kubwa ya square.
MA’ JANETH: “Mwanangu Ahsante sana what a gift? I really like it na unisaidie kuiweka mwenyewe.”
Mama Janeth aliingia ndani akatoka na mashine nikadrill nikaweka ile picha, ofcourse canva ilikuwa kali sana hata yeye aliipenda sana na akanipa kazi nimtafutie zingine 3.
Wakati tunaendelea kuongea pale, Mama Janeth alipigiwa simu na Sumaiya na alikuwa anampa shukran kwa kupendezesha ofisi, alifikiri mama Mama Janeth ndo kahusika.
MA’ JANETH: “Insider kumbe umeweka mpaka kule ofisini?”
MIMI: “Ndio mama.”
MA’ JANETH: “Let’s go nikaone maana Sumaiya amesema Ofisi imependeza sana.”
Muda huu ilibidi tuongozane na mama Janeth mpaka pale ofisini tena na baada ya kuingia ndani aliishia kufurahi tu muda huu. Tulitoka pale ofisini na kwa mbele kidogo kama mita 100 kuna sehem wanauza vinywaji, tulikwenda kukaa pale na tukaagiza juice.
MA’ JANETH: “Mwanangu leo umenifurahisha sana kwakweli itabidi Iryn akurudishie cost zako.”
MIMI: “Mama no need nimefanya kama ukumbusho kwa ofisi kama siku sipo.”
MA’ JANETH: “Hapana hiyo ni kazi ya kampuni Iryn atalifanyia kazi hili. Lile suala lingine nilishaongea na Iryn atakutafuta muongee, kuna jambo lingine nataka kukushirikisha kama utaona lina manufaa kwako.”
MIMI: “Sawa mama wewe nishirikishe tu nakusikiliza.”
MA’ JANETH: “Mara nyingi nakuwa na wageni tofauti wa ofisi na binafsi ni kuwachukua Airport na kuwapeleka, kama unakuwa free kwa jioni na weekend uwe unafanya hii kazi. Unaonaje hili wazo kwa upande wako unakuwa unapata pesa za pembeni hutegemei mshahara tu.”
MIMI: “Mama haina shida tena nitashukuru sana kwa hili.”
MA’ JANETH: “Sawa haina shida mara nyingi huwa nawapeleka mimi au Dereva wangu au Uber. Kama wewe utakuwepo nitakuwa nakutumia wewe kwenye hili.”
MIMI: “Ahsante sana mama mimi niko tayari. Wewe muda wowote niambie hata usiwe na wasiwasi.
MA’ JANETH: “Ahsante sana mwanangu nitakuwa nakupa ratiba mapema ili ujiandae mapema.”
Nilimuaga mama Janeth pale maana nilikuwa natakiwa nikaonane na Lucy kwaajili ya kuchukua funguo then nikamkabidhi Iryn. Nilidrive gari kwa spidi sana na nilitumia muda mfupi kufika pale ofisini na nilimkuta Lucy akiwa peke yake.
“Mbona upo alone?”
“Wamendoka maana hakuna cha kufanya. Nilikuwa nakusubiri wewe nikupe key.”
“Kazi nzuri sana nafikiri Iryn atafurahi sana.”
Baada ya kuachana na Lucy nilimpigia simu Iryn kuhusu Key na akasema nimpelekee kwake pia anataka nimpeleke Capetown.
Na mimi nilitoka kwenda mpaka kwake na baada ya kufika nilipark gari usawa wa apartment yake na nikampa taarifa niko parking, sikutaka hata kuingia ndani kwake.
Ilimchukua dakika 20 Iryn kutoka ndani na baada ya kuingia kwenye gari alikaa siti za nyuma.
“Bossy sikuhizi hujali muda kabisa ni nini kimekukuta.?”
“Insider sorry kuna mtu nilikuwa nawasiliana naye ndomana.”
“Sawa wewe ni Bossy wangu mimi hata nikikesha sina shida ilimradi nalipwa mshahara.”
“Lets go tuwahi.”
Tulitoka pale na uelelekeo ulikuwa ni Capetown Fish Market sasa wakati tumekaribia Mikocheni plaza, Iryn akasema tupitie kwanza Palm Village. Na mimi nilihisi lazima tutakuwa tunampitia yule jamaa yake.
Baada ya kuwasili pale nilipark gari na muda huu Iryn alikuwa akiongea na simu. Alikuwa ana muelekeza jamaa tuliko park gari, na muda huu Iryn alishusha kioo na akampungia mkono jamaa kama kumpa ishara. Jamaa alisogea mpaka tulikopark gari akafungua mlango na akakaa siti za nyuma na Iryn.
TO BE CONTINUED