Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Uko kwenye cluster c personality[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
 
upande wa chuo hakunaga rafiki
Chuoni mnakutana my watu wazima so huwezi mjua mtu nje ndani pia hata Kama mtu mchoyo ana Tabia nzuri ama mbaya huwezi jua Mana ameshakuwa mkubwa so anayaficha mabaya yake.
Ila Sasa njoo mkiwa wadogo Kama huko olevo advance and primary pale unamjua mtu uhalisia wake,Mana Kama Kuna mwingine hapendi kuelekezwa wenzake eti watajua na watamzidi. Kuna mwingine akiazimwa pamphlet ukilitoa kopi anaichana kopi yako.
Ingawa mie rafiki yangu wa kuzikana na kufa nimetoka nimekutana naye chuoni na huwa inatokea in rare case mno
 
Hapo mfano ingekuwa ni kweli mshikaji anafanya dili lake kupitia ofisi tayari mkewe alikuwa ameshamchoma
 
I couldn't agree more!
 
Huu uzi unanifurahisha jinsi Me mnavyopeana mbinu yaani mko bega kwa bega na Insider [emoji1787]
Na me wengi hapa hatujakubali Iryn aachiwe bila kukazwa, tunampa mbinu kijana wetu afanye yake, yaani jogoo awike usiku wa manane na Iryn apige viyowe vya aaaassh ooooh insider insider waoooh jamani 😊 😊

Hapo ndipo tutamruhusu kijana aachane naye mazima 😄
 
Ila naona Iryn hakuliwa maana insider alishapoteza chance nyingii
 
Kuliwa buyu kunauma, mpango wake wa kumuumiza Insider anaona unabuma

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa kaingia mzima mzima mpaka kwenda kwao,kuhang na Mary mara Eva.
Labda mama J hana connection,na vile hajaolewa hata akijua hana cha kufanya.
Poor mama J
Haha hao ndiyo wanaume....wenyewe wanajiita vichwa vya familia, ngoja tuone hiki kiunzi anakirukaje bwana mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…