Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nmesikitika sana.... How come mchepuko hata kama ako preg ndio aongoze league?
Mama J angesimama hapo ingekuwa safi lakini sio mtu inginee... Daamn!!

I smell demise the man who was supposed to be the incharge of everything around him!

Ijumaa itakuja kwa masikitiko makubwa mnoooo...... Kudabanken......
 
Ila kikubwa mwana ako na friends kitoka nje ya nchi so angalau wanaweza wakawa wanaacha maokoto kimtindo ukiangalia wao uchumi wao uko poa kuliko akina Tz
 
roho nzuri wakati anawachanga kama karata,

mnaongea tu kwa vile ni simulizi
Unajiskia kweli au basi, maana nikiendelea wasije kusema nimesaidia kuwatangazia azam biashara yao burudani kwa wote, au Kilimanjaro lager kiburudisho cha taifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimekuelewa Budah..unatisha Baharia.
 
Mwamba anaanza kukera sasa.

Kuna wa kuwapa umuhimu na kuwaacha, mbona makosa mengi sana kuelekea kikao
 
Daah! Yani unaenda kwa bosi na mchepuko tena isitoshe bosi ana ukaribu na mkeo? Hapa sasa ule ugentle hamna yani nimekutapika mtu wangu...
 
episodes zinazofata ni pigo kwa insider mixer regret za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…