Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Tupo pamoja
Mimi ni msomaji wako mkuu na nakufuatilia vizuri Mr INSIDER MAN

Ila naomba nifanye uchambuzi kidogo, Sio Criticism ni uchambuzi tu, Nothing to hold maana ni story ya kweli[emoji16]

1.NIMEGUNDUA KUA KITAMBO ULIKUA UPO DIRECT SANA KWENYE MASIMULIZI YAKO (DIALOGUE ZILIKUA CHACHE NA ULIKUA UNAELEZEA MATUKIO MUHIMU, TUKIO JUU YA TUKIO)

NOWDAYS KUNA MAELEZO LIKE "NILIMPIGIA MARA YA KWANZA LAKINI AKAWA HAJAPOKEA, AKAPIGA MARA YA PILI AKAPOKEA AKANIAMBIA KUA NILIKUA BAFUNI[emoji16]"

MYSELF SIJAPENDA HAYA MABADILIKO, ILA NAENDELEA NA NAPENDA HII SIMULIZI

2.NAKUPONGEZA KWENYE SUALA KUMBUKUMBU (ZA MAJINA YA MIGAHAWA NA MAENEO ULIYOFIKA HATA KAMA NDIYO MARA YAKO YA KWANZA KUFIKA)


UTASIKIA "BAADA YA KUTOKA NA MAMA JANETH KWENYE ILE ORGANISATION, TUKAPATA ZETU LUNCH PALE S2KIZZY RESTAURANT"[emoji120][emoji91]
NADHANI HATA HIZI DIALOGUE PIA ZINAREFLECT MAZUNGUMZO YENU MLIVYOZUNGUMZA KAMA ILIVYOKUA, HAU ADD CHUMVI[emoji120]

3.KUNA SEHEMU UNAWACHANGANYA PRISCA NA MARRY KWENYE MAELEZO

NADHANI WAFUATILIAJI WENZANGU HIKI KISECTION WATAKUA WAMEKIONA KIPO JUU JUU HUKO SIJUI HEINEKEN ZILIKUA ZISHANOGA HAPO[emoji16]

4. PIA NIMEPENDA SASA HIVI HUA UNATUINCLUDE SISI WASOMAJI WAKO KWENYE STORY YAKO YA KWELI, INALETA LADHA FLANI HIVI[emoji39]

LIKE "NIKAMPITIA MAMA WA2, *NAJUA MTASHANGAA (sisi hao[emoji16]) MAGGY ALIACHA KAZI TANGU......., SEEMS LIKE ASAIV UNAIFIKIRIA REACTION YA HADHIRA YAKO UKIWA UNAANDIKA STORY, KULIKO MAENDELEO YA STORY YENYEWE ......"

5.PIA NIMEPENDA THE WAY EPISODE ZAKO ZINAVYOISHILIZIA, LAZIMA MTU UWE NA SHAUKU YAANI YA KUPATA EPISODE INAYOFATA.....NIMEKUMBUKA ENZI ZA PB EPISODE TUNAZIPATA KWA KUNYATA[emoji16]

6.NIMEPENDA UNAVYOMUHESHIMU BOSS WAKO, NA SOMETIMES UNAVYOMKUMBATIA KWA NYUMA LIKE SOMETHING FISHY IS GOING ON[emoji16]

7.NIMEPENDA THE WAY UNAANDIKA MATUKIO KWA MTIRIRIKO N MPANGILIO MZURI NA WENYE KUVUTIA


8.NIMEPENDA THE WAY UNAVYOADD CHUMVI/CHUKU KWENYE NARRATION YAKO , NILIFURAHI KUONA KISECTION FLANI KINAELEZEA KUA MZEE PAMA ULIKUA UNAMUOTA MPAKA UNAWEWESEKA USIKU[emoji16][emoji1787]

MAONI YANGU

1.KUA DIRECT KAMA ZAMANI , I MEAN ULIPOANZA KUANDIKA HII STORY (OMIT BAADHI YA MAELEZO YANABOA)...LIKE "BAADA YA KUPATA MKATABA KAMA OPERATION MANAGER NIKAFANYA KAZI KWA MUDA FLANI FLANI, IKAWA HIVI HIVI CHANGAMOTO NILIZOPATA HIZI HIZI ..."
WEWE NI MWANA UCHUMI ZINGATIA HADI UCHUMI KWENYE MAELEZO[emoji16]

NA SIO "NIKATOKA MIGOMIGO NIKAENDA POSTA KUCHUKUA ILE MIZIGO, KURUDI IRYN AKANIPIGIA, NIKAMWAMBIA BLAH BLAH....." USHAURI TU MAANA NI STORY YA KWELI HIYO ILA KUNA MUDA TUNAHITAJI MATUKIO MUHIMU ZAIDI TUJIFUNZE[emoji120]

BINAFSI NILIKUA NAPENDA UNAVYOSIMULIA MATUKIO KWA PICHA KUBWA, KULIKO UNAVYOSIMULIA KWA PICHA NDOGO (KAMA PROJECT HAPA UNASIMULIA HADI ACTIVITIES ZA HIYO PROJECT)

2.PUNGUZA CHUKU / CHUMVI

ZITAFANYA STORY YAKO YA KWELI IONEKANE SIO YA KWELI JAPO TUNAJIFUNZA

KUWEWESEKA USIKU BAADA YA MZEE PAMA KUA ANAKUTOKEA USIKU IKANIFANYA NIONE SOMETHING FISHY IS GOING ON KWENYE STORY YAKO AU KATI YAKO NA MZEE PAMA, AMBAYE MMEKUTANA TU UKUBWANI[emoji16]

3.KUWA PREDICTABLE KWENYE HII STORY YAKO YWA KWELI...TUPO WATU MPAKA LEO HATUJUI HUYO MDADA ULIYEKUTANA NAE KWENYE UBER NI NANI GOLATA,IRYN,PRISCA AU NANI NA NAJUA UNAJUA, ILA UMEICHA ISIWE PREDICTABLE MAKUSUDICALLY ILI EPISODE ZIWE NYINGI[emoji16][emoji120]

BUT NAJUA MUAJEMI KWAKO NI MJINGA NA HANA UGENIUS WA KUTAMBUA MAMBO NA LAZIMA HELA ILI AKUTUMIE , NA HATA UKITAKA KUMPIGA TENA NA TENA KWAKO INAWEZEKANA KWAKO (SEEMS LIKE MATUKIO YAKO NA MUAJEMI YAPO PREDICTABLE AT ALL)


MWISHO KABISA NIKUPONGEZE, KIJANA MWENYE BAHATI KWA KUTUBURUDISHA NA STORY YAKO YA KWELI, HII INATUPA FUNZO NA EXPERIENCE KWA MAMBO AMBAYO WENGINE HATUJAWAHI KUYASHUHUDIA AU KUYASIKIA, KONGOLE MKUU[emoji120]

NOTHING TO HOLD, NI UCHAMBUZI TU SIO CRITICISM, USIJE DHANI SOMETHING FISHY IS GOING ON[emoji16][emoji120]View attachment 2752885
 
Anachokifanya sasa hivi ni kufanya hadithi iwe ndefu kwa kujaza vitu ambavyo havina maana.

To be honest mwanetu huku mwishoni amekuja kua fala mno. Yule kijana mpambanaji mpambania fursa mapenzi yashamvuruga anafanya mistakes daily kama Maguire.

Kama unaboreka kuna Ignore button simple tu.

Tambua hii sio story ya kutunga ni matukio yaliyonitokea hizo dialogue lazima ziwepo.

Hadithi ya singanojr itakufaa zaidi,
 
Nmesikitika sana.... How come mchepuko hata kama ako preg ndio aongoze league?
Mama J angesimama hapo ingekuwa safi lakini sio mtu inginee... Daamn!!

I smell demise the man who was supposed to be the incharge of everything around him!

Ijumaa itakuja kwa masikitiko makubwa mnoooo...... Kudabanken......
mkuu una ngeli tamu hvo halafu uaamini kuwa huu utunzi ni mambo ya kwel? unaniangusha mkuu wangu
 
Mi namuonea tu huruma dada wa watu Iryn na sijui kwanini kila mtu humu anamuona kama alikuwa anakosea sijui kisirani, mtu ambae hana ndugu wala rafiki zaidi ya mama Janeth akampata insider akamuamini na kumpenda kwa moyo wake wote akaamua kumfanya mtu wake wa karibu kabisa kama ndugu sijui pengine ndo hivyo labda alikuwa na hisia nae za mapenzi sina uhakika sana, maana kwa ninavyojua mwanamke amtake mwanaume kabisa na jinsi walivyokuwa close kulikuwa hamna cha kumzuia wala Insider sio kwamba alikuwa hamtaki bali alikuwa tu anashindwa jinsi ya kumuingia kwa kifupi alikuwa anamuogopa, kinyume chake akaona bora hata apate hela kupitia yeye bila kujiuliza kama Iryn atagundua itakuwaje
Hivi mlitegemea Iryn areact vipi kwa huyu mtu ambae alimthamini sana lakini yeye hakumrudishia hata nusu ya thamani ya utu wake, yaani kwamba anaweza kuchukua hela kwa Muajemi ili Iryn aliwe akititokea Muitaly nae akatoa hela atampeleka na huko pia, jarìbuni kuvaa viatu vyake muone kama haviumi
Dada wa watu alijaribu angalau alijua amepata familia hapa na ndio maana mara ya mwisho alienda kuishi nao lakini aliambulia usaliti mkubwa ingawa pia insider hakuwa na nia mbaya wala hakumfikiria kwamba ni malaya ila sasa Muajemi jinsi alivyojieleza na kumbuka Insider alikuwa msiri anaficha mambo mengi na hata mara ya mwisho alivyopewa hela aliona na akamuuliza akamdanganya. Wakati mwingine sio hela ni kila kitu unaweza kupata hela sawa na ukapoteza kitu chenye thamani kuliko hiyo hela uliyopata INSIDER MAN
 
yani hata usimuliaji umebadilika pia, niwe mkweli tu sahivi inaboa kusoma kwakweli, hasa vipande vya prisca maongezi yanakua mareeefu yasiyona tija. Me ni fan wako lakini INSIDER MAN hili nalo pia ukalitazame
Toa story yako kenge wewe.. Hii ni story ya Insider wala haikuhusu chochote, usijikute we ndo director wa story za maisha ya watu ambao hata huwajui.. Hata akiamua kuirefusha vipi wewe tulia..
Ikikushinda kabisa acha kusoma au subiri amalize story yake uongee nae uje uifix jinsi unavyotaka wewe halafu utuletee remix ya hio story.. Ila sa ivi tuliza pumbu izo kenge wewe
 
Toa story yako kenge wewe.. Hii ni story ya Insider wala haikuhusu chochote, usijikute we ndo director wa story za maisha ya watu ambao hata huwajui.. Hata akiamua kuirefusha vipi wewe tulia..
Ikikushinda kabisa acha kusoma au subiri amalize story yake uongee nae uje uifix jinsi unavyotaka wewe halafu utuletee remix ya hio story.. Ila sa ivi tuliza pumbu izo kenge wewe
upo sahihi mkuu,, lakini sikuwa na maana mbaya kama unavodhani isome komenti vizuri utanielewa,sikuwahi kwenda kinyume nae,jaribu kufuatilia kote nilipopita humu....
Remark
 
Toa story yako kenge wewe.. Hii ni story ya Insider wala haikuhusu chochote, usijikute we ndo director wa story za maisha ya watu ambao hata huwajui.. Hata akiamua kuirefusha vipi wewe tulia..
Ikikushinda kabisa acha kusoma au subiri amalize story yake uongee nae uje uifix jinsi unavyotaka wewe halafu utuletee remix ya hio story.. Ila sa ivi tuliza pumbu izo kenge wewe
Ukikua utaacha lugha za kitoto
 
Back
Top Bottom