Arsenalhivi insider ni Man U ee.?
As far as tunaburudika haina shida broTuliosoma story za sidney sheldom tunajua insider anachokifanya lakn kama sio mpenz wa kusoma huwez jua hata kidgo mbinu za muandishi hii story niyakufirika 100% kama hutaki na unabisha sawa hakuna shida ni mtizamo wako tuh. Muandishi anakumbua kila kitu kilichotokea mwez may miaka m3 iliyopita sawa[emoji23][emoji1373] hata phil knight wanamsifu kwa kukumbuka matukio meng lakn ukisoma kitabu chake cha shoe dog ni mwengi huadithia in general.. ila kwasababu watu wengi sio wasomi bas wamaweza kufiri kdg na kusema n story ya kwel but for me ni story ya kufikirika 100%
mkuu naomba link ya story ya BMX6 angalau iwe nusu kwa ukali wa hii ya INSIDER MAN
asant sana mkuuHatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni
Sawa nitaupitiaShukrani Sana kwa respondwww.jamiiforums.com
mbona kama anatafuta mke😂😂OPPORTUNITY[emoji95]
URGENT WE ARE HIRING,
POSITION: Operation Manager (1)
LOCATION: Dar es Salaam
INDUSTRY: Hospitality
EXPERIENCE: Atleast 2yrs
QUALIFICATIONS: Holder of a Bachelor/Diploma of Business Administration.
AGE : Not more than 27 Years
REQUIREMENTS
1. Excellent Communication skills and proven customer service experience.
2. Proficiency in basic computer applications
3. A female with Good Physical Appearance.
4. Leadership & Decision making skills.
Email your CV only, businessinsiderco@gmail.com
DEADLINE: 23/09/2023
Waache dada zangu broo 😂Huyu insider man kwa mtazamo wangu gundu lilianzia alipotaka kumkaza sumaiya wanawake wa kitatanga ni majanga sana ushirikina mwingi hatari hawafai hata gidogo
Sure cousin ngoja azae akili imkae sawa!Prisca Ana utoto sana ngoja akue kue
Tusipangiane mkuu
Naona umeongea kwa hisia kali ila uko sahihiSwahiba INSIDER MAN kabla hatujaenda mbali naomba kujua kama huyo sijui Irene alikupa mbunye, kama hadi mwisho hukuichakata sema mapema mi niishie hapahapa bana, maana mi huwa ni mvivu sana wa kufuatilia story ambayo haina mambo ya muhimu.
nilishawaza hivi kablaKuna wakati nafananisha na kutofautisha aina na mtindo wa uandishi Kati ya insider na BMX 6 naona kama hawa jamaa ni ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
mbona kama anatafuta mke[emoji23][emoji23]
Kwa kweli ijumaa imewadiaUsiku wa deni hauchelewi
Kesho ni ijumaa
Kama mother house anavyouliza mtu ukichelewa“Where have you been?”
Kwani kuna mtu kawauliza hii ni story ya aina gani.....? Au katika wote wewe ndio unasoma hicho kitabu sidney....? Ndugu yangu acha ujinga na shobo kam hutaki sepa hujaitwa kwenye huu uzi na hakuna alie kulazimisha kusomaTuliosoma story za sidney sheldom tunajua insider anachokifanya lakn kama sio mpenz wa kusoma huwez jua hata kidgo mbinu za muandishi hii story niyakufirika 100% kama hutaki na unabisha sawa hakuna shida ni mtizamo wako tuh. Muandishi anakumbua kila kitu kilichotokea mwez may miaka m3 iliyopita sawa[emoji23][emoji1373] hata phil knight wanamsifu kwa kukumbuka matukio meng lakn ukisoma kitabu chake cha shoe dog ni mwengi huadithia in general.. ila kwasababu watu wengi sio wasomi bas wamaweza kufiri kdg na kusema n story ya kwel but for me ni story ya kufikirika 100%