Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Tuliosoma story za sidney sheldom tunajua insider anachokifanya lakn kama sio mpenz wa kusoma huwez jua hata kidgo mbinu za muandishi hii story niyakufirika 100% kama hutaki na unabisha sawa hakuna shida ni mtizamo wako tuh. Muandishi anakumbua kila kitu kilichotokea mwez may miaka m3 iliyopita sawa[emoji23][emoji1373] hata phil knight wanamsifu kwa kukumbuka matukio meng lakn ukisoma kitabu chake cha shoe dog ni mwengi huadithia in general.. ila kwasababu watu wengi sio wasomi bas wamaweza kufiri kdg na kusema n story ya kwel but for me ni story ya kufikirika 100%
As far as tunaburudika haina shida bro
 
OPPORTUNITY[emoji95]

URGENT WE ARE HIRING,

POSITION: Operation Manager (1)

LOCATION: Dar es Salaam

INDUSTRY: Hospitality

EXPERIENCE: Atleast 2yrs

QUALIFICATIONS: Holder of a Bachelor/Diploma of Business Administration.

AGE : Not more than 27 Years

REQUIREMENTS
1. Excellent Communication skills and proven customer service experience.

2. Proficiency in basic computer applications

3. A female with Good Physical Appearance.

4. Leadership & Decision making skills.

Email your CV only, businessinsiderco@gmail.com

DEADLINE: 23/09/2023
mbona kama anatafuta mke😂😂
 
Wadada changamkieni fursa hiyo ajira sahivi zimekuwa ngumu kupata
Ila mkuu hivi unaweza vipi kupima hospitality experience??? Imenichanganya kidogo apo
 
Tuliosoma story za sidney sheldom tunajua insider anachokifanya lakn kama sio mpenz wa kusoma huwez jua hata kidgo mbinu za muandishi hii story niyakufirika 100% kama hutaki na unabisha sawa hakuna shida ni mtizamo wako tuh. Muandishi anakumbua kila kitu kilichotokea mwez may miaka m3 iliyopita sawa[emoji23][emoji1373] hata phil knight wanamsifu kwa kukumbuka matukio meng lakn ukisoma kitabu chake cha shoe dog ni mwengi huadithia in general.. ila kwasababu watu wengi sio wasomi bas wamaweza kufiri kdg na kusema n story ya kwel but for me ni story ya kufikirika 100%
Kwani kuna mtu kawauliza hii ni story ya aina gani.....? Au katika wote wewe ndio unasoma hicho kitabu sidney....? Ndugu yangu acha ujinga na shobo kam hutaki sepa hujaitwa kwenye huu uzi na hakuna alie kulazimisha kusoma
 
TISS data:

Mzee Pama - Likwalile
Jane - Vicky Kamata

Mzee Pama humu kaandikwa kama mstaafu lakini aliachishwa kazi na Magu. Pia alifariki 2021 na ana watoto Canada na wake wengine.

Jane anaishi Mbweni humu katumika kama hawara, kwenye kesi Vicky akisema mke halisi lakini mahakama imeikata doa yake. Pia Vicky ana gombania mali na watoto wa Likwalile wa Canada.

Kila nikisoma huu uzi na kesi ya Vicky Kamata na watoto wa Likwalile naona hao ndio wahusika wa huu uzi.
 
Back
Top Bottom