INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
- #6,441
BAO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kuna mwendelezo bro au tulale tu?
Tupe moja tulale nayo
Mi napata hasira hapo unapoongea na Prisca wakati upo na mama Junior..
Ila wanaume ptuuuuh...
Anamaanisha mazingira uliyokuwepo sio mbele yake.Wapi nimeandika nilikuwa naongea na simu mbele ya mama J?
Oyaa Nuzulati 😀Miss you
Nakusubiri ukue kwanza kaka nitakufundisha usijali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sister Mbona mi hunifundishagi[emoji3][emoji1787]
Oyaa mi naacha jf😀, nipe no tuta kuwa tuna bonga😀🤣Nakusubiri ukue kwanza kaka nitakufundisha usijali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heee kwanini tena unaondoka kwa Melo bro?? Ndio maana siku hizi upo adimu sana humu???Oyaa mi naacha jf[emoji3], nipe no tuta kuwa tuna bonga[emoji3][emoji1787]
Muendelezo upo bro au nikanyooshe nguo zangu za kanisani nilale tuu??Wapi nimeandika nilikuwa naongea na simu mbele ya mama J?
Fanya hivyo, mi nasepa live live. UTA nitumia no kwa jumba.Heee kwanini tena unaondoka kwa Melo bro?? Ndio maana siku hizi upo adimu sana humu???
Sijasema mbele ya mama J..namaanisha kuna uwepo wa mama J sio lazima awe mbele yako...mfano hapo mlipokua sijui site...si ulisogea pembeni ukaongea nae na I love u juu?.. any way tuendelee..Wapi nimeandika nilikuwa naongea na simu mbele ya mama J?
Kaka INSIDER MAN uzi uzi shusha nyuzi
Una acha jf au unaacha kutumia hii Id🐒🐒Oyaa mi naacha jf😀, nipe no tuta kuwa tuna bonga😀🤣