Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Watu wengi wana stress na hate sana, if something didnt happen or cant happen to them, they claim it not to be true...Dont hate be inspired...watu wengi wana mioyo ya chuki
Mzee watu wa humu jf wanachuki sana mimi imenitokea kwa vitendo na wakati huo sijawahi watukana au kuwakosea...yaani just kwa love tu nikawaletea story na kitu kibaya nikaleta na screenshots kama kuwaaminisha kitu ni kweli bana weeee .....acha tu
 
Mzee watu wa humu jf wanachuki sana mimi imenitokea kwa vitendo na wakati huo sijawahi watukana au kuwakosea...yaani just kwa love tu nikawaletea story na kitu kibaya nikaleta na screenshots kama kuwaaminisha kitu ni kweli bana weeee .....acha tu
We naweeee si yalishapita..wasamehe bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…