Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kuna watu kweli machizz...!
 
Kama sites gani?
Japo mimi mwenyewe napenda unufaike na hiki kipaji chako kwanza uwezo tu wako wa kupangilia matukio yako kwa usahihi. Hata ungeniambia niwe nachangia ningechangia tu ili nisome mbona kwa mwamba the bold tunachangia.

Lakini mdogoangu huwezi jua MUNGU kaweka kitu gani kwako mpaka ukaamua wengi hata wasio nacho wanufaike kupitia hii story yako hapa. Dhamira kama ilivyo anza na iendelee hivyo. Usione maombi ya wote wanaokuombea mazuri hapa yanapotea...!

Amini yapo yanayokubalika na yanakufikia kwa njia usiyoijua. Hiki ulichokitoa hapa ni sadaka kubwa. Kuna watu wanaenda kutengeneza maisha yao kupitia huu Uzi,niamini. Najua na wewe utafurahi. Ipo siku mtu atakuja kutoa shuhuda hapa Uzi huu ulivyombadirishia maisha.

Amini kuna wengine wengi hapa wanasoma kimya kimya na wanabadirika kuna baadhi ya mambo wanayafuata kupitia hapa. Tunakushukuru pia tunajifunza,tunaburudika,tunaelimika.
 
Duh! Kwahiyo mbwa mzuri yupi, kwenye kufuga?
Fuga hawa hawa wa kienyeji. Afundishwe tu sheria za ulinzi. Anakuwa mzuri sana.
Hao wengine wote hao rottweiler, German shepherd wote ni hatari sana. Wengi wanajizungumzia wao lakini ni hatari sana kwa watoto. Hasa watoto kuanzia umri wa kutambaa mpaka kutembea pale,huwa unaweza ukashangaa unapiga story mtoto amekutoroka amemfuata mbwa. Umri huo wanapenda vya kucheza navyo,hasa vinavyo-sogea vyenyewe. Kuja kushtuka wewe kuzunguka nyuma unamkuta mtoto vipande vinne.
Ukifuga hao mbwa ni wa kuwa makini sana nao.
 
duu huwa nawapenda sana puttbull sijui, wale wenye mdomo wa ajabu ajabu, kama ni hvo sina tena mpango na hawa mbwa wa kisasa, acha nifuge paka tu.
 
Banda unafunga kwa kufuli Mkuu na pia Unatakiwa uwatrain na kuwasocialize na family members. Mbwa kama German Shepherd ni very intelligent fasta tu anawamark family kwa hiyo si rahisi kum attack mwanafamilia. Sema tu labda changamoto kubwa ni Cost, garama ya kuwatunza maana hao siyo kama hawa Local bread wana time table kabisa ya chakula kama nyama za kusagwa, sijui mayai, biscuits ama dry food nk hapo bado matibabu yao pia kuwa na muda wa kuwatake care sasa ni lazima ujipange.
 
Insider muulize iyrn kama anapenda noah nije niwape mmoja,ila anapenda kula,apende na kufuga basii[emoji855][emoji855]
 
Jaman turudi kwenye focus yetu habari za mbwa nitawaletea uzi wa mbwa, alaf msikimbiliage mbwa wa kizungu msiige, wenzenu wanawatumiaga kwa mambo mengine, sitaki maswali jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…