vipanda thamani
JF-Expert Member
- Jul 7, 2022
- 411
- 668
Balaa sana unajua zike mbegu zinaoza ndani mule zinazalisha bacteria sasa mtu anawashwa balaa ukimkuna inakuwa ahueni ila hya mambo ni mabaya sana msifanye wandugu watu wanajuta hawasemi tuHali ni mbaya mtu yuko tayari akupe million 5 kisa umfumue marinda [emoji1316][emoji1316].
Ukiwa dereva wa Uber kukutana na hawa watu ni kawaida inabidi uzoee, na wanatongoza Wanaume kabisa. Wamenisumbua sana hawa watu enzi zangu kuna wengine maarufu tu huko mitandaoni.
Bora Bongo umeenda South Africa? [emoji1544][emoji1544]
utasikia Uncle nipeleke Tips
Uwe tajiri maarufu lkn chamoto utakionaHivi maana ya kuuza soul kwa Lucifer ndio maana yake nini
Aisee....Hawana madhara, kwasababu wanapata chanjo zote ambazo mbwa anatakiwa kupatiwa na anakua na doctor wake special anaenda kumtibia pale pale kwa Wema sepetu
Chamoto unapata wapiUwe tajiri maarufu lkn chamoto utakiona
Uko vizuri. Umekuja moto kila comments lazima uipitie na kuijibu. Utawapata tu. Haikosi wameanza kutiririka hukoSio machiz bali ni mawazo ya mafisi hayoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anakuwa wa kwanza kukimbilia bandani anakuachia show mwenyeweTena hawa kama unawezana nao, safi kabisa.
Hawana stress mkuu.
Changamoto yao, wakisikia mtu anaburuza panga nje hesabu vita ni ya kwako peke yako asee. Wao kelele tu mkuu.
Siwez kukaa na matakataka mimi.Yan unakaa na hatari yako mwenyewe.Kiumbe kisicho na akili ambacho mufa wowote kinaweza kukugeukia kikumalize .NEVERHii ni kweli Mkuu.
Kwenye hii category wapo pia Pitbulls [The most dangerous dog breed], Boerbells, dogo argentino na Cane Corsos.
Halafu wote hawa wako aggresive sana, hua wana attack kwa intentions za kuua [Kuhakikisha victim amekaa kimya] na sio kungata kwa warembo wakina German shepherd.
Boerbels on the other hand, ni wapole sana ila wakiwa trained nae ni hatari sana. View attachment 2765247View attachment 2765245View attachment 2765246View attachment 2765248
Sawa mkuu. Kuna yule jamaaa wale mbwa hao rrotweire yule mtoto walikuwa wamemzoea sana tu na hiyo siku mtoto akawa anacheza na huyo mbwa kwenye majani. Na wakubwa walijua kawaida ksbb kawaida huwa wanacheza mara nyingi na hawakuwa mbali. Lakini ghafla tu kuja kugeuka mbwa anaunguruma,tayari amelalua mtoto vipande vipandeBanda unafunga kwa kufuli Mkuu na pia Unatakiwa uwatrain na kuwasocialize na family members. Mbwa kama German Shepherd ni very intelligent fasta tu anawamark family kwa hiyo si rahisi kum attack mwanafamilia. Sema tu labda changamoto kubwa ni Cost, garama ya kuwatunza maana hao siyo kama hawa Local bread wana time table kabisa ya chakula kama nyama za kusagwa, sijui mayai, biscuits ama dry food nk hapo bado matibabu yao pia kuwa na muda wa kuwatake care sasa ni lazima ujipange.
Fuga hawa hawa wa kienyeji. Afundishwe tu sheria za ulinzi. Anakuwa mzuri sana.
Hao wengine wote hao rottweiler, German shepherd wote ni hatari sana. Wengi wanajizungumzia wao lakini ni hatari sana kwa watoto. Hasa watoto kuanzia umri wa kutambaa mpaka kutembea pale,huwa unaweza ukashangaa unapiga story mtoto amekutoroka amemfuata mbwa. Umri huo wanapenda vya kucheza navyo,hasa vinavyo-sogea vyenyewe. Kuja kushtuka wewe kuzunguka nyuma unamkuta mtoto vipande vinne.
Ukifuga hao mbwa ni wa kuwa makini sana nao.
Noah a.k.a kitimoto.Mkuu unapenda kuona wanavyotembea huku wanakata mauno 😂😂😂😂😂 ..jiangalie braza ni kinyume cha sheriaKweli kila mtu na starehe zake wacha niendelee na kufuga NOAH,Noah raha sana ukiwa unawacheki wanavyotembe.
Bila shida hiz ndio biashara zako na wewe kama wewe sio wema sepetu mwenyeweHawana madhara, kwasababu wanapata chanjo zote ambazo mbwa anatakiwa kupatiwa na anakua na doctor wake special anaenda kumtibia pale pale kwa Wema sepetu
Acha kuwa ombaombaDaaahh ila watu😂😂😂 mimi naomba connection tu ya kajipatia kaugali ka kila siku kaka ingawa niko mkoani kaka angu🙏🙏 wala sioni haya kuomba siwezi jua yamkini huu ujumbe ninaoandika ukabadili maisha yangu kwenye eneo la uchumi INSIDER MAN
Eeh asije Anza kuwambato🤣🤣Noah a.k.a kitimoto.Mkuu unapenda kuona wanavyotembea huku wanakata mauno 😂😂😂😂😂 ..jiangalie braza ni kinyume cha sheria
Wale ndo hatari zaidi ni wakukaa nao mbali afu wakichelewa kupewa chakula kwa wakati hawachelew kupoteza kumbukumbu wakakushambulia hata wewe unae wafugaduu huwa nawapenda sana puttbull sijui, wale wenye mdomo wa ajabu ajabu, kama ni hvo sina tena mpango na hawa mbwa wa kisasa, acha nifuge paka tu.
Mkuu waliwezaje kuchimba kwenye sakafuGerman shepherd walitia hasara kuku wa kufuga aina ya broiller waliua kuku 200 ambao walibakizi wiki moja tu waingie sikoni kwa hasira mmiliki akawapa sumu mbwa wote watatu akanunua mbwa wengne hao rottweiller ndio wameanza kukua sasa cha ajabu waliua vip kuku waliokuwa bandani ………… banda la kuku lilikuwa kaka meter 4 kufikia banda la mbwa hao wapuuzi walichimba chin wakatoka bandani na banda likikuwa limesakafiwa walivyofika banda la kuku wakachimba tena chini wakaingia mpaka ndani wana iq kubwa sana
Aloo hii kweli utaua aseeSawa mkuu. Kuna yule jamaaa wale mbwa hao rrotweire yule mtoto walikuwa wamemzoea sana tu na hiyo siku mtoto akawa anacheza na huyo mbwa kwenye majani. Na wakubwa walijua kawaida ksbb kawaida huwa wanacheza mara nyingi na hawakuwa mbali. Lakini ghafla tu kuja kugeuka mbwa anaunguruma,tayari amelalua mtoto vipande vipande
Kijitonyama hiyo.
Bibie watu siku izi kufuga mbwa has a haya ya kisasa ni fashion tyuMilioni 3 zote kununua mbwa [emoji15] nyiee kweli watu mna pesa za jumla na rejareja[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Ahaaa kumbe!! Basi sauwaa!Bibie watu siku izi kufuga mbwa has a haya ya kisasa ni fashion tyu