Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ni kweli mkuu.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Huduma ya massage inamlipa Iryne hadi kukataa USD 10,000 atakua na pesa si haba mkuu Insider Iryne anavitega uchumi vingine ukiacha Saloon na huduma za Massage.
 
Huduma ya massage inamlipa Iryne hadi kukataa USD 10,000 atakua na pesa si haba mkuu Insider Iryne anavitega uchumi vingine ukiacha Saloon na huduma za Massage.

Alisema kama hataki kufanya kazi na mtu, ukikataa bila sababu inaweza kupelekea kupata recommendation mbaya kwenye web. Njia rahisi ya kukataa mtu ni kumpa dau kubwa ili ashindwe yeye. Yeye kama yeye anasema hapendi kufanya kazi na waafrica sababu ya tabia zao.

Sema wanawake ambao wako kwenye hio web wanapiga sana hela ila ni visu hatari ndo hawa warembo wengi tunaowaonaga insta wako huko. Matajiri wa dubai kutoa pesa kwao ni kitu kidogo sana. Tutafute hela asee kuna watu wanafaidi maisha hapa duniani, wengine tunasindikiza.

Licha ya yote pia Iryn ni mtoto wa kishua kwao wanapesa kuanzia mama yake mpaka baba yake. Pesa za mafao nknk kutoka kwenye organization zote mama yake alimwandika mwanaye ni Pesa kibao.

Huko mbele tutafika, ni kutamu zaidi.
 
Ipo....wamehamia mikocheni ila nakutahadharisha kesi kama hii usije kuwaambia ulivyotuambia hapa hawatofungua maisha🙄moja ya kesi wanazozichukia ni hii full burn🔥
Imeshafungwa nimejitahidi Kila mbinu...wamegoma kuifungua hivi sasa nakomaa na Uber tu
 
Hata mimi kesi yangu inafanana na yako mkuu ukifanikiwa nitag au nicheki in box
Kesi ngumu sana hiyo ndugu yangu...tusubiri huruma Yao...japo kwasasa sitaki kuwabembeleza nitaitumia mitandao mingine au kuhamia kwenye delivery's industry TU...
 
Nimekuelewa mkuu nasubiri mwendelezo
 
Maelezo yasiyo na msingi ni mengi. Na huwa waandishi hawa ahidi kuwa huko mbele ni kutamu zaidi. Story ina bore. Not interesting
in short nilifikiria wateja kama kina mama 2,maggy,mbotswana,prisca n.k,,itakua ni minyanduano ya kutosha lakini nashangaa wanapita tu....labda kwakua kiini ni mrembo wa ajabu ngoja tusubiri maajabu yaje..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…