Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
Kujisahau kupo nakumbuka kwenye Uzi wa marehemu leadermoe najisahau najikuta najifichua mwenyewe uzuri nilikuwa nashtuka mapema na edit haraka kabla mtu haja reply ndo inakuwa basi tena wewe hata uki edit aloe quote au reply inabaki vile vile.
 
Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
Hakuna cha code wala nin hii ni chai ila tamu mkuu
 
Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
Duuh! kumbe hadi wazee wa kwenye makombora ya kina Putin mnasomaga kimya kimya !!? kweli insaida kajua kuwabamba 🤣 🤣
 

Nakuunga mkono bro uko mwanzo ilikuwa ni story ya kweli ila mbele tunapoenda ni kutunga tu kwa hali ya kwaida tu uyo lryn alikuwa ashaliwa ilaa ikifika wakati wakumla au wapo faragha mwandishi anazidi kuweka vikwazo ila sio mbaya ni utunzi mzuri japo.
 
Ndio ujue jamaaa anatupanga,kama wengine wanavyosema ni chai.Pia huko kukosea jina ni makusudi...Ila anajua kutunga story nampa hongera
 
Maguire kama kawaida yake, ashachoma kibanda maniner!

Unanikera kifala sana mwanangu. Yani shida kuu kwenye mahusiano yako yote ni kukosa mipaka. Kwa lifestyle yangu, huyo Eva asingethubutu hata kuisogelea hiyo meza niliyokaa na Iryn!

Nimepoteza matumaini kabisa ya kushinda hii mechi. Maana foward butu, beki Maguire. Potelea mbali.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Watu wanalalamikaga chai mara cjui kahawa,ila hii sasa ndo yenyewe TATEPA OG😀
 
Mshkj kazngua nikiwa na Dem tofaut akija mwingn atuliee au tutafytane badae
 
Sema kuna watu hii stori waliisanukiaga mapema sana kwamba mwamba kuna namna anatupanga ili kufanya stori iwe ndefu kiuhalisia story hii ni episode thelathini tu na hizo nyingine ni chumvi mixer kamba style za kunogesha genge.
Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Jamaa anajua kusimulia katika mtiririko unaoeleweka.
Nilikuwaga na ma alosto na hii stori ila baada ya leo atoe asitoe alosto imekata.
 
Hiko kipengele kimenifikirisha na mashaka juu ila nammkubali insider man , insider man is a [emoji238]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…