Nourhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 1,196
- 3,026
Kujisahau kupo nakumbuka kwenye Uzi wa marehemu leadermoe najisahau najikuta najifichua mwenyewe uzuri nilikuwa nashtuka mapema na edit haraka kabla mtu haja reply ndo inakuwa basi tena wewe hata uki edit aloe quote au reply inabaki vile vile.Hapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.