Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
@Watu8 njoo tufanya kikao Cha dharura hapa na kapten
Hahaha mkuu kwanza nimecheka sana baada ya kupitia comments za watu wenye hasira kali wanaolalamika kudanganywa kisa tu imeandikwa kwamba hii ni true story...
Kwa wasomaji wenzangu, masimulizi kama haya yenye kuandikwa true story, ijulikane ya kwamba kilicho ukweli huwa ni ujumbe wa story, mtunzi anaweza akaongeza mambo mawili matatu ili kujenga skeleton ya story yake...
Zaidi ya yote, tufanye kwamba hii sio story yenye visa vya kweli bali ni utunzi tu, Je kwa wanaoalalamika wanadanganywa ina maana hawaenjoy kusoma na kuguswa na kinachosimuliwa?