Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Baba mkwe wako nini kilitokea mpaka aka apa kuto jihusisha kwenye mambo yenu?
 
Swali la kizushi
Hivi story kama hii huwa unakuwa unaandika kwa diary kila siku au maana inakuwa ngumu sana kukumbuka hadi conversation za kila siku na ukizingatia story ina mda mrefu
mkuu huyu jamaa ni katika wale watu wachache ambao tunawaita magenious......... Masomo yake si unaona aliyosoma Chuo? Yaan sio kichwa maJi.... Anyway way kwa wale wenzangu tuliokuwa tunameza chandi enzi za A level wala hatumshangai.... Ubongo huwa unaweza kuhifadhi taarifa nyingi sana na huwa haujai......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…