Poa mkuu,ubarikiwe!Na ww iq yako ndogo.....kwahiyo umeridhika na title ya story????....mfano angesema FICTIONAL Nani angempinga humu???....niambie Nani angesema story Ni chai????....inshu kuuu hiyo kusema true story tu anawapanga wengi....tofauti ya Mimi na ww Mimi nimegoma kuwa kilaza Kama WW Ni Hilo TU kaka
HahahMaguire akipost episode mpya mnishtue mazee!
Ngoja nikasogeze muda kwenye nyuzi zenye vayolensi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Niite franckkimm..... A.k.a the REDFROG.....tutampinga INSIDER MAN....mpaka akiri hii storiii Ni fictional TU!!!!!....pia atoe lile neno TRUE aweke FICTIONAL Hilo tuu!!!....pia mwambieni huyo ndugu yenu na moderators waache kufuta comments zangu kwenyee huu uziii....natoa maoni yangu binafsi why ufute comment Kama situmiii lugha ya matusiii????.....#JUSTICE.....
Sasa kijana unapanick kwenye uzi wa mtu utafikili umelazimishwa kusoma ata nikiamua mm kufuta kitu kwenye post yangu huna haki ya kuongea kitu chochote ko bro kaa kimya au pita kushoto mi naamini una apps nyingi kwa sim yako, au pia jf ni kubwa sana so unaeza endelea na threads nyingine. Sio kukaa unaponda kila siku make mwisho wa siku mnaonekana kama hamna cha kufanya. We jitafakari umeanza lini kusoma na mpaka leo upo unafatilia ili uone kama amepost😂😂😂 Sema haters mnatia huruma kinyama😂😂Niite franckkimm..... A.k.a the REDFROG.....tutampinga INSIDER MAN....mpaka akiri hii storiii Ni fictional TU!!!!!....pia atoe lile neno TRUE aweke FICTIONAL Hilo tuu!!!....pia mwambieni huyo ndugu yenu na moderators waache kufuta comments zangu kwenyee huu uziii....natoa maoni yangu binafsi why ufute comment Kama situmiii lugha ya matusiii????.....#JUSTICE.....
Kaniudhi sanaWewe unaona kama alikaa sana ila ilikuwa ni chini ya dakika 3 tu, na sio alikuwa anaropoka alikuwa anaongea taratibu tu. Sema Iryn alikuwa makini maana baada ya kusikia shem…
Ninge muanzaDah kuna watu wangefanikiwa kumjua EVA Bhas nina hakika wangemla nyama mzima mzima[emoji28][emoji28]
UmetishaJumapili njema, kwa wale wa usharika wa KKKT Mbezi Beach tuwe na Ibada njema View attachment 2768055
Kwani kutoa comment napo ni kupangiana.SASA KAMA ANAKUOANGA MBONA UMEKAZA MAKALIO KUISOMA MUDA WOTE SI UNGEISHIA EPISODE YA 30 UKAAMSHA. KUTWA KUCHWA UMEKAZA MAKALIO KUIFUATILIA. KAMA CHAI UKIIONA IKAUSHIE USIIFUNGUE SIO HADI UCOMMENT HAPA UMELAZIMISHWA? PUMBAVU KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ndo unalitambua leo hili??Sawa muamdishiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373] wenzio hatuna tunachopoteza kuregister account ni bureeeeee
Natukija tunaandika tu….hii ni CHAIIIIIIIIIIIIIII TENA YA RANGI[emoji23][emoji23][emoji23] na hutufanyi kitu
Chaiiiiiii hakuna true story hapa [emoji23][emoji23] unazan maisha ni rahis hivyoo nyooooo embu toka hapa na meno yako yakuungua kama umelogwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (in dotto magari voice)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KwendraaMkuu ndo unalitambua leo hili??
Wacha tuburudike tu[emoji16]
Ona kama hapo, alivyotupiga chenga ya Max Nzengeli[emoji23]View attachment 2768936
Katika hao wachache tunahitimisha vipi kama Eva hawezi kuwa miongoni mwao?Storry nilikua naifuatilia kwa karibu sana,lakini matukio 2 ya kupigiwa simu saa 8 usiku na mama 2 na Eva kuingilia maongezi imenitoa kabisa kwenye mstari...yawezekana ni stori ya kweli lkn haya maeneo 2 yana walakini mkubwa,...kiuhalisia,mgonjwa kama kafikishwa hospital hakukua na ulazima wa ndugu Insider kwenda hospital usiku ule kwa sababu huwez badirisha chochote kwenye Afya ya mgonjwa,...pili Eva kua na huo uhuru wa kujiachia maneno,wapo wanawake wa hivyo lkn ni wachache,mwanamke anajitambua hawezi ingilia kirahisi hivyo tena amekukuta na mwanamke,hapo angeweza jificha ili ampelekee best yake umbeya...lkn tunashukuru kutuburudisha.
hakukua na ulazima wa ndugu Insider kwenda hospital usiku ule kwa sababu huwez badirisha chochote kwenye Afya ya mgonjwa