bingoyefrance
Member
- Mar 4, 2017
- 86
- 73
Watu tunataka Iryn aliwe tena ikiwezekana azagamuliwe hadi asubuhi alafu unasema kuwa unapokea simu mara unamsikiliza Eva daaah imeniuma sana ila ndo hivyo mwanetu Insider hatuwezi kumkataa aendelee kuburudisha
[emoji38][emoji38][emoji38]Watu tunataka Iryn aliwe tena ikiwezekana azagamuliwe hadi asubuhi alafu unasema kuwa unapokea simu mara unamsikiliza Eva daaah imeniuma sana ila ndo hivyo mwanetu Insider hatuwezi kumkataa aendelee kuburudisha
Amen thank you very much.Zidisha maombi na sadaka pia......amini utainuka tu by power by force
🤣🤣🤣jamaa mzee wa chengaNa vipi kuhusu hali ya kuweweseka kwa Bwana Insider siku kadhaa baada ya kifo cha Mzee Pama[emoji16]....Usiku alikua anamuota sana na kuweweseka[emoji23]
Siku atatuambia "Ile nataka kumvua bra Iryn , ghafla nikasikia simu ikiita, kucheck alikua ni Mama J, nikakuta na ujumbe wapo Mloganzila Junior kameza kijiko" na utaamini[emoji16]
Kuna mtu humu ndani aliandika nilikuwa sina mipango ya maisha kama kufungua biashara nk, niseme sitaki kushare personal life yangu humu ndani ila nin miradi mingi ambayo nai run.
Kitu cha kwanza niliona kwanza ni busara wife akawa na miradi yake ili kupunguza dependecy kwangu, na hizi ni project ambazo tulizijadili na wife ilikua April, 2022.
View attachment 2768463
MCHANGANUO.
1. Biashara ya kwanza ilikuwa ni butchery ambapo wife angeuza Kuku, samaki, Mayai nknk, changamoto ilikuwa kuanza ni mahitaji mengi yangehitajika kuanzia frem, ukarabati, mashine nknk so cost zilikuwa kubwa sana, tukaipiga chini.
2. Biashara ya pili ilikuwa ni kuuza nguo za watoto na tulianza kufanya Research namna ya kupata suppliers wa mizigo nknk, mizigo ni China na Uturuki lakini kwa Uturuki kwa nguo za watoto wako vizuri. Ilibidi nimcheki jamaa yangu yuko Ulaya nilishandika baada ya kutoka kwenye ile taasisi yeye alikwenda Ulaya kusoma, sasa alikuwa ana connection za huko, niliomba anisaidie kufanya Research
View attachment 2768476
Changamoto ilikuwa ni mtaji wa kuagiza mzigo mkubwa, maana mzigo mdogo ungekata sana hata faida isingeonekana. Tukashauriana tuachane nayo tutadeal nayo baadae,
3. Biashara ya 3 ndo ambayo tunaifanya mpaka sasa na inafanya vizuri na ipo chini ya mchaga wangu mama J. Masuala ya fedha ofisi ipo Mbezi Beach pamoja na biashara ya Vinywaji ila zipo maeneo tofauti. Ukirefer post zangu za nyuma nilishawai kuja humu ndani kuomba connection za kreti na chupa za soda, ilikuwa kwaajili ya hii Biashara.
4. Biashara ya 4 na 2 Wife ana mpango wa kuja kuzifanya baadae akimaliza chuo.
Kuhusu mama J sina shida naye anafanya vizuri sana na ana akili ya biashara sana, anajitegemea kifedha ukiniuliza ni lini nimempa pesa za matumizi nimesahau. Matumizi ya home anatake care mwenyewe labda mimi niwe safari ndo nitakuja na Kuku, mafuta nknk ila pesa zitoagi.
Hata leo nikifa naamini Junior hata pata shida maana mama yake ni mchacharikaji atakuwa sehemu salama.
Mimi niliamua kuwekeza Dodoma ndo mpaka sasa na project zangu huku,
Mnaomdharau Mama J wangu kwenye hii story poleni sana, namuheshimu sana huyu mwanamke, anahudumia watoto church, anasoma bado anasimamia biashara na zinakwenda vizuri.
Leo hii baada ya kutoka church wife kanambia anataka December aaagize gari yake mwenyewe, nimefurahi sana baada ya kupata hizi taarifa.
🤣🤣🤣GahawaBasi nkaenda kumuomba msamaha iryn,katika kumbembeza nkajikuta namla mate huku namçhezea kiunoni.tukiwa tunaendelea iryn nkaona kalegea hajiwezi nkamnyanyua na kumpeleka kitandani,wote tukabaki kama tulivyozaliwa.ile naataka kuchomeka simu yangu ikaanza kuita kuangalia ni mzee mollel anapiga ikabidi nipokee,mzee anaomba pesa itumwe usiku huohuo ili kesho asubuhi na mapema kazi iendelee.nami sababu ni jambo la muhimu sikutaka kumuangusha mzee.nikavaa nguo na kumuaga iryn kisha nikaenda bank
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello there.... Naomba unitag pls ikiekwaUzi umetelekezwa
Unajinyegelesha mwanaume alete story hadithi imeshaisha hapahapa mkuuKiukweli am inspired na your story ever since niliamua kusoma mana sikuanza nayo ila kuna jambo nataka nikushauri[emoji2955]
Em acha kutumia nguvu kuwaelezea watu haya mambo ipo ivi kwenye maisha kila mtuu anaamin anachotaka kuamini hata kama icho kitu ni uongo akiamua kuamin huwez badilisha mawazo yake
kwakweli focus tuu na story mambo ya mama J na biashara zake we achana nazo hazina maana hata mana haitabadilisha mitazamo ya watu
kwa mfano sawa mama J ni jembe and staff like that ila watu wanamwona anazingua kwasababu tu humkuli mara kwa mara yani anakubania mbyuthuthu ko unaenda kwa kina prisca kuifata icho kitu kimebadilisha mitazamo ya watu kuhusu mama J
Ko acha kutumia nguvu kuelezea ishu zako pasono wewe na mama j na hata ukituma hizo picha since watu hawataki kuamini ukweli wanafocus kuona story ni Chai[emoji119][emoji119]
Kwakweli stick na upande wa mishe zako tuu acha kutumia nguvu kuwaaminisha kuwa watu hii story sio chai mana haijasaidia toka umeanza kutuma ushahidi tunaoburudika tunaburudika wanaoona story ni chai basi achana nao wanajaza repies tuu mtu unajua story imeendelea kumbe mambishano ya Chai[emoji23][emoji174]
Bado hatujasema mpaka tuseme tu amejua kutushikaaaaaaa ila mwana ana bahati ya kupewa Hela daaaahHehehe sema mwamba anastahili kombe lake kaenda mpaka episodes 50s' bila kustukiwa kama anatumia chumvi ya mawe. Episode iliyopita ndio imevunja kijiwe
hahaha nimecheka kisenge, Maguire ni mwendo wa maboko tu.Basi nkaenda kumuomba msamaha iryn,katika kumbembeza nkajikuta namla mate huku namçhezea kiunoni.tukiwa tunaendelea iryn nkaona kalegea hajiwezi nkamnyanyua na kumpeleka kitandani,wote tukabaki kama tulivyozaliwa.ile naataka kuchomeka simu yangu ikaanza kuita kuangalia ni mzee mollel anapiga ikabidi nipokee,mzee anaomba pesa itumwe usiku huohuo ili kesho asubuhi na mapema kazi iendelee.nami sababu ni jambo la muhimu sikutaka kumuangusha mzee.nikavaa nguo na kumuaga iryn kisha nikaenda bank
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndo tulivyo mtusameheMi napata hasira hapo unapoongea na Prisca wakati upo na mama Junior..
Ila wanaume ptuuuuh...