Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

[emoji1787][emoji1787]
 
Life is Good[emoji23]
 
Mm ni ngekuwa ndio INSIDER MAN mbak asaiv ningekuw nalipa namba ya tigopesa, mpesa na Airtel money😁
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787]watu jamani
 

Insider alioshewa mfedha fedha utotoni anabahati ya kupewa hela tu hamuwezi kuelewa wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kupitia story hii nimeamini mimi ni mshamba lwa sababu sehemu zote za starehe ulizotaja sijawahi Ingia hata moja. Nadhani labda kutokana na kuwa situmii kilevi[emoji51]

Naishia kusoma mitandaoni mara kidimbwi
Kama nimekumiss hivi
 
Umekunywa supu ya mawe
 
Hapo ndipo nilipo gundua manuel ni kitombi.

Alafu mimi nimeuvaa uhusika wa Manuel, nakula mema ya dunia pisi world wide.
 
Insider akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni akatupwe katikati ya bahari, haiwezekani akatupanga kiasi hiki *****, hii ni chai iliyochanganywa na mchaichai mamaee.
Inywe chai kama tamu, hii stori kuandika si kazi rahisi na akiamua uzi ana udirect kwenda telegram unalipia link.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…