Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Hapa hata ada za CPA anakulipia kabisa [emoji23]
 
Tukikusanya waendesha uber wote tanzania. Ni huyu tu aliyewahi toa 200k kwa mlinzi wa sehemu ya sitarehe. Nadhani umenielewa. Wanalinganisha kazi ya mhusika, kipato mara anazotoa
Umesoma ili ubishe au kuelewa
 
Huyo kalelewa vibaya,wazazi wakiishiwa anaolewa kama cocastic wa jf
 
Yeye nadhan anaogopa akilala na iren atakosa ugali wakati ndo mamb yange kuwa faya...uboss hausian na relationship hata sku 1,kweny relanship man anabaki kuwa man na mwanamke anabaki kuwa mwanmke(CODE)
 
Unajuaje kama hakupanga?,kuna watu hiyo Iaki 2 ni hela ya vocha
 
Ina kautruu stori kidogo
Mkuu Riwaya za kijasusi zinawekewa sana vikwazo na Serikali nyingi sio Bongo tu ni kote duniani
Watu hata kama sio walengwa hujihisi ndio walengwa so wanahisi kama Jamii inasanuliwa kimtindo.
Unaweza ukahisi unafanya jambo dogo but, wao wakiingia kwenye maana zao ndio utaona ilivyo big issue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…