Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Dem Kuna siku alikuwa na special anatak nimfundishe.... Nkamwambia tafuta location...... Saa ngp hatujaenda masaki uko fish monger.... Aani wenzie wnaenda chuo sisi tunaend uko restaurant nkasema achenii hizi elaa.... ziiwe ela
Tupambn wanetu wasije lia na kupost link za free gift maake ni KUBAYA[emoji1787]
Hawasumbui na Mimi stakiii madem wanaolia shida khee.......
Huez Amin Dem anasema ukianza tu CPA tuanze wotee make ntakuwa na mtu atakae nifanya nisome.......
Mwachee tuu namliaa timing nikilipia intermediate mbn final atatoa ela[emoji1787]Hapa hata ada za CPA anakulipia kabisa [emoji23]
Mshkj ashushe epii...... Mwana selewHapa hata ada za CPA anakulipia kabisa [emoji23]
Tatizo husomi kuelewa unasoma ili ubisheSasa insider mtoto wa kishua kwani si amekueleza alikotokea
Umesoma ili ubishe au kuelewaTukikusanya waendesha uber wote tanzania. Ni huyu tu aliyewahi toa 200k kwa mlinzi wa sehemu ya sitarehe. Nadhani umenielewa. Wanalinganisha kazi ya mhusika, kipato mara anazotoa
Huyo kalelewa vibaya,wazazi wakiishiwa anaolewa kama cocastic wa jfBy the way...... Kuna watu Wana hela sio mchezo kipind nipo IFM om ni sinza tuu apo Ila Kuna dogo alikuwa usafiri wake BOLT...... hajawah panda dala dala na alkuwa anaish sinza A hii iliopo opposite na MLIMAN CITY..... sku moja nkamshawish tupande mwendkas anisndkze UBUNGO maji pale...... Anatka kulia kulivobanana kweny gari[emoji16][emoji16]
Sasa bhn Kuna siku tukiwa campus maeneo ya canteen pale..... Akashangaa mtu anakula ugali na dagaa wa mwanza like what is this? Like seriously!! Nkamwambia hapana kila mtu ana favorite food na maeneo tuliyotokea plus uchumi........
Yeye nadhan anaogopa akilala na iren atakosa ugali wakati ndo mamb yange kuwa faya...uboss hausian na relationship hata sku 1,kweny relanship man anabaki kuwa man na mwanamke anabaki kuwa mwanmke(CODE)Ulizingua sana mkuu! kwahyo hujui kinachomliza Iryn au sio? Then unaondokaje unamuacha mwanamke analia? Alafu eti unamwambia kua huelewi analia nn wakat hamna mahusiano dah majibu ya kikatil sana man, wewe umeambiwa mara ngapi na Lucy kua boss wenu anakupenda?! Alafu mama wawil anapata wap ujasir wa kukupigia usiku simu na anajua ww mume wa mtu, otherwise unambie alikua anahitaj usafir( alikupigia kama dereva) . Leo nimeshindwa kucomment kimoyomoyo episode hiz mbili ulizingua sanaa yan
Unajuaje kama hakupanga?,kuna watu hiyo Iaki 2 ni hela ya vochaHakuna mtu Ana stress mnachoshidwa kuelewa ni kwamba .
Mambo anayoongea jamaa hayaendani na uhalisia wa hali halisi ya maisha hata kama unalipwa million 5.
From no where haiwezekani umpe.mtu laki 2 bila mpangilio hapa umetupiga.
Flow yako ya kutoa hela na kupokea imeonekana ni nyepesi.
Jamaa ni chief Godlove aliyechangamka
"HII STORY NI CHAI"
Tumefika nao episode ya 62, na wanasubiri muendelezo maniner zao!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa hiz anasimamia project zake binafsii...... Mzee Kuna watu wanadeka lkn Wana akili kichwanii..... Sio woteHuyo kalelewa vibaya,wazazi wakiishiwa anaolewa kama cocastic wa jf
Tuweke mikeka tu[emoji23]Unataka mnywani wako asinipe pesa [emoji2]
Nyie mmepangana eeh!!? Me nataka pesa hayo maneno yenu wala hayanitishi
He's riding what broh? [emoji1787]Inasikitisha kuona bado unahangaika na uzi wa mwanaume bila shaka Arosto imekukamata toka muda naona -ve comments from you but you still riding his di-ick[emoji23]
Tuweke mikeka tu[emoji23]
Mkuu Riwaya za kijasusi zinawekewa sana vikwazo na Serikali nyingi sio Bongo tu ni kote dunianiIna kautruu stori kidogo