Mkubwa The Monk shoka moja tu, mbuyu chini...
Kama nilivyoandika mwanzo kwamba lazima Iryn aliwe, naam lilikuwa ni suala la muda tu kwa bazazi mtiifu INSIDER MAN anayefuata vipengele vyote vya katiba ya chama chetu kumaliza hii shughuli...
Niseme ya kwamba INSIDER MAN kwa moyo mkunjufu mimi kama mwenyekiti wa chama sasa nakuruhusu uende ukasome masters na utafaulu kweli kweli π
Ingawaje kuna kaakili ka ubazazi kananiambia si ungezaa na Iryn...teh
Story kuwa chai kwa angalau 30% to 40% sio tatizo hasa kwa true story kwa kuwa lazima iwe scripted ili wahusika kwenye story wasiathiriwe ijapokuwa kuna tatizo INSIDER MAN ungesiandika ningeona hii story ni chai 100%.
Ingawa hili tatizo ulilowahi kulisema unalo linaonekana limeisha na umelielezea kwa ufupi lakini bado kuna elimu inabidi uwasaidie watu liilishaje.
Nilishafuatilia thread zako moja ya tatizo lililokuwa linakusumbua ni kukojoa mapema mara nyingine hata kabla humjamgusa mwanamke. Na kwa Iryn naona ilitokea tena ukapiga bao la kwanza ndani ya sekunde baada ya kuchezea clits. Hapo nimeamini kuna ukweli wa story kwa zaidi ya 60% which is good kwa wasomaji wako. Na ndio maana kuna wakati nilikuwa naandika kuna angle ya story naisubiri usipoandika na mimi ntaona ni chai kama wengine ila nta enjoy kusoma story kama zingine.
Endelea na story mzee maana hapo kilichofuata ni watu kurejeshewa ajira au kupotezwa kabisa ili wasiingilie penzi. What I expected ni story kumfikia Iryn kuwa unashinda nyumbani kwa kina Sumaiya na niliandika hili because I know women tabia zao yamenikuta. Kifurushi cha wivu kimeongezwa mara dufu kwa michepuko kwa vyovyote hukubaki salama. Nakusubiri kwenye angle nyingine mzee ili niamini kuwa hii story kwa 80% ni ya kweli
Inamaana na wewe huna gari? Kwahiyo tumefika wanne ambao hatuna magariMi ndio members choka mbaya humu kuliko wote ila anayoyasema jamaa yote yanawezekana
Mkubwa The Monk shoka moja tu, mbuyu chini...
Kama nilivyoandika mwanzo kwamba lazima Iryn aliwe, naam lilikuwa ni suala la muda tu kwa bazazi mtiifu INSIDER MAN anayefuata vipengele vyote vya katiba ya chama chetu kumaliza hii shughuli...
Niseme ya kwamba INSIDER MAN kwa moyo mkunjufu mimi kama mwenyekiti wa chama sasa nakuruhusu uende ukasome masters na utafaulu kweli kweli [emoji4]
Ingawaje kuna kaakili ka ubazazi kananiambia si ungezaa na Iryn...teh
Itaishaje wakati bado hujazaa naeHata thread ikiishia hapa si freshy?
Itaishaje wakati bado hujazaa naeHata thread ikiishia hapa si freshy?
Nasubiri codes za kufanikiwa kwenye uber na bolt businessHata thread ikiishia hapa si freshy?
Hunishindi mimi mkuu lkn bado naamini pia inawezekanaMi ndio members choka mbaya humu kuliko wote ila anayoyasema jamaa yote yanawezekana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutoka kwa mwenyekiti kabisaMkubwa The Monk shoka moja tu, mbuyu chini...
Kama nilivyoandika mwanzo kwamba lazima Iryn aliwe, naam lilikuwa ni suala la muda tu kwa bazazi mtiifu INSIDER MAN anayefuata vipengele vyote vya katiba ya chama chetu kumaliza hii shughuli...
Niseme ya kwamba INSIDER MAN kwa moyo mkunjufu mimi kama mwenyekiti wa chama sasa nakuruhusu uende ukasome masters na utafaulu kweli kweli [emoji4]
Ingawaje kuna kaakili ka ubazazi kananiambia si ungezaa na Iryn...teh
Huyu hapa hajapenda Iryn kuliwa [emoji28][emoji28][emoji28]Wadanganye hao hao kinalokole..nakhadija mzee (hapo ulipo umla iryn umetupanga kuwa furahisha wananzengo)
Na ndo uandishi unavyotakiwa. Angeweka kila kitu kama kilivyo hii story isingefika hapa.Uzi huu kuna uhalisia mkubwa sana. Niliamua kwenda kufanya utafiti wa maziko ya Mr. Parma Tabora. Wenyeji wanadai ni msiba huo ulikuwa na waombolezaji wengi sana na alizikwa kimila na kidini... Issue ya watoto wanadai wako wengi kwa mama tofauti. Alizikwa km 90 kutoka Tabora mjini. Kuhusu mkewe, mtoa uzi @insiderman ni mjanja hakutaka kumtaja sifa zake ila ni maarufu. Makazi ya Mr. Parma nimejiridhisha na picha ninazo. Hongera sana mtoa uzi...
Sent from my ARS-L22 using JamiiForums mobile app
Hata thread ikiishia hapa si freshy?
Kachukue kwanza kadi ya membership Kwa Watu8 atakupa mwongozo.Hata thread ikiishia hapa si freshy?
Hata thread ikiishia hapa si freshy?
Asante πKelvin35 Nourhan MIRA01 Gentlemen_ Just Nana Statics Antonnia ma uncle zangu story yenu tayar huku[emoji23] mimi mtoto mtiifu sijasoma kwa maelezo ya onyo la kiumri lililotolewa na uncle INSIDER MAN hivyo basi nasubiria next ep. Ndio na mimi nisome[emoji23]
Maadam "mrembo wa ajabu" kashaachia goli, mimi kama mwenyekiti naafiki, tuanue matanga tu ingawaje najua Iryn aliendelea kutafunwa tena na tena...
Ila kwa niaba ya wengine waliokuunga mkono tangu day 1 ya stori, unaweza ukawamalizia vipande vilivyobaki...