Ukimaliza yako naleta Yangu "udereva ulivyonifanya nikaenda Madagascar"Insider hakimaliza story naleta yangu kaeni mkao wa kula😁 itaiitwa Biashara ya simu ilivyonipa connection
NitagINSIDER MAN ww fala kwa kujisifia eti natema sumu kama koboko 😀
Kwa furaha hii INSIDER MAN tusindikize na episode moja ili usiku wetu uwe super!Arsenal leo kanifurahisha sana, Big up Arsenal fans we deserved [emoji123].
[emoji736]
uwe mkweli kama INSIDER MAN maana nae alisemaga hivi kwenye uzi flani hivi na kweli akaleta storyInsider hakimaliza story naleta yangu kaeni mkao wa kula😁 itaiitwa Biashara ya simu ilivyonipa connection
uwe mkweli kama INSIDER MAN maana nae alisemaga hivi kwenye uzi flani hivi na kweli akaleta storyUkimaliza yako naleta Yangu "udereva ulivyonifanya nikaenda Madagascar"
Niko serious, sijawah shusha thread yoyote humu nadhani hii itakuwa ya kwanzauwe mkweli kama INSIDER MAN maana nae alisemaga hivi kwenye uzi flani hivi na kweli akaleta story
unitag ukianzaNiko serious, sijawah shusha thread yoyote humu nadhani hii itakuwa ya kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] ataibuka hapa na matusi mazito mnoGentamicine ni yericko Nyerere aliechangamka.
Wote ni walozi na majitu ya ndumba
❤️Kwanini Nahii mtaizoea tu mkuu!
Iko hivi, Ukitaka kuwaelewa wanawake inabidi usiwaelewe walivyo wanawake ni Kama juveniles yaani watoto wanaoenda rika la kujitambua. Kimsingi Wana amini kila wahachokitamani au kukitaka ni lazima wakiweke kwenye himaya yao Sasa namna nzuri ya kuishi na watu wa aina hii ni kuwaweka karibu lakini kutowatilia maanani hata kama ndani ya nafsi yako unamhisiWakati tunasubiri INSIDER MAN alete mwendelezo, ngonja nishare experience kdg kuhusu mahusiano ya kimapenzi na watu wa kazini.
Nimefanya kazi almost miaka 2 kwenye post yangu mpya na ni sehemu ambaye robo 3 ya wafanyakazi ni wanawake.
Kuna mmoja nilimspot kumbe na yeye alikuwa amenielewa. Tumedate almost miezi 6 then tukaamua kuingia kwenye relationship.
Changamoto yake ana wivu sana. Hataki akuone unaongea na mfanyakazi mwingine wa kike. Kuna siku kadhaa amenikamata mfano nilipanda mshikaki wa boda hii siku alimind sana.
Last time nilikuwa nachat na mdada wa kazini kumbe wapo pamoja , yule dada msenge anamwonesha chats zetu eti fulani ananifurahisha hapa (zilikuwa normal charts sio mapenzi) bila kujua anatoa siri kwa mwenye Mali.
To make it short amenipiga kibuti aah aah tumebakia marafiki ila pamoja na kumbembeleza kote anasema harudi nyuma.
Kinachonishangaza kila mukioongea kwa simu au mkichat anaishia kuniambia vile alivyonipenda na nimeishia kumuumiza.
Jana nilimkuta kwa staff mate tulipiga story na kula pamoja. Baadae staff alienda mjini tukabaki wenyewe, nikawa na test kushika kiuno na kumhug wala hakukataa na jioni nilimuaga kwa kumkiss mdomoni.
Leo nimeendelea kumbembeleza turudi km zamani anasema hataki kuumia tena kwa wanaume anayeshobokea na kila mwanamke kazini.
Ukweli bado namhitaji sana lkn ni km nikiendelea kumbembeleza sana nitamkosa. Na plan kula buyu nisiongee kuhusu mahusiano yetu tena
Je inaweza kumsaidia kurudi nyuma ?
Asante Mwamba