Praying mantis
Member
- Apr 1, 2023
- 84
- 90
Watu wanataka mwendelezo wa story kaka siyo haya, matatizo ya umeme Tanzania [emoji1241] yanafahamika na yemeshaanza kuzoelekaKwa upande mwingine nimeingia Dsm na Tanesco wamekata umeme.
Bas kaa Kwa kutuliaSina ya kusisimua na kuwatia nyege
Mh nakuambia tafadhali sana tena tafadhali mno, mambo ya umeme sisi hajatuhusu tunachotaka ni story, matatizo tunayopata ya kufungua huu uzi kila baada ya saa1 umeyasababisha wewe, naomba sana uzingatie makubaliano yetu, isingekuwa ulipost episode katikati ya week pangekuwa pamechimbika hapa maana jana hujapost. mkuu usitake kabisa kuleta mzaha kwenye hila jambo tutaonana wabaya, wengine tuna mkono mrefu ujue. NIMEMALIZA, KAZI KWAKO.Kwa upande mwingine nimeingia Dsm na Tanesco wamekata umeme.
KWa hiyo 66 leo hatuipati..?Kwa upande mwingine nimeingia Dsm na Tanesco wamekata umeme.
Lete pichaMkuu, embu kwanza tutake radhi...Kwamba Dodoma hamna warembo? Eeh!? Watoto wote hawa waliojaa!? Tengua kauli.
Mkuu, uliwaza nini mpaka ukachagua hilo jina?Sawa.
So ukisema social unamanisha nini? Mana udom inaanzia chimwaga.mpaka medicine. Au weee nhuwa unaendaga ngo'ngona mzee.kuvizia wale wanaokujaga kujumua pale sabasaba.madumla ya nyanyaUdom pisi hakuna mpaka uende humanities au social pale, lakini pisikali zipo CBE na mipango.
Nashera hotel ni muda nimeenda pale kufuata mademu fulani....sema morena ndiyo classy
Ukifika Juhudi Secondary pale gongolamboto miaka ya 2012 utakut historia yake.Mkuu, uliwaza nini mpaka ukachagua hilo jina?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mh nakuambia tafadhali sana tena tafadhali mno, mambo ya umeme sisi hajatuhusu tunachotaka ni story, matatizo tunayopata ya kufungua huu uzi kila baada ya saa1 umeyasababisha wewe, naomba sana uzingatie makubaliano yetu, isingekuwa ulipost episode katikati ya week pangekuwa pamechimbika hapa maana jana hujapost. mkuu usitake kabisa kuleta mzaha kwenye hila jambo tutaonana wabaya, wengine tuna mkono mrefu ujue. NIMEMALIZA, KAZI KWAKO.
Sijataka kabisa kutumia maneno kwa upande mwingine maana kwa upande mwingine taarifa yako imenikera sana.
Hamia bukoba. Huku umeme wakikata masaa mawili tu tunaona ni muujiza. Kuhusu umeme watoto wa huku hawajui kama huwa unakatika. Wanajua tu taa zinawaka badala ya jua. Yaani Mungu alitengeneza jua na taaKwa upande mwingine nimeingia Dsm na Tanesco wamekata umeme.
"Kwa upande mwingine shusha Ep nyinginee nimekasirika sana muda huu"Kwa upande mwingine nimeingia Dsm na Tanesco wamekata umeme.
Mtu wa KangomaHamia bukoba. Huku umeme wakikata masaa mawili tu tunaona ni muujiza. Kuhusu umeme watoto wa huku hawajui kama huwa unakatika. Wanajua tu taa zinawaka badala ya jua. Yaani Mungu alitengeneza jua na taa
Hapana. Mi ni igombe fishermanMtu wa Kangoma
Kangoma unapafaham lakiniHapana. Mi ni igombe fisherman