Kizuri kula na nduguyo cousin wacha apunguzwe stelesi kidogo..Grizzman yupo mbaliHata mi nimependa Utu wa kusaidia na kujichanganyaa na kutojikweza I like that!
Sema alipotaka kumiliki mme wa mtu mazima mi Sijapentaaa!
Mume anauma nyieee!!
Alitaka nature iplay part yake kwa zile pigo uvumilivu umemshinda kajiripua tu liwalo na liwe !Iryn analeta pigo za sitaki nataka hatimae rasmi katamka kwa kinywa chake yeye ni mali ya insideer
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekula nyama pale nitarudi tenaKuna mnada upo Handeni mjini unaitwa Ndelema nyama inayochomwa pale sio poa ni tamu sijapata ona
Mmh sawa mama A .....kuna sehemu itabidi nikucheki unizururishe π€©Moro mi mwenyejii tena sanaaa!! Mezaliwa huko mekulia hukooo mesomea hukoooo! Hadi mahenge mikumi ifakara kilombero ulanga kote hukoo hunipoteziiii,, kilosa kidete hukooo Dumila turianii dakawaa wami kilosa... matombo mgeta mvuhaa moro town ndio kabesaaaaaa!
Nature ilisha play Iryn akavunga nakumuambia insideer ile ilitokea kama ajali asahau kumvua chupi tena boss lady akawa anampimia meneja kaona meneja hana papara isiwe tabu kaukubali mziki wa meneja acha ajisevieAlitaka nature iplay part yake kwa zile pigo uvumilivu umemshinda kajiripua tu liwalo na liwe !
Sasa Insaida mazoea na wale vijakazi wa boss lady asitishe Asap haipendezi kiukweli na ndiomana Iryn anammind kidizain! Hakinaga mazoea ya kawaida ya simba na swala haoooo hio!
Ile ilikua zuga tu vile alikua anabeep kusikilizia reaction ya insider!Nature ilisha play Iryn akavunga nakumuambia insideer ile ilitokea kama ajali asahau kumvua chupi tena boss lady akawa anampimia meneja kaona meneja hana papara isiwe tabu kaukubali mziki wa meneja acha ajisevie
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ilikua zuga alikua anampimia meneja aone atachukua hatua ganiIle ilikua zuga tu vile alikua anabeep kusikilizia reaction ya insider!
Si unajua wanawake tunapenda kubembelezwa[emoji1783][emoji1783][emoji1783]!
Nimekucheki kule sikupati nduguBro ndo nimeingia mjini leo, nitazipitia kesho afu nitakurudia ndugu yangu
Pouwa kaka haina shidaaBro ndo nimeingia mjini leo, nitazipitia kesho afu nitakurudia ndugu yangu
Kwa jinsi ninavyowajua wachaga kwenye pesa mama j anapangwa na atatuliaNajua ilikua zuga alikua anampimia meneja aone atachukua hatua gani
Ngoma ipo mama J akishajua anaibiwa na rafiki yake [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima aumie hata kama they were friends...Kushea kusikie kwa jirani tu!!Najua ilikua zuga alikua anampimia meneja aone atachukua hatua gani
Ngoma ipo mama J akishajua anaibiwa na rafiki yake [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatuletea huyu muimba amapiano!!?? Shomadjozi [emoji23][emoji23][emoji23]IRENE....., Code zishafunguka au nitaje mpaka jina lake...., ofisi zake....., Na kwa hyo Bi mkubwa wake ambaye now hayupo TZ[emoji28][emoji28]View attachment 2781966
Aiseee Inamaana mama J hisia ataweka kando aangalie pesa kwanzaKwa jinsi ninavyowajua wachaga kwenye pesa mama j anapangwa na atatulia