wengine hawako kama ww, kuna tour guider mmoja alikutana na mama mjane wa kizungu yuko loaded kiquma yaani, mama akamwelewa mwamba na akamchana live anataka kuwa naye, mwamba ana mke mchaga, akaenda akamuuzia mke mchongo, mke akamuuliza kwan anatala umuoe, mume, hapana anataka tu mahusiano, mke, una uhakika ana hela? Mume, mke wangu yule mzungu ana hela kiquma, mke, imeisha hyo, babaa nenda kalete hela acha ufala,
Sema credit kwa iryn hana majivuno ,haringi na anajitambua ...japo izo sifa wangepata baadhi ya watu hio kazi ndugu yetu angeshaachishwa zamani Sana KWA visanga alivompatia Boss ladyMie team kubaki njia kuu bestie ila Iryn ndie main character of the story mwanamke wa ajabu aliempata kutoka biznee ya uber sa ntafanyejeπ€! Acha tu achukue chombo Iryn !
Hata mama j nae hana hatiMie team kubaki njia kuu bestie ila Iryn ndie main character of the story mwanamke wa ajabu aliempata kutoka biznee ya uber sa ntafanyeje[emoji848]! Acha tu achukue chombo Iryn !
Kwamba wame za Watu wanajaliii hawana mbambambaa kabesaaa π π€ ! !Ka yaani ukiangalia hao ni weng dadeq ....na wanajua jamaa yupo kwenye ndoa ule msemo hakunaga urafiki wa karibu baina ya jinsia mbili nauelewa hapa
umeona eehh!! Bossi lady ni muelewa mnoooo! Afu kampenda jamaa ile real kwani hajafata pesa!! So jamaa amtendee haki princess wawatu!!Sema credit kwa iryn hana majivuno ,haringi na anajitambua ...japo izo sifa wangepata baadhi ya watu hio kazi ndugu yetu angeshaachishwa zamani Sana KWA visanga alivompatia Boss lady
Mama J ni mke mkuu japo hawajafunga ndoa na Ndiomana kila mmoja anajulikana kwa ndugu wa mwenzie unamkosea sana mama J kumlinganisha na Priska!Hata mama j nae hana hati
.kwa sabab kwenye stori hii alizaa tu hajaolewa bado.so why iwe kwamba mama j aanze kuwa na hadh tofaut na prislka.? Wote wapo sawa.
Yaani hadi raha .....unakuwa dunia nyingine kabisa unasahau kuwa una ndoa tayari...umeona eehh!! Bossi lady ni muelewa mnoooo! Afu kampenda jamaa ile real kwani hajafata pesa!! So jamaa amtendee haki princess wawatu!!
Nmetania tu mkuu kuchangamsha gengeKumbuka Iryn anasaidia wasio jiweza yatima wagonjwa na wakina mama wenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfyuuu!! Ona unavyofurahia kuhalalisha hahaa!Yaani hadi raha .....unakuwa dunia nyingine kabisa unasahau kuwa una ndoa tayari...
Mama J ni mke mkuu japo hawajafunga ndoa na Ndiomana kila mmoja anajulikana kwa ndugu wa mwenzie unamkosea sana mama J kumlinganisha na Priska!
Mama J wanetoka mbali sana wanashirikishana na wamefanya mipango kibao ya maendeleo wee Priska hana hadhi ya mama J ashendweee!!
Yeah hata ndugu wanamfahamu same applies na Insaida!!Itakuwa hajasoma story yote vizuri huyu Kuna mahali Insider anamsifia mama j kwamba Ana akili na Wana biashara nyingi ambazo source ni mama j
Hapo ulipomkemea nmecheka cousin πππππYeah hata ndugu wanamfahamu same applies na Insaida!!
Mama J hawezi kubali kirahisi lazima izue vurumai!
Ndiwooo cousin Priska unamfanishaje na Maza house weeeh! Hata kama Insaida atamchukua Iryn mama J ana status yake!Hapo ulipomkemea nmecheka cousin πππππ
Prisca hawezi fananishwa na mtu ndyo maana kaachwa baada ya kuleta dharau za kitotoNdiwooo cousin Priska unamfanishaje na Maza house weeeh! Haya kama Insaida atamchukua Iryn mama J ana heshima yake!
Mama J ataondokaje wakati hakuna sehemu alioshirikishwa kuhusu mambo yake yote na Iryn π.....na Iryn alienda masomoni pia ...Mfyuuu!! Ona unavyofurahia kuhalalisha hahaa!
Najiweka kwenye position ya mama J naona kabisa nawehuka kwa kuchanganyikiwa !
Nahisi mama J ataondoka hawezi kibali hili!
Ale matunda ya kujirahisisha kwake na apambane na matatizo yake no way ndio ilipangwa hivoo!Prisca hawezi fananishwa na mtu ndyo maana kaachwa baada ya kuleta dharau za kitoto
Hahahaaa..au ndio atakua na wote wawili lol! Ngoja tuone japo I sense mama J kuleta msala!Mama J ataondokaje wakati hakuna sehemu alioshirikishwa kuhusu mambo yake yote na Iryn π.....na Iryn alienda masomoni pia ...
Let's wait and see......ila inanoga ile mbaya uku mwishoniHahahaaa..au ndio atakua na wote wawili lol! Ngoja tuone!
Story tamu ila ndio inaelekea ukingoni!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] ni kweli kabisa ingawa visa ni vingi, pesa inabaki kuwa sabuni ya moyo. Kuna mama aliendaga ulaya kusoma akazama kwenye penzi na mzungu. Yaani alihamishia watoto wake wote ulaya na kumuacha mzee Baba kufa kwa kihoro kikubwa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]alimtelekeza mume orijino na mzee wa watu kila akitaka kuhamia huko anapigwa kalenda. uzuri mzungu alikuwa na njuluku za kutosha hivyo watoto wakafaidika na pussy ya Mama yaowengine hawako kama ww, kuna tour guider mmoja alikutana na mama mjane wa kizungu yuko loaded kiquma yaani, mama akamwelewa mwamba na akamchana live anataka kuwa naye, mwamba ana mke mchaga, akaenda akamuuzia mke mchongo, mke akamuuliza kwan anatala umuoe, mume, hapana anataka tu mahusiano, mke, una uhakika ana hela? Mume, mke wangu yule mzungu ana hela kiquma, mke, imeisha hyo, babaa nenda kalete hela acha ufala,
RubbishINSIDER MAN, nijuze kuhusu hii kauli yako "maggy aliamua kuchagua nyumba iliyo upande wa chini", unamaanisha nyumba ya ni ya