Inawezekana mkuu kuna watu ni wafatiliaji hatari huwezi amini ni basi mtu anaona hakuna objektiiv baada ya kuwajua wahusika.Never huwezi kidogo Prisca code zipo open,
Game yetu dhidi ya chelsea unaionaje?Never huwezi kidogo Prisca code zipo open,
Alishajibugi hilo swali...... endelea kusoma storyPole sana, masaibu matatu mazito, kutekwa kwa Irene, mimba ya Prisca, na kufumaniwa na mkeo ktk picha za Irene. Lakini ngoja nikuulize kitu, kwanini ukifika nyumbani ni lazima uoge kwanza?
Never huwezi kidogo Prisca code zipo open
Ewaa Huyu ndiye Mama wawili SasaMsiomjua iyrin ndo huyu HAPA View attachment 2788046
Nilikuwa nakujulia hali tu mama yangu. Natumai umzima wa afya.Naam, umeniita? Tatizo nini?
Game yetu dhidi ya chelsea unaionaje?
ila insider hututendei haki kabisa kutusubirisha kwa kitu ambacho ulisema kitambo kipo tayari bado kuhakiki tu sio poa.. unajiskiaje watu wanavyolalamika kama wanashiba!
Niliimaliza mbn..... Kwa dk zake tuu...Episode ya juzi unaweza kuisoma siku 3 na bado usiimalize uongo? Episode ndefu sana sawa na Episode 3
Usijali ila nashangaa kwanini wengi waniona kama Me sio Ke 😊jina la kiarabu la kike la my daughter.Sorry dear I didn't mean kuchange your gender. Ok thanks
Kauli ya mume wangu hio utasikia siwezi kuwa na mke nikatumia ndom namwambia basi sitaki mimba sitaki uzazi wa mpango Wala p2 😂pambana na hali yakoKutumia zana ni sawa na kupiga nyeto tu chifu 😁
Tutamkanda sana huyo the blues hana nguvu...Chelsea mke wetu, tukishinda naweza post EP 68 for gunner fans
Mwambie umekutwa na virusi vya ukimwi 😂 🤣Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.
Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.
Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..
Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.
Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.
Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana
Ni kama balimi TU. Beer yangu ilikuwa carslbergTutamkanda sana huyo the blues hana nguvu...
Hivi Heineken huwa ina ladha tofaut na hizi local beers kama serengeti lager?
Combination ya mchaga na Singapore, lazima awe mtukutuMtukutu sana huyu dogo na utundu juu
Upo serious ladha ya heineken ni kama balimi?Ni kama balimi TU. Beer yangu ilikuwa cersbarg
Pole sana, Mungu atakupa mwingine kwa wakati wakeMy favorite character in the story ni Junior yaani yeye Jr. nimemfananisha na chaliii yangu sana japo daaah big story, i lost my son like Jr same days same age to Jr kila nikifika kwa story ya Jr lazima nilie...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji31][emoji31][emoji31]
Upo serious ladha ya heineken ni kama balimi?
Kwahiyo umeamua kuja kunitangaza sio?Kauli ya mume wangu hio utasikia siwezi kuwa na mke nikatumia ndom namwambia basi sitaki mimba sitaki uzazi wa mpango Wala p2 😂pambana na hali yako