Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Hukuelewa nilichouliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuelewa nilichouliza
So huwa unampea peku?Kauli ya mume wangu hio utasikia siwezi kuwa na mke nikatumia ndom namwambia basi sitaki mimba sitaki uzazi wa mpango Wala p2 😂pambana na hali yako
Tafuta rafiki Yako amtongoze akiingia king kwa jamaa we unatembea speed ya light. Ila kama ulipata ujasiri wa kuanzisha safari ya mapenzi unashindwaje kuisitisha? Zingatia kuepuka kusababisha maumivu kwa watu wengine hapa duniani.Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.
Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.
Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..
Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.
Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.
Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana
Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.
Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.
Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..
Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.
Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.
Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana
Tutamkanda sana huyo the blues hana nguvu...
Hivi Heineken huwa ina ladha tofaut na hizi local beers kama serengeti lager?
Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.
Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.
Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..
Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.
Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.
Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana
Kuna jamaa hapo kasema ina ladha ya Balimi hadi nikaona sio poa..Ladha tofauti mkuu, kwanza heineken unatumia mwenyewe ukimaliza chupa inatupwa jalalani, hizi local chupa zinaoshwa sometimes hawaoshi vizuri unaweza kuta hata nzi ndani ya bia, wewe fanya Research ya local beers.
NI ngumu sanaKwahiyo arsenal akipigwa tukalale sio mkuu INSIDER MAN
Mpira unadunda mkuuNI ngumu sana
Tunashinda lazima hiyo game wala usijaliChelsea mke wetu, tukishinda naweza post EP 68 for gunner fans
TImu yangu inanipa jeuri kakaMpira unadunda mkuu
Hahahah una kaujuaji kidogo kakaHuu uzi kipengele unawezachungulia ukakuta server zimejaa ukahisi dereva wa uber katupia liepisod wanaligombania, kumbe raia wameamua tu kujadili maumbwa mara watupie mipichapicha ya Iryn hujakaa sawa sasa ni muda wa kuijadili Heineken, Balimi na Chimpumu bila kusahau Kisungura
Daaah! Yani inaonekana ulipomtongoza ulimtongoza kimasihara sana..Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.
Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo...
Ee eeh jamaniEpisode za sasa nawapa ndefu sana lakini bado watu wanalalamika [emoji1544][emoji1544].
Enjoy fans, tukutane EP 68, iko jikoni