Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.

Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.

Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..

Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.

Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.

Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana
Tafuta rafiki Yako amtongoze akiingia king kwa jamaa we unatembea speed ya light. Ila kama ulipata ujasiri wa kuanzisha safari ya mapenzi unashindwaje kuisitisha? Zingatia kuepuka kusababisha maumivu kwa watu wengine hapa duniani.
 
Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.

Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.

Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..

Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.

Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.

Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana

Mwambie wife kaona msg zenu imekuwaa msala mkubwa,inabidi kusitisha kwa muda ili asije akakuletea matatizo zaidi,so mpeane break kwanza mpaka mambo yapoe.
Then baada ya hapo unasepa mazima
 
Tutamkanda sana huyo the blues hana nguvu...
Hivi Heineken huwa ina ladha tofaut na hizi local beers kama serengeti lager?

Ladha tofauti mkuu, kwanza heineken unatumia mwenyewe ukimaliza chupa inatupwa jalalani, hizi local chupa zinaoshwa sometimes hawaoshi vizuri unaweza kuta hata nzi ndani ya bia, wewe fanya Research ya local beers.
 
Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.

Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo.

Nimeoa nna mtoto 4yrs.
Na nna demu ambaye last yr ndo amegraduate chuo. Tabia zake na mahusiano yetu yanafanana na prisca almost kila kitu. Tatizo linalonitatiza ni moja.. Insider ameweza kumpa kibuti prisca. Lkn wakuu mimi nashindwa kabisa..

Moyoni siyataki mahusiano haya, nachukia kabisa, tatzo nashindwa namuachaje huyu demu. Sina ujasiri wa kupiga kibuti km alivofanya Insider.

Mfano leo hii tuna appointment. Demu anataka tuonane falagha.. Yaan toka asubuh sina raha kabisa.. Sipendi kuonana nae wala sina hamu naye. Na nshamkwepa sana hapo kati kila tukitaka onana naibua sababu za uongo mpaka nmeishiwa sababu.

Basi nashindwa kumuacha sababu najua ataumia sana, atapata stress.. Inanicost sana

Mwambie wife kaona msg zenu imekuwaa msala mkubwa,inabidi kusitisha kwa muda ili asije akakuletea matatizo zaidi,so mpeane break kwanza mpaka mambo yapoe.
Then baada ya hapo unasepa mazima
 
Huu uzi kipengele unawezachungulia ukakuta server zimejaa ukahisi dereva wa uber katupia liepisod wanaligombania, kumbe raia wameamua tu kujadili maumbwa mara watupie mipichapicha ya Iryn hujakaa sawa sasa ni muda wa kuijadili Heineken, Balimi na Chimpumu bila kusahau Kisungura
 
Huu uzi kipengele unawezachungulia ukakuta server zimejaa ukahisi dereva wa uber katupia liepisod wanaligombania, kumbe raia wameamua tu kujadili maumbwa mara watupie mipichapicha ya Iryn hujakaa sawa sasa ni muda wa kuijadili Heineken, Balimi na Chimpumu bila kusahau Kisungura
Hahahah una kaujuaji kidogo kaka
 
Nikiri wazi huu uzi umenifanya najiona dhaifu sana.

Story ya jamaa na prisca ni exactly same na story yangu na demu fulan. Insider na prisca jinsi walivo, tabia na mahusiano yao hata mimi ni hivo hivo...
Daaah! Yani inaonekana ulipomtongoza ulimtongoza kimasihara sana..
 
Back
Top Bottom