Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ndo maana wanaume wengi hawatak mabest zako waje om kwako[emoji16][emoji16][emoji119]Hata ningekua mm ningeachana tu na mwamba tho nampenda[emoji23] Mapenzi maana yake freedom sasa mpo kwenye mapenzi ya kificho plus dhambi nyingine zinaongezeka kama uongo na unafiki[emoji119][emoji119] yani unakaa kwenye mahusiano na mtu afu hauna uhuru nae bado unaongea na mke wake kama best yako[emoji119][emoji119] huo ni unafiki kiwango cha rami jamani
Ndo maana wanaume wengi hawatak mabest zako waje om kwako[emoji16][emoji16][emoji119]
INSIDER MAN Huyo Iryn hana msimamo ni kumpotezea mazima.Ikiwezekana simu zake block kabisa.Na nyumba uhame asije akaja nyumbani kujifanya anamfuata mama J AU Junior.
Yeye mwenyewe kajileta kuliwa kimasikhara Halafu analeta za kuleta.Ikiwezekana hata Kazi yake resign .Tayari Mzee Juma ameamua KuSupport kusoma masters na baadae upate kazi ya maana.Machungu yako malizia Kwa Mary kama mchepuko[emoji848]
Kumbuka nyumba nimehama tayari, hatujui Kwanini kachukua maamuzi haya
Yule ungemuonyesha msimamo angejirudi tu.Manake Sababu za kukumwaga hazina mashiko sababu toka mwanzo yeye alijua wewe ni mume wa mtu.Au usiache kazi toka na mfanyakazi hapo waziwazi mwambie tusiingiliane kila mmoja aendelee na mambo yake.Mkiss Asmah mbele Yake ili aumie na yeye!Kumbuka nyumba nimehama tayari, hatujui Kwanini kachukua maamuzi haya
INSIDER MAN kasome Mithali 6:32
Tunaomba utuelezee kisa chako kidogo Mkuu .....Nakuelewa sana kamanda, kwangu ilimradi nna familia inayoeleweka, siruhusu kabisa hata kama ni yeye kujitambulisha hivyo.
Sema likija suala la mapenzi, hua tunafanya mambo ya ajabu sana.
Imagine Iryn hali akijua kabisa wewe una familia na anawafaham anadiriki kukutambulisha Kwa Mzee wake na mbaya zaidi yanafanyika maamuzi ya kulala hotelini ili kuweka mazingira sawa ya urafiki wenu.
Hii kitu ilinigharim ndio maana nikasema sitasahau kamwe.
Umeenda ibadani lakini Mkuu?
NakaziaINSIDER MAN Aliechoma ni Mama Janeth maana alikuwa hajui uhusiano wenu na Iryn umefikia kiwango hicho , maana uliwahi kumwambia unafamilia . So baada ya wewe kutambulisha kwa Mzee nadhani na Mama Janeth akapata taarifa.
Iryn amepewa ushauri na Mama Janeth ndo maana amechukua maamuzi kama hayo .
INSIDER MAN Aliechoma ni Mama Janeth maana alikuwa hajui uhusiano wenu na Iryn umefikia kiwango hicho , maana uliwahi kumwambia unafamilia . So baada ya wewe kutambulisha kwa Mzee nadhani na Mama Janeth akapata taarifa.
Iryn amepewa ushauri na Mama Janeth ndo maana amechukua maamuzi kama hayo .
INSIDER MAN Aliechoma ni Mama Janeth maana alikuwa hajui uhusiano wenu na Iryn umefikia kiwango hicho , maana uliwahi kumwambia unafamilia . So baada ya wewe kutambulisha kwa Mzee nadhani na Mama Janeth akapata taarifa.
Iryn amepewa ushauri na Mama Janeth ndo maana amechukua maamuzi kama hayo .
Yule ungemuonyesha msimamo angejirudi tu.Manake Sababu za kukumwaga hazina mashiko sababu toka mwanzo yeye alijua wewe ni mume wa mtu.Au usiache kazi toka na mfanyakazi hapo waziwazi mwambie tusiingiliane kila mmoja aendelee na mambo yake.Mkiss Asmah mbele Yake ili aumie na yeye!
Ukisoma hiyo Mithali 6:32-35 inafikirisha sana. Inasema kuzini na mwanamke ni upumbavu kabisa, ni jambo la kuangamiza nafsi, aibu haitafutika milele.
Ikaongezea wivu wa Mme wa mwenye Mke ambavyo kisasi chake ni hatari.
Sitetei anachofanya Kapten hapa ila Iryn sio mke wa mtu japo Insider ni Mme wa mtu na anaweza kusema hajao Kwa vile hapakua na ndoa wakati huo.
Tunaomba utuelezee kisa chako kidogo Mkuu .....
Kuzini ni nini tuanzie hapa,
Mama Junior akija kusoma hii story ata kama baada ya miaka kumi, lazima joto limfukute na kisasi kilipwe