Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ma favourite character is The one and only mama J aseee !
Don't underestimate the power of mke mkubwa bila kujali hana cheti cha ndoa wala neneee but anajulikana kotreee mpaka boss lady mwenyewe kwake atasaluteeee na heshima juu!

Afu mpambanajiiii pia huo Wivu sasa 🙌🤠🤠!

Ana doubt zake zinanikoshaaa sio kidogo!
 
"muda wote nilikuwa natamani niwe nasex na Iryn.


Old wine thrives within new bottle ausio!
Mapenzi bana
 
Mlichomfanyia mama J Sijapentaaa kwakweli mmefanyanaaa hukoo weee haijatosha mpaka mkamuigizie jameni jameni!

Ndiomana guilty inammaliza Iryn!!
 
"Niliwaza kwanza natakiwa kumjua huyu mwanaume na nijue muda ambao huwa anaingia na kutoka hapa."

Umjue ili ugundue nini mkuu wee si uhapita hivi mpotezee tu Kwani hata ukimtafutia sababu still ukweli utabaki pale pale wewe ndie ulomuacha
 
Mmemaliza kulana halafu mnakwenda kumu enjoy mamaJ, ati vipi na kazi wakati mnanuka uzinifu hapo🤣🤣🤣
 
"When You Have Everything? What could you possibly desire?."

Just Long life and amani ya moyooo bas!

Hivi ndio vitu ambavyo huwezi vinunua kwa pesa wala madaraka !
@Antonnia umeumia sana Kwa mama j,naona comment zako mfululizo....itakuwa umewai kupigwa tukio.kama ya mama j...sio Kwa maumivi unaloonyesha hivi.
 
Wadau wanabet tu hakuna anayemjua personal
Ila huyu Claire aliyeenda kuishi naye na hv ni watoto wa kishua hawashindwi kuwa wanakoboana
Kwa hiyo unataka kusema penzi la insider jamaa kapambana na vibopa, kashinda now inabidi aanze kulipigania kwa wana LGBT tena....? Kweli hapa duniani ni kazi kazi kupumnzika ni mbinguni na mbinguni nako kuna kazi tena ya kuimba nonstop.....sa sijui itakuaje
 
Mbona kawaida sanaa
 
Ngoja tuone ila me nimepata red flag hapo Iryn alipohamia kwa Claire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…