nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Jamaa naomba unijibu kwanini unatembea na nguo unabadilisha kwenye gari ilhali we we ni mme wa mtu na kila siku unagombana nae.Nitawatumia picha
Nijibu pia iryn alijuaje siku ile zawadi ya nguo umeitoa kwa mbotswana?Nitawatumia picha
Jamaa naomba unijibu kwanini unatembea na nguo unabadilisha kwenye gari ilhali we we ni mme wa mtu na kila siku unagombana nae.
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Nijibu pia iryn alijuaje siku ile zawadi ya nguo umeitoa kwa mbotswana?
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Zipo wapi au unaota...?
Za kawaida, sio kali
Za kawaida, sio kali
NGOJA WAVAA JORDAN NA LV WAJE
NGOJA WAVAA JORDAN NA LV WAJE
TATIZO VIJANA WANAIGA NA KUFEK MAISHAHayo ma Jordan sijawai kuyaelewa kabisa[emoji23][emoji23]
We bro nakujua. Mimi ndio mme wa Irine. Ngoja nikutafute kwa kuleta habari za Mke wangu huku JF.
Acha ujinga wako demu mwenyewe alimpa jamaa laki tatu alivompelekea iphone yakeBora umesema [emoji28]
Nilitaka kusema Insider mahela yote unayotengeneza jamani hata kama ni hela ya Uber ndio umpige na elfu 10 jamani? Halafu ulisema binti mzuri wa kishua, hata hela ya sabuni mwe!
Vipi team Mpwayungu?"Hapa ndo nikajua kumbe nilikua nimewekewa mtego kama ningekua natabia za kifisi kama wale wazee wa kula Kimasihara bhasi kibarua kingeota nyasi."
Hapo team rikiboy ishakuweka katika namna ya kukupa maua yako yani wapo kikaoni lkn lengo kuu bado ngoja waendelee kukutazama vizuri kuliko mwanzo.
Team DeepPond badae watakuja kusema neno kuhusu prisca kama ingefaa kuwa mchepuko au ulizingua
Watu wa kiroho wanajua kabisa ulivyo mla iryn ndy mwisho wa kupata pesa mana ni jaribu lazima ufunge zipo hata kama mna vesha mkiwa wote.
Ngoja nimtag huyu kamanda hapa mana simuoni.
Analyse
Uliliwa kimasiharaMkuu INSIDER MAN mbona kama Iryin anataka umle waziwazi
Samweli nakuona duuuh siku hizi unaendesha Uber vp ile biashara ya laptop umeacha??