Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jamaa naomba unijibu kwanini unatembea na nguo unabadilisha kwenye gari ilhali we we ni mme wa mtu na kila siku unagombana nae.

Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app

Hakuna nilikosema natembea na nguo kwenye gari ila ile siku ambayo nilikwenda kwa Iryn ndo nilitembea na nguo kwenye gari za kubadilika, sababu nilijua tutatoka Out.

Siku za weekend nilikua nina tembea na sando kwenye gari, huwezi kuwa na viatu siku nzima mpaka usiku, pia sijawai kubadilishia nguo kwenye gari.

Nikiwa mme wa mtu siruhusiwi kubadilika kwenye gari?, hivi una fahamu kuna Uber ambao gari ndo makazi yake yaani anakopark ndo analala haphapo. Kuoga anakwenda kulipia, mambo ya kufua kuna watu wanafua nknk.
 
Mkuu naona unachanganya mafile, Some conversations vizuri hizo.



IMG_1924.jpg
 
"Hapa ndo nikajua kumbe nilikua nimewekewa mtego kama ningekua natabia za kifisi kama wale wazee wa kula Kimasihara bhasi kibarua kingeota nyasi."
Hapo team rikiboy ishakuweka katika namna ya kukupa maua yako yani wapo kikaoni lkn lengo kuu bado ngoja waendelee kukutazama vizuri kuliko mwanzo.

Team DeepPond badae watakuja kusema neno kuhusu prisca kama ingefaa kuwa mchepuko au ulizingua

Watu wa kiroho wanajua kabisa ulivyo mla iryn ndy mwisho wa kupata pesa mana ni jaribu lazima ufunge zipo hata kama mna vesha mkiwa wote.

Ngoja nimtag huyu kamanda hapa mana simuoni.
Analyse
Vipi team Mpwayungu?
 
Back
Top Bottom